Mark James Mwandosya is a former Member of Parliament,former Minister in Tanzania and a retired Professor of Electrical Engineering University of Dar es Salaam
Leo ni Siku ya Nyerere. Tunamkumbuka jabali, kiongozi,kiongozi shupavu,mwalimu, msomi,mtu,mtu wa watu,na mtu katika watu,Mtumishi wa Mungu.Tunamwomba Mwenyezi Mungu aendelee kuirehemu roho yake nasi tujaribu kufuata mafundisho yake.
Picha:Aliponialika nyumbani kwake Butiama,1993.
"Nimrudishie BWANA nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea?" Zaburi 116:12
"What shall I return to the LORD for all his goodness to me?" Psalm 116:12
Cutting a Birthday Cake as I give thanks to Almighty God for the gift of 72 years of life.
Keki ya kutimiza miaka 72 leo.
Rafiki ameniomba msaada.Kijana wake amepata nafasi chuo kikuu anahitaji ada.Nimemuuliza ingekuwaje kijana angekuwa anaoa?Kajibu wangeunda kamati.Nimeshauri wafanye,waorodheshe marafiki,mimi nikiwemo,ili kama ilivyo harusi tuchangie.Kusiwe na kuvunja kamati.Katika hili,Tubadilike.
Nawapongeza wanasiasa mliotunukiwa shahada za uzamivu,udaktari wa falsafa.Nawafahamu mna uwezo mkubwa.Lakini inawezekana kweli ukawa Mbunge na Waziri, ukapata muda wa utafiti na kuandika tasnifu.Hata ya uzamili ni kazi sana.Swali kwa Vyuo Vikuu, je vigezo au viwango vimebadilika?
Kwa kuwa Mamlaka inatokana na Watu, jukumu kubwa la Dola ni kulinda maisha ya Watu wake.Wajibu wake sasa ni kuongoza katika vita dhidi ya KORONA, adui ambaye haonekani, anabadili vinasaba, habagui,hajui itifaki, anaua. Ni wajibu muhimu na wa kihistoria. Mungu Ibariki Tanzania.
Wishing a very Happy Birthday to Lucy Akiiki, my dear wife, mother to our children, and grandmother too. It is 50 years since we met, and we have been been together eversince. God Bless.
Miaka 50 ya kuwa pamoja. Siku yako ya kuzaliwa iwe nyenye heri.
Left, 1972; Right,Today
Juzi nilikuwa kwenye matembezi kijijini. Kijana mmoja,mwenye umri wa miaka minne au mitano hivi, aliponiona kwa mbali akasema, "Mwandosya, ondoa masiki (mask), kovidi haipo!" Nikatabasamu tu, na kukumbuka usemi wa JK, "Akili za kuambiwa, changanya na za kwako".
Godfrey Mwandosya, My young brother, has today successfully defended his doctoral thesis in mobile technology application in higher education, at the School of Computing, University of Eastern Finland, after 6 years of intensive research. Congratulations Dr. Godfrey Mwandosya
Kijijini Lufilyo ni km 160 kutoka Mbeya. Jana kikosi kimefika kumchukua mgonjwa wa
#COVID19
aliyetoroka Mbeya juzi na kujificha hapa. Waliokutana naye wameambiwa wajikarantini. Wanatafutwa waliosafiri naye. Tahadhari vijijini, uelewa bado ni mdogo.Nawapogeza waliohusika kumsaka.
Leo natimiza miaka 73. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema na neema aliyonijalia. Asante familia, mke wangu Lucy Akiiki, watoto, wajukuu, ndugu na marafiki. Upendo na dua zenu zimenifikisha leo.
I clock 73 years today, thanking Almighty God for benevolence,mercy and grace.
Nilipofundishwa misingi ya utawala, Mkuu wa Nchi akitengua uteuzi, unapeleka ujumbe wa shukrani kwa muda uliopewa kutumikia nafasi hiyo. Imekuwa ni heshima na fahari iliyoje kuongoza Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa mwaka mmoja.Msaafu unatuasa shukuruni kwa kila jambo.
Nilipofundishwa misingi ya utawala, Mkuu wa nchi akikukosoa mtumishi hadharani, unapeleka barua ya kujiuzuru ili kulinda heshima yake na kwa kufanya hivyo unajijengea heshima mbele ya umma. Nikiri kwamba huenda misingi hiyo imepitwa na wakati.
