Nilikuwa jikoni napika, gafla kwenye mlango si nikashika Nyoka jamani😥😭 nimesisimkaa siyo kidogo... Kama alitumwa kuja kuharibu maisha yangu namrudisha alipotoka kwa jina la Yesu Kristo aliye hai.. huniwezi na hautaniweza ushindwe shetani
Nimekuja kuamini mtu mwenye roho nzuri kufanikiwa ni ngumu sana. Mafanikio yanahitaji roho mbaya, yani saivi ubaya ubayani. Ukipenda niite Mama ubaya 😎
Sijui me ni mshamba... ila napenda kumbadilisha mwanaume ninayempenda like hair cutting mafuta ya kupaka, aina ya mavazi,manukato broo yani nakuweka venyee aina ya kila mdada anayemtaka😎
Nimerequest bolt, imefika natoka njee ni Crown... nikashtuka kwanza na kuuliza ndo wewe bolt akajibu ndiyo. Ameniambia maisha magumu ndo maana imebidi atumie hii Crown yake.
HAPPY BIRTHDAY NONOBANKS! 🎂Mungu ninakushukuru kwa zawadi ya uzima na afya njema mimi na familia yangu. Nakuomba ukaendelee kunipa hekima, utu, busara na kipato cha halali. Ukanitenge na watu wa vibarazani, unafki, chuki na dharau. Amen🙏
Sema tuishi vizuri na watu, huwezi jua kesho yetu ipoje. Leo nimeenda kununua samaki sehemu nikakutana na rafiki yangu wa zamani like 6 years ago. Bro kwanza akamwambia muuzaji mpe samaki, maini na nyama kilo 1 kwa kila moja,mayai trei zima. Aloo🙌🤗
Nina rafiki yangu mmoja, aliniambia kuna siku alimwambia BF wake nakuja home... jamaa akamjibu hapana sitaki uje kwangu hadi nikukaribishe mwenyewe 😂😂 kila nikiwaza nacheka sana 😂😂😂😂