Mungu wetu ni Mmoja na anatusikiliza Sote.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu siwezi kua mtumwa wa fikra bali niwe msema kweli na mpigania haki za Watanzania wote🙏
Weka kura yako hapo 2020
Tundu Lissu weka......
#Likes
Magufuli weka ......
#RTs
Kuharibu kura weka...
#comments
Twende kazi 2020 October
Magufuli Vs Lissu.
Nimevamiwa muda huu na Watu Nisiowajua..Nimekataa kufungua mlango wa Gari nimeLock Kwa ndani.. Nipo na watoto wangu 3 ..nimekuta gari langu limewekewa Uzio Nyuma na Mbele . nimeomba msaada Kutoka Nyumbani kwangu na kwa marafiki zangu OMG 🙏
👉Kampuni ya Google inaomba Fidia kwa NetBlock iliyofanywa na MATAGA Sasa TCRA wanakataa kutoa hizo pesa VPN wamechukua password & Copying zote za System ya TCRA wame ban li network lao Wakiingia wa pandishe network ngoma inasoma SYSTEM ERROR WAITING NOW....??! waisraeli sio watu
Dada Kama ulienda
@CloudsMediaLive
kufanya kazi ya utangazaji wa habari fuata kilichokupeleka huko nadhani umesomea u pressenter sio Siasa habari za Siasa ziache. Kama zilivo . Kama unatafta U-DC Kama joketi saivi haupo
Tutakuvua nguo muda sio mlefu jirekebishe . WARNING
Polisi wa Kituo cha Polisi Ushirombo Walimpiga Mdogo wangu Rungu za Kwenye magoti Jana kafanyiwa Upasuaji wa Goti mguu wa kulia Mfupa Ulipasuka Mpaka sasa inatakiwa Mguu ukatwe. Hili Stokubaliana nalo Askari uliempiga mpka kua hivi dogo langu Tutajuana Mahakamani J-Tatu 🤨😞
Nipo njiani kutokea Mwanza kuelekea Bunda Muda huu Mke wangu kaanguka na Gari kaumia Vibaya sana.🙆♂️🤦♂️ akitokea Kiabakari Mida ya 9:12 Usiku huu Maeneo ya Bitaraguru Bunda Musoma.
Weka
#Kura
yako hapa Nani yupo Strong zaidi kutupa Mafile
Haule weka......
#Likes
Kigogo weka.....
#Rts
Twende kazi mwisho saa 4 usiku tunaesabu kura
Haule Vs. Kigogo
KURA yako hapa Nani anayeku Inspired kwa Siasa nzuri kabisa
Mbowe weka.....
#Likes
Polepole weka ...
#Rts
Kuharibu kura weka....
#Comments
Mbowe. Vs. Polepole
Tunaweza Kuungana kumsaka BEN au ndo Kimya Kwa kua SATIVA kapatikana?? Nani Yupo Tayali Kuanzia Tarehe 30 Asakwe mpaka apatikane Mimi nina hasira sana na huyu jamaa hakika 🤦♂️😓
👉Kesho tutakua safarini kurekea Mwanza kwaajili ya maziko ya mdogo wangu ANASTAZIA tukitokea Mtwara 💔🖤🤦😥
Mungu ametoa Mungu ametwaa🙏
Mengi zaidi Ni baada ya maziko 😥
👉🥊TCRA mmewabipu Marekani kwa kufungia watanzania mitandao Sasa imewashinda kufungua mnawaomba msaada Wawa saidie baada ya kuwasaidia ndio wamepiga ban kabisa Mpaka System yenu kila mkijaribu kufungua manaambiwa SYSTEM ERROR 😀 CHEZEA MABEBERU NYIE ndo mtajua hamjui
Nimetoka polisi Central Mwanza saivi
Nataka kuwaambia watanzania Kama mnategemea uchaguzi Huru hapa sijaona kitu chochote na Kama tutategemea kulindwa na polisi hapo tusahau
Huwezi nitoa toka Dar Mpaka mwanza kuniuliza nikwanini napinga na kutoa maneno ya kashfa mtandaoni ..
