Zahoro Muhaji Profile Banner
Zahoro Muhaji Profile
Zahoro Muhaji

@ZMuhaji

Followers
7,736
Following
5,025
Media
398
Statuses
13,047

Ordinary person. Among the founders and CEO for @TanzaniaSA . My mantra “There is a World out there”. Wellbeing-Prosperity- The pursuit of Happiness.

Tanzania
Joined October 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Waombee dua marafiki zako, wapite salama kwenye mitihani wanayoipitia, ambayo hawakuambii.
27
231
1K
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Niliwahi kuhadithiwa: Baada ya kuundwa Chama cha CCM, na wakachagua rangi za kijani na njano, Mwl Nyerere aliomba Yanga wabadili rangi zao watumie nyingine. Wazee wa Yanga,wakamuulize “kati ya Yanga na CCM nani kamkuta mwenzake? SISI NDIO WANANCHI!
Tweet media one
47
146
1K
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Nimemuambia bodaboda nawahi airport, afanye haraka na tukiwahi nampa bonus. Kweli tumewahi ila NIMEJUTA!
58
23
921
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
@DavidHundeyin
David Hundeyin
1 year
No one appears to be in charge of anything, and even though my return flight to Addis has been rescheduled for tonight, I am still locked in this room, and I risk missing my flight. They appear to have forgotten that they have people in detention here.
Tweet media one
286
2K
5K
44
674
866
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Mpaka awamu ya Tatu ya Mhe. Rais Mkapa inamaliza muda wake, mtandao wa barabara za lami ulikua 6500KM. Utawala wa awamu ya 4, Mhe. Jakaya Kikwete aliacha mtandao wa 17,762KM. Ongezeko la 11,262KM ndani ya miaka 10 tu. Heri ya siku ya kuzaliwa Mzee wetu @jmkikwete
Tweet media one
28
65
757
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Said Salim Bakheressa alipoanzia biashara. Mwaka 1975,akimiliki mgahawa maeneo ya kariakoo uliokua ukiuza vyakula vya Kiswahili. Leo hii Azam moja ya kampuni kubwa za wazawa barani Afrika. Usiogope kuanza na kidogo,muhimu kua na maono mapana. INAWEZEKANA!
Tweet media one
44
163
662
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
DMX and Ruff Ryders proved that hardcore street rap can also be mainstream and be a commercial success. He made path for likes of Mystikal, Ja rule, 50cent and groups like G-Unit and Dipset. He saved @defjam from bankrupcty. Rest easy legend🙏🏿
Tweet media one
6
106
538
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
I have always defy the odds. I am grateful for all the chances and opportunities life has given me🙏🏿.
Tweet media one
57
23
528
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
Its not over till its over! We are off to Algeria. Wananchi tunaenda kupindua meza💛💚 @yangasc1935 @Arafat__
Tweet media one
18
16
522
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Mimi: Kaka habari, naomba tuonane tuendelee na yale mazungumzo yetu. Ruge Mutahaba: Sawa Zahoro, tuonane jumanne saa tano usiku pale pale tulipokutana last time. Nilikua nakasirika kuacha kitanda kwenda kumuona, lakini maono na mipango yake ilikua muhimu.
Tweet media one
13
10
455
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Nashukuru kwa uteuzi huu. Naahidi kuitumikia nafasi yangu ufanisi na jitihada. I have passion for learning and business. It will be of my interest to contribute on tranformation of CBE into a 3rd Generation University, driven by Innovation & tech. @kitilam
@ViwandaBiashara
Wizara ya Viwanda na Biashara
3 years
Uteuzi wa wajumbe wa bodi ya uongozi wa Chuo Cha Biashara (CBE)
Tweet media one
Tweet media two
3
14
70
88
38
416
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Mafanikio yanahitaji bahati. Ziko bahati za aina 2. 1. Bahati ambazo ziko nje ya uwezo wako(uzuri,IQ kubwa,nchi uliyozaliwa,familia uliyozaliwa etc) 2. Bahati ambazo ziko ndani ya uwezo wako(kujifunza,kujaribu,jitihada etc) Ukijua tofaut hizi. Utafanikiwa!
Tweet media one
11
108
406
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Nilikuepo Ikulu, leo kuhudhuria kikao cha Baraza la Biashara la Taifa(TNBC). Rais @SuluhuSamia ni Tunu ya Taifa. Amezidi kutujengea imani wafanyabiashara na wajasiriamali kua mazingira ya biashara yanaenda kua bora zaidi, kwa sekta kongwe pia Startups na ICT sectors.
