Kenani Kihongosi Profile
Kenani Kihongosi

@KenaniKihongos1

Followers
3,837
Following
242
Media
49
Statuses
84

KATIBU MKUU UVCCM TAIFA #mtumishiwawote 👏

Tanzania
Joined February 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Asante MAMA Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia Kwakupandisha Mishahara 23.3% Furaha imesambaa kila mahali Nchini. WATUMISHI wanaita MAMA MADAKTARI wanaita MAMA VYAMA VYA UPINZANI wanaita MAMA KINABABA wanaita MAMA VIJANA wanaita MAMA WATOTO wanaita MAMA hadi KINAMAMA wanaita MAMA.
83
45
320
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
3 years
Kwa Speech aliyoongea Rais wetu Mheshimiwa @SuluhuSamia huko Umoja wa wa Mataifa @UN tumesikia Vijana wanaita MAMA,kina Mama wanaita MAMA,kina Baba wanaita MAMA,hadi wazungu wanaita MAMA watanzania kwa Kauli moja tunasema MAMA ni MAMA, hakika MAMA Anaupiga Mwingi sanaaa..🇹🇿
Tweet media one
79
74
309
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
3 years
Hawa ndio wapiga kura huku ndiko walipo, @ccm_tanzania Tupo huku kwa wapiga kura tukimnadi mgombea wetu jimbo la Ushetu wapinzani wetu wapo huku Tweeter kutukana na kudanganywa na wanaharakati hewa halafu wanasubiri miujiza ya Ushindi,hakika Tutawapiga kila Uchaguzi😂
Tweet media one
86
77
234
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Chifu CHOGAVATAMBULE #MtumishiWaWote
Tweet media one
41
33
194
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
3 years
Tanzania ipo Imara na kazi Inaendelea Chini ya Uongozi mahiri na madhubuti wa Rais wetu Mheshimiwa @SuluhuSamia Vijana tumedhamiria kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote na hatutokaa kimya kwa yeyote atakaye jaribu kudhalilisha Taifa letu na Rais wetu. Tanzania ipo salama na SAMIA.
148
66
194
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
3 years
Tanzania imara itajengwa na vijana imara na wazalendo kwa Taifa Sisi Vijana tutakuwa mstari wa Mbele kuhakikisha serikali yetu inatimiza adhma yake njema ya kuleta maendeleo kwa watanzania wote tutamuunga mkono Rais wetu Mheshimiwa @SuluhuSamia kwa nguvu zote
Tweet media one
50
59
168
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Vijana tunawajibu wa Kuhakikisha Taifa Imara Linajengwa katika Misingi Bora ya Kizalendo na Uchapakazi na Kutoa utumishi kwa watu, Daima Tushirikiane na serikali yetu na kumsaidia Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia kutimiza adhma njema ya Kuleta maendeleo ya Nchi yetu. #mtumishiwawote
Tweet media one
47
25
169
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
4 years
ARUSHA KAZI INAANZA SASA KULETA MAENDELEO KWA WANANCHI WETU🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
12
15
127
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
4 years
Yawezekana mambo yako yanakwama kwasababu UNAVUTA mlango ulioandikwa SUKUMA. #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana
Tweet media one
9
14
124
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Mtaani na Vijana.💪
Tweet media one
20
13
116
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
TANZANIA IMARA INAJENGWA NA KIONGOZI IMARA Mh. RAIS @SuluhuSamia 💪
Tweet media one
23
17
109
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
4 years
Nawatakia EID MUBARAK ndugu Zangu Tusherehekee Kwa Amani na Upendo na Tukumbuke Kumuombea Mh Rais wetu DR @MagufuliJP na Kuendelea Kuchapa kazi kwa bidii kwaajili ya Maendeleo Ya TAIFA LETU TANZANIA. #KENANI_KIHONGOSI #MWENYEKITIUVCCMMKOAWAIRINGA
Tweet media one
3
13
99
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
4 years
Jana Tar 31.8.2020 Jiji la Arusha Iilisimama Katika ARUSHA FESTIVAL iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Arusha tumeamua kumheshimisha Mh Rais @MagufuliJP kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kwa Taifa letu. #HistoriaImeandikwa #mtumishiwawote
Tweet media one
4
11
95
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Nikiwa Mkoani Kilimanjaro Na Vijana wa CCM kazi inaendelea. Vijana tupo na Rais wetu Mheshimiwa @SuluhuSamia #NguvuYaVijana #mtumishiwawote
22
20
103
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
4 years
Kumpiga vita mtu aliye barikiwa na MUNGU ni sawa na kutangaza Vita dhidi ya MUNGU aliyembariki. Jua Lazima Atashinda🙏🔥
Tweet media one
2
9
96
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
4 years
Watu wasiokutakia mema daima hutumia nguvu muda na hata gharama kubwa kutafuta wapi doti baya lilipo, Kuhalalisha uongo kuwa ukweli. Ukiwaona hao Jua wamechoka akili na unaelekea kuwashinda Usiyumbe Songa Mbele.
