GreaterThinker💎 Profile Banner
GreaterThinker💎 Profile
GreaterThinker💎

@HopeQuotes__

Followers
30,375
Following
796
Media
3,498
Statuses
25,675

My Official account 👉🏻 Joined  2010;(HopeQuotes__) the voice of the helpless, you can be a patriot without standing by your president, I hate dictatorship.

Unknown Location
Joined December 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
24 hours
Huyu Mzanzibar anasema Watanzania ni Wajinga Muflis na hawana Akili. ana Sema Zanzibar ni-yakwao Peke yao Lakini Tanganyika ni-ya wote. Ndio maana Huruhusiwi kumiliki Ardhi Zanzibar Lakini Yeye ana Ruhusiwa Kumilik Ardhi Bara. Nb; But kasema Ukweli mtupu
75
113
415
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
Mzee Wangu na Mstaafu, Venance Mabeyo ulitukosea sanaa Mzee... ile siku Wahuni Wanakwambia kama Vipi Chukua Nchi ungefanya Kweli. Kwasababu Tulie nae sasa Hivi uwezo wake wa Kuongoza ni Mdogo Mnoo... Ulitukosea Sanaaa...
Tweet media one
124
280
3K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
"Nitaisimamia Kauli yangu Daima Asilimia 75 ya Viongozi wetu hawana uwezo wa Kiutendaji na wala hawakidhi vigezo vya kiuongozi" :~ Prof. Mussa Assad (CAG Mstaafu)
Tweet media one
56
347
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
6 months
"Sheikh Yahya alisema: “Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapa kazi lakini mchekeshaji sana. Hata hivyo, ata ongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata rais mwanamke.” Sheikh Yahya alifariki mwaka 2011..
Tweet media one
64
136
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
15 days
"Lengo langu la Kwanza ni Kubadirisha Mifumo ya Utawala, na Hivi karibu tatabadirisha Katiba yetu ambayo ilikua inampa Nguvu Mtu Mmoja, Tutatengeneza Katiba itakayokua na Nguvu kwa WanaNchi wa Burkinafaso, hatutaki katiba inayomfanya Kiongozi Kua mungu Mtu" :~Capt: Ibrahim Traole
Tweet media one
80
329
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
Mnakumbuka Ndugu yetu Sativa alisema kua Kipindi alipokua Kafungwa kwenye ile Kalakana OsterBay alikuja Mtu Kumuhoji, alikua kavalia Pensi na Jezi ya SIMBA.. Mshukiwa No 1 alikua ni Faustine Mafwele wa Kikosi cha ZCO (Zonal Crime Officer) Picha yake ilitembea sana Humu Twitter
Tweet media one
20
170
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
TOZO... MAENDELEO...
Tweet media one
Tweet media two
125
258
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
Tujiandae Kwa Taarifa Nzito na Kubwaaa na yenye Kuhuzunisha,,,, Kwenye hii Taarifa Kuna Upande Utafurahi Sanaa! na Kuna Upande Utahuzunika Saana!! Kikubwa Mjiandae kwa TANGAZO ZITO Save Hii Tweet....
123
145
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
23 days
Baada ya ile kesi Kufunguliwa na Mh. @TunduALissu Kumtaja Bwana Bashite kama Mtuhumiwa No1, kuna Kisa kimoja nimekikumbuka Kutoka kwa BASHITE.. Yani iko hivi, Samweli Sitta alimsomesha Chuo, BASHITE na aliamfanya kama mwanae Mpaka akamtambulisha kwenye Familia yake, na alikua
Tweet media one
Tweet media two
62
96
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
#Nukuu "Haiwezekani Fainal za Africa ziwe zina Mbeba Mtu Mmoja, Mpira ni Dk 90 sio dk 70 Fainal ya Juzi Wageni walionewa Cha Kushangaza Zaidi Rais wa CAF alikuepo Uwanjani!!... Fainal hii ilitakiwa Kurudiwa Kwenye Mazingira Rafik au Mgeni Kutangazwa Mshindi" -: Yaya Touré
Tweet media one
75
109
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
"Nitakwenda Kupiga Kura Siku ambayo Nchi yangu itamudu Kupiga Kura Kidigital. yani Mfano namchangua Mgombea A naiona Kura yangu inakwenda kwa Mlengwa. Kwa sasa hivi Tunapiga Kura Lakini Hatuchaguani, Hivyo Sitopiga Kura". :~ CAG Mstaafu, Prof Mussa Assad
Tweet media one
64
211
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
24 days
Ripoti Fupi Kuhusu Kesi aliyofungua Mh. @TunduALissu dhidi ya Tigo yani iko hivi "TIGO" ilivujisha location na mawasiliano ya Lissu kwa serikali muda wote (24/7).. na Walikua wakiwatumia kwa Njia ya Whatsaap! yani kwakifupi Tigo walimuuza Mteja wao kwa Gavoo... Unakumbuka
Tweet media one
Tweet media two
36
168
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
Tuwe Makini Sana na Hawa WanaWake, Muda wowote wanaweza kukupa Msongo wa MAWAZO. Imagine aliekua Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha Jk, Lawrence Kingo Masha ana zunguka Makanisani walau aweze kupata Msaada wa Kimawazo, achana na kitu kinachoitwa MSONGO wa MAWAZO Mzee ni noma.