10
38
398
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
It is 03:54AM here in Seoul, South Korea. Stayed up all night just to watch my @yangasc1935 giving their best performance in years! A proper die hard, @salimosaid will be very proud of me. Yanga daima mbele, nyuma mwiko💪🏿
@azamtvtz
Azam TV
2 years
GAME OVER…… Yanga wanatinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho, Afrika. FT: Club Africain 0-1 Yanga Sema kitu dunia isikie…. #AzamSports3HD #CAFConfederationCup #KombeLaShirikishoAfrika #YangaSC #YangaTunisia #ClubAfricain #CAFCC #CCC #ClubAfricainYanga
Tweet media one
39
50
772
12
33
395
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
Sleeping with a broken heart💛💚
Tweet media one
16
16
397
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
You are not African, if you dont have an uncle or aunt you are older than them.
23
44
376
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Entrepreneurship is hard, risky and lonely.
10
64
378
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
7 months
Napenda kumshukuru Mhe Rais @SuluhuSamia kuridhia, Mhe Waziri @kitilam kuniteua kua mjumbe wa kamati ya kitaalam ya kuandika Dira Ya Taifa 2050. Wameonyeosha imani kubwa kwangu na natambua nimepewa dhamana kubwa kuwakilisha vijana wenzangu. A Tanzanian Dream in a making🇹🇿🇹🇿🇹🇿
72
73
379
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Mabachela tuliojichanganya tukaenda home kula Christmas na familia, tumekula pilau la masimango acheni tu. Yaani ukipiga tu tonge, utaoa lini? Mwenzio yuko wapi? Unachagua sana, watoto wako wanachelewa kuanza shule! Sasa Pasaka hawanioni!
51
22
368
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
My boy @KneeNjure explaining to Deputy Governor of BOT, Dr.Bernard Kibesse and @NMBTanzania CEO, Ruth Zaipuna how @tunzaaHQ is making life easier for thousands of ordinary Tanzanians.
Tweet media one
23
84
365
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Kwenye maisha hauwezi kua ana akili ya kujua kila kitu wala kifua cha kubeba kila kitu. Elekeza jitihada ya kua na watu ambao utaweza kuazima akili zao na busara zao pale zako zitakapokua hazitoshi. Waliofanikiwa sana maishani ni mabingwa wa kuazima hivi vitu
12
95
351
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Mtego wa furaha ya maisha, uko kwenye kuridhika. Maishani kutakuepo tu watu waliokuzidi pesa, elimu, cheo, mafanikio, mali etc. Ukitaka mashindano na walimwengu, kamwe hautokua na furaha sababu waliokuzidi hawataisha. Ridhika na ulichonacho na maisha yatakua rahisi.
12
96
347
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Kama uko kwenye kikao na unahisi mtu hazingatii mazungumzo yenu; Punguza sauti yako. Atalazimika kuongeza umakini ili akusikie.
11
39
337
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
I am coming from witnessing the signing of MoU between @TCRA_Tz and @costechTANZANIA from now on; USSD code will be provided free for startups and innovators to live test their products and services. You will need @costechTANZANIA and @TanzaniaSA reference 4 TCRA waiver.
39
124
335
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
I grew up Uswahilini! Those Panya road kids, it could have been me. Proper school of Hardknock life. I am just grateful to be alive, not in jail, drug addict or a petty thief🙏🏿.
20
50
340
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Entrepreneurship is hard! After 6 months of intensive researching, meeting people, talking to experts, read hundreds of research papers, travelling on study tours at huge financial cost, i come to realize the business idea is not viable. I have to drop it!
29
56
332
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 months
Yule mwanafunzi aliyekua anaongoza wa kwanza darasani kwako, yuko wapi sasa hivi, na anafanya nini?
111
19
335
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Happy Father’s Day to all Startup founders. Startups are just like babies. Expensive, time consuming and emotional attached.
8
58
325
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Tafiti zinaonyesha 70% ya nafasi za ajira na kazi, hazitangazwi. 40% ya watu wanaopata ajira na kazi, wanazipata kwa kupendekezwa na mtu mwingine kwa muajiri(referral) Kijana mwenzangu unaweza kuangalia namna unavyozungumza, kuhusiana, kujuana na watu na taasisi.
