Makinikia Profile Banner
Makinikia Profile
Makinikia

@AskofuTZA

Followers
13,798
Following
701
Media
1,832
Statuses
15,650

Pancras Mayala Producer/Presenter @CloudsMediaLive

Dar es salaam
Joined January 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Huyu Kizz Daniel hizi nguo ndio ambazo zilisababisha asiperfoam wiki ilopita?
Tweet media one
86
28
2K
@AskofuTZA
Makinikia
10 months
Vijana siku hizi hawaiogopi kabisa Serikali. 😃
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
202
91
2K
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Hivi kwanini Wasichana wengi wajuaji hawaolewi??
175
47
1K
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Imagine sehemu za Siri zingekua na last seen.....!
53
20
798
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Kama Boxer mkubwa nchini kama Mwakinyo anashindwa kununua viatu kwa pesa zake mpk asubiri aletewe 'vya bure' ambavyo vimesababisha apoteze pambano. Basi boxing hailipi kama tunavyodhani.
32
21
731
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Sawa tulikubaliana tuujaze Uwanja lakini sio mpaka hii MTU KUKOSA PA KUKANYAGA jamani, hamuoni wenzetu wale watajisikia vibaya? Sijapenda kabisa 😁
69
80
649
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Makarani wenzetu wa KIUME tuwaweke kwenye MAOMBI MAALUM.
Tweet media one
28
20
630
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
WADAU DAGAA KWA KIZUNGU ANAITWAJE???
224
17
591
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Hivi ikitokea umeokota MILIONI MIA utazifanyia nini??
217
11
499
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Eti Wakubwa, Dokta Mwaka hafai kwenye kundi la MA-ROLIMODO??
42
6
476
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
'Nimemiss upendo wa Ngwea, Niliibiwa kila kitu Sinza Kumekucha. Nilimpigia Ngwea wa kwanza alininunulia Godoro na Feni hapo hapo.! Akanambia Sisi ni Baba zako akanambia Nisimwambie Mtu yoyote kama kaninunulia' - Mr Blue LIVE on XXL.
10
23
466
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Ni Mtangazaji gani unamkubali Kibongobongo (Hata kama yuko nje ya Dar) na kitu gani kinakufanya umkubali na kumsikiliza.
106
8
451
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Ukimtoa >>> Nacha, Conboi, Rapcha, Fredrick Mulla, Maarifa, Young Lunya, Boshoo, Bando MC na Manengo. Hivi kuna mkali zaidi ya hawa kwa sasa kwenye hip hop? #KizazikipyaChaHiphop #MikonoSalamaYaHiphop
113
16
431
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Hivi ukitoa ile 'Toka Nje Nimefika' kuna ingine ambayo ni noma zaidi yake??
62
9
409
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Dereva wa Uber kaamua kunibeba FREE baada ya kugundua Mimi ni Mtumishi wa Clouds, Kasema walimiss sana kusikiliza na kutazama TV na Radio ya Watu..! Big up Raia wote mliokosa uhondo huu kwa siku saba ✊🏿
14
7
401
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Inamaana Mheshimiwa Rais atakua ameuona ule mtama?
27
9
373
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Jiandae kwa nusu bei....
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
7
360
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Hivi mtoto wa Kiume unawezaje kutumia Snapchat??
59
16
357
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Hivi Ulaya kuna mitumba Wazee?
43
4
347
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
'Toka nimekua ITALY sijawahi kusikia ngoma yoyote ya Bongo, Zaidi huwa tunapiga kwenye Birthday zetu sisi, nampa DJ wa Kizungu hata hajui kimeimbwa nini ndio wanapiga hapo' - Hussein Machozi LIVE on XXL.
Tweet media one
34
3
355
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Oi wana kuna mwenye kujua #KokTen ??
66
53
340
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Msemaji wa YANGA anawezaje aisee? Mbona ye hatusikii akiingia kwenye Migogoro na Wanahabari ovyo ovyo?
29
13
328
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
🙏🏿
Tweet media one
10
31
290
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Nafasi chache
Tweet media one
19
10
266
@AskofuTZA
Makinikia
9 months
Mzee wetu Janabi, Kamfanya mpk Samsasali katoa kiwiko kwanza kwenye Kochi.
27
31
276
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Toka timu zianze kuwa na Jezi zao sijawahi ona Jezi kali kama hizi za YANGA msimu huu, hizi jezi hata kama unadaiwa ukikutana na mdeni wako umetinga anasahau kabisa kama anakudai.🙌🏿
Tweet media one
27
25
253
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Ile UHURU kuna JAMBO ndo hili la Bwana Mchomvu??