Tweet media one
113
86
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
Donald Trump ameulizwa ni- Kwanjia Gani ataimaliza Vita ya Ukraine na Russia..!? Jibu alilo Toa; "Nitasitisha Misaada kwa Ukraine naamini Watarudi Mezani Watazungumza, Wakati Mwingine Misaada ndio Kichocheo Cha Vita" :~Donald Trump
Tweet media one
87
99
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Wakili Boniface Mwambukusi ni Noma Arifee🙌😂 anakwambia "Mahakamani ni Kama Nyumbani Kwangu" (SIOGOPI) ana Kwambia "Wasipo elewa Tuta waelewesha" Hakika Homeboy ameamua Kujitoa Kwa Dhati kabisa Bila Woga... Hongera Kwake.. 🐐
Tweet media one
49
168
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
30 days
"Mahakama ya Kisutu Mtu yoyote wa Serikali anaweza Kumpigia Jaji Simu Huyo Usimpe hukumu hiyo, huyo usimpe haki yake huyo usimpe dhamana" :~ Rostam Azizi
Tweet media one
8
179
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
''Pesa ninayodaiwa ni Nyiingi Sana Hata wakisema niuze Kijiji changu Bado itapelea, kwa sasa sina Shughul nyingine nime Sitisha uchapishaji wa Magazeti yangu ni-kwasababu haya nunuliki, Kama wadau watatokea kunichangia Mimi MUSIBA mwanaharakati huru ili niweze kulipa deni its Ok"
Tweet media one
254
59
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
4 months
"Nitafunga na Kuomba kwa Mwezi mzima, niwahikikishie Mwezi wa Nane Mtandao huu wa Twitter utafutika kwenye hii Nchi yetu" :~Boniface Mwamposa
Tweet media one
589
80
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
4 months
Wajinga Walio Kusanyika Tanganyika Pekaz, Kumsikiliza TAPELI anae Wauzia Mafuta... hii sio imani Bali ni Umasikini na UJINGA... #MwamposaNiTapeli
Tweet media one
350
145
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Pichani Ume Mtambua nani...!?
