Doctor. Parliamentarian. Fmr Minister ICT. Fmr Deputy Minister of Health. Passionate about Sports, ICT & Global Health. WHO AFRO Regional Director-Elect
Nimepokea uamuzi wa Mhe Rais kwa unyenyekevu mkubwa. Ninamshukuru sana JPM kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake. Nawashukuru sana
@umwalimu
na watendaji wote kwa ushirikiano walionipatia.
Mafanikio ya sekta ni makubwa sana. Namtakia kila la kheri NW ajaye Dkt Mollel.
Namshukuru sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake.
Nawashukuru Wizara na Taasisi zake kwa ushirikiano walionipa.
Nashukuru wadau wa TEHAMA kwa ushirikiano mlionipa.
Hongera sana Mhe Dkt Ashatu Kijaji kwa kuteuliwa. Kazi Iendelee
Tunawashukuru nyote kwa kushirikiana nasi kwa hali na mali tangu msiba wa Baba yetu Gabriel Sengo Ndugulile utokee tarehe 18.07.2020 Kigamboni hadi kuzikwa kwake Nzega tarehe 24.07.2020.
Itoshe kusema ASANTENI SANA. Kama familia tumefarijika salama kwa upendo wenu.
Nahitaji posters na flyers kwa ajili ya kampeni za uchaguzi. Nawakaribisha graphic designers kunitumia sampuli zikiwa na picha, jina langu na kaulimbiu kwa njia ya DM.
Nitawasiliana TU kwa maongezi zaidi na wale ambao kazi zao zitakuwa za viwango na ubunifu wa juu. Karibuni.
SHUKRANI SANA "WAJUMBE"
Kwa unyenyekevu mkubwa napenda kuwashukuru sana WAJUMBE wa Halmashauri Kuu CCM (T), Kamati Kuu na Kamati za Siasa waliojadili na kupitisha jina langu kuwa Mgombea wa Ubunge Jimbo la…
Tanzania bado tuko nyuma sana katika biashara mtandao. Tunahitaji kukuza na kuilea e-commerce. Vijana wengi wamejiajiri kupitia mfumo huu. Kuanza kutoza kodi mapema kutadumaza mfumo huu na kuua ajira nyingi. Nguvu ielekezwe katika kuimarisha usalama na imani kwenye biashara hii.
Leo nimepata fursa ya kukabidhi rasmi ofisi kwa Naibu Waziri wa Afya. Nimpongeza Dkt Mollel kwa kuteuliwa na kumshukuru sana Mhe Waziri Ummy kwa ushirikiano alionipa.
Nimemshukuru Rais Dkt Magufuli kwa imani yake kwangu katika kipindi chote nilichohudumu kwenye nafasi hii.
Eid Mubarak kwako na familia yako. Tusherekee kwa amani na utulivu huku tukichukua tahadhari zote tunazoshauriwa na wataalamu wa afya kuhusu ugonjwa wa Covid-19. Nawatakia sikukuu njema.
#eidmubarak
#Eid2020
Suala la taa kuzima Uwanja wa Benjamin Mkapa ni aibu kubwa sana kwa nchi yetu. Maswali ya kujiuliza:
1. Je hatufanyi ukaguzi wa mifumo kabla ya mechi?
2. Je, hatuna mifumo ya dharura yanapotokea majanga?
3. Fedha za mgao wa uwanja zinaenda wapi?
Mengi yamesemwa kuhusu Hayati Benjamin Mkapa, nami niseme moja. mwaka 2004 nikiwa Ofisa ndani ya Wizara ya Afya tuliazimia kuanzisha mpango wa kutoa dawa za kurefusha maisha kwa watu wanaoishi na VVU nchini (ARVs).…
Kuna taharuki kubwa kuhusu uhaba wa vidonge vya Vitamin C kwa baadhi ya maeneo hapa nchini.
Sisi kama wataalamu wa afya, tunashauri zaidi watu watumie matunda kama machungwa, malimao, ndimu, mananasi na mapapai nk.
Vidonge ni mbadala pale hakuna matunda na mboga zenye Vit C.
Tupuuze taarifa za uzushi zinazosambazwa kuhusu afya yangu. Niko mzima kabisa na ninaendelea na majukumu yangu. Pole nyingi kwa walioguswa na taarifa za uzushi.
Disregard the FAKE NEWS circulating that I am unwell. I am Ok and busy with my usual routine.
Keep well and safe
It is my opinion that Typhoid and UTI are over-diagnosed in Tanzania. There is a need to conduct studies on prevailing causes of fevers in the country.