10
68
326
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Mambo ya Tajiri muulize masikini na ya masikini muulize mwenyewe!
4
60
310
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Wapo wengi tu wanaamka alfajr na bado wako kwenye kitanzi cha umaskini.kikubwa haijalishi unaamka saa ngapi,unalala saa ngapi,just be efficient at what you do.some people come alive at night time,some are early birds.know yourself,stay on your lane.
@DjTee255
DjTee255
5 years
Mkurugenzi mtendaji wa Apple Tim Cook anaamka saa kumi kasorobo asubuhi, kila siku. Michelle Obama anaamka saa kumi na nusua asubuhi kila siku. Mkurugenzi mtendaji wa Twitter Jack Dorsey anaamka saa kumi na mjoa asubuhi, kila siku. Mimi nani niamke muda umeenda? #ElimikaWikiendi
159
101
840
23
38
314
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Mimi kama mjasiriamali, kila mwezi lazima kuna siku naamka na maswali na mawazo kuhusu maisha yangu. Napata hofu kama nitafanikiwa kweli, kama ninachofanya napatia, au napoteza muda na maisha yangu etc. Hii inatutokea wengi wetu, na its okay, part of process!
17
44
291
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Soma vitabu. Inakuwezesha kuazima ubongo wa mtu na ukautumia kwenye maisha yako.
10
51
279
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Kwenda kuwatembelea wagonjwa waliolazwa vitandani ni ibada tosha. Mungu atunusuru na maradhi na awape uponyaji wa haraka wagonjwa, insha Allah 🙏🏿.
9
28
282
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Usipunguze matumizi yako ya mitandao ya kijamii. Itumie kwa manufaa zaidi. Wafuate watu wanaokupa hamasa, watu wanaokupa faraja. Jihusishe na wataalamu ambao unaweza jifunza kitu kutoka kwao. Tengeneza marafiki. Acha mijadala ya chuki,matusi na isiyojenga.
8
50
264
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Kampuni ya kutoa huduma za Utalii,Thomas Cook ya nchini Uingereza,imefilisika rasmi. Biashara ambayo imedumu kwa miaka 178,jana usiku imefikia tamati. Note: Usijisikie hatia biashara yako changa ikianguka,hata wakongwe pia wanaanguka. Amka jipange upya.
11
47
267
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Mimi sijaoa, sichangii harusi. Na sina mpango wa kuchangisha watu kwa harusi yangu. Harusi nitafanya ninayomudu kugharamia, kama siwezi ndoa msikitini tunarudi home kulala. Sisumbui mtu!
@iamKaga
K A G A
2 years
Kuna kale ka uoga ya ku left whatsapp groups za mchango wa harusi, kisa we bado hujaoa. Ni mwendo wa kutuma text 1 ya kinafiki, "Tuko pamoja mkuu", na ku mute group milele, usije ukakosa wachangiaji.
24
11
122
58
49
255
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
There is a woman you want and there is a woman you need. Blessed is a man who found both qualities in one woman. Iam that man!
13
39
248
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Sometimes people hate you, because of how other people love you.
6
26
236
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
7 months
Last night at @CEOrtTZ Dinner Gala, i was awarded with a Rising Leader Award for my work contributing to the positive growth of Startup Ecosystem in Tanzania. I dedicate this award to every young leader out there trying his/her best to make a positive difference in his field.🙏🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
46
55
243
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Kufanikisha mambo makubwa, sio tu tunahitajika kutenda, bali kua na ndoto; sio tu kupanga mikakati, lakini pia kua na imani, kua tunayoyatamani yanawezekana. Usiache kuota ndoto na kuzifikiria ndoto zako. Wiki njema kwa kila mmoja wetu.
11
27
233
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Honoured to be appointed as member of @tpsftz Board Committee. Iam here to advocate & lobby for Youth led businesses & Startups. But also to make sure more Youths get involved in leadership and shaping dialogues within private sector.
