Dunia🌍 Profile Banner
Dunia🌍 Profile
Dunia🌍

@DuniaSlaveDunia

Followers
31,228
Following
7,145
Media
7,024
Statuses
172,289

Mungu wetu ni Mmoja na anatusikiliza Sote.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu siwezi kua mtumwa wa fikra bali niwe msema kweli na mpigania haki za Watanzania wote🙏

Greece
Joined November 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Weka kura yako hapo 2020 Tundu Lissu weka...... #Likes Magufuli weka ...... #RTs Kuharibu kura weka... #comments Twende kazi 2020 October Magufuli Vs Lissu.
Tweet media one
Tweet media two
178
99
4K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 years
Nimepokea Taarifa ya msiba wa Mdogo wangu Amefariki katika hospital ya Bugando Mwanza Muda huu 10:34 Duh 😭😢 Nipo naelekea Mwanza muda huu 🤦🤦🙆😢😢😢🕯️🕯️🕯️
Tweet media one
610
105
3K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
19 days
Nimevamiwa muda huu na Watu Nisiowajua..Nimekataa kufungua mlango wa Gari nimeLock Kwa ndani.. Nipo na watoto wangu 3 ..nimekuta gari langu limewekewa Uzio Nyuma na Mbele . nimeomba msaada Kutoka Nyumbani kwangu na kwa marafiki zangu OMG 🙏
207
438
3K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
😥👉Hatimaye mdogo wangu kapatikana akiwa amekufa 😥😥😥🤦
912
92
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
Picha kutoka Nigeria hao waliozinguka ni Wa Kristo wamewazunguka Waislam waswali swala Muda wa Kuswali Waendelee na Maaandamano.. 🤨🗽
Tweet media one
30
92
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 years
RT kwa ZITTO KABWE Like kwa MBOWE FM Comment ruksa 👀
Tweet media one
Tweet media two
47
64
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉Kampuni ya Google inaomba Fidia kwa NetBlock iliyofanywa na MATAGA Sasa TCRA wanakataa kutoa hizo pesa VPN wamechukua password & Copying zote za System ya TCRA wame ban li network lao Wakiingia wa pandishe network ngoma inasoma SYSTEM ERROR WAITING NOW....??! waisraeli sio watu
156
237
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 years
😭MUDA HUU 2:49 NAPOKEA TAARIFA YA MSIBA WA BABA YANGU MZAZI .OOOH MY GOD R.I.P .MY DADY 😭😭😭
480
78
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Dada Kama ulienda @CloudsMediaLive kufanya kazi ya utangazaji wa habari fuata kilichokupeleka huko nadhani umesomea u pressenter sio Siasa habari za Siasa ziache. Kama zilivo . Kama unatafta U-DC Kama joketi saivi haupo Tutakuvua nguo muda sio mlefu jirekebishe . WARNING
Tweet media one
274
80
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Nimepigiwa simu kutoka kituo Cha Polisi Pamba Mwanza kua Kufikia Juma Nne niwe nimefika Mwanza na kuripoti kituoni hapo .
147
46
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Huyu Dogo Anapatikana wapi Tumpe Vifaa vya Shule 🙏
Tweet media one
28
99
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
JWTZ kumbe linafunza watu Kubaka Huyu hapa... Popote asakwe @jwtztaarifa @tanpol @Dr_DGwajima 👇👇👇👇
Tweet media one
Tweet media two
223
178
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
🤦😥 Nitabakia kua mgeni wa Nani mimi Rachael 😥 💔 R.I.P. Nawewe Tena umeniacha jamani 💔🖤 Mama aliindoka nawewe Tena 🤔💔🖤
Tweet media one
393
38
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
I LOVE YOU CHADEMA ✌️ I LOVE YOU LISSU 💪💪 NASEMA CHADEMA TUNASHINDA HAKIA MAMA @TunduALissu NAKUZAWADIA GARI HII #TRUE 👇👇👇👇
Tweet media one
80
126
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
Hapa sio Ethiopian wala Turkana kenya Ni Tanzania kwenye Nchi yenye wahubiri Aman pasipo na Amani 😳
Tweet media one
17
157
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
1 month
Polisi wa Kituo cha Polisi Ushirombo Walimpiga Mdogo wangu Rungu za Kwenye magoti Jana kafanyiwa Upasuaji wa Goti mguu wa kulia Mfupa Ulipasuka Mpaka sasa inatakiwa Mguu ukatwe. Hili Stokubaliana nalo Askari uliempiga mpka kua hivi dogo langu Tutajuana Mahakamani J-Tatu 🤨😞
179
260
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Huyu Dogo Ni Jambazi hata Mwanza Wanamtafta sana Anaishi kwa Kujificha Ficha sana.. Ila ipo siku Mungu atatenda .. kwani hakuna namna ya Kumdaka 🤨
Tweet media one
108
154
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Nipo njiani kutokea Mwanza kuelekea Bunda Muda huu Mke wangu kaanguka na Gari kaumia Vibaya sana.🙆‍♂️🤦‍♂️ akitokea Kiabakari Mida ya 9:12 Usiku huu Maeneo ya Bitaraguru Bunda Musoma.