Nikiwa mazoezini nyumbani Lufilyo Busokelo nimekutana na ndugu zangu hawa. Nawauliza mnatoka wapi?"Sisi natoka Monduli kwa Msee ole Lowassa.Wewe fahamu yeye?" Nawaambia ni rafiki yangu.Wananiambia, "piga picha pelekea yeye".Hakika Binaadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni Moja.
Nasikitika kuwatangazia kifo cha Baba yangu mdogo, Agen Mwandosya, kolichotokea alfajiri ya leo baada kupata "changamoto ya kupumua", kwa jina jingine Corona au Covid 19. Kama tangazo hili litasaidia kuokoa maisha ya Mtanzania hata mmoja tu, itakuwa pole tosha na faraja kwetu.
Jana nilikuwa naongea na kijana mmoja kutoka mjini. Akaniambia, "Mzee Mwandosya huku mjini misiba ni mingi mno. Tunajichagulia tu twende wapi kuzika au kuhani...". Kwa lugha nyepesi alikuwa akitoa ujumbe mzito. Nami nautuma kama ulivyo kwa Watawala na wahusika wote.
A rare and joyous moment. I have met with Mrs Elda Kisyombe Simwaba, my 1957 Standard I teacher at Majengo Primary School,
#Mbeya
,
#Tanzania
.
Ni furaja iliyoje kukutana na Mwalimu Elda Kisyombe Simwaba. Alinifundisha darasa la kwanza, Shule ya Msingi Majengo, Mbeya mwaka 1957.
Ushuhuda
Kwa muda wa zaidi ya mwezi mmoja nimekuwa nikiugua na kutibiwa ugonjwa wa
#COVID19
unaotokana na virusi vya
#Corona
(SARS-CoV-2). Ni jinsi gani niliweza kuambukizwa ugonjwa huu kijijini kwetu Lufilyo, Busokelo, Mbeya, pamoja na kuzingatia tahadhari zote dhidi ya (1/7)
Katika Mkutano wake wa leo Mbeya, Mhe. Rais
@MagufuliJP
ametambua mchango wangu katika ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe. Namshukuru kwa dhati kwa heshima aliyonipa. Nami nawatambua na kuwashukuru waliounga mkono jitihada hizo wakati ule, ikiwa ni pamoja na:
Kwaheri rafiki, Dr Augustine Mahiga, mwalimu mwenzangu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Afisa Mwandamizi Usalama wa Taifa, Afisa Mwandamizi Shirika la Wakimbizi UN, Balozi wetu UN, Mbunge na Waziri. Mchango wako mkubwa hautasahaulika.Natoa pole kwa familia.
Upumzike kwa Amani milele.
Aprili 2014 Mhe.Kikwete aliniteua Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kwa kipindi kinachoisha 2020.Mhe.Pius Msekwa anachukua nafasi hiyo kuanzia leo.Nampongeza.Nashukuru kwa heshima ya kuwa Mlezi Mkuu wa Chuo. Asanteni jumuiya ya Chuo kwa ushirikiano mlionipatia.
Nimeisoma kwa makini sana barua ya wazi ya Profesa
@IssaShivji
kwa Mheshimiwa Rais
@SuluhuSamia
ikifafanua, kwa staha, heshima na lugha nyepesi (ambayo hata mimi nisiye 'Wakili Msomi' nimeielewa), Ardhi ni mali ya nani? Nashauri isomwe na wazalendo wote bila ghadhabu au hamaki.
Kwaheri Mama Mwamunyange. Umetutoka ghafla. Hatukupata hata muda wa kuagana.Ulikuwa kiungo muhimu cha koo zetu. Tunakumbuka ulikuja kwenye maziko ya mama yetu Segelile Ifunga, uliungana nasi nilipotimiza miaka 70.Pole Generali Mstaafu Davis Mwamunyange,Dada Rhoda na familia. RIP
"Mwenyezi Mungu ana kazi nyingi za kufanya. Anaangalia dunia nzima. Hawezi akawa hapa
#Uganda
tu akiwaangalia wajinga (punguani)".
Rais
@KagutaMuseveni
akiwatahadharisha Waganda wanaokiuka miongozo ya Serikali dhidi ya
#Corona
au
#Covid19
.
