Kama Boxer mkubwa nchini kama Mwakinyo anashindwa kununua viatu kwa pesa zake mpk asubiri aletewe 'vya bure' ambavyo vimesababisha apoteze pambano. Basi boxing hailipi kama tunavyodhani.
'Nimemiss upendo wa Ngwea, Niliibiwa kila kitu Sinza Kumekucha. Nilimpigia Ngwea wa kwanza alininunulia Godoro na Feni hapo hapo.! Akanambia Sisi ni Baba zako akanambia Nisimwambie Mtu yoyote kama kaninunulia' - Mr Blue LIVE on XXL.
Ukimtoa >>> Nacha, Conboi, Rapcha, Fredrick Mulla, Maarifa, Young Lunya, Boshoo, Bando MC na Manengo. Hivi kuna mkali zaidi ya hawa kwa sasa kwenye hip hop?
#KizazikipyaChaHiphop
#MikonoSalamaYaHiphop
Dereva wa Uber kaamua kunibeba FREE baada ya kugundua Mimi ni Mtumishi wa Clouds, Kasema walimiss sana kusikiliza na kutazama TV na Radio ya Watu..! Big up Raia wote mliokosa uhondo huu kwa siku saba ✊🏿
'Toka nimekua ITALY sijawahi kusikia ngoma yoyote ya Bongo, Zaidi huwa tunapiga kwenye Birthday zetu sisi, nampa DJ wa Kizungu hata hajui kimeimbwa nini ndio wanapiga hapo' - Hussein Machozi LIVE on XXL.
Toka timu zianze kuwa na Jezi zao sijawahi ona Jezi kali kama hizi za YANGA msimu huu, hizi jezi hata kama unadaiwa ukikutana na mdeni wako umetinga anasahau kabisa kama anakudai.🙌🏿
Hivi mkubwa si aliimbwa 🎶 Yule fundi Garage Chawa kamganda Bibie, Wamefungua Mgahawa yaani Wote MAMA NTILIE' kwanini hakutembeza vitasa kwa hao wasanii kama ni mtu wa ghadhabu sana na hapendi utani.
#TZAUpdates
Familia ya
@ProfessorJayTz
imesema suala la Afya ya Prof.Jay liko kwenye ngazi ya Familia na haiko tayari kuzungumza kwa sasa, Familia imeomba kuwe na subira na pindi itakapokua tayari itawafahamisha Watanzania.Kwa sasa unahitajika utulivu wakati matibabu yakiendelea.
Kwa kilichotokea Jumamosi ya Jana mwenye Mechi ya Simba na Yanga, unadhani nani anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa na kwanini? Tuweke Unazi pembeni mwenye comment kali tutabonga nae LIVE on XXL kesho.
Unaambiwa
'Mwanamke anaweza kuwachuna wanaume 6 na akafanya na mwanaume mmoja.
Mwanaume anaweza kufanya na wanawake 6 na akampa hela mwanamke mmoja'.
Hii inaitwa “Cross Multiplication”
Kitambo sana,Tangu form 1 ndio naielewa leo😆😆😆😆😆
'Baba styles ni Jina nililopewa na Ngwair siku hio tulikua na Marehemu Complex, Niliona ni Jina zuri nikaona nilitumie, Nikaona nilitumie kuhakikisha nakuwa Baba wa Styles, Nimejitahidi kulitendea haki mpaka sasa' -
@BabaStylz
LIVE on XXL
'Nawapongeza Wasanii wetu mbalimbali hususan wa Bongo Fleva, Filamu na Wanamichezo. Kazi yenu haikua kuburudisha tu bali ni kututangaza Kimataifa' - Rais
@MagufuliJP
Dakika ya 1:18 verse ya Lord Eyes inasema 'Na huyu nae MBISHI mbona kama NIKK / Maujanja tuna-supply wengine yeye HAFIKI' >>then verse ya
@JohMakini
Dk 3:46 anasema 'Tunawavyo waondoa kwenye Ramani Dispatcher, Wa-TAMADUNI ndio sisi tunaoutunza hii calture.
@nikkwapili
majibu plz.
#TZAUpdates
Taarifa kutoka kwa Familia ya Profesa J inasema hali ya
@ProfessorJayTz
inaendelea kuimarika siku hadi siku.
