Kuna Feeling Flani Ni Ngumu Hata Kuielezea Unakuta Wewe Ndiyo Mkubwa Nyumbani Na Una Wadogo Zako Lakini Kila Linapojitokeza Jambo La Kusaidia Hasa Kiuchumi Unajikuta Huwezi Kusaidia Na Sio Kwamba Hutaki Lakini Ni Hali Tu Haieleweki Maumivu Yake Huwa Ni Makali Sana…
Beginning of the decade 🆚 End of the decade. Mama alikuwa anapambana na mafundi wakati mimi naendelea na Show za Percent chaka kwa chaka Hopefully 2020 nitamaliza kibanda Cha Mama 🙏🏽.
Naitwa Izzo Bizness Natokea MBEYA CITY nakukaribisha kusikiliza Ep Yangu Mpya inaitwa THE CAPRICORN kwa Kubonyeza Link hii Napokea mrejesho pia maana Maoni Hujenga ✊🏽
Kutesa Watu,Kutishia Watu,,Kupoteza Watu Kama Haya Yote Bado Hayaleti Unafuu Kwenye Maisha Ya Watanzania Kwanini Isifanyike Busara Ya Kupisha Watu Wengine Na Akili Mpya Tuone Watatufikisha Wapi Kama Taifa.
Kama Malengo Yalikuwa Ni Kufika MAKUNDI Lakini Kwa Ubora Na Utulivu Huu Hata Wanapokosekana Key Players Huyu Engineer Hersi Na Benchi La Ufundi Wanastahili PONGEZI Za Hadhi Ya Juu Sana. BIG UP SANA WANANCHI 🙌🏾🙌🏾🙌🏾. Daima Mbele 💪🏿
Koffi Olomide kupiga Sold Out imekuwa Taarifa nzito Lakini
@Roma_Mkatoliki
kupiga picha na Van Damme Wakulungwa Wakakaushia. Skia mwanangu Roma saizi Mtafute cyborg Tuone 😀
Mapema Leo Mjini Dodoma Nilipoibuka Chuo Nilichosoma College Of Business Education(CBE) Kufuatilia Gamba. Check Clearance Frame Ya Mwisho Utaguandua Upole Na Tabia Njema Sijaanza Juzi 😂😂💪🏿💪🏿
Kuwa na followers million na zaidi kwenye mitandao ya kijamii ni rahisi sana Bongo kuliko kupata mashabiki Mia Mbili waliojitolea kulipa kwenye show yako uliyoandaa Sehemu fulani kwaajili ya kukusupport ili baadae ukifa wasikukejeli kwamba kwenu Maisha ni mabovu.
Mfano Mtu Akienda South Africa Bila Hata Maelezo Akipiga Picha Pale Mandela Square Unajua Tu Kwamba Huyu Mtu Yuko South Africa. Swali Langu Mfano Mtu Akija Bongo Haraka Haraka Tu Akipiga Picha Maeneo Gani Bila Maelezo Unajua Kuwa Huyu Mtu Yuko Bongo?
Sema Uzuri Wa TANZANIA Yetu Hasa Kwenye Upande Wa Soka Hawa Wachezaji Wa Kigeni Hii Love Wanapata Toka Kwa Mashabiki Plus Ukarimu Wetu Kama Watanzania Inapotokea Wanaondoka Na Kwenda Nchi Tofauti Lazima Wapamiss Tanzania Sisi Ni Tofauti Sana Sema Hatujajishtukiaga Tu 🙌🏾
T-shirt ya MBEYA CITY bei yake sh 30000/= nipigie kwa Namba hii 0737 607363 ewe Mwana Mbeya unayetazama Hii picha. Post ya Brands nyingine zinafuata soon 👊🏿.
Ebwana Mmesikia Ya Avic Huko? JOSEPH GUEDE Kagoma Kuvuka Na Pantoni Kaomba Avuke Kwa Kuogelea Aendelee Kuweka Pumzi Yake Sawa… AL Ahly Wataomba Poo… GUEDE JITU LA CAF 😂
Unapoambiwa fulani kafanikiwa kwenye ardhi hii ya Bongo Mpe Salute Nyingi sana Maana Si Mchezo kufanikiwa hapa...Usione Unacheka na watu Tu. Watu hawacheki kwa kumaanisha My G
Basi ndiyo hivyo defender limekuja kuzima muziki saa Tano na wakuu hawataki story na raia walishalipa getini eeh Mola tusaidie watafutaji sisi tunaotumia mic ili wazee waendelee kula ugali Maharage kule Mbeya.
Nilikupigia simu zaidi ya mara Nne jana Mara tatu zote hukupokea na si kawaida yako ukapokea mara ya Nne nilivyopiga tena nikakuuliza unasound Down sana ukaniambia umepumzika hauko sawa Nigga. Leo Umetuacha Nigga Dah can’t believe this R.I.P Golden Jacob 🙏🏽
Mapema Leo Nikiwa Southern Highland Shule Ya Secondary Niliyosoma Nikapata Nafasi Ya Kizungumza Na Baadhi Ya Wanafunzi Wa Kidato Cha Sita Ambao Wako Kwenye Mitihani. Shukrani Za Dhati Kwa Head Master
#CHAMILA
Kwa Hili Shavu 💪🏿
GSM Baba Ikikupendeza Tunaomba Tafrija Ndogo Ya Kusheherekea Ubingwa Huu Wa Kishindo Ambao Haujawahi Kutokea Yani Kufuzu Na Bado Mechi Moja Mkononi…Watajuaje Babaaaa😂