Edson Arantes do Nascimento, (Pelé), mcheza soka maarufu sana aliyewahi kutokea, amefariki dunia. Mwenyezi Mungu ampe amani ya milele.
Pelé, the greatest soccer player that ever lived,is no more. The legend lives forever. RIP
Pic. Pelé (middle),my wife Lucy(left),and I, 2015.
My publishers have forwarded to me a copy of the book I have authored, REGULATORY CHALLENGES IN AFRICA,soon to be available in Dar es Salaam.
I would like to list those of you who may wish to get a copy. It will sell for Tsh 40,000/= and 55,000/=soft and hard copy, respectively.
Blessed to reach 70 on 28 December 2019.Lucky to be joined for a thanksgiving mass in Lufilyo by my Malangali Secondary School teachers.From left:Mr Ambangile Mwakilembe(Kiswahili);Mr Charles Muhitira(History, Maths);I and wife Lucy;Mr Clement Bendera(Physics Chemistry,Geography)
Nawashukuru kwa dhati wale wote mlioniletea salaam za heri kutumiza miaka 71 leo.Nimehemewa na namshukuru Mwenyezi Mungu.
On the occassion of my 71st birthday today,I am overwhelmed by the greetings I have received from family, friends and well-wishers.Many thanks to you all.
Prof. Benno Ndulu, mchumi uliyebobea, mwalimu mwenzetu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, umelitumikia Taifa lako
#Tanzania
, umeitumikia
#Africa
na Dunia nzima, kwa weledi wa hali ya juu. Naipa pole familia, Benki Kuu ya Tanzania, na WanaIfakara. Pumzika kwa amani, milele. RIP.
Vijana wengi hutaka kuja kuniona kijijini Lufilyo 'kuchota hekima na busara'. Huwa nawaambia sina, nilizitumia nikiwa kijana.Lakini karibuni. Mje na 'gum boots'. Mara nyingi niko shambani.Marehemu Edward Balugira Munyagi Barongo alikuwa maarufu kwa kaulimbiu:MAISHA BORA,SHAMBANI.
Ni msiba Mkubwa. Ni msiba wa Kitaifa. Mtume Paulo,kupitia kwa Wafilipi,ametuasa, "Kwa maana kwangu mimi,kuishi ni Kristo na kufa ni faida.Kama nitaendelea kuishi katika mwili,hii itaniwezesha kufanya kazi yenye matunda. Lakini natamani nikakae na Kristo". RIP. Kwaheri
@MagufuliJP
Siku chache zilizopita Mheshimiwa Rais
@SuluhuSamia
ametangaza kuundwa kwa kamati ya ushauri ya
#coronavirus
. Tunamshukuru. Tunaiomba kamati itupe anwani ya baruapepe ya Mwenyekiti au Katibu wa kamati ili wananchi tupeleke maoni na ushauri. Baadhi yetu ni wahanga wa Covid 19.
Mzee Kenneth David Kaunda, teacher, freedom fighter, writer, philosopher, founding father of
#Zambia
, is 97 today. We thank Almighty God for the gift of his life as we wish him a very HAPPY BIRTHDAY and many more returns.
#kennethkaunda
Leo nimepata bahati na heshima kubwa kumtembelea nyumbani kwake Mhe. Joseph Sinde Warioba, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu. Nimetumia nafasi hiyo kumkabidhi kitabu nilichokiandika kwa kiingereza kuhusu changamoto za usimamizi wa huduma za kiuchumi Afrika.
I have turned 74 today. Thanks to Almighty God for the grace and blessings.Thanks to my wife Akiiki; Max; Sekela and Emmanuel; Tusekile; Lusekelo and Queen; family; friends, well-wishers, for your prayers and best wishes.
Namshukuru Mola kutimiza miaka 74. Asanteni kwa dua.
Kwa heri binamu yangu Gervas Angyelile Mwaifunga. Umetutoka baada ya kupata 'changamoto ya kupumua'. Mwenyezi Mungu aipe rehema roho yako na aipe subira familia yako. Pumzika kwa amani.
HAPPY BIRTHDAY Mzee wetu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi. Mwenyezi Mungu akupe afya njema na maisha marefu. WISHING YOU MANY MORE RETURNS.