485
158
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Weka #Kura yako hapa Nani yupo Strong zaidi kutupa Mafile Haule weka...... #Likes Kigogo weka..... #Rts Twende kazi mwisho saa 4 usiku tunaesabu kura Haule Vs. Kigogo
Tweet media one
Tweet media two
200
615
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
KURA yako hapa Nani anayeku Inspired kwa Siasa nzuri kabisa Mbowe weka..... #Likes Polepole weka ... #Rts Kuharibu kura weka.... #Comments Mbowe. Vs. Polepole
Tweet media one
Tweet media two
83
16
2K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Tunaweza Kuungana kumsaka BEN au ndo Kimya Kwa kua SATIVA kapatikana?? Nani Yupo Tayali Kuanzia Tarehe 30 Asakwe mpaka apatikane Mimi nina hasira sana na huyu jamaa hakika 🤦‍♂️😓
Tweet media one
79
167
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 months
Rais wa SENEGAL akielekea Ikulu... Naomba picha ya Rais wa Tz akielekea ikulu tulinganishe..😁
Tweet media one
25
55
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉Kesho tutakua safarini kurekea Mwanza kwaajili ya maziko ya mdogo wangu ANASTAZIA tukitokea Mtwara 💔🖤🤦😥 Mungu ametoa Mungu ametwaa🙏 Mengi zaidi Ni baada ya maziko 😥
194
39
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉🥊TCRA mmewabipu Marekani kwa kufungia watanzania mitandao Sasa imewashinda kufungua mnawaomba msaada Wawa saidie baada ya kuwasaidia ndio wamepiga ban kabisa Mpaka System yenu kila mkijaribu kufungua manaambiwa SYSTEM ERROR 😀 CHEZEA MABEBERU NYIE ndo mtajua hamjui
159
144
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Nimetoka polisi Central Mwanza saivi Nataka kuwaambia watanzania Kama mnategemea uchaguzi Huru hapa sijaona kitu chochote na Kama tutategemea kulindwa na polisi hapo tusahau Huwezi nitoa toka Dar Mpaka mwanza kuniuliza nikwanini napinga na kutoa maneno ya kashfa mtandaoni ..
136
106
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
8 months
Naambiwa kua huyu ndo anatumiwa na Ccm Kuwapa watu Sumu na ni mtu hatari sana kwa maswala hayo.Kuna ukweli Wowote Juu ya Hili
Tweet media one
201
65
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
Huyu Mama @Dr_DGwajima ni moja ya Mawaziri wanapokea Spana na Kuzivumilia Kuliko wengine wote Huwa hajibu Matusi hata umuuzi Vipi..Niliwahi mpiga Spana mpaka nikahisi lazima aniBlock lakini Alijitahidi kujibu Hizo Spana 😁 sina chuki nae anazeeka vizuri Ukawe na Sabato Njema 🤝
Tweet media one
69
81
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉Masanja ulini block baada ya kukuchana live 👉Sasa mataga wenzio wakufikishie ujumbe wangu 👉Umetapeli wachimbaji wa zahabu wa mgodi wa mgusu Geita 👉Ulinunua marudio ukwaweka vibarua wa kuosha na kukamua zahabu 👉Walipomaliza ukawadanganya unaenda kuuza Geita mjini 👉Ukiwa
144
113
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
16 days
Hapa Ni Simiyu. Nchi Imeingia Vita Sasa. naona Tunalazimishwa Vita. Haya machafuko Wanayoyataka Polisi Ipo siku yatakuja tu Muda sio Mrefu 😳
Tweet media one
59
129
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
You are a Prostitute @halimamdee
Tweet media one
125
64
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
5 months
Mke wa Rais ananyoa hivi 😁👐🙈
Tweet media one
147
39
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
✅Weka Kura Yako hapa LIKE kwa SHEILA RT kwa JOKET
Tweet media one
Tweet media two
8
18
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Nimekaa nimeshindwa kabisa kumtakia Baba yangu Happy Day Father . Nilishaga shindwa kumsamehe kabisa kila nikikumbuka huwa nalia Sana Alimtelekeza mama yangu na watoto sita baada ya mama kuugua pressure akaoa mwanamke wa jilani yetu na kusepa nae Nairobi baada ya mda mfupi mama
