SONGA Profile Banner
SONGA Profile
SONGA

@NiiteSonga

Followers
113,578
Following
4,437
Media
1,040
Statuses
39,897

Listen & download my tracks on

Tanzania
Joined December 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@NiiteSonga
SONGA
7 months
MABIBI NA MABWANA NI RASMI SASA ALBUM YA "MITAA FLANI" TOKA KWA "SONGA" IMETOKA NA INAPATIKANA KWA NJIA YA SOFT COPY(UNALIPIA KISHA UNATUMIWA MUDA HUOHUO KUPITIA WHATSAPP ,EMAIL,TELEGRAM ETC) BEI YA ALBUM NI TSH.20,000/= NAMBA YA KULIPIA NI +255656337757 #MitaaFlani
Tweet media one
Tweet media two
7
64
193
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Kama nilishawahi kumsema huyu mzee vibaya anisamehe huko aliko🙏
Tweet media one
289
281
5K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Hayati aliwezaje kuendesha nchi bila Tozo??!
Tweet media one
435
264
4K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Tujifunze kushukuru hata kwa kile kidogo tunachopata,bila Diamond harmonize asingekuwa hapo alipo leo.
572
127
3K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Umalaya ndio biashara pekee ambayo muuzaji hurudi kwake na bidhaa baada ya kuiuza
169
115
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Ukimpa upcoming artist chance ya ku perform
Tweet media one
121
86
2K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Ukiona mapenzi hayakuumizi, ujue ushakuwa malaya! 😂
170
431
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Hakuna kundi bora la HIP HOP Tanzania kama KIKOSI KAZI
Tweet media one
151
104
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Wadada ndo walikuwa wanaongoza kurusha vyupa stejini nadhani wametambua sasa machungu ya kutuma nauli halafu mtu haji
135
191
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Kwanini Sensa ya mwaka huu inapigiwa sana promo kuliko sensa za miaka iliyopita???
332
55
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Watu wazima wenye akili timamu nadhani tumeelewana
Tweet media one
279
105
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Suala la TFF kushindwa kuwapa mualiko Yanga kwenda kwenye mkutano wa CAF linashangaza sana
266
66
2K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Timu sio mzazi,nimehama rasmi kutoka kuishabikia Arsenal na nimehamia Man U .
254
60
2K
@NiiteSonga
SONGA
1 year
Ukiona wabongo wengi wako upande wako huo mchongo upotezee
Tweet media one
68
65
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Vijana wengi hawana furaha kwa sababu wana haraka ya maisha
78
143
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Uzuri CHUMA alitusanua mapema
122
387
2K
@NiiteSonga
SONGA
1 year
Tunapoelekea huku mtu atachanwa nusu saa nzima😁
144
73
2K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Watu waliozaliwa 1985-1995 wanaonekana wadogo zaidi kuliko watu waliozaliwa 1995-2004 . Shida iko wapi????
170
84
2K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Toka sanaa ya muziki Tanzania imeanza hakuna msanii anayetuwakilisha vyema duniani kama Diamond Platnumz ,ukubali au ukatae HESHIMA yake itabaki palepale.
172
118
2K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Kuna watu wakishaoa/olewa wanaanza kujiona wamekua sana hata kama umewazidi umri wataanza kukupa ushauri wa hapa na pale, Ntakuja kumlamba mtu makofi
179
143
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Ni wimbo wangu upi unaoupenda mpaka kesho??
495
52
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Na wimbo nimeimba lakini Wapi😟
164
41
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Baby,Najua hupendi Hip Hop ila nunua album ya Songa basi inaitwa BADO😊
Tweet media one
38
70
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Chips bado hazijapanda bei lakini ukihesabu vipande vyake sasa hivi wanaweka 29 wakati ilikuwa 48
93
48
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Malaya hapigwi denda
128
47
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Mimi kiukweli sipendi kabisa kuuchezea moyo wa mwanamke ,bora nichezee maziwa yake maana anayo mawili
63
62
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Tunakuzika na suti halafu unanitokea ndotoni na kanzu,ina maana suti yetu uliuza au!?
114
70
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Eti Pombe haziwezi kukupeleka popote,nani kakwambia tunakunywa ili tupate pa kwenda?!
90
62
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
HAKUNA MZIKI WENYE NGUVU DUNIANI KAMA HIP HOP.
120
69
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Tumemuongeza kwenye list ya Kikosi Kazi
Tweet media one
43
38
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Unamuuliza mama ntilie polepole halafu anakujibu kwa sauti, NIMESEMA WALI WA MIA TANO HATUPIMI!☹️
98
43
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Napata mzuka naposikiliza HIP HOP
77
34
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Mtu hujanyoa nywele za kwapani takribani miezi sita halafu unaenda kanisani umeweka bible makwapani, UNATAKA KUWAUA WANA WA ISRAEL AU?!
