Mzaliwa wako wa kwanza ni LANGO ambalo Mungu anataka kulitumia kupitisha vya kwake kwenye familia lakini na shetani nae anawawinda sana na anajua akimpata huyo ni rahisi sana kuwaharibu wadogo zake.
Sisi wazaliwa wa kwanza Mungu atuongoze🙏🙏
Sijakata ni kweli pesa sina lakini ninachofurahi ni kuwa wanaonitegemea wanapata tabasam kupitia juhudi zangu, ❤️😃😃😃 kuna msemo nawaambianga pale kwangu kila asubuhi my daughter's sitawaangusha
Kuna muda kwenye maisha ni lazima uache kubishana na watu hata kama upo sahihi,na uwaruhusu waendelee kuamini wanachokiamia kuhusu wewe
Good morning my billionaire ❤️
Kila siku nilikuwa namwambia My brother kama unachepuka chepuka na mtu wa hadhi yako alikuwa haelewi 😔leo yamemkuta 😂😂 ngoja niende zangu isakalilo mimi 🤣🤣🤣
Haitapendeza kuwaona wana Kawe wakija na malalamiko ya maendeleo hapa maana wana wabunge wawili saiz wote wa chama teule na wanatekeleza ahadi zao kwa wananchi wao 🙏🙏😂😂