Fareed K Kubanda Profile Banner
Fareed K Kubanda Profile
Fareed K Kubanda

@FidQ

Followers
355,110
Following
603
Media
2,876
Statuses
113,379

The Top Of Rap's Elite | Tanzanian Hip Hop Artist | Vision Imple-Ment(e/o)r - Bookings: cheusidawatv @gmail .com

Tanzania
Joined February 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@FidQ
Fareed K Kubanda
1 year
#Kibabe 💚💛 ⁦ @Yanga1935
Tweet media one
13
50
2K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Everyone can reply..
Tweet media one
95
52
2K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Cheusi📌
Tweet media one
35
38
2K
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Pichani na KAKA mwenye majibu ya hapa na pale mitandaoni.. 😁
Tweet media one
83
37
2K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Aah Fidi Kyu wewe..!!! 🙌🏽😁
70
206
2K
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
How it started ** how it’s going
Tweet media one
Tweet media two
65
49
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
3 months
Inna lillah wainna ilaih raajiuun.. Pumzika pema mzee wa Mjegejo! 🙏🏾
Tweet media one
7
38
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Yaani nisingeamulia sijui yule muajentina angekua na hali gani leo..!!? 🙆🏿‍♂️😁
Tweet media one
59
15
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
6 years
ALHAMDULLILAH.. 🙏🏾 😇
Tweet media one
84
72
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Niwape ALBUM nyingine au MANGOMA tu ya hapa na pale mwaka huu!!!?
Tweet media one
121
44
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
6 years
❤️ 😇 🙏🏾 #LoveAlways
Tweet media one
Tweet media two
85
87
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
1 year
AmaHip Hop 📌 Best believe that! #BigmanCircle ⭕️⭕️ 👉🏾
Tweet media one
41
59
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Kabla hamjalishutumu shirikisho na mambo ya siasa, ni vyema mkakumbuka aliyempinga kwa nguvu zote Steve na kutoa masaa 48 ya uamuzi.. ni mbunge wa Muheza ambaye ni mwanaCCM pia 📌
211
54
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
MSEMAJI kabwaga.. what next!!? 🤷🏾‍♂️
134
31
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Eid Mubarak to you & yours FAM!!!
Tweet media one
46
46
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Dada..sijawahi kukuandikia kuhusu chochote lakini nimeona leo nikukumbushe ya kwamba una masters so bila shaka unajua namna ambavyo content zako zinasababisha depression kwa watu..kwa ufupi unachofanya sio umbeya bali unakiuka haki za binadamu @mangekimambi
41
133
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Rastaman vibration!!! 🎷🎺
Tweet media one
40
34
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Tweet media one
59
30
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
TAMKO jipya lenye marekebisho.. Nitumie fursa hii kuwashukuru wote mliolipiga SPANA lile jingine, kwa maana limenifunza kitu kuhusu ukurupukaji, uzembe ule hautojirudia..tafadhali pokeeni hili,na kisha mnisaidie kulisambaza.. ninatanguliza shukrani 🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
159
185
1K
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
AFRIKA nzima hakuna nchi yenye wasanii wengi wakali wa hip hop kama BONGO.. tatizo letu ni UKIRITIMBA na KUCHUKULIANA POA tu.. Well, zote ni changamoto na ni lazima kukabiliana nazo ili kuyafikia malengo.. UJINGA ni kuruhusu SHIBE ya MDAU ikulaze NJAA
97
122
976
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Kuna muda huwa ninajiuliza mimi na wewe ni washkaji kwasababu zipi? 🤔 Kwa maana tuna tofautiana mambo mengi sana..kwa mfano—>wewe mwenzangu una zali la kuzushiwa kumiliki vitu ambavyo hauna, mimi nina zali la kuzushiwa SINA vitu ambavyo ninavyo @AyTanzania
49
38
932
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Tweet media one
69
83
919
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
3 KINGS... #Kingin
Tweet media one
17
31
917
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
45
60
903
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Hivi Mwakinyo hakuiona hii suruali au alijisikia tu kutaja ya Tupac..!!?🤔
Tweet media one
99
39
891
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Tweet media one
40
87
858
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Weeding out thoughts that sabotage..
