![#ChangeTanzania Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1280682244261195789/j4AiYC_i_x96.jpg)
#ChangeTanzania
@ChangeTanzania
Followers
319K
Following
20K
Statuses
102K
This is #ChangeTanzania movement of citizens exercising their right to #FreedomOfExpression | for activism contact via WhatssApp & Telegram +1 (862) 438-3337
Tanzania
Joined January 2012
#NoReformNoElection na Vijana kwa nini CCM imepanic ? Mjadala muhimu sana kuhusu mabadiliko , Huko Live kwa nini kuna maneno mengi kutoka CCM kuhusu mabadiliko ? #NoReformNoElection
0
7
5
RT @MariaSTsehai: Leo #MariaSpaces tunajadili: #NoReformNoElection na Vijana Kwa nini CCM imepanic? Tumeona kauli za viongozi wa CCM zikias…
0
86
0
Tunawezaje kupata haki, uwajibikaji na uongozi bora katika mazingira ya sasa ya kisheria ambayo CCM imetunga sheria na kuweka mazingira ya kutisha wananchi hata kutumia makundi ya WhatsApp kufanya mambo yao ya kijamii ? tuna nchi huru? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
1
2
Tunaingia kwenye uchaguzi 2025 hakuna maboresho ya sheria ya habari, ASASI za kiraia, Vyombo vya habari, maboresho ya jeshi la polisi, maboresho ya mfumo na sheria ya mahakama. Uchaguzi utakuwa wa aina gani? Kuna tofauti gani na 2020 ? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
2
4
Matumizi ya TEHAMA imekuwa msaada kwa wananchi na serikali kufanya mambo , Serikali ya CCM imekuwa ikipinga au kudumaza kabisa mifumo ya kiditali nchini ikiwemo daftali wa wapiga kura .Tutakubali mfumo wa giza wa CCM kwenye uchaguzi mpaka lini? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
1
Moja ya kasoro ya mfumo wetu wa uchaguzi ni unasimamiwa na makada wa CCM ambao wametegeshewa kama Wakurugenzi wa halmashauri, CCM inashinikiza mfumo huu kuendelea. Tupata uchaguzi wa haki? Tunatapataje viongozi tunaotaka ? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
1
3
CCM imefanikiwa Kukwepa kabisa mchakato wa #KatibaMpya kwa kujaribu kudanganya wananchi katiba haitoleta ugali, lakini mazingira ya sasa Mafisadi, watu kutekwa, Polisi kunyima watu dhamana, mahakama inayopokea maagizo kwa simu, Tunataka haya mambo? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
1
4
Maadamu rasilimali za Afrika zinavunwa kwa manufaa ya wengine, ndoto ya uhuru wa kweli inasalia kuwa upeo wa mbali. #KataaEACOP #EACOPniTishio
0
0
2
Malengo ya CCM ni uchaguzi wenye mazingira wanayoweza chakachua matokeo ya uchaguzi na kusimika viongozi kwa wananchi ambao wanatokana na uchafuzi wa uchaguzi, tutakubali hii hali mpaka lini wakati Taifa linadumazwa nyanja zote ? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
1
Hofu ya CCM kama kutofanyika mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi, ni wamekosa ushawishi kwa vijana na kupelekea kupoteza uchaguzi,... mazingira ya sasa yameleta Bunge butu, mahakama chongo, Wananchi wanataka chaguzi bora hili kuweka viongozi bora #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
2
Kila inapotokea hoja kutaka mabadiliko ya Katiba na tuboreshe mifumo ya uchaguzi, Rais Samia na CCM wanaibuka na hoja nyingi za kuzungumzia ugali kwa wananchi? Ni kwa kiasi gani wananchi wanapata ugali sababu ya sheria za sasa? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
0
Kuna sheria ambazo zinagusa uchaguzi, zinazopora mamlaka ya wananchi kwenye chaguzi, Pamoja na maoni ya wananchi kutaka mabadiliko CCM imeweka vikwazo, Je ni sahihi kusema CCM wanajua bila uporaji kupitia mfumo wa uchaguzi wataanguka kisiasa? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
0
Sheria kandamizi ni njia komavu inayotumiwa na CCM kuhalalisha mambo kandamizi kwa maslahi yao, serikali imeongeza kasi ya kujenga mazingira kandamizi na kukataa mabadiliko kwa kusingizia ni shinikizo la upinzani, Bila kungalia athari za sheria hivi kwa wananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
1
Mabadiliko ya sheria nchini ni kwa manufaa ya nani? Wannachi au wanasiasa na vyama vya siasa ? Sisi wananchi hakuna manufaa yoyote tunapata kwenye mabadiliko yanapofanyika? Kama tunanufaika, ni kwa kiasi gani No Reform No Election tumeipambania ? #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
1
As long as Africa’s resources are harvested for the benefit of others, the dream of true independence remains a distant horizon. #KataaEACOP #EACOPniTishio
0
0
0
Ikiwa mtu amekamatwa kwa madai ya kutenda kosa ana haki ya kuachiliwa kutoka kizuizini ikiwa maslahi ya haki yanaruhusu, kwa kuzingatia masharti yanayokubalika. Dhamana inatakiwa kurahisishwa kwa makosa yote kwa masharti pale inapobidi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
1
1
Utajiri ulio chini ya miguu yetu unapaswa kutusukuma mbele kimaendeleo, na sio kutuweka kwenye msururu wa unyonyaji. #KataaEACOP #EACOPniTishio
0
0
1
Ikiwa mtu amekamatwa kwa madai ya kutenda kosa ana haki katika kufikishwa mahakamani mara ya kwanza baada ya kukamatwa, kufunguliwa mashtaka au kufahamishwa sababu ya kuendelea kuzuiliwa au kuachiliwa. Kusiwe na vikwazo vya dhamana #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
2
2
Mtuhumiwa akishakamatwa inatakiwa afikishwe mahakamani haraka iwezekanavyo, angalau si zaidi ya saa 48 baada ya kukamatwa. Maafisa wawajibishwe kinyume na sasa ambapo watu hukamatwa na kuwekwa ndani kwa miaka mingi bila kesi kuendelea #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
2
3