Carol Ndosi Profile Banner
Carol Ndosi Profile
Carol Ndosi

@CarolNdosi

Followers
590,346
Following
2,797
Media
16,349
Statuses
345,253
Explore trending content on Musk Viewer
@CarolNdosi
Carol Ndosi
8 months
This actually happened!!! Woiiii!
100
2K
3K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Peter Kibatala Appreciation Tweet.
51
319
3K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Tunahitaji Katiba Mpya.
402
447
3K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
1 year
42
243
3K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Men struggle and go through a lot in the name of ‘be a man’…Mungu azidi kuwapa nguvu maana 🙌🏾🙌🏾
146
350
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Mungu akawabariki WANAUME wote wanaojituma na kutimiza wajibu wao lakini wanaelemewa na majukumu mbalimbali. Awatie nguvu na kuwapa busara na uvumilivu.
248
244
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Wadogo zangu wa kike/kiume..acheni hii tabia ya kujirekodi wakati mnafanya mapenzi. Mnajiaminisha ni mapenzi lakini 1 ni UVUNJAJI wa SHERIA na 2 ni upumbavu ambao unaweza kukuharibia kabisa maisha yako ya sasa na baadae. Don’t be stupid. Don’t break the law. The internet never...
190
293
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Zari ananifanya nijione muoga 🤦🏾‍♀️ aisee 🙌🏾
183
43
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Kijana wa kitanzania unayeamka na kujituma kutafuta riziki kihalali kwa namna moja au nyingine..naomba nikupongeze..naomba nikupe moyo usikate tamaa..safari inaweza kuonekana ndefu sana sasa hivi lakini utafika tu.
96
275
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Brunch at #SundayCookout tukiwa na Couple ya Mwaka 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
108
49
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
7 years
Leave No One Behind- We want to build a vocational school for teenage mothers in #Tanzania who are banned from re-entry.Specifically targeting those who were sexually assaulted & forced into early marriages. Please support the cause and spread the word
Tweet media one
132
634
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
11 months
Nimeibiwa jamani 😭😭😭😭 wametupulizia dawa
945
97
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Facts only….
147
830
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Fanya starehe zote, lakini hakikisha unalala pazuri...
132
100
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Najaribu sana kuelewa Rais wangu mpendwa..nataka sana kuelewa…ila nimeshindwa. What is happening? Why jamani? @SuluhuSamia
136
131
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Tweet media one
110
38
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Eti nyie naniiiiiiiiii kweli ‘amekamatwa’?😳
131
41
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Wanaume wanaonewa sana na hii role ya ‘uprovider’…Sis take care of some of those majukumu..Hebu saidieni wenzenu jamani sio kuishia kununua nywele za Milioni tu kila siku wakati you can afford to take care of some of the family expenses..
149
201
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Tuishi.
Tweet media one
77
39
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Haya jamani..Ana Mil 40…Anahitaji ushauri 👇🏾👇🏾
Tweet media one
622
149
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
One day at a time. Alhamdulilah 🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
94
39
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Dr. Carol Ndosi (To Be) Insh’allah 🙏🏾
Tweet media one
98
56
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
HATIMAYE!! - tunaanza kurelease chapters @GetrudeMligo thank you for your patience and persistence... "Kunyanyuka, kuanguka na kunyanyuka tena kwa Queen Kunta" on Scribd: @Scribd ReadMore
Tweet media one
102
189
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
5 years
Atukuzwe Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu..
142
108
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
My dada wa nyumbani kaanza shule leo National College of Tourism - To become a professional Chef. Nimekaa naye 6+ years na ingawa nimemfundisha kupika vyote ninavyojua mimi nataka awe certified kabisa. Have big plans for her Inshallah. Chef Zippowise Mtu M-badi!!
Tweet media one
183
109
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Mapenzi Upuuuusi! Tutafute pesa..
309
95
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Tweet media one
61
39
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
5 years
Kabila gani #Tanzania ni wapole na wanaongoza kwa kuwa humble na tabia njema?
770
48
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Kuna mtu inabidi asikie hili..
Tweet media one
81
186
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
1 year
Dear Girlchild - It can and it has been done. 💪🏾💪🏾
Tweet media one
51
96
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Innovation is NOT just digital technology..
Tweet media one
Tweet media two
54
258
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 months
Na kweli aisee!! Hivi lakini kuna nini hadi wamejaa zaidi kule?
Tweet media one
174
60
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Msukuma wa Kwanza kupiga goti. @rollymsouth
Tweet media one
Tweet media two
188
36
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 months
#SautiZao imezaa @ZetuSiasa Mabibi na Mabwana -Tunaomba mpokee Podcast Mpya (Audio & Visual) ya SIASA ZETU. Jukwaa hili linakwenda kujadili mambo mbali mbali yanayohusiana na Siasa za #Tanzania likiwa na lengo la kuhamasisha mijadala ya kiraia 5th June - Loading 💪🏾 #SiasaZetu
35
107
2K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
10 months
Aliyekua anakua wa 1 darasani kwenu Miaka yote sasa hivi anafanya kazi gani?