Huyu Mama
@Dr_DGwajima
ni moja ya Mawaziri wanapokea Spana na Kuzivumilia Kuliko wengine wote Huwa hajibu Matusi hata umuuzi Vipi..Niliwahi mpiga Spana mpaka nikahisi lazima aniBlock lakini Alijitahidi kujibu Hizo Spana 😁 sina chuki nae anazeeka vizuri
Ukawe na Sabato Njema 🤝
👉Masanja ulini block baada ya kukuchana live
👉Sasa mataga wenzio wakufikishie ujumbe wangu
👉Umetapeli wachimbaji wa zahabu wa mgodi wa mgusu Geita
👉Ulinunua marudio ukwaweka vibarua wa kuosha na kukamua zahabu
👉Walipomaliza ukawadanganya unaenda kuuza Geita mjini
👉Ukiwa
Nimekaa nimeshindwa kabisa kumtakia Baba yangu Happy Day Father . Nilishaga shindwa kumsamehe kabisa kila nikikumbuka huwa nalia Sana
Alimtelekeza mama yangu na watoto sita baada ya mama kuugua pressure akaoa mwanamke wa jilani yetu na kusepa nae Nairobi baada ya mda mfupi mama
Rais Ibrahim Traore Wa Burkina Faso Ametembelea katika kijiji cha Tìembèlè na kukuta Wananchi wake wanaoishi vijijini Maisha ndio kama haya.Katoa kutmiza ahadi ya Kuwajengea Nyumba Za vyumba 4 na sebule kila mwananchi ila ataanza na kijiji kimoja kimoja Kaomba wamuombee kwa Mungu
Huko Nigeria Wananchi wamevamia Duka La Raia wa Kihindi na kuchukua vitu dukani ni baada tu ya Mhindi huyo kumuua raia wa nigeria aliekua mfanya kazi wake wa Duka . Na kuharibu kila kitu 🤨
Famalia Inalalamika kua Hospital Ya
@TaasisiMoyoJKCI
kua Madaktari walifanyia Test ya Upasuaji wa Moyo Kwa ndugu yao Marco Joseph Wa ZABRON SINGER'S..
By Ndugu Wa Familia
Nipo nje ya nchi kidogo lakini usiku kucha sijalala Lakini nimechangia kiasi cha Tsh.500000/= Mungu awabariki wote mliotoa pesa zenu za majukumu yenu na family zenu ili hali tu ndugu zetu wanaoonewa waachiwe huru lakini nimesikitika Sana kuona page ya CCM ikiposti Akwilina. RIP😥
Mmwambie huyo RC mwenye kihelehele kama mkia wa fisi aje anakamate Sasa nyumbu kabisa .hifadhi NI zetu mnapata pesa za utalii mnakula mnajenga masinagogi halafu mnatutoza nasisi pesa za utalii wa halafu tusiseme Njoo sasa unikamate . TANAPA NI sekta ya hovyo Sana na waziri wake🤒
🌠Rais wa Burkina Faso amepewe List ya Matajiri wanaoiba Madini na kwenda kuuza huko FRANCE ametoa siku kumi 14 hayo madini yote yawe yamerudishwa nchi Burkina Faso . Kwenye list hiyo wamo Mawaziri na Rais aliepinduliwa 😁🤨
Huyu Jamaa akae makini wanampindua hata mwaka huu hauishi .. Kuna njama Za kumfanyia kama Thomas Sankara.... Saivi yamefika Majaribio 9 Ya kumpindua.. na Wanaotumiwa ni Walinzi wake Na watu wa ndani ya Serikali yake... Hili Bifu Alilolianzisha na France 🤨🤨
Mungu ni Mwema Asanteni Woote Mlionitakia Uzima. na Asanteni pia Mlionitakia Mabaya.🤔
Asante Sana Kaka Yangu Rafiki yangu.CHASAMA wa Kahama Ulipambana sana 🤦♂️
Nimepata taarifa Muda huu kua mdogo wangu jana alikamatwa na Polisi huko Ushirombo Mke wake kaenda kituoni leo asubuhi kaambiwa hayupo wala wao hawajui mtu kama huyo yupo hapo Mdogo wangu alikamatwa asubuhi ya jana akiwa anajiandaa kwenda kazini Nipo naelekea Ushirombo muda huu
Ukafuta Ubunge Wa Lissu
Ukafuta marupu rupu yake yote
Ukadai kua hujui Lissu aliko
Wewe na yeye leo nani hajulikani aliko.
Kiko wapi kiherehere Mbwa koko Weee
Hospital ya DDH Bunda imetupa Rufaa ya Kwenda Bugando Mwanza Kwa matibabu zaidi Mpaka sasa Mgonjwa wangu Haongei wala Kula 🌬🤦♂️ Tumeingi Mwanza muda huu 🙏
Nipo njiani kutokea Mwanza kuelekea Bunda Muda huu Mke wangu kaanguka na Gari kaumia Vibaya sana.🙆♂️🤦♂️ akitokea Kiabakari Mida ya 9:12 Usiku huu Maeneo ya Bitaraguru Bunda Musoma.
👉Kuanzia mwezi wa kwanza mwaka 2021 ARV hakuna ndo tuone Meko na Mademu zake wataishije hapo Ikulu chamwino.. yaani office itakua inanuka mihalisho tupu ...