Antiobiotic use in treating wrongly diagnosed cases of Typhoid and UTI is escalating the antimicrobial resistance problem.
Elimu ya Corona: Dawa ya Chloroquine inapunguza ukali wa homa ya mapafu (pneumonia) na pia kufupisha muda wa kuugua homa hiyo kwa wagonjwa wa Corona. Hivyo dawa hii haiponyi bali inapunguza makali ya ugonjwa.
Tuendelee kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona.
#covid19Tanzania
Mama mwenye maambukizi ya Covid-19 anapaswa kuendelea kunyonyesha mtoto wake. Hakuna ushahidi kuwa maziwa yanaambukiza Corona. Zingatia:
1. Kuvaa barakoa kipindi chote cha unyonyeshaji.
2. Usafi wa mwili kabla ya kunyonyesha
3. Usafi wa matiti na mikono kabla ya kunyonyesha.
It is truly a honour to be elected as the next Regional Director of
@WHOAFRO
, and I am grateful to the Ministers of Health from Member States for their trust in my capabilities.
I extend my heartfelt appreciation to the President of Tanzania, H.E.
@SuluhuSamia
, for her
Kilio cha ubovu wa vivuko ni cha muda mrefu. Hatua za haraka zinahitajika kunusuru hali hii. Tusisubiri maafa halafu tuunde Tume.
Kama TEMESA imeshindwa, huduma hii ibinafsishwe.
Wana Kigamboni wanastahili huduma bora, salama na ya uhakika ya vivuko. Ni haki na sio hisani.
Maji tiririka na sabuni ni bora zaidi kuliko matumizi ya vitakasa (sanitizers). Usiwe na wasi wasi kuhusu kutopata au kutomudu sanitizers, tumia maji tiririka na sabuni.
#covid19Tanzania
#Covid19TZ
#CoronavirusTZ
Kama sehemu ya mkakati wa kudhibiti uhalifu wa mitandao, kuanzia sasa namba 100 pekee itatumika katika mawasiliano kati ya wateja na makampuni ya simu na sio namba za kawaida. Wananchi tuepuke kutoa ushirikiano kwa simu za huduma kwa wateja kupitia namba za kawaida
@TCRA_Tz
Will be having a conversation about Blockchain Technology in the coming days. I welcome ideas on the way forward from experts and users
Nitakuwa na mjadala kuhusu matumizi ya Blockchain Technology nchini. Nakaribisha mawazo ya wataalamu na watumiaji kuhusu teknolojia hii
DM me
Rais Ruto huko Marekani amealika;
1.Kampuni ya Apple kuwekeza Kenya
2.Tuzo za Grammy za Afrika ziwe zinafanyikia Kenya
3.Kampuni ya Starlink ijenge Centre kubwa ya Afrka nchini Kenya
4.Pia amealika Makampuni ya Google, Microsoft, Intel, Nike na Levi kwenda kuwekeza zaidi Kenya
Looking for a website designer. He/she should:
1. Have good graphic and language skills
2. Be based in Dar es Salaam
Potential designers should share links of their 3 previous works, expected renumeration and contact details via DM. Only the successful bidder will be contacted.
I am saddened by the death of Dr
@mwelentuli
earlier today. She was a sister, friend and confidant. Mwele was always on top of things. She played a critical role in my first Parliamentary campaign in 2010. I'll remember her for her kindness. May her soul rest in eternal peace.
Ni muhimu sana kuwa makini kwenye kodi za kidigitali. Mjadala uwe ni jinsi gani tunaweza kupata kodi toka kwa makampuni makubwa ya nje yanayofanya biashara mitandaoni pasipo kuleta athari kwa mteja wa mwisho ambao hutumia mitandao hii katika ubunifu, kujifunza na biashara.
Hongera sana
@MuhimbiliTaifa
kwa kubuni vazi la kuwalinda watumishi wa afya (PPE). Ubunifu kama huu ni muhimu sana katika kipindi hiki tunapambana na ugonjwa huu wa Covid-19.
Watumishi wa afya ni muhimu kulindwa kwa gharama zote ili kuwakinga na ugonjwa huu.
Nimepokea kwa masikitiko kifo cha
@makongoally
. Alikuwa ni kijana mwenye kipaji na ndoto kubwa katika sekta ya TEHAMA. Natoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu mkubwa. Mola aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen
@Afruturist
@VenturesSahara
@TanzaniaSA
Mtanzania Dkt Askwar Hilonga wa Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Arusha amepokea zawadi ya Shirika la Afya Duniani kwa ubunifu wa njia ya kusafisha maji kwa kutumia nanotechnology katika mkutano wa masuala ya Duniani unaoendelea Jijini Geneva. Anastahili pongezi.
