HIMEZI Profile Banner
HIMEZI Profile
HIMEZI

@DeadBodiie

Followers
2,651
Following
767
Media
189
Statuses
54,174

Ni neema tu ya Mungu🙏.

Joined January 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupitie kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
45
119
383
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wazee wawili huko ughaibuni baada ya kustaafu wakaamua kutumia 180,000$ kulibadilisha semi trela kuwa nyumba inayotembea yenye kila kitu ndani yake na kuishi humo😂😂
Tweet media one
36
70
2K
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wataalamu hivi hili panga hua ni la kazi gani kwenye siku ya harusi
Tweet media one
198
63
1K
@DeadBodiie
HIMEZI
3 months
Dulla maplaneti kayakanyaga😂
Tweet media one
66
30
1K
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wataalamu wa GYM nini kifanyike kwa harmonize mpaka sasa🤔🤔
Tweet media one
86
32
879
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
#MarineAdventures Sad😥 Hivi karibuni huko fukwe za Hawaii marekani nyangumi mdogo amekutwa amekufa na alipochunguzwa na MS tumboni mwake akakutwa na -uchafu wa plastic -nyenzo za uvuvi kama vile hagfish traps(6), aina 7 za neti za uvuvi,mabegi 2 ya plastic, tochi na mishipi 6
Tweet media one
102
76
857
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Apreciation tweet kwa John Amanam mwafrica wa kwanza na mnaigeria kutengeneza viungo bandia kwa ajili watu weusi🙌🙏
Tweet media one
26
78
610
@DeadBodiie
HIMEZI
5 months
Kwa hiyo hapa Engineer hawezi kuchukuliwa hatua yoyote na jeshi la marekani??
Tweet media one
53
33
581
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Jamaa baada ya kuona juhudi za kupunguza uzito zimeshindikana akaamua kuhama mbali na nyumbani kwao na kuenda kijiji ambacho ni kigeni kwake na kukaa huko kwa miaka 17 bila mawasiliano yoyote kwa familia na marafiki zake ndipo alipopungua na kurudi kwao. Umejifunza chochote🤔
Tweet media one
48
57
520
@DeadBodiie
HIMEZI
20 days
Ugonjwa wa vidonda vya tumbo husababishwa na nini na ukoje maana kila sehemu unasikia huyu kafariki kwa vidonda vya tumbo. Kesi zimekua nyingi sana, shangaa wengi labda tunao. 💔🕊️
37
50
511
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wataalam wa lugha picha hapa ina maanisha nini🤔🤔
Tweet media one
61
48
459
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Ndoto ya kila mwanaume ni kuoa mwanamke mchapa kazi😁 Karibuni Shinyanga❤
Tweet media one
60
55
376
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Ma slay queen wa mjini wakiujua huu mkorogo wa King tumeisha 😁🙌
Tweet media one
38
30
340
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Sema huyu maza hanaga mchezo kabisa na kazi, ua anamgombeza burna kama sio mwanawe Mwanamke wa kwanza Afrika kua manager wa msanii mkubwa barani africa.
Tweet media one
9
22
321
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Hawa ndio SuperWomen na Malkia wa nguvu Sasa. Hao wengine ni Hela zao tu zinawabeba na kupewa hizo tunzo
Tweet media one
14
33
250
@DeadBodiie
HIMEZI
19 days
Ukipata muda katika ratiba yako ya maombi ombea ndugu zako wenye changamoto ya ulevi wa kupindukia
33
54
258
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupitie kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
30
74
236
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupite kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
23
68
237
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupitie kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
30
70
234
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupitie kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
23
60
231
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Rest in peace AKA🕊
Tweet media one
7
29
216
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupitie kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
33
77
207
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Mheshimu sana mtu anaekutunzia Dm zako za hovyo hovyo humu😂💔
34
25
213
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupitie kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
24
71
208
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning EveryOne.
31
55
204
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wakishua watajua hapa ni kwa mganga!!!
Tweet media one
39
40
189
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Huyu dada kamaanisha nini kupiga picha ya namna hii??🤔🤔🤔
Tweet media one
35
19
181
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kadri kunavozidi kucha ndivyo unavyousogelea umauti, usipokufa leo kesho utakufa.
19
34
179
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Ukipata muda katika ratiba zako za maombi usisasahau kuomba Amani ya Taifa la Tanzania.