Taarifa Ponda kunauwezekano ikawa ndio bye bye hivo msimwone Tena Jana nimewaambia hali yake ya kiafya ni mbaya Sana alikataa kula Wala kunywa maji toka siku anakamatwa ......polisi wanapanga mbinu ya kuleta Uongo kwa Umma kua kajiua mwenyewe
Nimemaliza ..utajua hujui
😥😥
Naambiwa ni Mtu wa IRINGA ni hatari sana hutumia pesa za Umma kujiweka Bar na sehemu za Starehe hujichekesha chekesha kwa Wanaume kuwaweka mitegoni na Vijana haswa anapotaka Jambo lake.. Kwanini tusianze na hawa watu ??! ; 🤷♂️🤷♂️
Huko China Mji wa Zuzhuo umejenga Barabara ya Kilomita 142 imejengwa kwa 91.6 billion yaani Yuan ($13.27 billion) Barabara ya njia 10 na katika kuna Reli ya njia mbili
Tanzania choo Cha Tundu10 kinajengwa kwa Bilion 10 😁🙌
Nimeongea na Wanasheria wangu hapa nyumbani kwangu Mwanza wemeniambia kua Kuna inshu sio nzuri kabisa wamejaribu kuuliza kosa ni nini polisi hawataki kujibu
Mungu atangulie mbele . nahakika Mungu yupo
I M STRONG HUMAN 💪
I M STRONG HUMAN 💪
I M STRONG HUMAN 💪
I M ☝️☝️☝️☝️☝️
💔List ni ndefu Sana haswa DM sitoweza kumshukuru mmoja mmoja
💔Ila tu napenda kuwashukuru WOOTE mlionitakia pole na Mawazo ya Faraja
💔Pia napenda kuwashukuru WOOTE mlionikejeli
💔Pia Familia yetu inashukuru kwa Sana Wana Mtwara kwa ushirikiano
Mungu awe nanyi 🙏 Ahsanteni
Hatimae
@JiniKinyonga
kaachiwa Huru karibu Tena ndugu pole kwa maswaibu yanayozidi kukupata
Lakini wanachama wa CHADEMA tuongozane twende alipo Tundu Lissu kuanzia mda huu ✌️
👉hatuelewani na Kenya
👉 hatuelewani na Uganda
👉 Hatuelewani na rwanda
👉SADC wamerudisha kwa wengine
👉Hatuna mausiano mazuri na South Africa
👉Hatuna mausiano mazuri na jumuiya ya EAST AFRICA COMMUNITY
👉nchi haina wahisani
👉harafu unataka Tanzania iwe kama ulaya
Huyu Dada sindio yule aliekua anakata Keki kule Kwa mama au mimi ndio sioni vizuri
Naomba kueleweshwa vizuri kule kwenye keki ni Vivian. kwenye Chelehani ni Betrice lakini Mbona kama ni mtu mmoja. This is Drama👇
Nina fanya kazi katika MGODI WA DHAHABU mkubwa hapa Tanzania Siku ya Jumapili ntaweka weka wazi uchafu wa Utoroshaji wa Dhahabu... Polisi wanahusika na JWTZ.. Na Majina yote ntayaweka ya wahusika 🤨😶
Aliko Dangote ni Mzaliwa wa Nigeria na Muwekezaji mkubwa kabisa kwa Bara la Africa na tajiri mkubwa sana lakini Nigeria inahusudu Wazungu na wanahakikisha Dangote hafanikiwi kuchakata mafuta katika kiwanda chake. Mnakumbuka Dangote Cement wabongo walimfanyia figisu sizani kama b
👉Tumesha fukuza hizo mbwa kama mnazitaka chukueni
👉Kubeba mimba abebe mwingine uchungu ukuume we jirani
👉Halima na wenzie hatuwatambui kwenye CHADEMA Tena
👉Tunawatambua Kama wanachama wa CCM
👉Hatuwataki kwani lazima
👉Mliwapiga wenyewe halafu mnawatea
👉Kama inawauma
👉Jana kidogo nipasue simu yaani kutokana na maamuzi ya CHADEMA kuchelewa kutolewa
👉Sasa Naomba radhi kwa
@jjmnyika
na
@freemanmbowetz
🙏 lakini muwe na maamuzi ya kiume sio kuchelewesha Mambo bwana
Nipo njiani kuelekea Dar muda huu
Wanna CCM wamepewa ruksa kufanya fujo na kupiga raia yeyote atakae kua wa Upinzani hata chukuliwa hatua lakini Ni maarufuku kwa Raia wa Upinzani kumjibu wa CCM NI kipigo na kifungo jela semina zinaendelea kutolewa kwa Siri na viongozi wa CCm
Habari tunazo
Nimepigiwa simu Leo asubuhi na mtu mmoja akajitambulisha kua yeye NI Usalama wa taifa kua kwanini najumuika na akina
@kigogo2014
@MariaSTsehai
@RealHauleGluck
kulopo hovyo hivi Hawa vijana wa CCM Wana matatizo Gani yaani wanafikili Mimi NI wakutishiwa na Huo Usalama wa Taifa 💪
🙋👉Ninawatakia USIKU MWEMA
🙋👉Ninawatakia Uchaguzi mwema
🙋👉Nawatakia ushindi mwema chadema
🙋👉Mungu akipenda tutaonana baada ya uchaguzi
🙋👉Shukrani Sana .... Niko mapumziko kidogo 😘😘 🙋✌️✌️
Hawa Ndio WATEKAJI wanaojiita wasiojurikana ni waajiriwa wa Policcm Ndio walio Mteka
@DEUSDEDITHSOKA
na wenzake Hawa kama tunaishi nao kitaa tutamalizana nao.. soon tutaleta majina yao ❗❗