Tweet media one
3
8
84
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Tanga nikiwa na Vijana UVCCM IMARA
11
22
87
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
5 years
ASAS 1.KAJENGA KITUO CHA WATOTO YATIMA ILALA 2.KAJENGA KITUO CHA WAZEE MKIMBIZI 3.KAJENGA WODI GHOROFA 1 YA WATOTO 4.KAJENGA ICU 5.KAJENGA ZAHANATI KISING'A ISIMANI 6.KAJENGA DAWATI LA JINSIA 7.KAJENGA KITUO CHA DAMU SALAMA 8.KAJENGA ZAHANATI WANGING'OMBE N.K
Tweet media one
2
9
82
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
5 years
Tweet media one
4
6
75
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
#Tafakuri . Yusuph alipendwa sana na baba yake lakini upendo wake haukumfikisha popote Lakini chuki za ndugu zake zilimfanya awe waziri Mkuu. #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana 🔥
Tweet media one
3
8
73
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Acha Mwanadamu Akuchukie kwa Kusimamia Haki ..Maana hata Akikupenda Hana Mbingu Ya Kukupeleka. #TukutaneKazini 🙏 #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana 🔥
Tweet media one
2
8
72
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
5 years
Msigwa Tunajua Anachuki na MNEC ASAS kwakuwa anafanya mambo ya maendeleo lazima tumpongeze MNEC kwa kazi Kubwa Anayofanya SASA Msigwa anataka Tumpongeze wakati hakuna Jambo amelifanya katika Manispaa ya Iringa, HAIWEZEKANI
Tweet media one
2
6
71
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Tanzania Imara Chini Ya Rais wetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 💪
Tweet media one
5
7
70
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
5 years
Hakuna Asiyejua CHUKI ya Mbunge Msigwa Dhidi Ya MNEC WA MKOA WA IRINGA ASAS , Alianza kushawishi Watu Wasusie Bidhaa Za Asas Lakini Alifeli hakuungwa mkono, Aliwahi Mchafua Kwenye Vyombo Vya Habari Lakini Alifeli, Leo Anatunga uongo Mwingine Na Huu Nao Ameshafeli
Tweet media one
1
6
63
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Siku zote mwogope Mtu aliyebeba ajenda za kusaidia watu, Na Anayeishi kwaajili ya manufaa ya watu wengine. Ukimkwamisha Vita Yake MUNGU ndio Humpigania na Atashinda Kwa Kuwa Amebeba Baraka Za Watu Wengi. #TusaidieWatuTupateBarakaZaMungu 🔥🔥
Tweet media one
2
6
58
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Sifa kubwa ya Watu walioshindwa ni UONGO, UCHONGANISHI, UZUSHI na ROHO MBAYA Ukiona unanenewa hayo hapo Juu Jua Wewe Ni MSHINDI na Daima USIKATE TAMAA endelea Kusonga Mbele kutimiza malengo yako kwa Kasi Zaidi. #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana 🔥
Tweet media one
2
6
56
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
#Tafakuri Jitihada zako za Kumfanya Mtu aonekane Mbaya kwa watu Hazikufanyi wewe Kuwa MTU mzuri kwa watu. Siku zote tujifunze kusemeana mema🔥 #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana
Tweet media one
3
8
50
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Ukimsapoti Mtu Mwingine Haupungukiwi na Chochote sana sana Baraka zinaongezeka zaidi🔥🔥🇹🇿 #TupendekusaidianaNaKusapotiWengine #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana 🔥
Tweet media one
1
6
49
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
1 year
Waambieni Simba Magoli yanatosha wajue mwisho wa mwezi inabidi nilipe Mishahara na Kuendelea na Ujenzi wa Miradi. Hongera Mama kwa kutimiza Miaka Miwili kwa Kishindo Watanzania Tunakuombea kwa ALLAH azidi kukulinda na kukuimarisha Mheshimiwa Rais wetu💪💪
Tweet media one
7
9
54
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Ukiona mwewe amekaa na kuku na mwewe anamshauri kuku namna bora ya kulea vifaranga wake. Usimshangae mwewe kwa kutoa ushauri huo ila mshangae kuku akikubali
Tweet media one
1
6
45
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
2 years
Asante MAMA Mh. Rais @SuluhuSamia Furaha imesambaa Kote yani kila kona ni MAMA CCM tunaita MAMA CHADEMA wanaita MAMA ACT WAZALENDO na VYAMA VYA UPINZANI wanaita MAMA KINABABA wanaita MAMA VIJANA wanaita MAMA WATOTO wanaita MAMA hadi KINAMAMA wanaita MAMA.