Tweet media one
138
47
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
''Huwezi Kutumia watu wale wale kutatua Matatizo yaliyotengenezwa na Watu hao hao" :~ Prof Mussa Assad (CAG Mstaafu)
Tweet media one
10
179
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
16 days
"Utawala wa Kijeshi unakua Mbaya kwa WanaNchi ikiwa utaweka Tamaa Mbele na Kujali Maslahi yako Binafsi na Kutaka Vyeo. Lengo la Kwanza ni BurkinaFaso kwanza ndio Maana Tunaitaji Kuboresha Mifumo ya Kiutawala ili kesho Asije Kutokea Kiongoz atakae kua Mbinafsi" Cpt Ibrahim Traore
Tweet media one
30
123
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
"Haiwezekani Mtu anaandika Siikubali CCM unamteka" :~ Mzee wa Upako
31
275
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
"Asilimia 75 ya Viongozi wetu hawana uwezo wa Kiutendaji na wala hawakidhi vigezo vya kiuongozi" :~ Prof. Mussa Assad
Tweet media one
48
202
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
7 months
Jomo Kenyatta alishawai kusema: "Waganda ni Sawa na Wagonjwa wanaweza kupona muda wowote na wakadai vyao" "Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao" "ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao" :~ Jomo Kenyatta
Tweet media one
117
249
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Yoweri Kaguta Museven Amezaliwa 1944 Ntungamo, Wilaya ya Ntungamo, Uganda) ni Rais wa Uganda tangu 29 Januari 1986. Alichukua madaraka baada ya kushinda vita vya msituni chini ya kundi la National Resistance Movement na kushinda katika chaguzi za urais za mwaka 1996, 2001 na 2006
Tweet media one
53
49
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
4 months
"Nime Wasilisha Vielelezo vyote kwa Mh. Spika, dhidi ya Mh. Bashe Waziri wa Kilimo, Kuna Rushwa kubwa saana ndani ya Wizara yake na Mtuhumiwa No1 ni yeye (MSOMALI) ni Mwizi" ~: Luanga Mpina
Tweet media one
58
105
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
17 days
#Kumbukizi "Mdomo Kazi yake ni Kusema na Wapinzani Sio Maadaui wa Nchi, kwanini niwafunge Wakati wanatusaidia Kutuonyesha Panapo Vuja, nitawafunga Wangapi ikiwa kila Siku Kuna Kundi Jipya linaisema Serikali ya Awamu ya Nne. Hivyo Mdomo kazi yake ni Kusema :~Jk Mrisho Kikwete
Tweet media one
28
180
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
paid slave @rollymsouth 🤣🤣🤣🙌 Acheni Kupima watu kwa Followers.. Kingine Kuweni Makini na Hawa Watu Wanao Jiita Majobless Wengine humu ni Ma-boss... Sema sio Watu Wa Ku-Show OFF kama Kikatuni na COCO, So wanaamua kujificha kwenye kimvuli cha UjoBless....
Tweet media one
109
64
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
SATIVA akimuelezea Faustine Mafwele (MTEKAJI) "Nikiwa nimefungwa Pale kwenye Bomba alishuka Mtu kutoka kwenye Prado Nyeupe ni Mrefu Mweusi na Mkakamavu, akiwa amenyoa LowCutting na alikua ni Mtu Mwenyedharau hivi, alikua kavalia Bukta na Jezi ya Simba,
Tweet media one
20
181
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
Tatizo Vijana Mnapenda Ushabiki Sanaa bila ya Kua na Facts..... Hiki kitu niliandika Nov 27 Mwaka 2020.... Tupunguze ProperGander... Majizzo ana Pigwa Mande na Vituo viwili ambavyo Mmilik ni Mmoja.... Kuna Kimoja ana Kimiliki kwa 100% na kingine kwa 53%.... Twende Sasa...
Tweet media one
Tweet media two
38
43
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
7 months
Bashite ana Nyota ya Kupendwa au Kuna yaliyojificha nyuma ya Pazia... Samweli Sitta alimsomesha Chuo, akamfanya kama mwanae na akamtambulisha mpka kwenye Familia yake, akawa ana kaa nae. Baadae ikatokea Mistake kidogo akatimuliwa nyumbani kwa Sitta kutokana na Shinikizo la....
Tweet media one
92
74
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
“Na Nyie WanaNchi Maombi yangu Kwa Mungu Sio Maisha yenu yabadirike ni hali yenu izidi kua Mbaya ili Mpate akili” :~ Godbless Lema
Tweet media one
49
98
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
"Sitakwenda kupiga kura nchi hii hadi tutakapo mudu kupiga kura kidigitali, Napiga kura yangu naiona inakwenda kwa mlengwa. Nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani" ~ Prof Mussa Assad
Tweet media one
57
136
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
20 days
Sasa Hivi Ndio Mnasema Kwamba Mgejua..... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wazee "VIKAONI" Siku Nzuri ilikua ni 17 March, Ningejua Siku zote hutokea Baada ya Jambo Kutokea 😂😂😂😂
Tweet media one
14
58
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
Hizi DINI tumeletewa!! Kwanini Tuchukiane Kiasi Hiki 👇 hili Jambo ni La-kukemea, ni Hatari Sana Tusifikie huku Wapendwa, Vita ya UDINI ni Mbaya Mnoo!! Viongozi wa Dini kemeeni hili Jambo. Sijui ni Kwanini Waislamu Wanatuchukia Sana tena Wazi Kabisa!! Anyway #MaryChristmas .....
