Kwa Speech aliyoongea Rais wetu Mheshimiwa
@SuluhuSamia
huko Umoja wa wa Mataifa
@UN
tumesikia Vijana wanaita MAMA,kina Mama wanaita MAMA,kina Baba wanaita MAMA,hadi wazungu wanaita MAMA watanzania kwa Kauli moja tunasema MAMA ni MAMA, hakika MAMA Anaupiga Mwingi sanaaa..🇹🇿