Official account for the Youth League Arm of Tanzania's Rulling Party - CCM (The Revolutionary Party). Established: February 1, 1978. Enquiries: info
@ccm
.or.tz
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
@SuluhuSamia
, ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo tarehe 19 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
"Natoa wito kwa Viongozi Vijana nchini ikiwemo Wabunge, Wakuu wa Wilaya, Makatibu na Wenyeviti wa Umoja wa Vijana Wilaya na Mikoa yote nchini kutoka kwa pamoja kukemea kitu hiki ambacho kinataka kuletwa katika nchi yetu".
@ComradeKawaida
"Sheria mpya ya vyama vya siasa inataka uwazi,uwajibikaji na utawala wa sheria ila vyama vya upinzani vinaipinga hiyo.Sheria mpya inataka CAG akague mahesabu ya fedha katika vyama vya siasa,sisi tunakubaliana nayo ila wapinzani wanapinga,kwanini?" Mwl Mwangwala,Katibu Mkuu UVCCM
"Serikali ina hela, inaweza kununua korosho za wakulima wa Lindi na Mtwara kwa siku mbili. Tumenunua ndege, tumejenga reli kwa fedha zetu hatuwezi kushindwa kununua korosho."- Rais Dkt
@MagufuliJP
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.
“Hii tabia ya baadhi ya Askari Polisi,ya mtu akiingia mahabusu ya polisi siku ya Ijumaa hawatoi dhamana kwa siku ya Jumamosi na Jumapili na kusema dhamana mpaka Jumatatu,sio tabia sahihi na ife haraka iwezekananavyo.”- Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
@ccm_tanzania
PWANI:KISARAWE yatoa ekari 200 kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa ajili ya Ujenzi wa chuo ili kupanua shughuli za utoaji elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini
@jokateM
📸 Wananchi maelfu kwa maelfu waliojitokeza kumsikiliza Mwenyekiti wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli wakati akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika uwanja wa Parking mjini Nzega leo Jumatano Septemba 2, 2020.
#ChaguaCCM
#KuraKwaMagufuli
#CCM
Kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyoketi leo Januari 20, 2022 Jijini Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan, imemteua Dk. Tulia Ackson kuwa mgombea wa kiti cha Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mgombea Urais kupitia Tiketi ya
@ccm_tanzania
, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
@MagufuliJP
akizungumza na Wananchi wa Igunga mkoani Tabora katika Kampeni za Urais za CCM wakati akiwa njiani kuelekea Nzega muda huu
📍Unguja, Zanzibar.
🗓 Januari 25, 2023.
SALAMU ZA PONGEZI
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Afisi Kuu ya Zanzibar unakupongeza Ndg. Victoria Mwanziva kwa kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe.
"Kipindi tunapata uhuru uchumi wa Tanzania ulikuwa unalingana na wa Korea. Lakini wenzetu waliamua kufunga mkanda na leo hii wametupatia mkopo huu wa ujenzi. Nawasihi watanzania nasi tuamue sasa kukaza mkanda" Rais
@MagufuliJP
Niwapongeze umoja wa wanawake Tanzania kwa chaguzi zote za chini zilizofanyika kwa ubora wake pia jumuiya zote ambazo tayari zilishafanya mikutano yake mpaka ngazi ya Taifa vijana na wazazi wamemaliza ,watu wote hongera sana na karibuni kuvusha chama cha mapinduzi mwaka 2025
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Comred kheri Denice James ameongoza Kikao Cha Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa leo katika Ukumbi wa Sekretarieti Jijini Dodoma.