Picha: Mzee Mwinyi, kushoto, akiniapisha kuwa Katibu Mkuu Maji, Nishati na Madini mwaka1990. Katikati Balozi Paul Rupia, Katibu Kiongozi.
"Hatukukutana barabarani". Jana tumekutana na Rais Mstaafu Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Kiwanja cha Ndege cha Songwe. Yupo Mbeya kwenye Mahafali ya Chuo cha Tiba cha UDSM.Picha ya kwanza, mwaka 1989 tukimpokea Mzee Abdulwakil (RIP)kiwanda cha mafuta TIPER.Picha ya pili,Jana,Mbeya.
Congratulations H.E.
@WilliamsRuto
, President-Elect of the Republic of Kenya for your resounding success. As you have succinctly put it,"there is no loser, Kenya has won".Wishing you continued good health, grace and wisdom as you you prepare to serve
#Kenya
and
#EastAfrica
.
#RIPKobeBryant
. We mourn the tragic loss of a global basketball superstar and legend,his daughter Gigi and others in a copter accident.We condole with the families of the deceased, and basketball fans all over.
Picture:
@kobebryant
left,and Max Mwandosya,Philadelphia USA, 1996.
The anchor of the family, my dear wife Lucy Marunga Akiiki has turned 73 today. We wish you a very HAPPY BIRTHDAY, continued good health and plenty of blessings.
Pictures, with me and our daughter Sekela in Lufilyo, Busokelo,
#Tanzania
.
A large African tree (Mvule-Milicia excelsa), a giant of the struggle for the liberation of Southern Africa, a teacher, a philosopher, an author, a moral compass and a talented musician, has fallen. Kenneth David Kaunda(KK), the first President of Zambia, is no more... (1/3)
Nikimpa hongera Mbunge wa Mbeya Mhe.Joseph Mbilinyi kwa kuhitimu Chuo cha Uanasiasa,Gereza la Ruanda,Mbeya.Kutofautiana vyama,itikadi na misimamo kusilete uhasama na uadui.Mungu Ibariki Tanzania.
Congratulating Hon.Joseph Mbilinyi-right after graduating from Ruanda Prison Mbeya.
This bird is a constant companion at home in Lufilyo. Does anyone know its name, and its biological name too?
Huyu ndege anaitwa 'Mbututu' kinyakyusa. Je anaitwa nini kwa majina mengine na kibaiolojia?
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Edson Arantes do Nascimento, anayejulikana kama Pelé. Mcheza soka maarufu sana aliyewahi kutokea, ametimiza miaka 80. Tunamwomba Mola ampe maisha marefu zaidi.
Picha:
@LMwandosya
kushoto,
#Pele80
katikati, na
@MarkMwandosya
kulia, Dubai 2015.
Kifo cha Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad kimenisikitisha mimi na familia. Nimemfahamu miaka mingi.Maalim Seif,kiongozi shupavu, ameitumikia Zanzibar kwa upendo na uzalendo mkubwa. Pichani mimi kushoto na Maalim Seif kulia alipokuja kunijulia hali katika hospitali ya Hyderabad. RIP
Hongera Bi Zuhura Yunus Abdallah
@venusnyota
kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Umetuwakilisha
#BBC
vilivyo. Karibu nyumbani
#Tanzania
. Hongera pia kwa kuandika kitabu: Biubwa Amour Zahor. Pichani, nakisoma nikiwa kijijini.
Matangazo ya mikusanyiko mikubwa ya Injili mwezi Oktoba kuhusu Imani,Upendo Miujiza imesambaa sana.Wizara ya Afya inasema nini kuhusu jambo hili katika kipindi hiki cha Uviko19 (Covid19)?
Hivi kweli waheshimiwa Wainjilisti hawa wageni wanaweza kuwa na mikusanyiko hii huko kwao?
Taarifa ya kifo cha ndugu yangu John Livingstone Mwakipesile,aliyekuwa Mbunge mwenzangu na baadaye Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, imenisikitisha.Natoa pole kwa familia yake. Mwenyezi Mungu amrehemu. Apumzike kwa amani.
Kutoka kulia:
John Mwakipesile, Kofi Annan na mimi, Mbeya Mei 2011.