Tweet media one
34
21
231
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Yaani Mzee Mpili apige rakaa zake hizi halafu mikia mtoke salama? Thubutuuuuu! #sisiwananchi
Tweet media one
11
18
227
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
16 days
Miaka 3 imekwenda haraka. Nimemaliza muda wangu wa kuhudumu kama mjumbe wa Bodi wa Chuo cha CBE. Vitu vinne najivunia kuchangia uanzishwaji wake: 1. Public Lectures 2. Adjunct Lecturers 3. CBE Business Incubation program. 4. New on demand Short courses. It was a pleasure🙏🏿
Tweet media one
38
40
229
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Ruge: “Zahoro mdogo wangu, mafanikio ni bahati. Kadri unavyojituma kwenye ubunifu, kutafuta maarifa, uthubutu na uvumilivu ndio bahati yako inaongezeka.
@CloudsMediaLive
Clouds Media
4 years
Ni nukuu gani ya Ruge Mutahaba utaikumbuka daima?
98
33
676
2
31
217
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
A great relationship is about two things: First, appreciating similarities and second, respecting differences.
5
46
206
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
It doesnt matter what stage your company is, please consider to have a Non Executive Board of Directors. GUIDANCE and BEST GOVERNANCE which comes with it, are crucial for growth, scaling and suistanability of any business. I want to see our Startups starting having boards.
10
45
213
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Toka enzi na enzi, wanadamu wana kawaida sana ya kuoneana wivu na husda, pia kuringishiana na kujilinganisha. Mitandao ya jamii na internet imeongeza mafuta kwenye moto huu. Usipoteze amani kwa kujilinganisha wengine, na usiwapotezee watu faraja zao kwa kuwaringishia.
10
36
205
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Imani imenivusha kwenye mitihani na vikwazo vingi kuliko akili. Na imani inajaribiwa na kupimwa zaidi kuliko akili. Tutanue akili zetu huku tukilinda imani zetu.
6
48
204
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Better to own 1% of something than 100% of nothing. Seek collaboration and partnerships.
4
37
200
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Something Masai people have done for decades in Tanzania.
@ErikSolheim
Erik Solheim
4 years
Innovative! Curbing Tonnes of Pollution, This Woman from Pune, India 🇮🇳 Turns Scrap Tyres Into Amazing Footwear.
Tweet media one
15
71
433
12
41
200
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Asanteni ndugu,jamaa na marafiki kwa kunipa pole,kushiriki kwenye msiba na mazishi ya Dada yangu Asha Muhaji. Sina cha kuwalipa, Mungu atawalipa. Asanteni sana 🙏🏿
50
12
194
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Kiwango changu cha akili kinategemea tunavyofahamiana😄
9
14
197
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Karibuni kwenye #ElimikaWikiendi na leo nitakielezea kwa ufupi kitabu cha A knight in Africa, ambacho kimeandikwa na Sir Andy Chande akielezea historia ya maisha yake kutokea kuzaliwa mpaka uzee wake. Kitabu hiki kina chapters 13 na utangulizi wake, uliandikwa na Rais Mkapa.
Tweet media one
17
55
196
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Tukumbushane tu. Kwenye Ujasiriamali, malengo makuu ni mawili tu: 1. Kutengeneza faida na pesa. 2. Kutengeneza faida kwa jamii(positive social impact) Note: Kushinda Tuzo haimo.
11
41
193
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Don't get married until you learn this matrix moves!
Tweet media one
17
36
191
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
Greateful for another year🙏🏿. Happy birthday Zahoro😊
Tweet media one
60
15
195
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
I am officially back to work at @TanzaniaSA these 3 things will be my priorities for 2022. 1. Strengthening capacity and positioning TSA as number one Private sector organization which represent interests of Startups and Youth led businesses. 2. Startup Policy. 3. SME policy.
Tweet media one
16
29
196
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
If you want to build a big business in Tanzania - the number one question to answer is this : Who makes money when you make money?
11
42
196
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Mbwembwe za usajili, kuibiana wachezaji, kugombea wachezaji, wachezaji kusajili timu 2 tofauti, watu wa mpira etc. Ndio vitu unavisikia miaka nenda rudi. Lakini kwenye rank za FIFA sisi wa 134! Unajiuliza hivi vitu vyote vimesaidia nini soka letu? Ujinga tu!
Tweet media one
Tweet media two
19
18
191
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Dont solve every problem. Some you just need to manage only.
5
32
191
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Happy to see Azam, among top 10 most admired brands in Africa. Tanzania tunaweza🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tweet media one
13
37
193
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Mimi ni mhanga wa ajali za kuungua mwilini.nimepatwa nazo mara 2 maishani mwangu,zimenieleza hospitali miezi,zimeniingiza ICU mara moja!.athari za kisaikolojia naishi nazo mpaka leo. Kuona picha za wahanga wa ajali ya moro,hii wiki imekua ngumu sana kwangu.
