MABIBI NA MABWANA NI RASMI SASA ALBUM YA "MITAA FLANI" TOKA KWA "SONGA" IMETOKA NA INAPATIKANA KWA NJIA YA SOFT COPY(UNALIPIA KISHA UNATUMIWA MUDA HUOHUO KUPITIA WHATSAPP ,EMAIL,TELEGRAM ETC)
BEI YA ALBUM NI TSH.20,000/=
NAMBA YA KULIPIA NI +255656337757
#MitaaFlani
Toka sanaa ya muziki Tanzania imeanza hakuna msanii anayetuwakilisha vyema duniani kama Diamond Platnumz ,ukubali au ukatae HESHIMA yake itabaki palepale.
Mwanamke ukiachana na mwanaume sababu ameku cheat utaachana na kila mwanaume,kila mwanaume anacheat.Yani inatokeaga tu. Cha msingi omba aendelee kukuheshimu .
Hakuna kundi bora la muziki wa Hip Hop Tanzania kwa sasa kama KIKOSI KAZI
(linaloundwa na.. 👉🏿Zaiid,One The Incredible,Songa ,Azma ,Mansuli,Nikki Mbishi ,P Mawenge,Stereo).
Usijikute umefungwa pingu za jela badala ya pingu za maisha sababu tu umekutwa na Mtoto wa serikali(Mwanafunzi).
Mwanafunzi anafaa kupigwa viboko sio miti ,akikwambia nipe mtihani usijifanye umesikia akisema,”nipe mti honey.”
Kuwa makini BAHARIA😄