Nimepokea kwa mshitiko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Mheshimiwa Benjamin William Mkapa. Ni msiba mkubwa wa kitaifa na Afrika kupoteza tunu. Nilipata bahati ya kumfahamu kwa karibu sana kabla na baada ya yeye kuwa Rais.Yatosha kumkumbuka kama muungwana, mstaarabu,msikivu,
Taarifa ya kifo cha ndugu,kaka na rafiki Jaji (Mstaafu) Raymond Ambilikile Mwaikasu,kilichotokea 17 Februari 2021 inasikitisha. Ameugua kwa muda mfupi.Daima tutakumbuka utumishi wake uliotukuka.Raha ya milele umpe Ee Bwana;na mwanga wa milele umwangazie,apumzike kwa amani. Amen.
Happy 80th Birthday Hon. Salim Ahmed Salim, a titan of African diplomacy, and an icon of leadership in Tanzania's development. We join the family in wishing him robust health and many more returns. Picture (courtesy of Ahmed Salim): Salim Ahmed Salim, right; and Mwalimu Nyerere
During the recent University of Dar es Salaam(UDSM) Mwalimu Nyerere intellectual Festival,one presenter lamented the diminishing intellectual vigour,valor and prowess in the discussions at,and output of,UDSM. Food for thought for faculty, students,alumni, convocation and society.
Siku kama ya leo, mwaka 2016,Samuel John Sitta(wa pili kushoto)ulitutoka duniani ili ukapumzike.Mola aendelee kukupa raha ya milele na kukuangazia mwanga wa milele.
Samuel John Sitta (2nd left),on a day like today in 2016 you left us for heaven. You now belong to the ages. RIP.
The pedestal of the family, Lucy Marunga Akiiki (seated), my dear wife, turned 72 today. We wish you a very Happy Birthday and many more happy returns of the day.
Picture: standing from left, Sekela, me, and Max.
Siku kama ya leo mwaka 1999 Baba wa Taifa la
#Tanzania
, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alitutoka.
Kwenye kumbukizi hii, tukumbushane wosia wake kuhusu maendeleo: "Ili tuendelee, tunahitaji vitu vinne: Watu, Ardhi, Siasa Safi, na Uongozi Bora".
Roho yake Iendelee kukaa Peponi.
Nimefuatilia kwa makini ziara ya Mheshimiwa Rais
@SuluhuSamia
nchini Kenya yenye mafanikio makubwa. Kilele ilikuwa ni hotuba ya kusisimua aliyoitoa kikao cha pamoja cha mabunge yote mawili ya Kenya. Kwa maneno yake Wafanyabiashara mna 'Uhuru' kwani 'Suluhu' imepatikana.
Mhe. Salim Ahmed Salim amempoteza mkewe, Mama Amne Salim mhimili muhimu wa familia yake. Naungana na Watanzania wengine wengi katika kumpa pole yeye na familia yake kwa msiba huu mkubwa.Mwenyezi Mungu awape subira katika kipindi hiki kigumu.
Inna lillahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
#TeamAston
An old African adage goes: "If you do not know where you are going, you should at least remember where yo have come from". It is exactly 45 years today since
@AstonUniversity
duly admitted me to the degree of Bachelor of Science with First Class Honours..
RIP Jaji Mstaafu Samwel Victor Gibson Karua. Tumekua pamoja Majengo, Mbeya. Natoa pole kwa familia yako, Dada Christine Kilindu, Kaka George Kilindu, ndugu, marafiki zako, na wenzako katika tasnia ya sheria. Mwenyezi Mungu Airehemu Roho Yako.
mateso na taabu za kukabiliana na maradhi haya.
Hakika siwezi kumtakia mtu mwingine yeyote, hata aliye adui yangu mkubwa namna gani, kama yupo, apate ugonjwa huu.
Tutakiane Pasaka njema. Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania. Pro Deo et patrina. (7/7)
Balozi John William Kijazi amefariki. Alikuwa mwanafunzi wetu Kitivo cha Uhandisi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Akiwa Katibu Mkuu Ujenzi, nilikuwa Waziri wa mawasiliano. Akiwa Balozi India alifuatilia kwa karibu sana maendeleo ya afya yangu Apollo Hyderabad.Kwaheri muungwana. RIP
Tumepokea tangazo la kifo cha Mzee wetu mpendwa Mhe. Ali Hassan Mwinyi, kwa masikitiko makubwa. Rais Mwinyi alituvusha katika kipindi kigumu kama Taifa. Daima tutamkumbuka. RIP.