Tweet media one
456
121
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Je Mnahitaji Kumfahamu zaidi Rostam Azizi....!? au Tuachane nae Tuendelee kuishinikiza Serikali ya CCM, itupe majibu Sahihii Juu ya Mkataba huu wa Kihunu.. Kwanza ifahamike Kua Rostam Azizi sio Muhindi. Rostam ni Mtu wa Dili hata MaCCM yana Mfahamu Je Mnalikumbuka Tukio Hil 👇
Tweet media one
Tweet media two
64
93
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
“Huyu Mnae Muita Mama nae ni Mwizi sio Kwa Sababu ya Uislamu Wake ni Mwizi Kwa Sababu ya Wizi Wake Msituletee Vihoja kama ni Mwizi Tutamuita Mwizi amegawa Bandari zetu zoote Kwa Waarabu sio Kwa Sababu ni Mwislamu Kwasababu ni Mwizi,” :~TunduLissu
Tweet media one
38
121
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
25 days
Askari wa Tanzania Wana Njaa Sanaa, Mtu anaomba Rushwa hadi ana tia Huruma 🤣 eti naombeni jamani Simnajua Njaa Hizi, @tanpol af ndio Visabengo wa Kukataa Changes...!!!
209
225
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
Tuungane Kulisema hili La BANDO naamini lina wagusa Wote humu, Tumueleze Mh. Raisi @SuluhuSamia bila Woga. Bando ni Kilio kwa Watanzania Wote.. Linaadhir Kote kwa Wapinzani na chama Tawala, Hili sio Jambo la Kisiasa, Chapa # ya #BANDOMZOZO Kisha #Retweet ujumbe ufike MAKAMANDA..
Tweet media one
Tweet media two
149
507
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Mzee Mkapa Kwenye Kitabu Chake cha My Life, My Purpose ana Sema "Mbali na CCM Kuchukua Fedha kwenye Hazina ya Serikali yani FEDHA za Uuma, na Kuzielekeza kwenye Kampeni Mwaka 2015, Pia CCM walichukua Fedha Kwenye Bajeti ya Ujenz na Uchukuz," MKAPA ana Malizia kwakusema hivi....
Tweet media one
25
58
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
Wewe Faustine Jackson Mafwele una Binti anaitwa Faith Faustine Mafwele. A'level alisoma Ahmes kwa kutumia Samia scholarship. Kwahiyo kumbe kuna connection kubwa Kati ya Mafwele na SAMIA ndio maana Unateka na Kupoteza Watu, hasa wanao ikosoa Serikal ya CCM. Dunia itasema na Nyie.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
38
211
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Ana shule, hela , mke mzuri ,watoto wawili, v8,vifaranga vya kamongo,connection,exposure,mashamba lakini haringi na hana DHARAU wala Show OFF ..! Respect HERODE wa 3 #PaidSlave @rollymsouth
Tweet media one
38
57
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
''Huwezi Kutumia watu wale wale kutatua Matatizo yaliyotengenezwa na Watu hao hao" :~ Prof Mussa Assad (CAG Mstaafu)
Tweet media one
13
156
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
JINA: Maulidi Kitenge @mshambuliaji Jinsia: SHEMALE.. KAZI: Mtangazaji wa BAHASHA....
