WANAUMEE Nini maana ya PEARLY PENILE PAPULES (PPP)
PPP ni vidude vidogo vidogo sana ambavyo huwa vinatokea kwenye UUME hasa pale kwenye kichwa pembezoni, hizi PPP huwa Zina kuwa kama chunusi flani hivi na mara nyingii zinakuwa kama nyeupe hivi,
Lakini hizi PPP huwa hazina 👇
"Mimi na Diamond Platnumz ni marafiki sana, tunaongea sana yeye akiwa na shida ananipigia namshauri kama dada yake na mimi nikiwa na shida namtafuta. Tunazungumza mengi mengine ni ya siri na tumekuwa karibu kwasababu wote tunatoka Kigoma" 😄
"Mimi sina bifu na Marioo ila yeye ndo mwenye chuki na mimi. Kuna kipindi alikuwa ananikaribisha nyumbani kwake kama rafiki lakini badaye akataka mambo ya mapenzi Nilimkatalia , 🙂
Abigail
Huyu jamaa huwa anapata taarifa za kutoka Tanzania tu , 😎😂
Hanaga za kwao Ghana, au za huko kaskazini, magharibi, mashariki mwa Afrika
Kila siku tu ni Simba simba 💔
😎
Tarehe 13/03/2016 , ndio siku mama yangu alishikwa na uchungu wa mimba
Kwa bahati Nzuri akajifungua salama kabisa.
Tarehe 14/03/2016, mama yangu alishikwa na kichomi kwenye mbavu, ambacho kilimpelekea KUFARIKI DUNIA kwa kukosa Huduma za kiafya kwa haraka 🥹
R.I.P mom ❤️ 😭
Asake mwanamziki wa Nigeria wakati anapiga show
Akaamua kujirusha kwa mashabiki waliokuwa wamejazana kwenye hyo show
Kilichotokea ni kwamba mashabiki walimkataa , 😂
Akaanguka tumbo
Yupo hospitali sasa hivi anaugulia maumivu ya tumbo
Video ipo kwenye comments 😂
No Chelsea fan will pass without liking this tweet 💙🩵🩵
Cole Palmer , Nicolas Jackson , Conor Gallagher and Noni Madueke in one pic & have all scored .
COME ON CHELSEA