12
3
255
@AskofuTZA
Makinikia
4 months
Omba wasanii wenzako wakusaidie kupost hio teaser yako uliyochana mkuu @Roma_Mkatoliki ... ili iende vairo.
17
12
255
@AskofuTZA
Makinikia
6 months
....................Adam Mchomvu ni miongoni mwa rappers bora sana Nchini, sijui kwanini Raia hawajampa sikio upande huo.
50
22
261
@AskofuTZA
Makinikia
5 months
Masela baada ya kusikia Mashairi yanasema 🎶 Dokta anakunywa VALUUU 🎶 .....!! Wakasema huyu ni msanii gani? Mbona hana kipaji.
Tweet media one
9
8
238
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Hivi mkubwa si aliimbwa 🎶 Yule fundi Garage Chawa kamganda Bibie, Wamefungua Mgahawa yaani Wote MAMA NTILIE' kwanini hakutembeza vitasa kwa hao wasanii kama ni mtu wa ghadhabu sana na hapendi utani.
12
6
233
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Mwanza kwa SIFA, sijapata kuona.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
12
226
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Wakubwa, Kuna huyu Mzee wetu wa Njombe mwenye Wanawake (Wake) halali 16 tumuweke kwenye kundi la Rolimodo au??
9
3
226
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Ujugu bana 😃😃
Tweet media one
23
9
224
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Jiwe likidondokea Yai hasara kwa Yai na Yai likidondokea kwa Jiwe bado hasara kwa Yai. Hakikisha unalitunza YAI lako lisidondokewe wala lisidondokee.
5
29
220
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
#TZAUpdates Familia ya @ProfessorJayTz imesema suala la Afya ya Prof.Jay liko kwenye ngazi ya Familia na haiko tayari kuzungumza kwa sasa, Familia imeomba kuwe na subira na pindi itakapokua tayari itawafahamisha Watanzania.Kwa sasa unahitajika utulivu wakati matibabu yakiendelea.
Tweet media one
5
15
219
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Kitu gani muhimu kuanza nacho Gheto unapoanza maisha?
64
3
207
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Kuna mkubwa alisema atiachia Mvua mwezi mzima, VIPI ilimponyoka jana?
13
3
203
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Hivi kwanini Mheshimiwa kachagua IST ndo iwe ya mfano kwenye mambo ya kuhongwa? Kuna watu wamehongwa PRADO jamani.
23
2
197
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Biashara UTD kumbukeni mmebeba Furaha ya Watanzania leo, Msitupe Unyonge tafadharini...! Ninyi tunawajua ni watu wa Kazi.
21
8
200
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Oi mwanangu @Roma_Mkatoliki una uhakika mdigo aliezungumziwa kwenye hii ngoma ya Nay na Stamina sio wewe?
8
8
193
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Kwa kilichotokea Jumamosi ya Jana mwenye Mechi ya Simba na Yanga, unadhani nani anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa na kwanini? Tuweke Unazi pembeni mwenye comment kali tutabonga nae LIVE on XXL kesho.
22
7
188
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Ooi @Roma_Mkatoliki nenda kaedit ngoma sasa mwanangu maana ule mstari unaomhusu Mwenyekiti usha-eksipaya. Ingawa ulikua mkali sana. Ungetoa mapema tungesema Mama kasikia Kibao lkn ndo hivyo tena. Au alipasiwa Demo 😁
4
8
194
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Si ndo ikafika tym ya #Gwiji @MwanaFA kumtambulisha Kiboko yake... Mama la Mama...
2
6
191
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Nadhani kwenye haya mambo tukubaliane kuwa CLOUDS ndo Mdingi Wao, Au?
23
5
183
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Hebu mwenye kuelewa zaidi atufahamishe... Tusije onekana tunawakosea Adabu ndugu zetu.
Tweet media one
Tweet media two
37
11
187
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Mkubwa @Roma_Mkatoliki hivi Baraza wakisikia hili DUDE lenu si wataifungia mpaka Studio?
8
3
183
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Sijui nsitumie tena jina la ASKOFU, nijiite tu Mayala TZA 🤔.