Tweet media one
116
131
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
Mbunge wa "KISESA" Luaga Mpina anakupongeza saana kwa Ushindi huu wa Kishindo Kuiongoza TLS kwa Kipindi cha Miaka Mitatu @Mwabuk2Boniface
Tweet media one
Tweet media two
4
59
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
“Tanzania Tunalazimishq PhD na madoctorate ya Hovyo ambayo hata Huko Duniani hayana Nguvu Kabisaa, na Sababu kubwa ni hayana Research wala ushawishi na Ushindani ndio Maana Tuna Tapeliwa na Hawa wawekezaji” :~Prof Sospeter Muhongo
Tweet media one
39
117
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
5 months
"Sasa elfumbili na ishirini na Tano Mtaamua, mkitoa waliopo Leo sawa tu, Waje ambao kazi yao itakua ni kwenda Kukopa tu endapo hiyo ndio itakua namna ya Ku-Run Nchi sawa, hivi Sasa Deni La Taifa ni eighty two trillion hivi hii ni Afya kwa Taifa...!?” :~ Job Ndugai
Tweet media one
36
122
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
"Sitakwenda kupiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura kidigitali. Napiga kura yangu naiona inakwenda kwa mlengwa. Nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani" ~ Prof Mussa Assad
Tweet media one
41
153
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
“Kwa sasa WanaNchi wa Niger hawaitaji Msaada wa Marekani, Ushauri wetu MAREKANI wanapaswa kuwapa msaada mamilioni ya watu wasio na makazi nchini Marekani, na Siku zote Hisani huanzia nyumbani” :~ Kiongozi wa Jeshi La Niger
Tweet media one
29
81
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
''Huwezi Kutumia watu wale wale kutatua Matatizo yaliyotengenezwa na Watu hao hao" :~ Prof Mussa Assad
Tweet media one
13
136
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Mungu ikikupendeza Wachukue na Hawa Maana Kazi yako haina Makosa..... #Amkeni
Tweet media one
100
63
981
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
Deogratius Haule FilikuNjombe alikua ni Rafiki yake Kipenzi na Dk. John Pombe Magufuli, pia alikua ni Rafiki yake zitto Mwami Ruyagwa Kabwe. Dk. John Pombe Magufuli aliwahi Kusema Ikitokea amekua Rais Basi FilikuNjombe ndie Waziri Wake. JPM hakulificha kabisa hilo. Endelea.. 👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
87
995
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
Kwa Sasa Ukigusa Fomu ya Urais Ndani ya CCM utashughulikiwa wewe na Genge Lako, Wazee Wa CCM wamekua Waoga 🤣😁🙌 wanasemea kwenye Korido eti kwanini ichapwe "FOMU" moja! wakati wao hujinadi wana Democrasia ndani ya Chama. Wanasema 2025 Wagombea wajitokeze KAMATIKUU itaamua 😁🙌
Tweet media one
34
66
990
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
8 months
Ali Hassan Mwinyi.............
Tweet media one
42
28
962
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
"Nairudia Kauli yangu tena Bunge hili Bado lina udhaifu kwenye kuiwajibisha hata serikali ya sasa" :~ Prof Mussa Assad (CAG Mstaafu)
Tweet media one
13
121
975
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
"Uvumilivu una Mwisho utulivu bila haki ni Feki. unasubiri Kulipuka" :~ Prof. Issa Shivji
Tweet media one
14
200
973
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
24 days
"WanaNchi hawatakiwi Kunishukuru Mimi kwa kazi ninayofanya kwa sababu mimi Sio Mungu, Kwani Hicho ndicho Walichonipigia Kura nikafanye. Ni lazima Pia Wasikubali na Wanipinge Vikali pale ninapofanya vitu vibaya kama kuongeza Madeni Makubwa." :~Hakande Hichilema (Rais wa Zambia)
Tweet media one
43
218
977
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
4 years
"Sitakwenda kupiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura kidigitali. Napiga kura yangu naiona inakwenda kwa mlengwa. Nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani" ~ Prof Mussa Assad
Tweet media one
43
126
933
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
AMKENI AMKENI.... Imebaki hivi 🤌 Chuma Kiteme Ndoano..... Endeleeni Kupiga Spana na Kuendelea kuhoji 1.7 Trilion zimeenda wapi kwa Mujibu Wa CAG... #PostZaUsiku 02:45
Tweet media one
41
75
947
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
Nairudia Kauli yangu tena; "Bunge hili Bado lina udhaifu kwenye kuiwajibisha hata serikali ya sasa" ~ Prof Mussa Assad
Tweet media one
37
67
937
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
5 months
"Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao" :~ Jomo Kenyatta
Tweet media one
51
106
921
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
Swali kwa Wana CCM Mnasema SAMIA, atagombea Kipindi Chake Cha Pili, Mnaweza Kunieleza Mimi na Watanzania Wengine Kwamba Kipindi cha Kwanza SAMIA aligombea Mwaka Gani!? na Kura zilipigwa Wapi!? 2025 Samia ana Maliza Safari yake aliyoianza na JPM apishe Wengine, in KIPARA Voice 😁
Tweet media one
81
81
913
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Unajaua Watanzania Wengi Sisi ni Wanafiki Binafsi hua na Muelewa Sana GodblessLema kua “Nibora ninyimwe Kura kwa Kusema Ukweli Sio nipate Kura kwa Kusema Uongo” Kauli ya Lema Kusema Hivi “Maombi yake kwa Mwenyezi Mungu ni Ninyi Watanzania Mzidi Kupata Shida ili Akili ziwarejee”
Tweet media one
19
84
896
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Nini Kinaendelea Hapa...!!!! Mbona Hizi Picha Zina Zina Trend Sanaaa.. SalimKikeke na Gerson Msigwa..