Tweet media one
17
17
846
@FidQ
Fareed K Kubanda
11 months
Mpo tayari kwa hii #Legacy 13/08 !!!?
Tweet media one
74
44
846
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Nimegundua kuna watu wengi sana walipata na bado wanapata tabu ya kusikia mistari ya kwanza ya kwenye I AM PROFESSIONAL nimesema nini.. 🤷🏾‍♂️😁
68
44
794
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Kiukweli Aston Villa hawapaswi kufolloiwa 😁
43
26
784
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Chilling with the CHAMP!! ⁦💪🏾 #Muheza
Tweet media one
22
21
790
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Pichani na shabiki angu aliyekua ananipanga kuhusu kwenda kupiga show Somalia enzi hizo.. baada ya kutuma mashushushu wangu ili kuchora rada.. wakagundua kumbe ni mtu wa hapa hapa Tanzania na anatokea MBEYA.. 🙌🏽😂 ama kweli BINADAMU SIO WATU!!
Tweet media one
50
28
785
@FidQ
Fareed K Kubanda
3 months
Vamos! 💪🏾
Tweet media one
20
24
796
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
It’s either I WIN or LEARN.. never LOSE tho!! #Champion 🥊
Tweet media one
52
74
760
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Asiyefunzwa na WANAHARAKATI atafunzwa na WAPIGA SPANA...📌
21
22
756
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Hakuna ADUI mbaya kama RAFIKI yako mwenyewe.. ambaye hajui kama yupo NAWE au yupo kinyume na WEWE
34
93
729
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Ok.. Kuna press nyingine kesho
Tweet media one
65
24
736
@FidQ
Fareed K Kubanda
11 months
Just like that.. my big broski was laid to rest 🙏🏾 #RipDjSkillz
Tweet media one
Tweet media two
13
37
754
@FidQ
Fareed K Kubanda
8 months
Ni wazi mmeamua kunichonganisha na watu wangu.. Yote maisha aisee 🙏🏾😁
@eastafricatv
EastAfricaTV
8 months
#BURUDANI Moja ya 'Trending Story' kwa sasa mitandaoni ni kuhusu kupewa Bilioni 1 au ukale Dinner na Mwanamuziki tajiri duniani Jay Z. Jay Z mwenyewe anasema ni bora mtu achukue hiyo pesa kuliko kula naye Dinner kama mtu anataka ushauri wake akanunue Album zake kwa sababu
Tweet media one
472
38
1K
87
29
707
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
TANGAZO: Wale wenye chati za watu na mabebi zao.. zileteni tuchangamshe genge hapa
68
26
662
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
KYELA kama KYELA na wajumbe wake.. MUNGU awaweke 🙏🏾😇
23
21
675
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Huuh.. nimekutana na parody leo? 😁 acha nirudi studio tu, Lakini bado ninaamini maswali ya HK yana tija ✋🏾
29
23
672
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 months
Leo ni siku ya mapumziko kwa dada, sasa nimeachiwa kazi ya kuangalia maharage yasiungue.. hivi sasa ninavyowaambia nimeshaenda jikoni mara nane ndani ya dakika 10 🙆🏿‍♂️
52
34
686
@FidQ
Fareed K Kubanda
1 year
Hii haina tofauti na ile ya kwenda Mwanza na kupiga picha kwenye lile sanamu la Samaki.. feeling ni ile ile tu!! Nenga asikutishe ⁦ @IdrisSultan
Tweet media one
8
10
664
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Daah asubuhi ya leo.. nimepishana na dogo mmoja hivi ambaye yuko busy akijaribu kuizoa sukari yote aliyoimwaga kwa bahati mbaya.. sipati picha huko kwao leo kitawaka kiasi gani 🤔 Ninaomba tumuweke kwenye maombi na sala zetu za asubuhi hii 🙏🏾
