A man gambles with what he has. ||chelsea fc ๐ fans || Subaru fans || IT-codexes. ๏ฃฟ ๏ฃฟ ๏ฃฟ deal withโArticles||funny๐||Books||. ||mfalme wa Twiter||zuri โค๏ธ
Hapa unakuta msela anae kula nyau Hana hata mia alafu ni mhuni alafu kuna Big Nicky anamiliki adi zahanati ila alambi kitu ni mizinga tu anapigwa.๐๐๐๐ฝ
TANZANIA ๐น๐ฟ
Wanamuziki kama kina ,Nandy,Zuchu,Mauwa sama,Finna,abbychams,Mimi Mars,Caren,โฆHawa si ni wanawake na wengine wanao watoto wa kike na wao ni wanawake pia
Ukiachana na hao wakongwe,,,kwamba hawajaliona hili kwamba mtu akibakwa
Ni anajiuza ni kahaba pia tunae
Utaratibu ni ule ule
1.punguza umuhimu kwenye maisha ya watu
2.ukihitajika utaitwa.
3.kama inakuhusu utapewa taarifa.
4.punguza ushauri,watu wana mipango Yao tayari.
5.inawezekana ni kweli lakini hayakuhusu.
6.wapenzi hawashauriwi kwenye mapenzi Yao.
:Rudia kusoma tena.!
UJUMBE MZITO KWA WASOMI ZANGU.โค๏ธ๐ฅ
โโโโโโโโโโโโโโโโโโโโ
Usimpoteze unae mpenda kwa sababu ya tama ya siku moja๐
Usimruhusu aende๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ป๐๐
Usimuache unae mpenda โค๏ธ kwa sababu ya matatizo yake madogo madogo.
Rafiki yangu hakuna pasipo nyesha๐ฅบ
Hakuna mtu asiye kuwa na
WASOMI ZANGU ZINGATIENI HILI
1. Usioge maji ya moto
2. Usidate na ex wa mshikaji
3. Usivae chupi
4. Usilie
5. Msalimie kila mwanaume hata kama ni kichaa
6. Jiongezee demu wa mchizi akija ghetto usile kibudu
7. Ukikamatwa umecheat, kamwe usikubali ila jihukumu mwenyewe.
8.
Mimi naamini katika kitu kimoja kama mungu ndie aliye muumba mwanadamu kwa Mfano wake na akampangia maisha ya kuishi na pumzi za kutosha atoruhusu lolote baya limkute mtu wake mja wake sisi Kama familia yako bro tunaomboleza na kufunga tunaamini upo salama na hakuna chochote
Maisha yako yanastahili yawe kama kitabu, kila siku ukurasa mpya, kila saa maandishi mapya, kila dakika neno, na katika sekunde kile ambacho kinaweza kubadilisha hadithi yako.
wakuu tusiache kuomba mungu yupo all the
Time wazee huyo alie nipa sumu na kujaribu
Kuniua ajue nipo mzima mungu atoki kwao
And Iโm okay right now ๐ฅน๐คฒ๐ผ๐๐ฝ
Mungu akusaidie ufanikiwe ili uje uyafute
Machozi ya mama na baba yako waliyo kuwa
Wakiyatoa sirini wakikuombea mafanikio pasipo
Hata wewe kujua.๐๐ฝ
Watu wakiwa wanapost jinsi MUNGU alivyo
Wabariki Acha kuwa Na roho mbaya Na kusema
Wanaringa,Muombe MUNGU akubariki na wewe
Uache makasiriko ubarikiwe kama wao walivyo
Barikiwa.๐