Sala na maombi ya Watanzania vimeendelea kusaidia Afya ya Jay pamoja na huduma nzuri toka kwa Wauguzi wa Hospital ya TAIFA Muhimbili.
@Roma_Mkatoliki
@cloudsfm
😃😃😃 Nafata maelekezo ya shemeji Ma Ivan, kaomba chonde chonde huyu baba asisike mpk atakaporudi nchini. Tena alitaka hata ile TONGWE RECORDSSSSSS isisikike pia nikamwambia yule ni Joslin sio wewe. Ndo akaelewa 😃
Oi
@chapo255
Kakaako bora alivyokimbilia mtoni, Huko mbele angekuja kuiaibisha sana hip hop. Tecno na EarPods?? Mkubwa
@Izzo_bizness
ndo HIP HOP inasema mfanye hivi?
Sijawahi ona jezi kali Duniani kama hizi za Yanga za msimu huu, Yaani wamegundua watu wengi hawaijui vizuri ramani ya Afrika ilivyo wameamua kuja na Mwarobaini wa tatizo. Hii wanamsaidia Baba wa Taifa kufuta adui mmoja aitwae UJINGA.
Ziko post kadhaa za aliyekua Director Nisher zinafikirisha kidogo. Hizi ni za Miezi 6 kutoka sasa kurudi nyuma. Ni kama Nafsi ilikua inaongea na Nafsi. RIP NISHER. 🕯️
"Kwasasa hivi nikipewa nafasi ya kumchagua msanii mwingine aongezwe kwenye Wajumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa nafikiri nitamchagua
@NikkwaPili
" -:
@MwanaFA
#RoundTable
'Nikushukuru sana
@BDozen
kwa kunisaidia wakati nataka kuacha muziki, Ulinifata ukaniambie niachie Pesa then niache muziki, Tulikutana kwenye Futari ya Rais Mstaafu
@jmkikwete
IKULU, Ule wimbo sikuusambaza kokote' - Mr Blue.
'Nilipanga kukimbilia Ulaya baada ya kumjengea Mama Nyumba, Nilipomaliza kujenga nikamkabidhi funguo ya Nyumba bahati mbaya kabla hajahamia alipata ajali ya Pikipiki akafariki, hakuhamia tena kwenye hio nyumba. Nilikaa Miaka 5 bila kwenda kwenye hio Nyumba' - Mr Blue LIVE on XXL
Dj Zero anadai mpaka sasa kashagusa ngoma zote unazozijua wewe Duniani, Tumebishana sana. Hebu mkumbushe Kibao ambacho hajawahi kukigusa amalizane nacho kwenye Kipindi Bora cha Burudani na Vijana TZ XXL.
Hivi Shirika lenu la Umma
@tanescoyetu
mmeshindwa kabisa UMEME watu tukilipia kwenye simu uingie direct? Hizi zama za Mita naona kama zimeshapitwa na Wakati.
@DAWASCOTz
waelekezeni mlivyoweza kumaliza huu mzozo.
Tunasikitika kutangaza kifo cha Mmoja wa Waasisi na Mkurugenzi wetu wa Vipindi na Uzalishaji hapa Clouds Media Group, Ndugu Ruge Mutahaba.
Ruge ametutoka leo huko Afrika ya Kusini alikokuwa ameenda kwaajili ya matibabu.
🎶 Awe mwenye LIPS pana ndio maana ndo moja ya vitu vinavyonichanganya Na akicheka ana MWANYA | Sitokuwa na cha kumfanya zaidi ya kumpenda sana, Yii
@ngwair
🎶 -
#Wife
KIFUPI kwa sasa Mheshimiwa
#Gwiji
@MwanaFA
ni ngumu kumkuta akisikiliza ngoma ngumu kama za kina
@FidQ
,Playlist yake kwa sasa ni dizaini hio unayoisikia kwenye Background hapo. 😃😃
Nadhani kwa sasa Kuna mambo mawili tu.
1. Uumie ndani kwa ndani na ukaushe bila kuwafahamisha watu AMA
2. Uunge juhudi mkono uhamie WANANCHI ili uishi bila makasiriko na kutafuta sababu ambazo hazipo.