60
22
632
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
WAUNGWANA baada ya kumalizana na wali mchafu.. a day well spent! Eid njema 🙏🏾 😇
Tweet media one
13
16
630
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Taarifa: Leo nimekutana na dogo mwingine.. Lakini huyu alikua amevizungushia gazeti na kuvibeba vitafunio vyake kwa umakini wa hali ya juu sana 🙌🏽😁
50
17
630
@FidQ
Fareed K Kubanda
10 months
Mitandao itabaki kuwa undefeated.. Lakini ukweli ni kwamba Mavoko alipata show 10 toka kwa watu wa nyimbo za ASILI wa upande ule wa kanda ya ziwa.. show zote zimeenda poa kabisa kimuitikio na kimaokoto kwa ujumla.. ninafikiri kilichowastua wengi ni ukubwa wa jukwaa 🤷🏾‍♂️😁
28
52
634
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
SMH.. Kikao cha leo... 🙌🏽
81
15
606
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
How bout this for an album cover? #Neno 📌
Tweet media one
53
40
612
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 months
Perfect KANZU📌
Tweet media one
15
24
632
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Ninapokea maoni ya aina yote.. Kwa maana ninaamini yote yapo Kwa ajili ya kunijenga! So please bring em ON 💪🏿
75
24
603
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Tunamoka ili kusafiri kihisia au kufoka pia/ ikitoka ukaisikia huwezi ichoka au kuitosa ikikuingia/ kinachoichosha hii nia.. ni kukosa ulichokiota kupatia/ kuwachota kihisia.. tunasota.. Je inatosha hii fidia!!!??? #SUMU 📌
46
72
588
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
If I’m CONFIDENT was a person.. 👇🏾
Tweet media one
25
18
599
@FidQ
Fareed K Kubanda
1 year
——> “Sina chuki.. ninaomba penye wazushi nisiwemo/ Nikikutusi.. ujue nimeishiwa tu maneno/ Usiwe stupid.. kumbuka hata sheria ni msumeno/ Ninawapa toothpicks.. Watoto watoe maziwa kwenye meno” 📌 #Bigman #BigmanTingz
Tweet media one
21
58
598
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 months
———> Ndugu wageni waalikwa.. malizia 👇🏾
Tweet media one
109
27
603
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Ndugu @Roma_Mkatoliki ( akiwa nchini Marekani hivi sasa ) amekuja na kibao chake kipya kiitwacho MKOMBOZI..
14
51
566
@FidQ
Fareed K Kubanda
1 year
Eid Mubarak y’all..
Tweet media one
8
14
586
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Huwa nina kawaida ya kupakua VIBAO VIWILIVIWILI..Sasa wakati ninajiandaa kuwapa hicho cha pili, naomba kuwajuza ya kwamba tupo tayari kutoa dau la maana kwa director yeyote atakayekuja na script kali na kuweza kushoot video ya kibao chetu pendwa cha MAFANIKIO
18
36
563
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
SAA ya UKOMBOZI ni SASA..!!!! ✊🏾
149
47
576
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Kipindi tunapakua magoma ya kuwakomboa kifikra ( kiharakati ) mlikua hamtaki kuyasikia na kutusisitiza tupakue yale ya kuBANG.. na kutukashifu kwa kusema hamna muda wa kuumiza vichwa vyenu kwa ajili ya kuuelewa mziki.. sasa mmekuaje!? 🤷🏾‍♂️
103
29
556
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Bilionea Laizer leo ametushauri tusikate tamaa..