415
53
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
Rais Ibrahim Traore Wa Burkina Faso Ametembelea katika kijiji cha Tìembèlè na kukuta Wananchi wake wanaoishi vijijini Maisha ndio kama haya.Katoa kutmiza ahadi ya Kuwajengea Nyumba Za vyumba 4 na sebule kila mwananchi ila ataanza na kijiji kimoja kimoja Kaomba wamuombee kwa Mungu
Tweet media one
Tweet media two
45
75
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
7 months
Huko Nigeria Wananchi wamevamia Duka La Raia wa Kihindi na kuchukua vitu dukani ni baada tu ya Mhindi huyo kumuua raia wa nigeria aliekua mfanya kazi wake wa Duka . Na kuharibu kila kitu 🤨
Tweet media one
99
87
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
#UPDATE Polisi wamevamia msafara wa Tundu Lissu
Tweet media one
96
121
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
5 months
Ikatokea Tuchague Rais Mwanamke utachagua Nani Rt kwa TULIA #Like kwa Maria
Tweet media one
Tweet media two
99
19
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 years
👉Kama unamkubuka huyu Dogo 👉Weka RT na Like Iwafikie Mazuzu ✌️✌️✌️👇👀
Tweet media one
17
268
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
1 month
Famalia Inalalamika kua Hospital Ya @TaasisiMoyoJKCI kua Madaktari walifanyia Test ya Upasuaji wa Moyo Kwa ndugu yao Marco Joseph Wa ZABRON SINGER'S.. By Ndugu Wa Familia
Tweet media one
69
60
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
9 months
👉Kapiga Bomu moja tu mlipuko Tanzania nzima 😁👐👐 Rt moja na Like Dunia nzima wamuone 🦾✌🤏
Tweet media one
20
246
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
5 years
Nipo nje ya nchi kidogo lakini usiku kucha sijalala Lakini nimechangia kiasi cha Tsh.500000/= Mungu awabariki wote mliotoa pesa zenu za majukumu yenu na family zenu ili hali tu ndugu zetu wanaoonewa waachiwe huru lakini nimesikitika Sana kuona page ya CCM ikiposti Akwilina. RIP😥
Tweet media one
Tweet media two
70
67
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
5 years
Mmwambie huyo RC mwenye kihelehele kama mkia wa fisi aje anakamate Sasa nyumbu kabisa .hifadhi NI zetu mnapata pesa za utalii mnakula mnajenga masinagogi halafu mnatutoza nasisi pesa za utalii wa halafu tusiseme Njoo sasa unikamate . TANAPA NI sekta ya hovyo Sana na waziri wake🤒
Tweet media one
72
75
992
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
🌠Rais wa Burkina Faso amepewe List ya Matajiri wanaoiba Madini na kwenda kuuza huko FRANCE ametoa siku kumi 14 hayo madini yote yawe yamerudishwa nchi Burkina Faso . Kwenye list hiyo wamo Mawaziri na Rais aliepinduliwa 😁🤨
Tweet media one
20
94
1K
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Huyu ndio Khadija Hashimu Rungwe Sipunda. Mtoto wa Hashimu Rungwe mzee wa Ubwabwa 😁😁🙌 mtoto kala ubwabwa bwana 😁 😁🙌 🙌
Tweet media one
72
46
969
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
6 months
Nimepokea Kwa masikitiko Msiba Wa Bibi Yangu RIP my GrandFather💔😥🙏
Tweet media one
193
34
996
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Picha iliopigwa kwa kutumia drones hii hapa ndio ilioleta utata wa TCCA kutaka ndege zisiokua na rubani kusajiliwa
Tweet media one
62
64
961
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
5 months
Huyu Jamaa akae makini wanampindua hata mwaka huu hauishi .. Kuna njama Za kumfanyia kama Thomas Sankara.... Saivi yamefika Majaribio 9 Ya kumpindua.. na Wanaotumiwa ni Walinzi wake Na watu wa ndani ya Serikali yake... Hili Bifu Alilolianzisha na France 🤨🤨
Tweet media one
84
54
946
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
26 days
Mnaonaje Mtoto wa Mafwele Afuatwe Huko huko South Africa Nae apotezwe na Kutekwa... HURUMA HUZAA DHAMBI.
