bavicha_taifa Profile Banner
Official Bavicha Taifa Profile
Official Bavicha Taifa

@bavicha_taifa

Followers
141K
Following
583
Statuses
11K

Chadema Youth Council, E-mail: [email protected]

Kinondoni, Dar es Salaam
Joined March 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
1 month
Zoezi la kuhesabu kura limeanza kwa Baraza la Wazee wa Chadema. #StrongerTogether #MkutanoMkuuChadema2025
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
6
57
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
1 month
Mkutano Mkuu wa Bavicha Taifa. #StrongerTogether #MkutanoMkuuChadema2025
2
4
29
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
1 month
#Ufafanuzi Si kweli kuwa kuna mazingira ya rushwa. Idrissa Kassim alikabidhiwa fedha za nauli kwa wajumbe wa Bavicha kutoka Kanda ya Magharibi, wakati akiwalipa ndio ilitafsiriwa kuwa anatoa rushwa.
85
17
95
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
2 months
Mkutano Mkuu wa Bavicha utafanyika tarehe 13 Januari 2025. #MkutanoMkuuChadema
Tweet media one
1
14
57
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
2 months
Tweet media one
3
65
257
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
Nguvu ya umma imeshinda, Elia Mbise yupo huru.
Tweet media one
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
Elia A. Mbise (20) mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Mwanza amehukumiwa miaka 3 au faini ya milioni 7 kwa kosa la uchochezi. Sasa yupo Gereza la Magu. Tuungane kumchangia faini Tuma mchango wako kwenda 1. Namba 0746 066 518 2. Jina BAVICHA MKOA MWANZA
Tweet media one
2
7
56
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
Elia A. Mbise (20) mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Mwanza amehukumiwa miaka 3 au faini ya milioni 7 kwa kosa la uchochezi. Sasa yupo Gereza la Magu. Tuungane kumchangia faini Tuma mchango wako kwenda 1. Namba 0746 066 518 2. Jina BAVICHA MKOA MWANZA
Tweet media one
5
36
103
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Kama hujajiandikisha kupiga kura tafadhali nakuomba, nakuomba hakikisha umejiandikisha kupiga kura kwa sababu usipojiandikisha hautakuwa na msaada wowote katika haya mapambano yanayokuja." Mhe. Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti Bara.
1
5
12
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Ni muda wa kuchukua hatua. Jiandikishe tuwamwage! Hii siyo tu kauli mbiu, ni mwito wa mabadiliko ya kweli. Umoja wetu utaleta mabadiliko. Sauti zetu zitabadilisha taifa hili. Tupambane, tusikate tamaa, na zaidi ya yote, jiandikishe tuwamwage." Mhe. @John_Pambalu
0
6
20
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Tumeweka mawakala katika vituo kuangalia na kusimamia zoezi la uandikishaji wa wapiga kura." Mhe. @John_Pambalu
0
6
31
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Maendeleo hayaji kwa ahadi tupu. Maendeleo yanahitaji mipango, viongozi waadilifu, na vijana wanaosimama imara. Tusiwe sehemu ya tatizo, tuwe sehemu ya suluhisho. Jiandikishe tuwamwage! Ni muhimu zaidi sasa, kuliko wakati wowote ule, tujitokeze kwa wingi." Mhe. @John_Pambalu
0
4
26
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Tukikosa kujiandikisha, tutakosa nafasi ya kuamua hatma yetu. Tumeona athari za kukaa kimya na kutoridhika na hali ilivyo. Huu si wakati wa kuogopa, huu ni wakati wa kutenda. Jiandikishe tuwamwage." Mhe. @John_Pambalu
0
0
7
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Vijana wengi wameachwa nyuma kimaendeleo. Tunakabiliwa na ukosefu wa ajira, huduma duni za afya, elimu yenye viwango vya chini, na mazingira magumu ya kujiajiri. Serikali imekuwa ikitupatia ahadi tupu, bila utekelezaji wa vitendo. Hatuwezi kusubiri tena." Mhe. @John_Pambalu
0
5
20
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"#WatakaWasitake; mitaa, vijiji na vitongoji mwaka huu 2024 vitaongozwa na Chadema. Kufanikisha hilo kila kona ya nchi yetu uelekeo ni Kwenda kwenye vituo vya uandikishaji, tukajiandikishe." Mhe. @John_Pambalu
0
1
5
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Vijana wenzetu ambao mmejiajiri kwenye bodaboda, wamachinga, wananfunzi wa vyuo na vyuo vikuu, wavuvi na makundi mbalimbali ya vijana nawasihi tuchukue muda wa dakika 10 tu Kwenda kujiandikisha kisha tuendelee na zoezi la ujenzi wa taifa letu." Mhe. @John_Pambalu
1
15
35
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Tukihitaji kushinda lazima tuandae wapiga kura, sasa ni wakati wa kuandaa wapiga kura, kisha Novemba Mosi 2024 tukachukue fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika mitaa, vijiji na vitongoji." Mhe. @John_Pambalu
0
9
49
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
"Leo ikiwa ni siku ya kwanza, hii ni fursa muhimu kwa kila kijana, fursa ya kujitengenezea nafasi ya kuchagua viongozi wa mitaa na vijiji, viongozi watakaosimamia maslahi yetu na kutetea haki zetu." Mhe. @John_Pambalu
0
7
31
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
0
1
7
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) kupitia mwenyekiti taifa Mhe. John Pambalu litazungumza na watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari kesho Oktoba 11, 2024 saa 5 asubuhi, katika ofisi za Makao Makuu ya Mabaraza, Ufipa, Kinondoni. Waandishi wote wa Habari mnakaribishwa.
Tweet media one
Tweet media two
2
27
97
@bavicha_taifa
Official Bavicha Taifa
4 months
#WatakeWasitake Tutawaondoa
Tweet media one
1
4
36