48
11
183
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Shomari Kapombe leo kanifurahisha na kunisikitisha sana! Kwa kipaji kile na uwezo ule! Anachezaje Simba na mtu mpuuzi kama Serge Aurier anacheza Spurs! Laiti kama angevumilia na kubakia Ufaransa, tungekua tunamuona EPL. To me, Shomari is best RB ever in Tz.
15
11
183
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 months
I love Afcon for one reason: Its pure African football! No tactics, no inverted full backs, funny formation or playing from the back stuff. Its just lets play and best team or whoever is lucky wins.
21
32
186
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
I had a great conversation with his excellency Ambassador @Wiebe_de_Boer when he paid a courtesy visit at my office.
Tweet media one
Tweet media two
9
19
179
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
Wananchi @yangasc1935 lets do this💛💚
Tweet media one
4
6
183
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Marafiki inabidi kununua. Maadui unapata bure.
7
30
181
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Ilikua faraja sana kushinda siku nzima na birthday boy kaka yangu @tonytogolani . A lot of lessons, stories, vicheko na mipango. Hongera kaka kwa kufikisha umri ambao unaweza kukabidhiwa Msikiti. Thanks @MikieMushi for big ideas and Breakfast.
Tweet media one
8
7
177
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
They say, time is money, but really is not! If you ever go broke, time is all you got.
Tweet media one
9
10
179
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Twita ingelipuka kama hii tweet angeipost @nikkwapili .too much unafiki na shobo up in here!
@Wakazi
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
5 years
Uncle Bernard Membe amekemea na kulaani vitendo vya utekaji wiki iliyopita, guess what, msaidizi wake ametekwa. Naomba nichukue fursa hii kusema, "Watekaji mimi sina tatizo na nyie, endeleeni kuchapa kazi. Hapa Kazi Tu. Akileta mtu shobo, TEKA tu, kwanza inaruhusiwa KIKATIBA" 🌚
115
91
1K
29
6
168
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Playing mind games with eggs. They dont know who is next😅
Tweet media one
33
12
174
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
I am loving how Dr. Salim is getting his flowers while he can still smell them. Change that Bagamoyo Road to Dr. Salim A. Salim Road, asap. @asalim86
@CyrilRamaphosa
Cyril Ramaphosa 🇿🇦
2 years
Wishing Dr Salim Ahmed Salim, former OAU Secretary General and Prime Minister of Tanzania, a very happy 80th birthday. You have been an unwavering champion of African unity and independence and a true friend of the South African people. #DearDrSalim
Tweet media one
146
600
4K
9
28
177
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Love people in their love language not yours.
5
33
170
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Mimi ni Yanga, lakini best of luck kwa Simba SC. Make 🇹🇿 proud
8
8
167
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Middle class ndio hawana muda, lakini matajiri na masikini, mara zote muda wanao.
8
9
166
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
This is me in Algeria😅. The vibe was real. @salimosaid @Geoffrey87Lea
11
11
166
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 months
+1. Grateful to arrive at this age in Good Health, Free man, Meaningful Relationships with family and friends, A path to prosperity and many good possibilities.
Tweet media one
67
22
163
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
9 months
The City is so good, you have to name it twice: Newyork Newyork
Tweet media one
10
11
162
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Wananchiiiiiiiiiii.sisi ndio Yanga bwana!
Tweet media one
8
12
154
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Average age of a millionaire in the US is 63 yrs old and 61 yrs old globally. Dont feel the pressure to be rich, you are still young and got time. Keep moving.
9
24
153
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Kitu kichungu kuhusu maisha yetu, ni kwamba baadhi ya mambo yanayotupa huzuni na furaha maishani mwetu, ni yale mambo ambayo hatuwezi kuwaambia watu.
4
45
153
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
"Airports have seen sincere kisses than weddings.hospitals heard more sincere prayers than churches.Girlfriends have heard more sweet words than wives.....!
9
31
154
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Mike Mushi, akiwa na umri wa miaka 16, ikulu jijini Dar Es Salaam, mwaka 2005 akiwa na Rais Jakaya Kikwete. Mike, ndio alitengeneza website ya kampeni ya Urais ya Mhe. Kikwete mwaka 2005. Nadhani utanielewa nikikuambia naweza kuongea na Mike siku nzima!