38
87
972
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
17 days
Mungu ni Mwema Asanteni Woote Mlionitakia Uzima. na Asanteni pia Mlionitakia Mabaya.🤔 Asante Sana Kaka Yangu Rafiki yangu.CHASAMA wa Kahama Ulipambana sana 🤦‍♂️
Tweet media one
86
138
974
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
1 month
Nimepata taarifa Muda huu kua mdogo wangu jana alikamatwa na Polisi huko Ushirombo Mke wake kaenda kituoni leo asubuhi kaambiwa hayupo wala wao hawajui mtu kama huyo yupo hapo Mdogo wangu alikamatwa asubuhi ya jana akiwa anajiandaa kwenda kazini Nipo naelekea Ushirombo muda huu
71
196
961
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
20 days
Polisi Anaenda kukagua Kwa Mtuhumiwa halafu anasema Unamke mzuri sana Anaona mezani kuna juice anakunywa huku wengine wakiendelea na Upekuzi 👐🤷‍♂️😳
40
77
959
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Yesu kristo.🇹🇿
Tweet media one
229
41
893
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
8 months
Ukafuta Ubunge Wa Lissu Ukafuta marupu rupu yake yote Ukadai kua hujui Lissu aliko Wewe na yeye leo nani hajulikani aliko. Kiko wapi kiherehere Mbwa koko Weee
Tweet media one
101
101
913
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Hospital ya DDH Bunda imetupa Rufaa ya Kwenda Bugando Mwanza Kwa matibabu zaidi Mpaka sasa Mgonjwa wangu Haongei wala Kula 🌬🤦‍♂️ Tumeingi Mwanza muda huu 🙏
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Nipo njiani kutokea Mwanza kuelekea Bunda Muda huu Mke wangu kaanguka na Gari kaumia Vibaya sana.🙆‍♂️🤦‍♂️ akitokea Kiabakari Mida ya 9:12 Usiku huu Maeneo ya Bitaraguru Bunda Musoma.
485
158
2K
241
130
926
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Katoto kadogoo mnakasumbua TU Sasa huu si niuonevu kabisa
Tweet media one
63
39
875
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
UGANDA Jioni hii 🤨🤨
91
109
902
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
Sasa Hawa Ccm watakimbia Nchi nawaambia 😁✌✌
27
157
895
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Kitu ipo tayali kwa LISSU #True
Tweet media one
32
42
869
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Dada @fatma_karume kwanza pole sana 👉Nimeumia sana , nadhani Ni miezi kadhaa tu nilikushauri juu ya Hawa jamaa 😲🤝 one love usikate tamaa mama 💪
Tweet media one
13
50
860
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 years
👉Rais wa Zambia yaani Kama vile mshikaji tu yupo zake kitaa yaani 😁 👉Hakuna Yale ma ulinzi Kama wanalinda World Bank 😁
Tweet media one
104
54
857
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
9 months
Duh Aiseee 😭 Africa Ni Hovyo sana 🤔 Hatimae Kagame kamuua huyu Dada kisa Alikua mpinzani wake
Tweet media one
66
58
861
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
1 month
Haya haya kumekucha kila mmoja anasema Ukweli..maamuzi ni kwetu 2025 🤔
36
150
859
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
1 month
Msanii Wa Uganda King Saha Amefika Hospital Kumuona @HEBobiwine . 🤨
Tweet media one
2
50
833
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉Kuanzia mwezi wa kwanza mwaka 2021 ARV hakuna ndo tuone Meko na Mademu zake wataishije hapo Ikulu chamwino.. yaani office itakua inanuka mihalisho tupu ...