17
24
546
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Naomba nitoe pole kwa wote waliokumbwa na mafuriko leo.. bila kuwasahau wale ambao mvua hizi zimewafanya wagande kwenye foleni na kushindwa kutimiza majukumu yao ya siku nzima.. in sha Allah Mwenyezi awatangulie na awafanyie wepesi kwenye kipindi hiki kigumu
22
24
550
@FidQ
Fareed K Kubanda
3 months
Alhamdulillah 📌
Tweet media one
6
22
571
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Halafu tusichukuliane poa.. mimi nishawahi kushiriki maandamano kadhaa.. so hii kuweka bando ya hela kidogo isikupe jeuri ya kujifanya unanijua kiundani
94
26
534
@FidQ
Fareed K Kubanda
3 years
SMH.. nilitaka sana kuamkia Zanzibar, Bagamoyo au Kigamboni asubuhi ya leo.. Lakini MAJUKUMU yakanitinga.. kweli tutafute HELA, JUMAMOSI sio siku ya USAFI 🙆🏿‍♂️😁
Tweet media one
22
13
554
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Daah... 😂😂😂 kwa ufupi HAPIGIWI anacheza 🙌🏽
Tweet media one
40
27
538
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Jumaa Kareem y’all..!!
Tweet media one
14
26
540
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Jimmy Butler ni mtu mwingine 🙌🏽
22
11
543
@FidQ
Fareed K Kubanda
6 months
Huyu Jamaa anaongea hivi wakati kitu pekee anaweza chana ni karatasi au nywele tu 😕 🗑️
@TillahBlessed
Blessed Tillah (MBARIKIWA)
6 months
Jana kwenye #MaishaRemix @AyTanzania ametusanua kuwa yeye na @FidQ wana nyimbo nyingi sana ila kila amkifunika Fid Q hazitoi 😄
19
53
565
36
46
552
@FidQ
Fareed K Kubanda
6 years
Na hili suala la kumfungia msanii asifanye kazi zake za sanaa kwa miezi sita,kisa tu kwenye mziki wake kuna neno moja au hata 10 yenye ukakasi sio sahihi...kuzizuia zisichezwe kwenye radio na TV ilikua ni adhabu tosha kabisa @BasataTanzania hii tabia ya KUKOMOANA mmeitoa wapi?
66
84
533
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Aisee jana ndio nilijua kama unaweza kurap haraka kama una cherehani mdomoni.. @AyTanzania nini siri ya mafanikio..!!!? 😁
20
17
526
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Ni wazi nimefanikiwa kutengeneza ALBUM ambayo so far imefanikiwa kukonga nyoyo za wasikilizaji wangu wengi wa zamani na pia kuniletea wengine wengi ambao ni wapya kabisa.. #KitaaOLOJIAera
29
46
528
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Kwa taarifa nilizozipata toka kwa Mama.. michango iliyofika pasina chembe ya udokozi ni pamoja na ile aliyoiwasilisha @Wakazi @SoggyDoggyAnter na @NikkiZohan <~ Asanteni na mbarikiwe sana 🙏🏾
26
41
510
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
POWER is not PERMANENT.. huwa ipo kwa muda tu 📌 < Fid Q kwenye #SihitajiMarafiki >
21
52
523
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Mzee wetu huyu ndio mtu wa kwanza kufungua supermarket Mwanza.. ameamka siku nyingi, ana exposure kubwa na ni mjenzi mzuri wa hoja.. ni vyema akazingatiwa 🙏🏾😇
@bongofive
bongo5.com
4 years
Mbunge wa Kahama mjini 'CCM' Mh. Kishimba, Aliomba Bunge kuruhusu wakulima kuuza zao la bangi - Video -
Tweet media one
17
11
137
41
54
510
@FidQ
Fareed K Kubanda
11 months
“ Ninawish kuishi kama ilivyom-please aliyeniumba niwe/ GWIJI ama MBORA.. kataa nisiwe hivi ULAANIWE” 📌
Tweet media one
8
29
533
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Asanteni sana kwa DUA zenu njema.. na Pole kwa wote waliotamani kujumuika nasi kwenye tukio hili lipendezalo machoni mwa muweza wa vyote.. mambo yalikua ni mengi lakini WALI MCHAFU bado unaweza kupikika mkitutembelea, cha msingi undugu, ujamaa na urafiki uendelee 🙏🏾
30
29
507
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Juzi hapa mliamua kuwa mashabiki wa wasanii wa naijeria na kuwaponda wasanii wenu..Leo wasanii wenu wamejiunga na nyinyi kwenye kupaza sauti juu ya kukemea ukiukwaji haki huko kwao na Davido..mnasema waache SHOBO? 🤷🏾‍♂️😁 mbona kama mnawashikia rimoti hivi?