Picha: Akiniapisha kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Maji, Nishati na Madini, Novemba 1990.
Rafiki nandugu yangu, tuliyemaliza pamoja Chuo cha Ufundi Dar es Salaam mwaka 1970, Mhandisi Justus Humphrey Luhanga, amefariki leo Mbeya baada ya kuugua kwa muda mfupi. Alienda Mbeya kwenye maziko ya mdogo wake wiki iliyopita. Justus ni mdogo wa Elijah na Profesa Luhanga. RIP
Tumepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha ndugu yetu, kaka yetu na rafiki wa karibu, Mhandisi na msanifu wa majengo, Ambwene Tonnie Homeli Mwakyusa kilichotokea juzi Dar es Salaam baada ya kuugua muda mfupi. Mimi na familia yangu tumeishiwa maneno. Apumzike kwa amani.
I guess I am not lucky when it comes to travelling with
@AirTanzania
.I was booked for a 10.35am flight to Entebbe.The flight was delayed to 18.20hrs.Checked in early only to be informed the flight had been delayed again to 20hrs. Still waiting at the departure gate,full of hope.
Leo nimepata heshima ya kuonana na kuzungumza na Mhe.
@JMakamba
, Waziri wa Nishati, na Waziri mwenye dhamana ya EWURA.
Paying a courtesy call on Hon.
@JMakamba
, Minister for Energy, and Minister responsible for the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA).
Mzee Al Noor Kassum (Nick),amefariki leo. Mmoja watu wa karibu wa Mwalimu Nyerere, amewahi kuwa Waziri Mdogo, Balozi wa UNESCO, Waziri Jumuiya ya Afrika Mashariki, na Waziri. Amechangia sana katika maendeleo ya nishati na petroli nchini.Tunamshukuru Mungu kwa uhai wake (RIP).
Fare-thee-well Edward Ngoyai Lowassa. The life of a patriot has come to an end. My family and I deeply condole with Regina, Fred, the entire family, and fellow compatriots.Eternal rest grant unto him,O Lord,and let perpetual light shine upon him. May his soul rest in peace.Amen.
George Mubezi Lwakatare, kijana wa familia rafiki ya Samwel na Jairus Lwakatare amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi. Pole haitoshi hata hivyo ipokeeni. Mwenyezi Mungu amuweke George mahala pema peponi. RIP.
A teacher-student reunion is always a happy occasion. Here I am with Engineer Emil Magige Nyerere (right), who I taught Control Systems,EE441,at the Faculty of Engineering, University of Dar es Salaam, in the early 1980s.We have met at the Mwalimu Nyerere Centenary Celebrations.
Once in a lifetime one comes into contact with a giant whose contribution to world peace and development is without measure. You did Ghana,Africa and the world honour; a super global diplomat such that UN Secretary General and Kofi Annan are synonymous. Fare Thee Well Kofi. RIP.
Napenda kumpongeza, kwa dhati kabisa, Mhe.
@SuluhuSamia
kwa kuchaguliwa, kwa kishindo, kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa. Ushindi huo mkubwa unashiria imani, matumaini, na matarajio makubwa ya wanachama na wananchi juu yako. Nikutakie afya njema na baraka tele.
Nimealikwa na Chuo Kikuu cha Comoro kutoa Mhadhara juu ya Mchango wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika Ukombozi na Maendeleo ya Afrika.
Commemorating the 19th Annivesary of the passing of Mwalimu Nyerere, I have been invited by the University of Comoro to be the main speaker.
Leo tunatimiza na kusherehekea miaka 59 ya Uhuru wa Nchi yetu. Ni muda mzuri wa kutafakari tulikotoka, tulipo na tunakoelekea. Turekebishe mapungufu. Tuwe na maono yenye malengo ya mbali, tukikumbuka wenzetu China na India wako mbali. Kwao sasa anga haina mipaka.
Professor Hulda Swai of the Nelson Mandela African Institute of Science and Technology has won the 2020
#AfricaUnion
Kwame Nkrumah Continental Award for Scientific Excellence. Congratulations. You are an inspiration to African women and men in STEM.