33
13
48
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Acha Magugu na Ngano yakue pamoja lakini Muda ukifika utagundua yapi magugu na ipi Ngano.
2
8
38
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Mheshimiwa Rais Wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @MagufuliJP ikifika 2020 chukua likizo ukampuzike popote duniani, Usisumbuke na kampeni Tutakesha kwaajili yako iwe mvua iwe jua, Kazi uliyoifanya ni kubwa sana. #HAPPYBIRTHDAYTOYOU #TUTAKUCHAGUATENA2020
Tweet media one
1
5
39
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Iringa nawakaribisha katika mapokezi ya Mwenyekiti UVCCM TAIFA @comradekheri Mkoani Iringa,Kesho tutatoa Jezi za mpira seti tatu tatu, na Mipira Mitatu Mitatu Kata zote 106 za Mkoa Wa Iringa #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana
Tweet media one
2
4
32
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Ukiona mwewe amekaa na kuku na mwewe anamshauri kuku namna bora ya kulea vifaranga wake. Usimshangae mwewe kwa kutoa ushauri huo kwa kuku mshangae kuku akikubali. #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijqna #TukutaneKazini 🙏 🔥
Tweet media one
1
5
32
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Tunaishi katika zama ambazo wasemaji ni wengi sana lakini wakweli ni wachache. #TukutaneKazini 🇹🇿 🔥
Tweet media one
0
4
30
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Tukutane Kazini
1
5
30
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Leo nimekutana na viongozi Wa daladala Wa manispaa ya Iringa ofisini kwangu na kuzungumza nao wamenieleza kero mbalimbali zinazowakabili na changamoto wanazokumbana nazo katika Kazi ...Nimewaahidi kuzifuatilia na kuzifanyia Kazi #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana #Tukutanekazini
Tweet media one
1
4
30
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Leo Uvccm Mkoa Wa Iringa tutatoa Jezi seti tatu tatu, na Mipira Mitatu Mitatu Kata zote 106 za Mkoa Wa Iringa Ukumbi wa #SiasaNiKilimo kuanzia SAA 3 Asubuh Mgeni Rasmi katika tukio hili ni Mwenyekiti UVCCM TAIFA @Comredekheri #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana
Tweet media one
2
4
30
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Vijana wa #SobaHouse Mkoa wa Iringa wamemshukuru MNEC wa Iringa #SalimAsas kwakuweza kuwasaidia kwa asilimia kubwa kuhakikisha wanapata huduma zao zote
Tweet media one
0
3
27
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Msigwa Leo Kapata aibu ya mwaka Katika uzinduzi wa Sera za CHADEMA wamepata watu 32 na kuahirisha kongamano Lazima ajue Iringa wanataka Maendeleo na Sio Kelele na Uzushi Serikali ya CCM itaendelea kuleta maendeleo kwa wanaIringa #MsigwaTubuDhambiRudiKanisani
Tweet media one
1
4
25
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Nashukuru Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa na wilaya ya Iringa Mjini kwa Kuweza kushiriki na kuwasaidia Katibu Wa Iringa Mjini pamoja na wanafunzi Wa vyuo waliochomewa nyumba kwa kuwapa kiasi cha milioni Tano kwaajili kwaajili ya kuwasaidia kutatua changamoto zilizojitokeza.
