Reader's Conner
|Just making small quotes from different books|
The future will be kind to me for I intend to create it 🙏.
@SimbaScTanzania
@ManUtd
fan
Usalama wa chakula bado ni mdogo sana kwenye makazi na sehem nyingi za kuuzia chakula. Watu wanaugua magonjwa mengi kwasababu ya kitu kilitakiwa kuwatibu.
Pendo huponya, huleta amani muonyeshe binadamu mwenzio upendo bila sababu yoyote hujui anapitia nini kwa huo. Kila mtu ana kitu anachopitia ambacho wewe hukijui. Kama huwezi kumuonyesha upendo usimkarahishe.🙏✌️
Hello Everyone
Natafuta Procurement Officer,
UZOEFU
Mwenye uzoefu wa kazi za procurement kwa miaka 3 na zaidi.
ELIMU
Bachelor degree, Awe amepita Olevel - Advance - University.
Mtu aliyepita certificate/ Diploma/ Chuo hajakidhi vigezo/ usitume Cv
Our current mental hygiene philosophy stresses the idea that people ought to be happy, that unhappiness is a symptom of maladjustment. Such a value system might be responsible for the fact that the burden of unavoidable unhappiness is increased by unahappiness of being unhappy
Huwezi kuwa unawatendea binadam wenzio mambo mabaya kila siku. Ukategemea mambo yako yanyooke, yawezekana yakanyooka lakini kile kitu moyo wako unahitaji sana itakuwa ngum kukipata au kukifikia.
Gm
Imbeni Enyi mbingu, maana BWANA ametenda hayo; Pigeni kelele, enyi mabonde ya nchi;
Pazeni nyimbo, enyi milima, Nawe mstu na kila mti ndani yake
Maana BWANA amemkomboa Yakobo.
Good morning
Manzi anakwambia tuachane, naona mi nawewe hatutawezana. Muhuni unajibu poa na kumoveon, kumbe hana back up plan au huko anapoenda anakuta moto unawaka kuliko kuliko alikotoka anakuja na vimeseji mara ooh sikuoni x dada sijabadilika mi bado ni yuleyule.
Gm