1.Mabinti
2.Hawajui
3.Unanitega
4.Sikiliza featured by Cowbama
5.Nangoja Ageuke
6.Dakika Moja
7.Ungeniambia
8.Bila Yule featured by Dullayo
9.Turn Up featured by
@countryboytz
10.Bado Nipo Nipo
11.Dume Suruali
12.Yalaiti
13.Kiboko Yangu
14.Basi Aje
15.
#HataSielewi
.............
Miaka 3 imekwenda haraka. Nimemaliza muda wangu wa kuhudumu kama mjumbe wa Bodi wa Chuo cha CBE. Vitu vinne najivunia kuchangia uanzishwaji wake:
1. Public Lectures
2. Adjunct Lecturers
3. CBE Business Incubation program.
4. New on demand Short courses.
It was a pleasure🙏🏿
On behalf of the Government and the People of the United Republic of Tanzania, I extend my heartfelt congratulations to His Excellency Cyril Ramaphosa, on being once again entrusted by the people of the Republic of South Africa with a responsibility to lead them as their
📍Bungeni,Dodoma
Waziri MkuuKassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma Bungeni jijini Dodoma, Juni 13, 2024
📸:O/Waziri Mkuu
Leo nitawasilisha Bungeni, Dodoma, Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka wa Fedha 2024/2025 inayolenga kuleta mabadiliko chanya ya kuboresha maisha na ustawi kwa kila Mtanzania.
It is with great sadness that I have received the news of the tragic demise of the Vice President of the Republic of Malawi, the Right Honourable Dr. Saulos Klaus Chilima.
On behalf of the Government and People of the United Republic of Tanzania, I convey our deepest condolences
Baada ya mikutano mbalimbali ya kazi katika ziara yangu nchini Korea nilipata wasaa wa kukutana na kuzungumza na ndugu zetu Watanzania waishio nchini humo, baadhi wakiwa na familia zao.
Nimefurahi kuona imani na juhudi zao za kuendelea kuwekeza nyumbani, na kuwahakikishia kuwa
Tunasajili uwekezaji wenye mtaji wa angalau $500,000, ulioundiwa kampuni, mwekezaji amenunua ardhi kwa ajili ya kiwanda chake, amepata hati na yuko tayari kuanza. Kila miezi mitatu anawasilisha ripoti ya utekelezaji na timu yetu ya Aftercare na M&E inamfuatilia. Ni kipimo sahihi
@Mskalage
"sitaki yaende kombo yakienda yawai kurudi
Hatugombani tunabishana then we back here
Hatuendi juu hatuendi chini love ........
aisee
@MwanaFA
punch zako ni nzito sana nazitumia sana kutongozea ✍️