51
58
799
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Taarifa Ponda kunauwezekano ikawa ndio bye bye hivo msimwone Tena Jana nimewaambia hali yake ya kiafya ni mbaya Sana alikataa kula Wala kunywa maji toka siku anakamatwa ......polisi wanapanga mbinu ya kuleta Uongo kwa Umma kua kajiua mwenyewe Nimemaliza ..utajua hujui 😥😥
79
50
779
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
Naambiwa ni Mtu wa IRINGA ni hatari sana hutumia pesa za Umma kujiweka Bar na sehemu za Starehe hujichekesha chekesha kwa Wanaume kuwaweka mitegoni na Vijana haswa anapotaka Jambo lake.. Kwanini tusianze na hawa watu ??! ; 🤷‍♂️🤷‍♂️
Tweet media one
68
129
811
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Watu wa Bukoba wamekomaa Mpaka Sasa wanasema mpka kieleweke ..... Hadhulumiwi mtu hapa mguu kwa mguu
21
67
782
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 years
Huko China Mji wa Zuzhuo umejenga Barabara ya Kilomita 142 imejengwa kwa 91.6 billion yaani Yuan ($13.27 billion) Barabara ya njia 10 na katika kuna Reli ya njia mbili Tanzania choo Cha Tundu10 kinajengwa kwa Bilion 10 😁🙌
Tweet media one
73
73
784
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 years
Huyu ni @HHichilema yupo kanisani Hana mbwembwe za kuchangisha hela Wala kujifanya yeye ndie padri, Mchungaji,
Tweet media one
100
42
769
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
🤨 🙆‍♂️
Tweet media one
136
103
763
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 months
Kagame Katoa maagizo DIANA RWIGARA kaondolewa kwenye List ya Watakaogombea Urais Rwanda 👐🤨
Tweet media one
24
24
758
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Nimeongea na Wanasheria wangu hapa nyumbani kwangu Mwanza wemeniambia kua Kuna inshu sio nzuri kabisa wamejaribu kuuliza kosa ni nini polisi hawataki kujibu Mungu atangulie mbele . nahakika Mungu yupo I M STRONG HUMAN 💪 I M STRONG HUMAN 💪 I M STRONG HUMAN 💪 I M ☝️☝️☝️☝️☝️
58
29
748
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
💔List ni ndefu Sana haswa DM sitoweza kumshukuru mmoja mmoja 💔Ila tu napenda kuwashukuru WOOTE mlionitakia pole na Mawazo ya Faraja 💔Pia napenda kuwashukuru WOOTE mlionikejeli 💔Pia Familia yetu inashukuru kwa Sana Wana Mtwara kwa ushirikiano Mungu awe nanyi 🙏 Ahsanteni
41
30
752
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Hatimae @JiniKinyonga kaachiwa Huru karibu Tena ndugu pole kwa maswaibu yanayozidi kukupata Lakini wanachama wa CHADEMA tuongozane twende alipo Tundu Lissu kuanzia mda huu ✌️
Tweet media one
Tweet media two
20
84
731
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉hatuelewani na Kenya 👉 hatuelewani na Uganda 👉 Hatuelewani na rwanda 👉SADC wamerudisha kwa wengine 👉Hatuna mausiano mazuri na South Africa 👉Hatuna mausiano mazuri na jumuiya ya EAST AFRICA COMMUNITY 👉nchi haina wahisani 👉harafu unataka Tanzania iwe kama ulaya
103
69
725
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
8 months
Huyu Dada sindio yule aliekua anakata Keki kule Kwa mama au mimi ndio sioni vizuri Naomba kueleweshwa vizuri kule kwenye keki ni Vivian. kwenye Chelehani ni Betrice lakini Mbona kama ni mtu mmoja. This is Drama👇
Tweet media one
Tweet media two
145
35
736
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Hizo Ml.4 mtazitapika Panya buku nyie 💀 ☠️ yaani ngoja Tukusanye mafile yenu yakae penyewe mtakubali tu ma Snich wakubwa Sana yaani hawa
Tweet media one
Tweet media two
113
32
706
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
8 months
Nina fanya kazi katika MGODI WA DHAHABU mkubwa hapa Tanzania Siku ya Jumapili ntaweka weka wazi uchafu wa Utoroshaji wa Dhahabu... Polisi wanahusika na JWTZ.. Na Majina yote ntayaweka ya wahusika 🤨😶
99
76
737
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
8 months
LIKE kwa CHADEMA.. RT Kwa CCM.... 🤨
Tweet media one
Tweet media two
4
18
728
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