#TukutaneKazini
#UVCCMHQ
#Dodoma
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi unatoa pongezi kwa Makamu Mwenyekiti wa
@uvccm_tz
@tabiamwita
kwa kuaminiwa na kuteuliwa na Rais wa Zanzibar
@dr
.hmwinyi kuwa Mjumbe wa Baraza La Uwakikishi la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
#VijanaTunakupongeza
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme akihutubia wakazi wa shina namba 8 katika Kijiji cha Namichiga, Kata ya Namichiga Wilayani Ruangwa, Lindi ikiwa siku ya kwanza ya Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti wa Halmashauri Kuu ya CCM
CCM NA VYAMA RAFIKI KUANDIKA HISTORIA NYINGINE
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaongoza vyama rafiki ambavyo ni vyama vya ukombozi kwa Nchi za Kusini mwa Afrika ambavyo ni SWAPO (Namibia), MPLA(Angola), ZANUPF (Zimbabwe), FRELIMO (Msumbiji) na ANC (Afrika Kusini)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kikiongozwa na Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan , kinakupongeza kwa kuaminiwa na kupitishwa na Halmashauri Kuu kuwa katika nafasi ya Katibu wa UVCCM - Taifa
"Wakiendelea na upuuzi wao Bavicha tutashughulika nao UVCCM tumeamua kulinda hadhi na heshima ya Rais wetu ambae ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Dk John Pombe Joseph Magufuli." Shaka Hamdu Shaka, KKM UVCCM
Kazi tutakayoifanya leo ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi wa chama na jumuiya zake; hivyo basi kwa heshima kubwa nimwombe kila mjumbe wa mkutano huu kuunga mkono mapendekezo hayo na kuyapitisha kwa kauli moja.
#MkutanoMkuuMaalumuCCM2022
#AlipoMamaVijanaTupo
#KaziIendelee
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM)kupitia kwa Mwenyekiti Kheri James umetoa tamko nakusema hawatacheka na wanaotumia jina la UVCCM katika kujipanga na Urais mwaka 2020 na kiongozi ambaye atakayehusika kwa lengo hilo, Usalama wa nafasi yake utakuwa Mashakani.
Tarehe nane tunakwenda kufungua ruzuku ya pembejeo, ruzuku ya mbolea lakini pia kuna fedha za kilimo cha vijana, tuna fedha za kilimo cha umwagiliaji yote hayo tutakuja kuyafanya ili barabara hii iweze kusafirisha mazao kwa wingi ndani na nje ya nchi.
@SuluhuSamia
"Najua Nitakufa,sitapona ugonjwa huu.Nawaacha Watanzania wangu.Najua Watalia Sana,Nami Nitawaombea Kwa Mungu.
Naondoka nikiwa nimewaachia Taifa moja lenye Umoja na Amani.Wosia wangu kwao waipende Nchi yao kama wanavyowapenda Mama zao.Wajue hawana Nchi Nyingine zaidi ya Tanzania."
“Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha leo kuungana na waumini wa Kisarawe Parokia ya Mt. Stefano Shahidi kuadhimisha misa takatifu. Tulishiriki wote misa na nilipata muda wa kujitambulisha na kuombewa na waumini. Nawatakia Jumapili Njema watanzania Wote.” -
@jokateM
,
DC-Kisarawe
KATIBU MKUU UVCCM TAIFA NDUGU KENANI KIHONGOSI AKIMNADI MGOMBEA WA UBUNGE KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI Ndugu EMMANUEL CHEREHANI JIMBO LA USHETU
MTUMISHI WA WOTE
KAZI INAENDELEA
Katibu Mkuu
@uvccm_tz
Komred
@KenaniKihongos1
amesema Rais Samia ametoa fedha kwa Wabunge wote, hivyo Mabadiliko makubwa yanakuja katika Sekta ya Barabara.
Pia Ahimiza umuhimu wa Sensa kwa wananchi kwani sensa inasaidia katika kuleta maendeleo.
#ziaraYaSekretarietiCcmTaifa
SHAKA NA VIKAO VYA SHINA NACHINGWEA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka akizungumza na Wanachama wa Chama hicho Shina namba moja la Nambambo na Namatula Kata ya Namatula Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi.
#ChamaImara
#KaziIendelee
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM
@ComradeKawaida
(MCC) akisalimiana na Viongozi wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam Pamoja na Walezi wa Mawati ya Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam tarehe 16 Juni 2024 mara baada ya kuwasili Viwanja vya Karimjee Hall.