31
70
185
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Diamond na Alikiba wote wasaniii bora wa muda wote lakini wamepisha aina ya muziki wanaoimba Diamond anaimba muziki wa kucheza na anaoweza kuperform jukwaani na watu wakawa na vibe Alikiba anaimba muziki wa kusikiliza
Tweet media one
12
30
169
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Kanuni yetu ni ile ile hata tupitie kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
18
55
167
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Bila unafiki" Single Again "ya Harmonize imepenya sana kila Kona ya Tanzania na Africa 🔥🙌. Akiachia video ya viwango inaweza kuombwa kollabo hata na wasanii wakubwa nje
Tweet media one
10
30
150
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
#MarineAdventure Huyu anaitwa Samaki Lax mwekundu anaepatikana katika bahari ya pacific. Huyu anaangua mayai yake katika mito na kuenda kuishi kwenye bahari na akimaliza tu kutaga mayai kwa mara moja anakufa.
Tweet media one
28
34
151
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kwenye remix ya "SETE" Diamond kafanya unyama sana tena kwa lugha safi ya kiswahili mwanzo mwisho🔥🙌🙌
Tweet media one
15
32
147
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Tweet media one
0
3
152
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Usiwe mtu mwema kupitia kiasi kama mshumaa yaani unaungua wenyewe ili wengine waangaziwe. Acha huo ujinga mara moja.
18
52
151
@DeadBodiie
HIMEZI
16 days
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People
52
62
151
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Aisee hata kama ni lugha ya picha, sasa hapa inamaanisha nini hii🤔🤔
Tweet media one
30
21
143
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Believe in God leo tupo kesho hatupo, good morning twitter friends🤝🏿🤝🏻.
36
44
140
@DeadBodiie
HIMEZI
28 days
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People
45
62
141
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning twitter family
39
44
134
@DeadBodiie
HIMEZI
30 days
Vaa Uhusika wako acha mambo ya kijinga kijinga ya SIFA na KUIGIZA
39
62
139
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Hali ya sasa ya wasanii waliodhani Diamond kibongo bongo haeleweki😂😂😂
Tweet media one
8
18
128
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People
32
67
138
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People.
31
60
136
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning God's people. God answers in time
48
54
125
@DeadBodiie
HIMEZI
24 days
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People
27
43
131
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
WaRwanda wanatumia mbinu gani kuenea hivi ulaya na kwenye vilabu vikubwa duniani?? Tanzania tunashindwa kufanya hili hata kwa Manchester United🤔🤔
Tweet media one
15
18
124
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning twitter friends. Keep in mind that the heaven is real, live lovely, peacefull and rightfull.
33
61
127
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Mimi nitaamini Diamond ni msanii mkubwa endapo atafanya kollabo na hawa 1. Edsheran 2.JB 3. Drake 4. Dj khaled na wengine kama unaweza kuwataja Vinginevyo tutazidi kumuona wakawaida sana hata kama atawazidi wenzake kwenye mauzo
Tweet media one
15
29
125
@DeadBodiie
HIMEZI
2 months
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning EveryOne.
31
53
129
@DeadBodiie
HIMEZI
21 days
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People
21
48
129
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kanuni yetu ni ile ile hata tupite kwenye mazuri na magumu ya namna gani, lakini hatuwezi kusahau kumwabudu na kumwomba Mungu.
10
38
122
@DeadBodiie
HIMEZI
27 days
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning Everyone 🌄
39
57
125
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning twitter family, never quit in praying.
23
42
126
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning twitter family friends.
46
52
118
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Kwa ile video mimi nitaendelea kuwaheshimu wanawaka wote duniani. Na Mungu awabariki sana aiseee🙌🙌
18
32
118
@DeadBodiie
HIMEZI
27 days
Maisha hayaturuhusu turudi nyuma tukarekebishe tulikokosea Bali huturuhusu tuishi vizuri kuliko Jana.
33
64
123
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning God's people. And your race should be chasing money.
34
46
112
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning Every One. Love your family.
38
47
115
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Hatujatenda mema sana mpaka tukaamka asubuhi salama, ila rehema na neema zake tu Mungu.
20
48
111
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Pumzika kwa Amani Iddy Mobby Shinyanga haitakusahau ❤️🕊🕊
Tweet media one
7
14
109
@DeadBodiie
HIMEZI
2 months
Sio kwamba sisi tumetenda mema sana ya kumpendeza Mungu, Lahasha!! Ni Neema tu zake. Good morning God's People
39
70
116
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning God's people.