113
24
509
@FidQ
Fareed K Kubanda
10 months
Binafsi mara ya mwisho kufanya show mchana UWANJANI ilikua ni mwaka 2019 pale sheikh Amri Abeid kwenye SOUNDCHECK ya fiesta
12
21
530
@FidQ
Fareed K Kubanda
1 year
New music alert 🚨 Can you guess the name of the song?
Tweet media one
33
31
523
@FidQ
Fareed K Kubanda
3 years
Wazandiki watasema hapa nilikua sijasimamia kidole kimoja.. 🙆🏿‍♂️
Tweet media one
23
7
504
@FidQ
Fareed K Kubanda
7 months
2018 ( songea ) vs 2023 ( IDODOMYA)
Tweet media one
Tweet media two
23
17
522
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Hivi hakuna sehemu ambako mkataba wa Kanye umepostiwa nikaudaunlodi? Kwa maana hivi vipande ni vingi sana kwa kuviunganisha 😁
15
5
498
@FidQ
Fareed K Kubanda
3 years
Map out your FUTURE.. but do it in pencil
Tweet media one
58
38
504
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Nguvu ya mamba ni maji/ na umaarufu au kutamba kushika namba ni bahati../ na sio kipaji 🙆🏿‍♂️
13
33
479
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Ninapata tabu kwenye kuchagua kati ya kuwa na kismati cha PAKA kupendwa hadi na WACHAWI.. au kismati cha @AyTanzania kuzushiwa MAUTAJIRI na WAUNGWANA!!!??
Tweet media one
48
34
497
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Imekua ni——>Weekend ngumu sana kwa wale wazee wa ALIPO TUPO.. ndio maana sitaki hata kuthubutu kuwaambia wanitake radhi kwa kunituhumu baada ya kuniona kwenye jukwaa la kijani kipindi kile, na sitaki hata kuendelea kuisherehesha hii mada! Sitakiiiii!!!!! 🖐🏿
54
18
489
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Tweet media one
25
14
485
@FidQ
Fareed K Kubanda
6 years
I R I N G A••• 🙏🏾 💪🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
23
33
485
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
Inna lillah wainna ilaih raajiuun.. #RipZizi 🙏🏾
24
32
469
@FidQ
Fareed K Kubanda
5 years
———-> #Neno
Tweet media one
32
20
483
@FidQ
Fareed K Kubanda
1 year
Mfalme wa AMAHIP HOP kwenye picha ya pamoja na MALKIA wa TAARAB 📌 #BigmanCircle ( available & streaming everywhere )
Tweet media one
15
20
498
@FidQ
Fareed K Kubanda
2 years
Groundin’
Tweet media one
24
12
483
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Ujinga ni kujiita MTAFUTAJI.. wakati shughuli yako kubwa hapa mjini ni kubania watu “unaowafahamu” wasitoboe.. ningekuona una akili sana kama ungejiita MCHAWI 🤣🤣
24
60
481
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
The 1st ever selfie..
Tweet media one
Tweet media two
21
6
474
@FidQ
Fareed K Kubanda
4 years
Basi mambo ndio hayo ndugu zangu.. 😁
27
6
468