Tweet media one
0
3
25
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
1 year
Mama Anafuraha sana Akiwa SIMBA hii imedhihirika baada ya Picha yenye POZI na TABASAMU KUBWA hakika Mheshimiwa Rais Dr @SuluhuSamia ametuheshimisha WANA MSIMBAZI. WATANI TUKUTANE UWANJANI MTUKABIDHI VIKOMBE VYETU. Team ya WANANCHI Imedhihirika Leo
Tweet media one
5
2
28
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
1 year
ASANTE SIMBA Furaha imesambaa Nchini kote kila Kona ni SIMBA KINABABA wanasema SIMBA VIJANA waanasema SIMBA WATOTO wanasema SIMBA hadi YANGA wanasema SIMBA😂😂 SIMBA NGUVU MOJA🦁
2
8
26
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Leo nimekutana nakuzungumza na Mkuu wa Sumatra Mkoa wa Iringa kuhusu Changamoto za Madereva Bajaji wa Manispaa ya Iringa walizoleta katika Ofisi ya UVCCM MKOA wa Iringa Jukumu langu Mwenyekiti wa Vijana ni kuwasaidia vijana. #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana 🔥 #Tukutanekazini
Tweet media one
0
3
21
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Tweet media one
0
2
21
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Nampongeza MNEC wa Mkoa wa Iringa Salim F Abri (ASAS) Kwa kutekeleza ahadi ya kutoa Mifuko 200 ya saruji kwaajili ya Ujenzi Shule ya Sekondari Kihesa ahadi aliyoitoa wakati anakabidhiwa Cheti Diwani Mteule ndugu Julli Sawani Anayetokana na Chama Cha Mapinduzi. #TukutaneKazini
Tweet media one
0
5
21
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Leo tar.16/01/2018 nmekutana na Viongozi wa uvccm Tawi la chuo Kikuu mkwawa pamoja na Viongozi wa serikali za wanafunzi na kufanya kikao ni katika kujenga Chama na Jumuiya. #UvccmMkoawaIringaSautiyaVijana #TukutaneKazini
Tweet media one
0
3
20
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Mwenyekiti wa UVCCM MKOA WA IRINGA Natoa pole kwa Katibu Wa UVCCM wilaya ya iringa mjini ndugu yangu Alphonce Muyinga kwa kuchomewa nyumba aliyokuwa anaishi pamoja na wanafunzi wa Chuo kikuu cha Iringa , pamoja na Ruco Nalaani kitendo hiki cha kinyama .
Tweet media one
0
3
19
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Leo nimekutana na viongozi wa bodaboda Manispaa ya Iringa Lengo ni Kusikiliza kero na changamoto zao..Jukumu letu UVCCM MKOA WA IRINGA ni kusikiliza,kufuatilia,na kuweza kutatua Changamoto za vijana katika Mkoa. #UvccmMkoaWaIringaSautiYaVijana 🔥 #TukutaneKazini 🇹🇿
Tweet media one
0
4
19
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Wananchi wa Iringa Mjini wanataka Maendeleo siyo kuchoma Nyama na kupost picha kwenye magroup ya wasap.... Huyu Mbunge vipi?
Tweet media one
2
1
19
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Mchungaji haya ndio matatizo ya Kuweka akili mfukoni na kuweka Takataka kichwani hivi kiongozi wa chama chako Mnyika ambae kasoma Udsm ni HASARA kwa Taifa? Umeshindwa kukemea mapepo kanisani umegeuka Mbea wa Taifa. #LaanaYaKuasiKanisaInakutafuna #Tubu
2
1
17
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
1 year
Mpira ni Magoli sio kucheza 😂😂 Kipa Anadaka mpaka RISASI kazi mnayo Watani 😂
5
5
23
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Jumuiya Imara ya Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi UVCCM Itajengwa na vijana jasiri, vijana wachapakazi, vijana waadilifu, na vijana wazalendo watakaosaidia utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa vitendo katika kusimamia serikali ili iweze kuwatumikia wananchi wake
0
3
15
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
Ukitaka kufanya jambo lako la maendeleo usiogope mbwa mwitu. Mbwa mwitu ni Mnyama ambaye anapenda kubweka tuu ili kukuogopesha. Mnyama huyu namfanisha na binadamu waliokuzunguka. #KamweUsiigopeMbwaMwitu
1
3
15
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
9 years
Maisha ni kujituma na kufanya kazi kwa bidii
1
3
13
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
9 years
ucbambuzi yakinifu wa siasa. HAPA KAZI TUU
Tweet media one
0
3
14
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
8 years
Students’ body to hold debate on 5th Phase Govt successes Sunday
0
2
12
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Siku zote penda kusema kidogo na kutenda Sana. .. Vitendo viongee zaidi. #UVCCM_Mkoa_Wa_Iringa_SasaNiKaziTuu
Tweet media one
0
3
14
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Siku zote Akili ikifa mwili hupoteza uelekeo, daima usikubali kuweka akili kwenye pochi.