23
7
172
@AskofuTZA
Makinikia
6 years
Unaambiwa 'Mwanamke anaweza kuwachuna wanaume 6 na akafanya na mwanaume mmoja. Mwanaume anaweza kufanya na wanawake 6 na akampa hela mwanamke mmoja'. Hii inaitwa “Cross Multiplication” Kitambo sana,Tangu form 1 ndio naielewa leo😆😆😆😆😆
10
25
170
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Mpwa @rollymsouth nikuweke humu?
41
11
175
@AskofuTZA
Makinikia
1 year
Anytime K I N G.
@OfficialAliKiba
Alikiba
1 year
Thank You @CloudsMediaLive kwa kuwa pamoja nasi 🙏🏽 Upendo Mkubwa sana❤️ team XXL @BDozen @Adamchomvu1 @meena_ally @soudybrown @AskofuTZA @msanuaji Bila kumsahau kaka yangu kipenzi Mwenye kooo kubwa duniani 😃 @MwijakuBurton Umetisha baba. #HeirToTheThrone available on all DSPs
13
87
1K
0
4
172
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
'Baba styles ni Jina nililopewa na Ngwair siku hio tulikua na Marehemu Complex, Niliona ni Jina zuri nikaona nilitumie, Nikaona nilitumie kuhakikisha nakuwa Baba wa Styles, Nimejitahidi kulitendea haki mpaka sasa' - @BabaStylz LIVE on XXL
8
12
171
@AskofuTZA
Makinikia
6 years
Miongoni mwa andiko bora kuwahi kutokea kwa kaka etu @nikkwapili .. Umeongea ukweli mtupu mkubwa 👏🏿
Tweet media one
13
14
164
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Safi COSOTA na BASATA mmechangamsha Game... 🔥 Vijana wote sasa hivi wanajadili mirabaha na tuzo.
4
3
162
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
#RoundTable ya #BongoFleva ya @CloudsMediaLive imesheheni hapa #Cosota #WizaraYaSanaa lakini pia tukoa na @nikkwapili @Wakazi na Dj Nelly. Unaisikiliza na kuitazama kutoka wapi??
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
6
164
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Mkubwa @MwanaFA Juzi kati hapa nilipita Ofisini kwako hapo Dodoma, Nikaambiwa ulitoka.!!!
Tweet media one
3
2
165
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
'Nawapongeza Wasanii wetu mbalimbali hususan wa Bongo Fleva, Filamu na Wanamichezo. Kazi yenu haikua kuburudisha tu bali ni kututangaza Kimataifa' - Rais @MagufuliJP
1
12
160
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
🎶 OYAA Djigui Diarra Mdaka Mishale NDO HUYO HUYO 🎶
7
5
158
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Dakika ya 1:18 verse ya Lord Eyes inasema 'Na huyu nae MBISHI mbona kama NIKK / Maujanja tuna-supply wengine yeye HAFIKI' >>then verse ya @JohMakini Dk 3:46 anasema 'Tunawavyo waondoa kwenye Ramani Dispatcher, Wa-TAMADUNI ndio sisi tunaoutunza hii calture. @nikkwapili majibu plz.
Tweet media one
12
9
159
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
#TZAUpdates Taarifa kutoka kwa Familia ya Profesa J inasema hali ya @ProfessorJayTz inaendelea kuimarika siku hadi siku. Sala na maombi ya Watanzania vimeendelea kusaidia Afya ya Jay pamoja na huduma nzuri toka kwa Wauguzi wa Hospital ya TAIFA Muhimbili.
1
5
153
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
#FactsZa2020 Unajua kama wimbo wa #KakaTuchat wa @Roma_Mkatoliki na Stamina una version ambayo Rais @MagufuliJP amesikika? Sijajua mpaka leo kwanini Jamaa waliamua kuiacha ile version na kutoa hii tunayosikia sasa hivi. @chapo255 nadhani huna hii Mkubwa.
Tweet media one
5
4
159
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Mafuriko ya Wananchi kipande cha Jangwani...! Timu ya Wananchi mwekezaji Mwananchi..
Tweet media one
Tweet media two
6
5
150
@AskofuTZA
Makinikia
5 months
Captain @CaptainTanzania tunashukuru sana kwa maisha yako ya tasnia ya Habari Nchini, Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi 🙏🏿
5
17
157
@AskofuTZA
Makinikia
5 months
@Roma_Mkatoliki @cloudsfm 😃😃😃 Nafata maelekezo ya shemeji Ma Ivan, kaomba chonde chonde huyu baba asisike mpk atakaporudi nchini. Tena alitaka hata ile TONGWE RECORDSSSSSS isisikike pia nikamwambia yule ni Joslin sio wewe. Ndo akaelewa 😃
2
2
154
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
#TZAUpdates Miaka 20 imetimia leo toka Wimbo wa kwanza wa @MwanaFA #IngekuwaVipi ft. @jaymoefamous utoke Redioni kwenye Kipindi cha #BongoFleva Cha CloudsFM.Wimbo huo ulitoka 02.02.2002 wakati Dj na host wa Kipindi akiwa ni #DjSteveB 'DjSkills'.Upi kwako ni wimbo bora toka kwa FA?