Leo nimefika Ofisi za Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Wilaya ya Kigamboni na kuchukua fomu ya uteuzi wa Mgombea wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Ninamshukuru Mwenyekiti Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa…
I am glad Tanzanian scientists are now generating scientific evidences that can help to shape up the Covid-19 response in the country. I urged
@NIMRHQS
and other scientists to do more researches in all aspect of this disease.
*UFAFANUZI KUHUSU BARAKOA NA MATUMIZI YAKE*
Kuna clip inazunguka mitandaoni nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya…
Serikali imefanya mapitio na kupunguza tozo za daraja la Nyerere. Serikali pia imekuja na utaratibu wa tozo za safari moja, siku, wiki na mwezi.
Pamoja na pongezi, kilio cha Wana Kigamboni ni KUONDOLEWA kabisa kwa tozo za Daraja. Natumai Serikali itaendelea kulifanyia kazi.
Serikali imeamua kuanzia sasa wasafiri kutoka nje ya nchi watawekwa karantini ya siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam maarufu hosteli za Magufuli. Lengo ni kudhibiti mienendo ya wasafiri hawa chini…
Leo nimebahatika kukutana na Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa. Nimempongeza kwa kuchaguliwa kuwa Kardinali na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora.
Nimemtakia kila la kheri katika majukumu yake mapya ndani ya Kanisa Katoliki.
Mtu mwenye magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu, pumu, ugonjwa wa moyo na unene uliopitiliza huathirika zaidi na Covid-19 na huweza kupoteza maisha. Tupime afya zetu na kuzingatia ushauri wa kitaalamu juu ya magonjwa haya.
#COVID19Tanzania
#Covid19TZA
#Covid19TZ
Mei Mosi ya leo tuwaenzi na kuwapongeza watumishi wa afya ambao wako mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini Tanzania.
Tuwape moyo kwa uzalendo wao na kujitoa kwao kwenye…
The Parliament of Tanzania has today passed a Bill to allow HIV self testing and lowering the age of HIV testing without parental consent to 15 years. These amendments will significantly accelerate our intentions to meet the 90-90-90 goals.
Remember the 3 Cs:
1. Cover mouth and nose (Use mask)
2. Clean hands (Wash or sanitize)
3. Crowd avoidance (Keep social distance or avoid large gathering).
Learn more about the 3rd wave, Delta variant and be a part to flatten the curve.
Honoured to be nominated by the Govt of Tanzania for the position of Regional Director
@WHOAFRO
.
My extensive technical expertise, policy and legislative experience will contribute greatly to furthering WHO AFRO's mission and taking it to greater heights
Leo nimetembelea Mbutu Block E na kubahatika kukutana na mdau wa eneo hili Bw
@YerickoNyerereT
Tumeongea mengi kuhusu maendeleo ya Mtaa wao pamoja Kigamboni kwa ujumla.
Aidha, nimepongeza kwa kushinda tuzo ya uandishi wa vitabu huko Zambia hivi karibuni.
Kudos to Dar RC and the Police for taking swift measures against petty criminals "panya road". Permanent solution needs to be multi-sectoral and address the following issues
1. Youth unemployment
2. Rural-Urban migration
3. Upbringing and broken homes
4. Rapid population growth
I feel grateful to have received many messages from leaders, partners, and friends. It’s quite a challenge to reply to each one individually, so I hope this message conveys my sincere appreciation to all of you. I look forward to our continued communication and engagement in the
Nimeamua bila kushurutishwa na mtu yoyote kuunga mkono juhudi za Man City katika kusaka ubingwa wa EPL msimu huu. Hii ni baada ya kuchoshwa na utendaji usioridhisha wa Gunners 🤔🤔🤔
It was a pleasure to meet two music icons
@AyTanzania
and
@Realjmartins
yesterday. I am a big fan of their music. It was an honour to meet these legends.
Nimesikiliza hotuba za Mhe
@freemanmbowetz
na Mhe Rais
@SuluhuSamia
katika maadhimisho ya siku wa wanawake Duniani.
Tukio la Rais kushiriki Baraza la Bawacha na kauli za leo ni hatua muhimu katika kuleta maridhiano ya Taifa.
Wahenga walisema, "waongeao ndio wapatanao".
