Yeremia 32: 27
Tazama, mimi ni BWANA, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza?
Behold, I am the LORD, the God of all flesh: is there any thing too hard for me?
Kuna siku tumeenda kucheki game ya UEFA ile tunarudi tunakutana na foleni kama hii, roll call ishapitishwa.
Mimi na wahuni wangu ikabidi tujifanye kuna mtu kazimia bwenini tukaanza kupiga yowe. 😁
Kuna mwanangu ananunuaga wale malaya wa laki 2 mpaka laki 3 mamaee ni wanawake wakali.
Chimbo lao lile kuna mademu wakali, unaweza kumuona demu wako msenge
Jana ndio niligundua Twitter watu Wanajielewa ndio Maana huu mtandao unaheshimiwa,zile comments za insta zinaonyesha insta walivyo na akili finyu.
Twitter ni nchi nyingine Amini nawachana wakali.!!
Mnaambiwa photo Dump zina hamasisha umalaya halafu mnakasirika.
Ukweli ni kwamba wadada wengi Maisha hawana kama Mimi hapa ila wanatumia photo Dump kuoshea watu.
Mtazidi kutombwa sana kwa Tamaa zenu.
Manina nyie.🚮
TUPATE STORY KIDOGO.🍿😁
Kuna mwanangu alinipa namba za demu pisi kali kweli, maringo kibao text zenyewe anajibu kwa maringo, nikawa naview status tu kila siku.
Sikuchoka, nikagundua anapenda expensive life maisha ambayo yeye mwenyewe hawezi ku-afford.
TUENDELEE..👇👇
Bifu langu na wavuta sigara halitafikia ukomo.
Hawa wasenge hawana ustaarabu hata kidogo kila sehemu wanapuliza tu uchafu wao wanajali starehe zao tu hawajui kama wanakera wengine. 🚮
Wakali zangu Jana jioni nilitapeliwa buku 4 kigamboni sehemu moja wanaita kwa Rasa.
Nilikula msosi wa buku 4 Ila sikushiba, Amini nawachana nilitapeliwa ile pesa.
Wale wacheza porno wanaunganisha (ga) zile clips (scene) ndio maana unaona anaipiga Mali muda mrefu bila kumwaga mpaka unashangaa binadamu gani huyu hamwagi.
Unaweza kujiona mgonjwa kwamba unamwaga haraka, kijana usiingie mkenge, hiyo ndio kazi ya production team sasa.😂
Yule Manzi ambaye anataka kupakuliwa nyuma wanenu wa humu hawajaruka naye kwa sababu ni mali yao, angekuwa yule kibogoyo Leo angepikwa siku nzima.
Watu Wana maslahi yao hapo.😁
Oyaa wazee ile OPPO tumeshinda tayari tarehe 22 kuna mtu ataifata huko Dar mimi niko makambako home.
Shukrani na pongezi nyingi kwa kila mtu aliyenipa support kwa namna yoyote ile.
Hata kama hukutoa support bado sisi ni wamoja.
MUNGU awabariki wanangu wote.
TUISHI.
Juzi Kati hapo nilipata demu wa chuo akaja ghetto, kafriji kana vinyama na soda, unga upo halafu akishiba anaangalia movies kwenye PC.
Yule mbwa hakwenda chuo wiki 2 nikaanza sasa kujipa majukumu ya wazazi nikawa namlazimisha aende chuo.
Njaa Kali sana.
Kama upo Dar nataka mtu wa kwenda kuchukua hiyo simu mimi nipo home makambako njoo DM na..
Cheti Cha kuzaliwa
Namba za Nida
Cheti Cha utambulisho wa mtaa
Passport
Cheti Cha JKT
NB: USIWE NA HISTORIA YA UHALIFU.
Yaani mwanamke anajua kabisa yupo kwenye ndoa halafu bado anachelewa kurudi nyumbani mbaya zaidi anapigiwa simu hapokei.
Mwanaume anaamua kumkanda halafu mnasema anaonewa.?
Humu mnatetea sana mambo ya kijinga sana.
Al Ahly mechi ya mtoano anacheza kwa mahesabu makali mnoo, Simba ATATOLEWA.
Mamelodi yeye anajulikana anapenda kumpiga mtu Kono la nyani, UTOPOLO watatoka Ila wachunge aggregate isiwe kubwa.
Timu zote za bongo zitatoka.
Wazee Ile oppo jana tumeidaka, Ina unyama mwingi ndani yake.
Shukrani Sana kwa support yenu then shukrani Nyingi Kwa OPPO wametoa Zawadi bila chenga. 👊
NB: Achana na quality ya picha.
1. Fanya IBADA mara nyingi zaidi
2. Toa ZAKA
3. Fanya TOBA
4. Pata nafasi ya KUFUNGA na KUSALI
5. Saidia YATIMA/wenye UHITAJI kwa chochote kitu.
6. Samehe mara nyingi zaidi.
7. SALI mara nyingi usiku kuliko mchana
8. Usilale bila kusali hata kama una uchovu kiasi gani ✍️
Unapomtongoza mwanamke mwenye mtoto lazima akuulize..
"uko tayari kudate na mwanamke mwenye mtoto"
Usikurupuke wewe mjibu kwamba..
"Watoto ni Baraka kutoka kwa Mungu siwezi kumchukia kiumbe asiye na hatia"
Chap tu anakupa mzigo. 😂
Upepo wa yule tajiri muhaya umekuja vibaya sana,mabuloo wenu wenye pesa wana duku duku moyoni wanahofia kutombewa mademu zao, chuki zipo chini chini, mvurugano ni mkubwa.
Demu wako analiwa Kwa ONE CALL tu.
I LOVE THIS GAME.
Mnaofanya unafki kwenye hii ishu na kujifanya kuumizwa na kupost hiyo video while wakati hajapatikana hamkuonyesha ushirikiano wowote niseme tu mbarikiwe kwa Moyo wenu.
Your highest level of hypocrisy is crazy, mtabarikiwa sana.
Wakuu msaidieni mdau hapa Kwa chochote kitu ili aweze kufanya Pepa jumatatu, anapungukiwa 100k ana 640k tayari.
Control number ya Kulipia
994400389575 (CRDB)
0624590004 (Halopesa)
jina: Mackton Wela
Pitisheni buku buku mwanangu apige Pepa atimize ndoto zake.🤝
Wanangu wote tuliokutana humu tukashare machache tuliyo nayo au tumekuwa watu kufurahi na kucheka, daily Nawaombea Sana mfanikiwe kwenye hustle zenu.
Nyie ni watu Wema Sana,👊✊
Arsenal haijawahi kushinda UEFA.
Davido hajawahi kushinda Grammy.
Tyla kapiga hit song moja tu "water" kapata grammy tayari.
Sijui nilikuwa nataka kusema Nini ila WIZKID aheshimiwe.
TAARIFA KWA UMMA.
Ningependa kuwataarifu kwamba Mimi kama Noedson, sijasafiri kwenda Dodoma kuchukua mchele wa msaada.
Najiweza kiuchumi, Nina magari 7 nina private jet 2 namiliki na casino kubwa Texas-USA.
Wanaoendelea kusambaza taharuki watachukulia hatua kali za kisheria.