Tweet media one
30
15
152
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Bahati mbaya wewe ni Mkatoliki, Sio BM3. So relax. Afu mbona Manyonyo inawauma sana kwani na nyie mlikua mnacheza?
@Roma_Mkatoliki
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
2 years
Mimi Ningekuwa BM3 Ile Penalty Naitoa Nje Kusudi Au Nampasia Tu Kipa Adake, Then Namfata Refa Namwambia Acha Boli Itembee!!
73
20
644
4
4
152
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Oi @chapo255 Kakaako bora alivyokimbilia mtoni, Huko mbele angekuja kuiaibisha sana hip hop. Tecno na EarPods?? Mkubwa @Izzo_bizness ndo HIP HOP inasema mfanye hivi?
Tweet media one
20
0
148
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Sijawahi ona jezi kali Duniani kama hizi za Yanga za msimu huu, Yaani wamegundua watu wengi hawaijui vizuri ramani ya Afrika ilivyo wameamua kuja na Mwarobaini wa tatizo. Hii wanamsaidia Baba wa Taifa kufuta adui mmoja aitwae UJINGA.
12
14
149
@AskofuTZA
Makinikia
6 years
@MagufuliJP Wakifungwa wakabangue Korosho Mheshimiwa Rais..
6
3
148
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Huki 7/7 ukituliza kichwa, Unaweza pata mwenza wako wa Maisha.
18
7
139
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Mkubwa @MwanaFA Malegend wenzako wana swali lao huku....!!!
17
10
148
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Siku nyingine ya Kumshukuru MUNGU Kwetu sisi Wanadamu, Tunakumbushwa hata kwenye amri za Mungu 'Shika Kitakatifu siku ya MUNGU' .
2
8
141
@AskofuTZA
Makinikia
10 months
Ziko post kadhaa za aliyekua Director Nisher zinafikirisha kidogo. Hizi ni za Miezi 6 kutoka sasa kurudi nyuma. Ni kama Nafsi ilikua inaongea na Nafsi. RIP NISHER. 🕯️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
15
146
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
"Kwasasa hivi nikipewa nafasi ya kumchagua msanii mwingine aongezwe kwenye Wajumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa nafikiri nitamchagua @NikkwaPili " -: @MwanaFA #RoundTable
Tweet media one
7
10
139
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Kuna kibaridi fulani hivi asubuhi siku hizi, Usipokua na msimamo HUOGI aiseee.
12
1
142
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
'Nikushukuru sana @BDozen kwa kunisaidia wakati nataka kuacha muziki, Ulinifata ukaniambie niachie Pesa then niache muziki, Tulikutana kwenye Futari ya Rais Mstaafu @jmkikwete IKULU, Ule wimbo sikuusambaza kokote' - Mr Blue.
0
7
140
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
@Roma_Mkatoliki Au katikati ya tatu na moja tukaweka nukta tu napo watabisha?
2
1
136
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
'Nilipanga kukimbilia Ulaya baada ya kumjengea Mama Nyumba, Nilipomaliza kujenga nikamkabidhi funguo ya Nyumba bahati mbaya kabla hajahamia alipata ajali ya Pikipiki akafariki, hakuhamia tena kwenye hio nyumba. Nilikaa Miaka 5 bila kwenda kwenye hio Nyumba' - Mr Blue LIVE on XXL
1
9
135
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Hivi mna taarifa kama #TeamKitaNgoma iko hewani?? Anyway kama hukua nayo tazama @CloudsMediaLive kupitia Clouds TV sasa hivi uone Venye si hufanya..!
Tweet media one
2
4
134
@AskofuTZA
Makinikia
6 years
Mkurugenzi @JosephKusaga katusisitiza sana juu ya kuacha nyodo kama vijana na maisha ya duniani yasitupe kiburi.
