Wanasoka walilelewa kwenye Akademi za virabu vyao na kupandishwa timu kubwa kwa kiwango bora zaidi. Fungua
- Thread- 🧵
1. Bukayo Saka - Arsenal (Hale End)
Wanaume Jifunzeni Hili👇
Juzi nilihudhuria msiba wa rafiki yangu mmoja na mkewe. Yeye na mkewe walifariki kwa ajali ya gari, wameacha watoto wawili mmoja wa miaka kumi na mwingine wa miaka minne wakike, mkubwa ni wa kiume. Mimi kama rafiki nilikuwa karibu sana na watoto
Jinsi ya kutibu upungufu wa mbegu za kiume kwa kudumu Kabisa na kuweza ili kumpa mwanamke ujauzito 🤰
kwa kutumia vitu laisi vinaptikana majumbani kwetu
Thread🍿
Mnamo mwaka 1993 huko Sudan, Kevin Carter alipiga picha ya tai anayesubiri msichana mwenye njaa afe ili aweze kummeza ...
Picha hii👇 ilimfanya ajiue
Thread 🧵
Dunia imewahi kua na majiji na,miji mikubwa ya kifahari yenye pilikapilika na Starehe za kila namna, Ila matajiri wa kiarabu wa SAUDIA ARABIA wanafanya kufuru ivi sasa
Soma hii THREAD 👇
TENDO LA NDOA kwa wana NDOA NI CHAKULA!.
Tendo la ndoa sio tu kutengeneza watoto. Lazima uwe mwanamke tofauti na mume wako kila wakati. Mdanganye mumeo, usikubali kila mara mumeo akuombe Mapenzi, lazima pasiwe na ratiba ya kufanya mapenzi.
Jifunze hapa:
THREAD👇
RAMANI YA DUNIA NI UONGO, WANAIFANYA AFRIKA IONEKANE NDOGO KULIKO ILIVYO...
SHANGAA🙆♂️ KWA NINI HAWAFUNDISHI HII SHULENI, lakini hapa kuna nadharia🤔 kwa nini hawafundishi.
Angalia thread.🧵
Usifanye maamuzi yenye mashaka, subra inaweza kukufunza namna nyingine nzuri zaidi. wasi wasi wako waweza kuwa ndio tahadhari yakuepuka & kupunguza makosa.
Ukitaka kuishi maisha mazuri hapa duniani, watue watu mzigo si kuwatwisha,wasitiri si kuwaanika,wafariji si kuwasononesha,wafute machozi si kuwaliza." 🙏🙏
Huwezi kuona taswira yako katika maji yanayochemka. Vile vile, huwezi kuona ukweli katika maisha yako katika hali ya hasira. Hasira hupoteza uhalisia wa ukweli. 📌
NO,1) Vladimir putin
rais wa urusi ni mmoja wa wanasiasa wenye nguvu duniani, analindwa na wakala wa usalama wa juu pamoja na jeshi la nchi hiyo. Hii ndiyo sababu putin amejipanga ili kuepuka Kuchangiwa na maadui zake kwa muda mrefu
The biggest obstacle in finding, finding and owning happiness in your life is yourself. Happiness comes from the inside not the outside." na Furaha si Pesa
Nawashukuru wote kwa maombi yenu, michago yenu kwa namna yeyote ile . X ni familia kubwa sana
Mmeshiliki kwa kiwango kikubwa mno
Nimemwambia Baba na wadogo zangu kua kuna ndg zangu pia wako X APP. Wamewashukulu sana. kwakujitoa kwenu
Mama💔 tumempumzisha salama.🙏