Tweet media one
Tweet media two
34
25
897
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 years
⚪MzeeWaUpako "Mnasaini mikataba ya kibwege kwa sababu ya ufala wenu halafu mnawaita wazungu mabeberu!? Kwani wanawalazimisha?"
Tweet media one
32
77
878
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
12 days
"Mtumishi nilikua Sina Gari, Sina Kazi, ila baada ya Kuandika yale Mambo 12 uliyosema kila Mtu aandike basi Moja kati ya Vitu nilivyoandika ni Hivyo 👆 Na kweli nimefanikiwa Mwanzo nilikuja na DalaDala lakini Sasa nina Usafiri Wangu" Wote Mnaosali kwa FakeApostle Kumanina Zenu.
Tweet media one
240
88
1K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
Msikilize Mbunge Luhanga Mpina, kuhusu Huu Mradi wa SGR Mpina aliona Mapema Mnoo kuna Rushwa Kubwa Sana Kwenye Huu Mradi. Mpina hakupindisha alisema Wazir Wa Fedha (Mwigulu Nchemba) Makame Mbarawa na Masanja Kadogosa Wamehujumu Mradi huu. Rais aunde TUME
30
228
903
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
Ukisha-nunua kifurushi kinakua Mali yako Swal, ni kwanini Kampun inakuwekea Mashart eti, ikifika Masaa 24 hata kama haujakimiliza wanakichukua!. "BUMUNDA" haoni kua hili ni Tatizo! una nunua Kifurushi kwa fedha yako unakatwa kodi, lakin Muda wa Matumiz una Pangiwa, Wadau hil Vip?
Tweet media one
131
133
902
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
Mh. Raisi huko ulipo Unajisikiaje!? au Bado ni "DRAMA"!? Je wewe ni Mnufaika wa Haya!? @SuluhuSamia
41
198
895
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
Mjumbe wa Kamati Kuu CCM, Mufti Abubakar Zuberi Waislamu Wamemkataa ni Baada ya Kusema kua "Maandamano ya Amani yataleta Uvunjifu wa Amani". Waislamu wame-Muuliza Vipi Kuhusu Utekaji!? Je, hauleti Hofu na Uvunjifu wa Amani Nchini... Waislamu Kwa Umoja Wao Wameikataa BAKWATA..
Tweet media one
39
148
889
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
4 years
MATAGA Kwa mfano Sasa Mwaka Jana Mgekua mmeondoa Ule Ukomo wa Rais, Kwa Shujaa Wa Chato Mngejiisikiaje Leo Mama nae Akakaa Milele Mpaka Kifo? coz ungekua ni Utaratibu tayar amabao Mgekua Mmeisha Uweka Wakat Mwingine Muwe Mnatumia akil kushabikia haya Mambo ya Hovyo #ByeMagufuli
47
64
855
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
"Viongozi wengi hawana uwezo wala Vision, wengi wao wanapata Madaraka kwa Bahati mbaya tu, ndio maana wengi wao wakipata nafasi kazi yao inakua Moja tu, ni kuiombea CCM iendelee kubaki madarakani ili wao na familia zao waendelee Kuitafuna Nchi" :~ hayati Christopher Levi Mtikilla
Tweet media one
3
176
886
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
Aiseeeh!!! Kumbe Vichekesho ni Zuga tu 😭😭😭 🙌
Tweet media one
73
14
858
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Nairudia Kauli yangu tena; "Bunge hili Bado lina udhaifu kwenye kuiwajibisha hata serikali ya sasa" :~ Prof Mussa Assad
Tweet media one
16
130
861
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
> Deogratius Haule FilikuNjombe Baada ya Jina Lake Kuhusishwa na Uwaziri Mkuu Pindi JPM atakapo Shinda Uchaguzi wa 2015.... > Basi jamaa alianza Kutengenezewa Zengwe, Ndani ya Chama Chake ikumbukwe alikua ni Rafiki wa Karibu Sana na Dk. John Pombe Magufuli...