@MikieMushi
Mike Mushi
4 years
Happy 70th Birthday @jmkikwete Mungu akujalie afya na furaha tele.
Tweet media one
Tweet media two
25
40
904
11
23
154
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 months
Ningependa kuwashukuru wote mlionipa pole, salamu za rambirambi, kujitolea hali na mali, na dua zenu kwenye msiba wa Baba yangu mzazi, Mohamedi Muhaji. Tumemaliza mazishi salama siku ya jana pale Kisutu. Kilichobakia ni kumuombea Dua mzee wetu imfae huko aliko.🙏🏿🙏🏿🙏🏿
49
14
156
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
2 years
Meet Gerard and John, together they are founders of Mates Technologies, A startup from Mbeya. They came all the way frm Mbeya to come attend a speed mentorship event, TSA organized last friday. This level of commitment 👏🏿👏🏿. They are building cool product, & got investor frm 🇺🇸
Tweet media one
10
25
152
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
To me, the best four mankind inventions of all time are; 1. Fire 2. Paper 3. Electricity 4. Internet Tell me yours.
59
10
148
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
6 months
Moja kati ya jambo linalonipa amani maishani: Ni kukubali uhalisia kua hakuna siku nitaamka hapa duniani bila ya kua na tatizo lolote. Ni kuongeza tu maarifa na uwezo wa kuyatatua au kuishi nayo. Matatizo hayaishi.
9
48
153
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Kaka @DocFaustine asante sana kwa utumishi wako. Muda mchache uliokaa nasi kwenye sekta ya TEHAMA, tumefaidika kwa mengi. Natumai utaendelea kushirikiana nasi🙏🏿
4
14
148
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Riziki kama jua. Lipo jua la kumtosha kila mtu endapo ataweza kutoka nje. Tusibaniane kufunguliana milango tukidhani kuna uwezekano wa mtu au watu kumaliza mwanga wa jua wakitoka nje. Na riziki ndio hivyo hivyo. Ipo ya kila mtu. Njoo nje tupigwe na jua!
10
30
146
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
1 year
Panga kila kitu chako na mipango yako, kama vile ukikwama mahali, hakuna atakayekusaidia. Kwasababu hakuna atakayekusaidia.
7
40
148
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
We are all raised to believe we are special. The moment you realize you are not special, and the world dont owe you anything. Life become more easier.
3
28
144
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Matajiri wa kizazi kilichopita, walitajirika kwa kua na fursa ya kupata taarifa katika ulimwengu ambao upatikanaji wa taarifa ulikua mgumu. Kizazi chetu kinapata taarifa nyingi kupitiliza. Matajiri wa kizazi chetu ni wale wenye uwezo wa kuchuja taarifa hizo!
Tweet media one
6
31
146
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
I just passed by RC's office to say hello, and he quickly assembled his team of business development staffs and what followed is 4 hours meeting around Startups, SME, Seed funding etc. Me and my work start to become inseparable.
6
19
142
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
8 months
It was a pleasure to meet President of Germany🇩🇪 H.E Frank-Walter Steinmeier.
Tweet media one
12
11
146
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
3 years
Yesterday, with my good friend, Ambassador Ami Mpungwe. A complete package of wealth. Wisdom, healthy, experience, humanity and money. We had a deal yesterday. He will write a book about his life. Cant wait!
Tweet media one
13
9
140
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
Watanzania na vijana wenzangu,tuelewe ni bora kua na 10% kwenye biashara yenye thamani ya billioni moja,kuliko kua na 100% kwenye biashara yenye thamani ya 80millioni.more collaborations than competitions,is what we need hey!
3
31
137
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
4 years
Usiue matumaini ya mtu. Muda mwingine ndio kitu pekee alichonacho.
5
27
137
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 years
#sikilizaTogolani Yaani ukimaliza kuongea na kaka @tonytogolani unatamani uende tu kulala straight, madini yasitoke kichwani.always a pleasure to spend time nae.
Tweet media one
7
11
138
@ZMuhaji
Zahoro Muhaji
5 months
Expect to see more and more Business leaders and Entrepreneurs coming to CBE to talk to our students and staff. And soon this content will be available to anyone. But also we are signing up industry experts and doers as lecturers. Watch this space…
Tweet media one
16
39
135