My remembrance of being up close and personal with Mwl Nyerere during my formative years. In this picture, I was the choirmaster and discipline master of Ujamaa House kids. Ujamaa House is the name of the building housing Tanzania Embassy in Harare.
HAPPY NYERERE DAY
Kwa dhati ya moyo wangu napenda kuwashukuru sana Wana Kigamboni kwa imani na ushirikiano mlionipatia kwenye safari ya miaka mitano.
Katika miaka mitano tumepata mafanikio makubwa sana.
1. Tumeweza kuanzisha Wilaya…
Nimepita kumtembelea
@HKigwangalla
Muhimbili. Amefanya vipimo na anaendelea vizuri na matibabu chini ya wataalamu wetu wa afya. Natoa pole nyingi kwake na wahanga wengine ajali hii. Aidha, salamu za rambi rambi ziende kwa familia ya Ndugu Temba aliyefariki kwenye ajali.
Studies in Tanzania have shown:
In children, 70% of fevers are viral origin. Malaria cases were 10.5%, UTI 5.9% and Typhoid 3.7%.
In adults, 61% were of viral origin. Malaria, UTI and Typhoid were 4.7%, 4.0% and 4.4% respectively.
More proof to over-duagnosis of Typhoid and UTI.
I would like to thank Her Excellency Dr
@SuluhuSamia
for reaffirming her endorsement for my candidacy for the esteemed post of
#WHO
Regional Director for Africa, and for her encouragement and continued support in this campaign.
-----
Je voudrais remercier Son Excellence Dr
I had the pleasure to meet with Dr Faustine Engelbert Ndugulile
@DocFaustine
(an MP and Former Minister), Tanzania’s Candidate for the post of World Health Organization (WHO) Regional Director for Africa
@WHOAFRO
.
Benjamin Mkapa hospital today conducted another successful renal transplant Op which was done by Tanzanians with assistance from a Japanese team. This a fifth Op for this hospital. Two more are scheduled tomorrow.
@wizara_afyatz
@umwalimu
#Tunasonga
#Tunaboreshaafya
Jimboni: Uongozi ni Utumishi wa watu. Kuonana na kuongea na watu ni sehemu ya kuelewa masuala yanayohusu jamii husika na husaidia katika utatuzi wa changamoto zao.
#Kigamboni
#Kigambonimpya
#Jimboni
#Ndugulile
Kuna fursa kwa wabunifu kutengeneza mifumo ya elimu kwa masafa bila ya kuwa na mikusanyo ya wanafunzi katika kipindi hiki cha Covid-19. Tuitumie.
There is an opportunity to innovators to create e-learning platforms to students currently at home due to Covid-19 outbreak. Innovate
Siku ya tarehe 17 Septemba
@wizaraMTH
imeandaa mkutano wa wawekezaji wa ndani katika sekta ya TEHAMA kwa kushirikiana na
@NationalTnbc
,
@ict_commission
na
@tpsftz
. Nitakuwa Mgeni Rasmi.
Lengo ni kuwajulisha wadau mwelekeo wa Serikali na fursa zilizopo katika TEHAMA. Karibuni.
Natafuta kampuni inayotoa huduma ya Bulk SMS Dar es Salaam. Wasiliana nami kupitia DM ukiainisha anuani yako na gharama zako.
Looking for a bulk sms provider based in Dar es Salaam. Kindly share with me your contact details, terms and conditions of the services through DM.
Leo nimewaasa madereva wa Bajaj na Bodaboda Wilaya ya Kigamboni kukata bima ya afya kupitia kifurushi cha Bodaboda Afya kwa lengo kupata matibabu kwa haraka na kwa ukamilifu endapo wataugua au kupata ajali. Huduma hii upatikana kupitia vikundi vya bodaboda.
@nhiftz
Nawashukuru sana
@JamiiForums
kwa taarifa hii. Tumeipokea. Naahidi suala hili kufanyiwa kazi kwa haraka.
Lengo letu ni wananchi kupata huduma nzuri na kwenye mazingira safi na salama.
Mdau wa anasema Vyoo vya Hospitali ya
#Vijibweni
iliyopo
#Kigamboni
, Dar es Salaam ni vichafu kwa ndani, vinatoa harufu kali na miundombinu yake ni chakavu, anadai kwa Miezi Mitatu aliyofika eneo hilo hakuna taa na chache zilizopo haziwaki
Anadai
Tanzania has made some progress in the fight against Malaria. Incidence is down by 62%; Prevalence down by 50% in two years and deaths are down by 75%. We need to intensify efforts towards elimination. No time for complacency
#EndMalaria
#FightingMalaria
Tanzania has lifted a long standing discriminatory ban that was preventing girls who have fallen prrgnant from re-integrating back into the formal education system. Congrats to President
@SuluhuSamia
for a achieving this huge feat.