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
59
50
848
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
Simama Kwenye Haki Hapa Duniani Tunapita tu” :- CAG Mstaafu, Prof Mussa Assad
Tweet media one
6
94
851
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 months
Kuna DALA DALA moja ya kwenda Gerezani, Kuna Mzee Mmoja wa CCM katika story za hapa na Pale Si aka- Msifia MazaKizimkazi eti anaubonda mwingi na Mambo ni Safi kabisaa Mtaani. Arooh!! Abiria kidogo Wamgawane 🤣 Imebidi KONDA amshushe Magomeni Mapipa 🤣 Watu wamechafukwa saana 🙌
21
86
831
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Najua Wengi Mnatamani Kujua Mkataba wa Chiffu Mangungo na Kar Peters ulikuaje, Ambapo MKATABA huo una fananishwa na Mkataba wa Dipii Wedii (DP-WORLD) 😂🙌 Haya Twende Wote ili Uweze Kuufahamu Mkataba huu wa Chifu Magungo... HUU DIO MKATABA WA KARL PETERS NA CHIEF MANGUNGO....
Tweet media one
34
116
813
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
“Sasa elfumbili na ishirini na Tano Mtaamua, mkitoa waliopo Leo sawa tu Waje ambao kazi yao itakua ni kwenda Kukopa tu endapo hiyo ndio itakua namna ya Ku-Run Nchi, hivi Sasa Deni La Taifa ni SevenNteen Trillion hivi hii ni Afya kwa Taifa...!?” :~ Job Ndugai
Tweet media one
16
98
813
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
Mpaka Sasa hivi Sijasikia Nchini Kenya 🇰🇪 kuna Polisi wamekimbia na Masanduku ya Kura.... Sijasikia Kuna Mgombea Kawekwa Ndani... sijasikia Kuna Mgombea Kakatwa jina... Lakini 2020 MaCCM kwenye Uchafuzi yalifanya Unyama Mwingi sanaa... kwa hakika Hii Nchi inahitaji #KatibaMpya .
78
95
805
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
7 months
Prof. Mohammed Janabi, huyu alishawahi kua Daktari wa Rais @jmkikwete , pia alishirikiana na Madaktari wa Hospital ya "MZENA" Kuipambania "AFYA" ya Hayati #Jpm .. Prof. Janabi alipambana kwa juhudi zake zoote Mpaka pale Mwenyezi Mungu alipoamua Kuitoa Roho ya #Jpm Tuishie Hapo..
Tweet media one
74
37
804
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
SOKA alipo kamatwa kwa Mara ya pili ile siku anajiandaa Kusafiri kuelekea MBEYA kuungana na Wanachama Wenzake Kusherekea Siku ya VIJANA duniani, Walio Mkamta walimwambia umekua ukitusumbua Sanaa Umezoea Ukikamatwa Watu Wanapiga Kelele Mitandaoni unaachiwa, Sasa Tunakuaidi
Tweet media one
8
102
817
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
5 months
"Ni kweli Nchi yangu ya Rwanda ina Watu wachache lakini hata ukinipa hiyo Nchi yako ya Tanzania yani tukafanya Exchange nita tumia Mapato ya BANDARI peke yake na Huduma zoote za Kijamii hapo nchini kwako Zitakua Bure Kabisaa" :~Paul Kagame Maneno hayo Kagame alimwambia Kikwete..