KARIBU NYUMBANI KOMREDI JOKAT
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa inakupongeza Komredi Jokate Urban Mwegelo kwa kuteuliwa na Halmshauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi kuwa Katibu Mkuu wa UVCCM.
@jokateM
"Uteuzi huu umenipa heshima kubwa, na kunipa fursa ya kuweka historia ndani ya Jumuiya yetu ndani ya Chama cha Mapinduzi kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi hii ya Katibu Mkuu ndani ya Jumuiya hii ya Vijana". Cde
@jokateM
Katibu Mkuu UVCCM.
"CCM inaamini kuwa binadamu wote ni sawa, Uhai wa viongozi ni sawa na uhai wa watu wengine. Lisu Kama amechoka kukaa kwenye Chama kisichokuwa na itikadi, arudi CCM ili afundwe namna ya kuwasiliana na wananchi na namna ya kuipenda nchi yake,vinginevyo ataumbuka" Ndg Bashiru Ally
📸 Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM na Waziri Mkuu wa Tanzania Ndg Kasimu Majaliwa akiwa Butiama katika Mwendelezo wa Kunadi Sera, Ilani ya CCM na Kuomba Kura kwa Watanzania Kumchagua Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM Ndugu Dkt
@MagufuliJP
Wabunge na Madiwani wa CCM
#ChaguaCCM
#CCM
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa leo Januari 23,2022 amekagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya cha Mogitu, wilaya ya Hanang Mkoani Manyara na kumuagiza Mganga Mkuu wa wilaya hiyo ahakikishe kituo hicho kinaanza kutoa huduma kwa wananchi.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) akizungumza na Vijana wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dodoma tarehe 08 Juni 2024 Jakaya Kikwete Convention Centre
Mwenyekiti UVCCM Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amewasili katika ukumbi wa Ubungo Plaza ambapo Wasomi ya Chuo kikuu cha Dar es salaam Tawi la UVCCM Mabibo Hostel wanafanya Kongamano kubwa lenye dhima ya Wasomi na *Dkt Samia Suluhu Hassan.
#JIWELAMSINGIIKULUCHAMWINO
Nakushukuru umefanya jambo kubwa kwa ajili yetu, tumefurahi sana pia nakupongeza kwa maendeleo makubwa yanaondelea hapa katika Ikulu hii -
@jmkikwete
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi na MNEC Comrade KENANI KIHONGOSI ameendelea kufanya kampeni na vikao vya ndani kata kwa kata kumnadi Mgombea wa CCM ndugu Emmanuel Cherehani katika uchaguzi mdogo Jimbo La Ushetu Wilaya ya Kahama.
Mhe. Rais Magufuli akisalimiana na wananchi waliokusanyika njiapanda ya Bugando leo Jijini Mwanza na kuwahakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kutekeleza ahadi zake ikiwemo
#hapakazitu
Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Wananchi wa Katoro katika mkutano wa Kampeni za CCM wakati akielekea Chato mkoani Geita leo tarehe 9 Septemba 2020.
Kikao Cha Majuisho ya Ziara ya Sekretarieti Mkoani Mtwara.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Watendaji wa CCM na Serikali wakati wa kikao cha majumuisho mara baada ya kumaliza ziara ya siku mbili ya kukagua, kusimamia na kuhamasisha utekelezaji wa Ilani
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo na Sekretarieti yake wamewasili mkoani Njombe na kukabidhiwa taarifa ya Chama pamoja na Serikali yake katika Ofisi za CCM Mkoa.
Ndugu.
@KenaniKihongos1
Amemshukuru na kumpongeza Mwenyekiti wa
@ccm_tanzania
na Rais wa JMT Mhe.
@SuluhuSamia
kwa kuendelea kuwaamini Vijana katika Nafasi mbalimbali za uongozi katika Taifa letu sanjari na hilo amewaasa vijana wote walioaminiwa kufanya kazi kwa weledi na uzalendo.
