Hivi kwa mfano ukapata hela unataka kujenga nyumba hapa Dar es salaam na pembezoni mwa Dar utajenga wapi?
1.Kigamboni
2.Kibaha
3.Bagamoyo
4.Mbagala
5.Gongolamboto
Binti wa miaka 19 huko South Sudan anaumiza vichwa vya wanaume matajiri wawili sababu ya uzuri wake ulio pambwa na urefu wa futi 7 na weusi wa kuvutia.
Mwanaume wa kwanza katoa Million 51 ng'ombe 150. Wa pili yuko mbioni kutoa ng'ombe 350 gari Toyota V6 pamoja na kujenga nyumba.
Ikiwa mungu amenichora kwenye vitanga vya mikono yake na kuta zangu zipo mbele yake binadamu ni nani hata nimuhofu? ni nini mpk nimuogope? Adui ni nani mpk nijifiche? yy aliye upande wangu ameishasema nisiogope Assurance yake ndio Insurance yangu
I am blessed beyond the blessings
Nilihama single room nikaenda One bed room,🤗wacha jioni nirudi toka job niingie kwa nyumba sikuona kitanda💔😱weeeh si nika faint time nilikua naingizwa kwa ambulance ndio nikakumbuka kitanda kipo kwa bed room 😂😂Hii mambo sijazoea kbsa 😆😆