0
3
13
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Tweet media one
0
3
13
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Kila Mshauri Atatoa Ushauri lakini wengine hutoa ushauri kwakuwa anahitaji jambo toka kwako. Uwe Mwangalifu Juu ya Mshauri mchunguze kwanza anachotaka toka kwako, maana huenda anajitafakari yeye mwenyewe tu
0
4
13
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Unatatizo kubwa sana la kuweweseka ubongo bwana wewe hata katika mambo yanayogusa maisha ya watu unapenda kuropoka, jitafakari kama roho wa Mungu bado yupo ndani yako Mchungaji.
2
0
12
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
Fedha za madawa ya kulevya hulevya kuliko madawa yenye we @KenaniKihongos1
0
3
10
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Lakini hawana cha kujifunza kwa mchungaji kama wewe, ambae ulikana kauli na misimamo yako na ukakubali kununuliwa kwa vipande 30 vya fedha katika uchaguzi wa mwaka 2015. #Hatujasahau #PesaIlikufanyaUasiKanisa
0
0
6
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Bwana wewe ni Mchungaji Toka Upate Ubunge Umeweka Uchungaji mfukoni na kutelekeza Kanisa Je Unapata wapi uhalali wa kuhukumu wenzako? Boriti Jichoni mwako Hulioni? Au Utueleze Siku hizi Unahubiri kanisa gani? mana tunajua umekuwa Tapeli wa Mjini. #TubuDhambi
4
1
7
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Tukisema Akili yako imechakaa unaona unaonewa Unahitaji kupigwa msasa ubongo ili uweze Kuwa sawa Umekubali kutoa ubongo kichwani na kutumia takataka kuandika zamani uliweza kutoa pepo ila toka umeasi kanisa mapepo Yamekuandama #TubuDhambiUendeMbinguni
1
0
4
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Naona umeanza kukusanya pesa ya sikukuu kwa kigezo cha Mbowe na Matiko ..kweli nimeamini Wajinga ndio waliwao haya Endelea kuwarubuni wasiojua kwanini ulikimbiwa kanisani. #TubudhambiUendeMbinguni
2
2
5
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Hizi Dalili za kupagawa, Kuchanganyikiwa,na Kuweweseka Unapaswa kutubu dhambi ya Kuasi Kanisa ...Kiburi , dhihaka ,majivuno vimekurudi,CCM tupo kuleta maendeleo kwa watanzania wewe endelea Kupiga Ramli hapa Twitter #TubuDhambiUendeMbinguni
1
1
4
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
3 years
@ikulumawasliano Tunasimama na mama Rais wetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
1
2
4
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
@hpolepole good work mkuu
0
0
2
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
@jokateM Cuteee
0
0
3
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
6 years
@MsigwaPeter Kwanza Jifunze Kusoma na Kuandika Mchungaji Uliyeasi Kanisa #Taalamu Nini? Kifupi uwezo wako wa Kufikiri ni Mdogo ndio mana huwezi Kujitathimini, Kupambana Na RC @AllyHapi Anayekuzidi Kila kitu Kasoro Dhambi Ni kuonyesha jinsi gani Umechoka na Unatafuta Kiki.
3
0
2
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
7 years
@godbless_lema @hpolepole Utaelewa 2020 sometimes maana huwa haieleweki mpaka uone ..... #Siro amedhibiti ile kazi yako sasa haipo tena #SisiNaKaziTuu .... JPM tena 2020
1
0
2
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
3 years
0
0
1
@KenaniKihongos1
Kenani Kihongosi
9 years
@diamondplatnumz we love you chibu
0
0
1