127
85
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Ningependa kuona Mex Cortez anapewa promo sawa kama anayopewa mdogo wetu Motra kwenye media,kisha tuwaachie wasikilizaji . Tusilete upendeleo.
81
60
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Atakayeweza kuotea msanii gani nimemshirikisha kwenye album yangu inayotoka October hii atajipatia album bure
Tweet media one
375
59
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Kama umeni follow halafu mimi sijakufollow back ,please retweet hii tweet yangu na mimi nitaku follow back chap mtu wangu✊🏽
140
800
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Hata kama tunadate haimanishi tunaongea kila wakati ama kila siku, hii ni relationship sio radio station.
50
95
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Jamani muda wa kuinuana huu,kama una followers chini ya 50k comment hapo chini tukufollow
Tweet media one
515
56
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Mwanaume ambaye hapendi mziki wa HIP HOP lazima atakuwa ana tatizo kichwani
99
49
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Maisha yako ya sasa yanaendana na methali gani ???
244
38
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Mimi kwenye suala la kumvisha mwanamke pete halafu nipige goti mtanisamehe kwa kweli.
91
48
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Tafuta hela hakunaga mke wa mtu
118
55
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Manchester United is playing today and the whole world is happy.
55
49
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Mwanamke ukiachana na mwanaume sababu ameku cheat utaachana na kila mwanaume,kila mwanaume anacheat.Yani inatokeaga tu. Cha msingi omba aendelee kukuheshimu .
73
80
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Maisha magumu bado mtu anakupigia simu na namba ngeni eti otea mi nani
88
70
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Sex is not a Valentine gift
65
54
1K
@NiiteSonga
SONGA
1 year
Tarehe na mwezi kama wa leo ndio niliangua kilio kwa mara ya kwanza. Happy birthday to me. 1+ 🙏 God
Tweet media one
185
80
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Mpende mke wako ,Siri zako mwambie mamaako
73
67
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Demu wako anakuacha kwa sababu umefulia , na wewe badala ya kutafuta kazi na hela unatafuta Demu mwingine😄
61
101
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Unakimbiza kuku hii Christmas halafu unakuja unapakuliwa shingo
64
43
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa namshukuru Mungu kwa uzima na afya.. Nadhani muda wa kuachia ngoma mpya umewadia.
Tweet media one
111
39
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Mtanzania badala akuambie umerudia nguo anasema "nimeona tu hili shati nikajua ni wewe".😄
50
51
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Moja Kati ya vitu vinavyonichanganya ni jeans,ukitaka kuvaa inaonekana chafu ila ukitaka kufua inaonekana safi🤔
75
60
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Nani mwingine ashawahi kuulizwa hili swali, 👇🏾 “Kwa hiyo mpira una umuhimu kuliko mimi”??! 😀
140
48
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Culture haiwezi tunzwa na watoto mchele mchele
68
40
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Unajua madem wengine wajinga sana..asa unaingiaje period leo?!😁
110
26
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Nawaheshimu sana wacheza basketball,wanachezea viatu ambavyo tunavaa kwa mtoko
41
43
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Unasema ngoja nipumzishe akili kidogo nimechoka,kumbe akili yenyewe HUNA😆
90
95
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Kuna jamaa alipigwa ngumi mwaka jana, yani mpaka leo kila akiikumbuka ile ngumi anaikwepa.
45
40
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Siku kama ya leo nilizaliwa shujaa, Happy birthday to me 🙏 Asante Mungu kwa kuendelea kuwa nami. #NiiteSonga #SamakiMwenyeKiuNdaniYaMaji
Tweet media one
217
52
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Usitafute Kiki mjomba , una ngoma mia na hauna hata hit moja.😅 #warning2
75
32
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Steve kaingia kwenye press na Rolls Royce asee itakua ngumu sana kumtoa😅
45
26
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Uzi ndio huwa unalambwa na sio shimo la sindano,hii tweet haihusiani na mambo ya uzi na sindano.
55
62
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Happy birthday to me🙏🏾
216
36
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Kwenye maisha yako penda sana kumsaidia mtu akiwa bado yupo hai sababu rambirambi hazitamsaidia chochote.
41
129
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Karibu Tanzania nchi ambayo ...👇
234
37
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Media ziupe kipaumbele muziki wa Hip Hop ,maana ndio muziki wenye content za kuelimisha jamii kwa asilimia kubwa.
68
53
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Brazilian hair inataka Brazilian body...vinginevyo utakuwa unafunika konyagi na kifuniko cha Jack Daniels...
60
70
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Kuna wanawake wanaona kama Hamisa kapata kibarua kipya kinachomlipa vizuri,mahusiano wanayachukulia kama biashara.