Picture: by The Citizen.
Africa has lost a spiritual guide, a moral compass,and a great theologian. Archbishop Desmond Mpilo Tutu has gone with the angels. His soul shall live forever. Fare-thee-well, Hamba Kahle, Kwaheri Baba Askofu Tutu. RIP.
From right, Bishop Tutu, Emmanuel Mwandosya, and I, in 1994
Kwa niaba ya familia, natoa pole kwa ndugu, marafiki na ukoo wa Korosso wa Kajunjumele, Kyela na pengine. Tumesikitika kupokea taarifa ya kifo cha David Korosso, kilichotokea jana, Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mfupi. David ni mtoto wa Marehemu Jaji Goodwill Korosso. RIP
Down memory lane: Accompanied by grandson Lusekelo today,toured the University of Dar es Salaam main campus where I taught for 26 years until 2020.
Pics:Former Faculty of Engineering;Iconic Nkrumah Hall;Unique architecture of the campus mosque;Former residence 25 Kileleni Road.
Wahenga wanasema picha ina thamani zaidi ya maneno alfu lela ulela. Kipande cha mkanda wa video Je?
They say a picture is worth more than a thousand and one words. What is the worth of a video clip?
Kwaheri mdogo wangu Christopher Thomas Mullemwah, uliyewahi kuwa Diwani wa Ipinga, Halmashauri ya Wilaya ya Kyela. RIP.
Farewell Christopher Thomas Mullemwah, Former Councillor, Kyela District Council. RIP
Pamoja na mvua kuchelewa sana, tunamwomba Rabuka, pambazuko, mawio na mandhari ya kuvutia ya Matema Beach leo, yaashirie heri, amani, upendo na mema kwa nchi yetu mwaka mpya wa 2022.
HAPPY NEW YEAR
The book: 38 Reflections on Mwalimu Nyerere, by Mark Mwandosya and Juma Mwapachu published by
@MkukiNaNyota
, should be available soon.
This is our humble contribution to Mwalimu's Centenary. Please preorder on the publisher's webshop:
Another long awaited book:
38 REFLECTIONS ON MWALIMU NYERERE, is now available at
@MkukiNaNyota
@TPHbookshop
and
Assisted by my wife Lucy Akiiki, I had the pleasure of signing a few copies today at our home in Mbeya to herald the arrival of the book.
Mara kwa mara nikitumiwa picha na ndugu na marafiki, wakiwa wawili au zaidi, wakiwa hawajavaa barakoa, nawauliza, Vipi?Wanajibu,"Mzee tunazo barakoa ila tulizitoa ili tupate picha".Jibu langu huwa, "Je, mna maelewano na virusi vya Corona ili visimame pembeni muda wa kupata picha?
The long awaited book, Regulatory Challenges in Africa: An Empirical Analysis is now readily available at
@MkukiNaNyota
@TPHbookshop
and
I had the pleasure of signing a few copies today at our home to herald the arrival and distribution of the book.
maradhi haya ni kitendawili. Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uhai, zawadi ya Pasaka. Nawashukuru pia mke wangu Lucy Akiiki, watoto na wajukuu, familia za Kahigwa na Mwandosya, Madaktari na Wauguzi wangu katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, na (2/7)
Mhandisi Suleiman Seleiman (RIP) aliyekuwa Mkurugenzi wa Uhandisi,Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA);na Mhe.Cynthia Ngoye,aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum,Mbeya. Nawatambua pia waliokuwa Wabunge wa Mkoa wa Mbeya,na Wabunge wote wa Bunge la nane la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
amepitia hayo yaliyonisibu.
Nawaomba, tena kwa unyenyekevu mkubwa, Mhe.
@SuluhuSamia
, Mhe.
@DrPhilipMpango
na Mhe,
@DrHmwinyi
, Rais wa
#zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwamba, tuongozwe na sayansi, na tuungane na tushirikiane na wenzetu duniani kote katika (5/7)
kupambana na ugonjwa huu kama tunavyofanya katika milipuko ya magonjwa mengine. Kwani katika mlipuko wowote, hakuna anayeweza kuwa salama mpaka wote duniani tumekuwa salama.
Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu ni kwamba, ikiwezekana, Mtanzania mwingine awaye yote aepushwe na (6/7)