1 month
Aliko Dangote ni Mzaliwa wa Nigeria na Muwekezaji mkubwa kabisa kwa Bara la Africa na tajiri mkubwa sana lakini Nigeria inahusudu Wazungu na wanahakikisha Dangote hafanikiwi kuchakata mafuta katika kiwanda chake. Mnakumbuka Dangote Cement wabongo walimfanyia figisu sizani kama b
Tweet media one
14
37
725
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Kuna Kijana Wa Uvccm kaibiwa Pikipiki Ya SSH Wahuni Wamepita na kodi yao 😁 Ccm wenzie wamemsweka LockUp 😁
Tweet media one
75
56
723
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
#Uganda Wameamka.. Nimeona na kule #Zimbabwe Muda sio mrefu kinanuka 🙆‍♂️
Tweet media one
58
67
719
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Hapa hakunapo akina wema linah chege
@HildaNewton21
Hilda Newton
4 years
Asanteni sana Morogoro mjini.🙏 #NiYeye2020
Tweet media one
29
81
1K
5
40
651
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
I love you TUNDU LISSU ❤️🙌
10
33
649
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉Tumesha fukuza hizo mbwa kama mnazitaka chukueni 👉Kubeba mimba abebe mwingine uchungu ukuume we jirani 👉Halima na wenzie hatuwatambui kwenye CHADEMA Tena 👉Tunawatambua Kama wanachama wa CCM 👉Hatuwataki kwani lazima 👉Mliwapiga wenyewe halafu mnawatea 👉Kama inawauma
29
44
647
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
👉Jana kidogo nipasue simu yaani kutokana na maamuzi ya CHADEMA kuchelewa kutolewa 👉Sasa Naomba radhi kwa @jjmnyika na @freemanmbowetz 🙏 lakini muwe na maamuzi ya kiume sio kuchelewesha Mambo bwana Nipo njiani kuelekea Dar muda huu
36
18
651
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Wanna CCM wamepewa ruksa kufanya fujo na kupiga raia yeyote atakae kua wa Upinzani hata chukuliwa hatua lakini Ni maarufuku kwa Raia wa Upinzani kumjibu wa CCM NI kipigo na kifungo jela semina zinaendelea kutolewa kwa Siri na viongozi wa CCm Habari tunazo
67
48
647
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
5 years
Nimepigiwa simu Leo asubuhi na mtu mmoja akajitambulisha kua yeye NI Usalama wa taifa kua kwanini najumuika na akina @kigogo2014 @MariaSTsehai @RealHauleGluck kulopo hovyo hivi Hawa vijana wa CCM Wana matatizo Gani yaani wanafikili Mimi NI wakutishiwa na Huo Usalama wa Taifa 💪
36
20
637
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
🙋👉Ninawatakia USIKU MWEMA 🙋👉Ninawatakia Uchaguzi mwema 🙋👉Nawatakia ushindi mwema chadema 🙋👉Mungu akipenda tutaonana baada ya uchaguzi 🙋👉Shukrani Sana .... Niko mapumziko kidogo 😘😘 🙋✌️✌️
Tweet media one
61
45
615
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Siku mwanangu akiniambia anataka asome awe polisi atahama nyumbani kwangu 🤨🤨
Tweet media one
51
66
626
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Road.....to Tundu Lissu ✌️ Night🌌
Tweet media one
32
44
617
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Ogopa Mungu 😁😁 Ogopa Teknolojia 😁😁
13
152
627
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
2 months
Hawa Ndio WATEKAJI wanaojiita wasiojurikana ni waajiriwa wa Policcm Ndio walio Mteka @DEUSDEDITHSOKA na wenzake Hawa kama tunaishi nao kitaa tutamalizana nao.. soon tutaleta majina yao ❗❗
Tweet media one
Tweet media two
13
132
613
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
LISSU. Vs. MAGUFULI. KURA YAKO HAPA LISSU.....weka.... LIKE MAGUFULI....weka. ..RT Ukiweka comments kura imehalibika hiyo Leo Ni leo
Tweet media one
Tweet media two
13
8
594
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
3 months
Tulipofika Hapa Hospital Bugando Mgonjwa aliwekwa (ICU) ila mpaka sasa Majibu yanaendelea Vizuri. Asante Mungu 🙏🤦‍♂️
58
71
612
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Kumbe 😲😲😲 Hawa hua sio wa kuchelewesha wangenyooshwa huko huko
Tweet media one
Tweet media two
42
77
598
@DuniaSlaveDunia
Dunia🌍
4 years
Jamani hapa si Kyerwa ...Mbunge wa huku atakua Wa Chama Cha Mashetani. CCM
Tweet media one
53
15
584