@IPNEducation
@UNICEFTanzania
@UNFPATanzania
Growing up in Kigamboni in the 80s, I used to admire Willy Isangura. He was tall, big and yet he was a gentle giant.
He represented Tanzania as a heavyweight boxer in 1980 and 1984 Olympics.
This Kigambonian has passed on. My condolences to the family and friends. MHSRIEP
Kesho Jumanne tarehe 8 September tukutane viwanja vya Ofisi ya Zamani ya Mkuu wa Wilaya, Kata ya Mjimwema.
Kutakuwa na mkutano wa hadhara wa kampeni, Mgeni Rasmi ni Mgombea Mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu…
The
#WHOAFRO
is in need of a leader who can continue with the transformation agenda and give the final push towards attaining SGDs goals.
We need a "transformational leaders" and not a "transactional leaders".
I am fit for purpose for this position, given my background as a
Nimestushwa na kifo cha Dr Paulo Marealle. Nikiwa Intern alinipokea na kunifundisha kazi MOI. Alikuwa mcheshi na moyo ya kutoa elimu kwa wengine. Nikiwa Wizara ya Afya tulishirikiana kwa karibu kusukuma ajenda ya mfumo mbadala wa elimu ya ubingwa (fellowship). Kapumzike kwa amani
Mbunge Kivuli Mhe
@YerickoNyerere
! Ni kweli tunajenga Daraja na tunarajia kuikarabati barabara ya Dege-Mbutu iliyoharibiwa kwa mvua na magari mazito. Nikuhakikishie Mhe Mbunge Kivuli kuwa umeme utakufikia ndani ya muda mfupi. Umenituma kazi, natekeleza
Nimeona mtangulizi wangu
@DocFaustine
anajenga Daraja, Ninachowaahidi wananchi nikishaapishwa mwezi November baada ya uchaguzi nitaanza na ujenzi wa kiwango cha rami barabara hiyo pia umeme utafikishwa haraka sana Mbarajange na Bandarini. Nipeni ushirikiano
Motor Traffic Accidents are on the rise in Tanzania. MTAs have become a public health and safety issue. This calls for urgent review of the legal and regulatory measures; quality and standards of our roads and focus on drivers' skills and behaviours.
Ni mafanikio makubwa katika matibabu ya urolithiasis (Mawe kwenye mfumo wa mkojo). Matumizi ya mawimbi mshtuko (extracorporeal shock wave lithotripsy) yatasaidia sana kupunguza muda wa mgonjwa kukaa hospitali & kuokoa gharama za matibabu haya nje ya nchi. Hongereni sana Team Afya
Nimefuatilia. Ni kweli Hospitali ya Wilaya ya Kigamboni ilipokea mtoto aliyeumwa na nyoka. Alipewa matibabu ya awali na keshapelekwa Temeke kwa matibabu zaidi.
Taarifa kama hizi zinasaidia kuboresha huduma zetu. Tunamshukuru mtoa taarifa.
@IAMartin_
@ummymwalimu
@derick_2015
Leo nimeliomba Bunge kupitisha azimio la kubinafsisha huduma za vivuko nchini, kufuatia malalamiko ya mara kwa mara kuhusu ubovu wa vivuko Kigamboni. Aidha, nimeishauri Serikali kufanya mapitio ya zabuni ya ukarabati wa MV Magogoni ambayo inapelekwa nje ya nchi kwa ukarabati.
Mwisho wa safari moja ni mwanzo wa safari nyingine. Mengi na makubwa tumeyaona. Tunatarajia makubwa zaidi katika utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025.
Kila la kheri
@MagufuliJP
na Mgombea mwenza
@SuluhuSamia
katika safari mpya inayoanza leo.
#Mitanotena
#JPMmitanotena
#CCM5tena
Kwa lengo la kupunguza upotoshaji kwenye jamii, Wizara ya Afya imeainisha wataalamu tajwa kwenye kiambatanisho ambao watatoa elimu ya afya kwa umma. Vyombo vya habari viepuke kutumia wataalam ambao hawathibitishwa na Wizara au Mabaraza ya Taaluma.
#Covid19TZ
#covid19Tanzania