Tweet media one
46
111
788
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
5 months
"Mshindi ni Mshindi tu, Mungu yupo ndani yake, kati ya aliyepigwa risasi na aliyeiba Kura nani yupo hai?" :~ Askofu Mwingira
Tweet media one
56
78
789
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
3 months
"Kenya hakuna CCM, sisi wakenya tunajitambua ndio maana tunaweza Kuiwajibisha Serikali yetu na ikatusikiliza. Sisi hatufatilii Umbea kama Watanzania, sisi tunatumia Mitandao ku-Oganize Mambo ya Muhinu. Ushauri wetu kwa Watanzania Wapambane kuiondoa CCM kwanza" :~ Agness Wanjiru
Tweet media one
44
106
794
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
2 years
AFANDE anasema unamuita Mwenzako MSENGE, Mtoto wa Mh. anamuuliza na Wewe unataka nikuite 😁🙌🏿... ni kwere arifeeeh!!!
150
114
777
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
13 days
Mzee Mkapa Kwenye Kitabu Chake cha My Life, My Purpose ameandika hivi, "Kwenye Ujenzi na Uchukuzi ndio kuna Ufisadi na Fedha nyiingi Viongozi Wanazichota Kule" Nb; Tutajenga Makumbusho kwaajili ya Kuwaenzi Viongozi Wetu...
Tweet media one
6
78
803
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Edward Ngoyai Lowassa.....
Tweet media one
48
21
776
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
Kuna Kitu @mangekimambi alikisema kama Hamkumuelewa Msikilizeni Lukuvi hapa 👇
98
106
797
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Tulete Ukweli wa Kifo cha huyu Dada, na ushahid Tulio pea ikiwemo na Note Voice zake au Tukaushe na Tumuache marehemu apumzike..... #PostZaUsiku 01:52,
Tweet media one
51
17
771
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
“Taifa lazima liwe na mikakati na maono ya muda mrefu. Tumekosa yote. Tumepoteza mwelekeo kuwakabidhi Waarabu bandari kwa mkataba mbovu. Tusimlaumu Rais. Tujilaumu wenyewe kwa kukosa uzalendo, vilio vya kuuzwa bandari vimesababishwa na ukosefu wa maono.” Askofu Gwajima, Bunju A
Tweet media one
47
73
768
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
4 months
"CHADEMA ni Chama ambacho kinasapotiwa Sanaa, na Wanachama wake, kingine Wana Upendo Wa Dhati sanaa Kitu Ambacho CCM wanakikosa" :~ Lazaro Nyalandu
Tweet media one
13
66
769
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
“Wote Wanao Utetea, Wanao Upinga Wanao Ukosoa Hakuna anae sema Kusiwe na Uwekezaji Hata Mmoja, Woote Wanasema Kuna Haja ya Kuwekeza na Lengo ni Moja tu Kuongeza Ufanisi na Kuongeza Mapato. Hatuwezi Kusema Kila anae hoji ana Nia Mbaya, Kwahiyo Serikali isikilize Maoni ya WanaNchi”
Tweet media one
44
70
758
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 month
Faustine Jackson Mafwele Msikie Mh. @HecheJohn anacho Kisema.....
16
224
765
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
11 days
"Wabunge Wanatetea Mamlaka sio Wananchi tena ndio maana kila baada ya Dakika 2 wanataja jina la Raisi." :~Joseph Sinde Warioba
Tweet media one
40
225
2K
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
5 months
"BANDARI ni roho ya uchumi wetu" inamaana tumeuza/kodisha roho zetu kwahiyo tunaelekea kufa" :~ Anna Kajumulo Tibaijuka @AnnaTibaijuka
Tweet media one
33
117
743
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
4 months
Muasisi wa "MACHAWA" Tz. ukweli ni Lazima usemwe John Pombe Maguful ndie alie haribu mifumo yoote ya Kiutawala hapa Nchin Itachukua Muda Saana kurejesha hali iliyo kuwepo Miaka 15 Nyuma Mfumo una Haribiwa kwa Siku Moja ila Kuurejesha ili ukae Sawa inaweza Kuchukua hata Miaka 50
Tweet media one
250
77
738
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
1 year
Kasimu Majaliwa Wa UGANDA amethibitisha kua Chuma Kipo imara na Kina Mafaili Meegi Ofsini ndio Maana hakijaonekana Sikumbili Hizi...
Tweet media one
34
24
726
@HopeQuotes__
GreaterThinker💎
26 days
Jomo Kenyatta alishawai kusema: "Waganda ni Sawa na Wagonjwa wanaweza kupona muda wowote na wakadai vyao" "Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao" "ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao" :~ Jomo Kenyatta
Tweet media one
45
147
746