Kesho tarehe 30 Julai Filamu ya
#Tanzania
Royal Tour itaoneshwa katika Televisheni nchini
#China
kwa mara ya kwanza kupitia Kituo cha Hainan
#TV
.Filamu hiyo ilishaoneshwa kwa njia ya mtandao wa Bilibili mapema mwezi huu.Watazamani milioni 7.5 wanatarajiwa kutizama filamu hiyo.