4
25
133
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Dj Zero anadai mpaka sasa kashagusa ngoma zote unazozijua wewe Duniani, Tumebishana sana. Hebu mkumbushe Kibao ambacho hajawahi kukigusa amalizane nacho kwenye Kipindi Bora cha Burudani na Vijana TZ XXL.
Tweet media one
33
4
133
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Bank madirisha mengi ila yanayotoa huduma ni machache, Hivi ndo sheria zenu zinasema ivo? @rollymsouth
8
5
131
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
'Kuhusu Tuzo ningefurahi sana kama ningepata nyumbani, sio ya Kimataifa. Sijawahi kupata tuzo yoyote toka nianze Muziki' - Mr Blue LIVE on XXL.
4
5
129
@AskofuTZA
Makinikia
6 years
Hivi hizi mechi wanazoenda kucheza Taifa Stars hatuwezi wapa NEC wawe ndo wanatutangazia matokeo??🌚🌚
8
12
126
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Mwenyewe Mbunge wa Muheza @MwanaFA ana line yake isemayo >> 'Hakuna jipya Chini ya Jua' 😊
Tweet media one
24
12
123
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Mbinu kwa wale ambao hawataki kuzama Gheto.
13
11
130
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
Mtu aliyeanzisha neno SINA BUDI, hii BUDI maana ake nini? Mbona hakuna msemo wa NINA BUDI. Kwanini BUDI inatumika kwenye SINA TU?
13
5
126
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
🎶 Miguu Wazi nimekubali | Kifua wazi nimekubali | Sasa unataka niotee Rangi ya G string Una hatari 🎶 - @MwanaFA 🙌🏿
11
8
125
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Hivi Shirika lenu la Umma @tanescoyetu mmeshindwa kabisa UMEME watu tukilipia kwenye simu uingie direct? Hizi zama za Mita naona kama zimeshapitwa na Wakati. @DAWASCOTz waelekezeni mlivyoweza kumaliza huu mzozo.
4
10
118
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
Wazee, Ndugu zetu KIKOSI KAZI KAZINI leo wanalihutubia Taifa la Burudani kupitia XXL..! Wanaanza 13:00 - 16:00 @NikkiZohan @NiiteSonga @onetheincredibl @Stereo89Stereo @pmawenge @Mansu_Li
13
16
123
@AskofuTZA
Makinikia
6 years
Tunasikitika kutangaza kifo cha Mmoja wa Waasisi na Mkurugenzi wetu wa Vipindi na Uzalishaji hapa Clouds Media Group, Ndugu Ruge Mutahaba. Ruge ametutoka leo huko Afrika ya Kusini alikokuwa ameenda kwaajili ya matibabu.
4
14
120
@AskofuTZA
Makinikia
5 months
Kuna siku @millardayo alitoka Arusha mpaka Same usiku saa sita huku akiwa hajawasha taa... Jamaa anaijua sana ile barabara kiufupi Kaikariri..
9
4
123
@AskofuTZA
Makinikia
2 years
@chapo255 Ongezea pia kwamba ana mtoto nae..! So pisi imemsusia Jamaa mtoto.
4
0
119
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Tweet media one
6
0
119
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Wakubwa @AyTanzania na @MwanaFA hivi mwenendo wa sasa wa Mkubwa mwenzenu ninyi kama ninyi unawakosha kweli??
Tweet media one
Tweet media two
8
2
117
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
🎶 Awe mwenye LIPS pana ndio maana ndo moja ya vitu vinavyonichanganya Na akicheka ana MWANYA | Sitokuwa na cha kumfanya zaidi ya kumpenda sana, Yii @ngwair 🎶 - #Wife
4
5
110
@AskofuTZA
Makinikia
4 years
KIFUPI kwa sasa Mheshimiwa #Gwiji @MwanaFA ni ngumu kumkuta akisikiliza ngoma ngumu kama za kina @FidQ ,Playlist yake kwa sasa ni dizaini hio unayoisikia kwenye Background hapo. 😃😃
4
11
110
@AskofuTZA
Makinikia
5 years
Mkikutana na mkubwa Nathan Mpangala, Mwambie tunashukuru Ujumbe umefika.☹️
Tweet media one
6
5
106
@AskofuTZA
Makinikia
3 years
Nadhani kwa sasa Kuna mambo mawili tu. 1. Uumie ndani kwa ndani na ukaushe bila kuwafahamisha watu AMA 2. Uunge juhudi mkono uhamie WANANCHI ili uishi bila makasiriko na kutafuta sababu ambazo hazipo.
7
8
107