65
41
1K
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Mimi ni shabiki wa Yanga ila hii mechi na Namungo tumebebwa.
55
43
1K
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Ile video ya Rosa Ree kajidhalilisha kwakweli,hata kama haoni madhara yake sasa.
114
42
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Angalia usipate magonjwa katika harakati zako za kutaka tuone wivu
22
70
1K
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Ni story gani ya kwenye Bible una mashaka nayo????
196
60
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Ukipewa milioni 20 uanze kusoma kuanzia darasa la kwanza unaanza??
262
16
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Unawashauri nini watu wanaopenda kulala bila nguo??
135
21
1K
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Hivi ndo vinguo vya mtoko sio demu unamwita anakuja na jeans utadhani anaenda garage
Tweet media one
77
46
999
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Hakuna kundi bora la muziki wa Hip Hop Tanzania kwa sasa kama KIKOSI KAZI (linaloundwa na.. 👉🏿Zaiid,One The Incredible,Songa ,Azma ,Mansuli,Nikki Mbishi ,P Mawenge,Stereo).
72
59
995
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Nipo studio muda huu na nimesharekodi ngoma 3 tayari
84
21
995
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Kama unataka kuvaa crop top nyoa nywele za tumbo kwanza, kuna dada hapa nilikuwa nadhani ameficha wig.
67
30
970
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Kwa ninavyomjua Benzema akishafungaga magoli mawili anatakaga afunge na la tatu😁
28
24
989
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Kuna mtangazaji wa kike alikuwa anaitwa Anna Peter sijui yukogo wapi yule dada,nilikuwa namkubali sana.
61
16
993
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Ushawahi kudate na mtu mtandaoni na mkaachana bila hata ya kuonana?!😁
96
28
983
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Ungependa kuona battle ya msanii yupi na yupi wa hip hop kwa hapa Tanzania????
172
21
961
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Unajua makalio makubwa huonekana mazuri yakiwa ndani ya nguo ila nguo ikitolewa unaweza ukahisi ni yale mawe ya Mwanza
110
34
968
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Mwanamke unasema Wanaume wote ni Mbwa na ni wewe ambaye unakaaga Dog Style😁
40
26
942
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Yani Yanga kipindi cha kwanza wana possession ya 81% . Hii timu ikacheze EPL tu sasa.
35
24
941
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Kama umekosa mwanaume mwenye gari basi olewa hata na sisi wanaume ambao tukilala tunakoroma kama gari.... utakosaje vyote nyau wewe
67
79
933
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Hivi Manchester United tatizo ni nini???
194
23
928
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Tafuta hela nunua furnitures nzuri acha tabia ya kuhama hama usiku
40
48
932
@NiiteSonga
SONGA
3 months
Miaka ya kuishi inavyozidi kuongezeka ndivyo miaka ya kuishi inavyozidi kupungua. Happy birthday to me 🎉 -Songa
Tweet media one
147
95
967
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Hivi idadi ya wenye Corona Tanzania bado ni ileile 12???
100
23
905
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Mdada Kama unadate na mkaka mwenye sura nzuri hakikisha anakuzalisha mapema kabla hajapata boyfriend
67
37
911
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Hakuna kundi la muziki Tanzania ambalo limepiga hela kama Yamoto Band,kama lipo litaje
79
21
926
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Ukiona mapenzi hayakuumizi ujue ushakuwa Malaya
65
46
925
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Twitter unaweza kutumia nguvu kubwa kubishana na mtu kumbe ni mwanafunzi wa form 2 anasubiri corona iishe arudi shule
64
39
906
@NiiteSonga
SONGA
3 years
Kama kuna shabiki wa Manchester United sijakufollow RETWEET hapa nikufollow.
109
340
905
@NiiteSonga
SONGA
4 months
Hata kama ni watu wawili wameamua kuandamana kwa ajili ya maslahi chanya ya taifa zima kwa ujumla utakuwa ni mpumbavu sana ukibeza maandamano hayo.
18
114
952
@NiiteSonga
SONGA
6 months
Kwa hiyo mmesema mahari tsh ngapi sasa hivi?
Tweet media one
97
32
946
@NiiteSonga
SONGA
2 years
Usimfanye mwanamke aonekane mjinga sababu ya kukupenda
31
58
901
@NiiteSonga
SONGA
4 years
Tangu mcz wengine waanze kuogopa kubattle na sisi tumeamua tuanze kubattle wenyewe kwa wenyewe
70
58
916
@NiiteSonga
SONGA
5 years
Usijikute umefungwa pingu za jela badala ya pingu za maisha sababu tu umekutwa na Mtoto wa serikali(Mwanafunzi). Mwanafunzi anafaa kupigwa viboko sio miti ,akikwambia nipe mtihani usijifanye umesikia akisema,”nipe mti honey.” Kuwa makini BAHARIA😄
65
77
893