KATIBU MKUU WA UVCCM AENDESHA HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI KATIKA KATA YA UPINZANI.
Mh Rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake ya awamu ya sita mbali na kuendelea kutoa elimu bure,serikali ya awamu ya sita inaendelea kujenga shule sehemu mbalimbali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe
@SuluhuSamia
akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JF Kenedi Jijini New York Marekani leo Sept 19,2021 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 Sept 2021.🇹🇿
Wananchi na wana CCM Karibuni kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi Zanzibar katika Uwanja wa Demokrasia Kibandamaiti Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar tarehe 12 Sept.2020.
Tumetekeleza Kwa Kishindo, Tunasonga Mbele Pamoja
#UshindiWaMapema2020
#Mwinyi2020
#Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri
@SuluhuSamia
akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kushuka kwenye gari la (JWTZ) wakati wa Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sherehe hizo zimefanyika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam 26 Aprili, 2024.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao maalum cha Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi Leo Tarehe 14 Januari, 2023 Dar es salaam.
"Atakayeisema Tanzania VIBAYA alaaniwe kuanzia visigino mpaka utosi. Atakayeisema Tanzania VIBAYA alaaniwe yeye na kizazi chake " - Mchungaji Daniel Mgogo
mchango mkubwa wa CCM na kuamini maendeleo yanapatikana CCM pekee.Serikali ya CCM imeshusha umeme mpaka elfu 27,000/= tuu na nguzo ni bure,Mh.Rais amedhamiria mpaka 2025 kila nyumba iwe inawaka Umeme.Serikali ya awamu ya sita inaendelea kuleta maendeleo kwenye kila pembe ya Nchi
Nataka nitoe ahadi kwenu Ndugu Watanzania kwamba nitausimamia mradi huu (Bwawa la Julius Nyerere) mpaka ukamilike kama ilivyopangwa
@SuluhuSamia
#AlipoMamaVijanaTupo
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Ndg. Kheri D. James(MCC) akisaini Kitabu cha Maombolezo ya kifo cha Sarah Samson Kibonde ambaye ni Mke wa Mtangazaji wa
@CloudsMediaLive
Ndg. Ephraim Kibonde aliyefariki Julai 10,2018 katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam.
UVCCM_ TAIFA
BOOM NI 10,000/= KWA SIKU
Mhe. Rais
@SuluhuSamia
akizungumza na viongozi wa Vyuo vyote nchini leo Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma.
Mhe. Rais ameongeza hela ya kujikimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu (BOOM) kutoka matumizi ya elfu 8,500/= kwa siku hadi 10,000/=.
"Hatutaki vijana wa Instagram, Twitter na Facebook Tunataka vijana walioko site, vijiweni, shambani huko vijana waporipori wanatuhitaji" - Mwenyekiti UVCCM Taifa Kheri James
“Haiwezekani viongozi wa Serikali wana ofisi nzuri, zenye viyoyozi na samani nzuri, lakini hatua mbili tu kutoka hapo, kuna shule haina madawati, hii hata shetani hapendi,”-Rais
@MagufuliJP
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi; inamtakia Kheri ya kumbukizi ya siku ya Kuzaliwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
#AlipoMamaVijanaTupo
#KaziIendelee
KATIBU MKUU UVCCM KENANI KIHONGOSI ASEMA UMEME NI 27,000 na NGUZO BURE NCHI NZIMA
Katibu mkuu wa Uvccm *Ndugu Kenani Kihongosi* leo ameendelea na ukaguzi wa Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi
Sehemu ya Wananchi waliohudhuria Mkutano wa Kampeni wa Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Bombardier uliopo Singida Mjini.
"Kazi ya 'Usultani' kwenye vyama waachie unaoshindana nao, kazi ya kubadilisha rangi ya vyama kila mwaka waachie unaoshindana nao, CCM ni chama cha uongozi, tunashindana na vyama vya uchaguzi".Dkt.Bashiru.