40
46
110
@DeadBodiie
HIMEZI
12 days
Watu wengine watakuchukia kirahisi bila sababu maalum, eti kisa unang'aa zaidi yao. Ni kawaida endelea kung'aa.
20
40
119
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Sorry wakuu naomba kuuliza ,hivi ukifululiza kula buti jioni kwa wiki moja kuna madhara yoyote naweza kuyapa kiafya??
Tweet media one
22
14
114
@DeadBodiie
HIMEZI
2 months
Huwezi kulazimisha kila mtu akuheshimu, lakini usiruhusu vitendo vya dharau wakufanyie. Good morning God's People 🤍🙏
38
74
114
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wallpaper threads👇👇
Tweet media one
17
12
108
@DeadBodiie
HIMEZI
20 days
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People 🤍🙏
51
59
114
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning Every One🤝🏿🤝🏻.
28
41
112
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wataalam wa picha, nini maana ake hii🤔🤔
Tweet media one
19
26
103
@DeadBodiie
HIMEZI
26 days
Maisha ni kama kuendesha baiskeli,Ili uwe na balance ni lazima uendelee kusonga mbele kwa kusukuma pedeli.
32
54
113
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA njema kutoka kwa Mungu. Good morning God's People 🙏🤍
35
53
112
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Yani leo asubuhi nimeenda kumtoa mtu polisi ikabidi na mimi wanihifadhi kwa muda😂😂
20
28
111
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning God's people
36
57
105
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning God's people. Have nice day
36
44
101
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Usifurahi juu ya anguko la mwenzako.
22
32
103
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning twitter friends.
37
32
100
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning God's people
40
48
101
@DeadBodiie
HIMEZI
5 months
Good morning watu wa Mungu🤍🤝.
47
62
102
@DeadBodiie
HIMEZI
2 months
Ili yapate baraka ni lazima uyanunue kwanza alafu uyapeleke yakaombewe🚮🚮. Mungu tusaidie hizi zama za mwisho.
15
53
104
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning Every One. No matter what, respect your elders.
35
42
97
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
What a Love❤ Juzi kwenye tuzo za Grammy Quavo aka Huncho aliperform style zote za marehemu takeOff kwa kumuenzi na kutambua mchango wake kwenye kundi la migos na maisha yake binafsi. RIPTakeOff🕊🕊
Tweet media one
4
19
102
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning chosen One. Love should not drive you crazy.
39
44
97
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Wakuu emergency ukiwa kwenye lift na unataka kushuka kwa floor flani ndio unabonyeza kitufe gani?? Maana hapa ninaenda ninarudi sioni pakushuka😥🤔
18
24
102
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
It is a new day🇹🇿. God bless Mara, Mwanza, Kagera, Simiyu and its people.
27
47
100
@DeadBodiie
HIMEZI
2 months
Hakuna zawadi nzuri kama UHAI na AFYA nzuri kutoka kwa Mungu. Good morning God's People 🙏🤍
31
57
104
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning God's people.
55
47
98
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Unavyopunguza kuwajibu wanaokusema vibaya, ndivyo amani ya moyo inavyozidi kuongezeka kwako
8
38
102
@DeadBodiie
HIMEZI
3 months
Producer wa beat ya "Reason with me" by RudeBoy. Unampa ngapi kwenye 5/5
Tweet media one
10
23
102
@DeadBodiie
HIMEZI
2 months
Yakubali mapito yako bila kujutia, yashike yaliyopo kwa ujasiri na yatazame yajayo bila woga. Good morning God's People 🤍🤝.
33
69
100
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Kama bado unashobokea watoto wa 2000 pole, Sasa hivi tuko na vya 2005 achana na mabibi hayo😂.
17
47
102
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning twitter friends
34
49
98
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Kuwatoa baadhi ya watu maishani mwako sio kwamba unawachukia, lahasha ni vile unajidhamini na kujiheshimu tu.
15
42
102
@DeadBodiie
HIMEZI
1 month
Karma ipo. Waza mazuri,sema vizuri, tenda mazuri kwa wengine na yote haya hujirudi kwako. Good morning God's People.
23
54
99
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Basata wanaisubiri kwa hamu chakula ya diamond na gnako wara wara waitafune😂😂😂
10
20
97
@DeadBodiie
HIMEZI
2 years
Good morning Every One.
43
49
91