539
99
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
1 year
#LimaNaCarol Supporting women farmers in rural areas is a complex issue that requires a multifaceted approach. One needs to address challenges related to land ownership, access to resources, training, market access, technology& gender equality. #FoodSystems #Agriculture
Tweet media one
Tweet media two
13
72
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Kiimani si vema kushangilia anguko la mwenzako hata awe amekuumiza na kukuangusha kiasi gani. Ubinadamu ndio unatufanya tusahau hili na kushangilia...lakini tukumbuke laweza kutufika na sie tusipojiangalia mienendo yetu na kuishi katika hofu ya Mungu ya UKWELI.
151
126
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Release your limiting beliefs to step into your inner power. #Energy
Tweet media one
Tweet media two
137
53
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
7 months
Beautiful Morning…😍😍 Alhamdulillah
Tweet media one
224
33
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
11 months
Asanteni - tumeenda polisi na hosp we are recovering. Major set back kwa kweli I ‘m gutted! Nimeishiwa na nguvu kabisa 😭😭
176
48
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Tulikua tunaenda vizuri tu jamani Ibilisi gani limeingia sasa hivi? We were actually healing..dah…
91
70
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
5 years
Ukipata nafasi ya kuwashirikisha wengine kwenye kazi wapate na wao chochote, fanya hivyo. Kuna baraka kwenye kusaidia kupatikana kwa riziki ya wengine.
52
277
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Just DO IT! 😄
Tweet media one
53
26
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
38!! Nothing but love, gratitude, respect, humility and ENERGY.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
174
59
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
When I grow up..I want to be like JK! 🙌🏾
Tweet media one
67
79
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
@tanpol Niko Oysterbay Police - kosa langu ni kuchukua video ya mtu tuliyemkuta kwenye ajali (hakugonga mtu yoyote) anasukumwa na kupigwa na polisi aingie kwenye gari wakati yeye alishasema sio dereva. Nimepigwa na kuumizwa na askari g. 8682 na askari J 563
384
248
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Respect.
Tweet media one
25
46
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Bonnie & Clyde 🇹🇿 version 😁😁
Tweet media one
35
31
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
6 years
Nikitafakari ile gari ilivyobadilika rangi na jinsi walivyopita Selander bridge hadi Gymkhana ‘Kumshusha’..
Tweet media one
109
130
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Hawa followers wanavyo miminika leo 🙌🏾🙌🏾
124
22
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Tunaishi jamani..na dogo langu la nguvu @rollymsouth
Tweet media one
Tweet media two
74
23
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
11 months
Unapiga hatua 50 unarudishwa nyuma hatua 1000..Lord give us strength
151
72
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Simba Klabu kubwa sana jamani! Low budget production achaneni nazo toeni kazi creatives wa Tanzania wawafurahishe.
83
69
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Mtakuja tukifanya event ya hivi?
Tweet media one
152
45
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Samahani lakini..CCM kwanini wasiweje mfumo wa kidijitali wa kupiga kura? Haya madumu na makaratasi hadi lini?
143
32
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Nimekubali…SISI NI WAJINGA @rollymsouth #SayNoTozo
107
149
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Dada Carol at #GillWedsLucy
Tweet media one
57
29
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
1 month
Mpaka hii June 2024 @LPDigitalTZ kupitia program tofauti za #DigitalTanzania offline na online tumeweza kufikia vijana na wanawake #Tanzania zaidi ya 1000+ Kati ya hawa 37% ni wanawake. Lengo letu ni kuwafikia moja kwa moja wanawake 500 #Tanzania hadi kufikia mwaka 2025.
14
92
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Hivi kweli mtu anaweza akakupenda lakini akawa hajali ukiumwa? Yaani not concerned kabisa?
301
49
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
“Mara zote muulize Mungu kazi uliyoniita kufanya hapa duniani ni ipi?”
62
71
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
5 years
Vijana acheni kutaka mafanikio ya haraka. Trust the process! Hamna unalopitia ambalo ni bahati mbaya..amini katika safari yako na uongeze juhudi..lakini ISHI KWENYE UHALISIA... wa yanayo wezekana kwa nafasi na mazingira yako. Too many youngins stressing over the ‘gram life’
50
288
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Love and light..and yes the theme is fire!! 😁
Tweet media one
107
31
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Samahani mkuu @mwigulunchemba1 tulivyo pitisha haya makato mapya tulifikiria 'financial inclusion' na hatua tulizopiga kwenye hili kupitia mobile money and how haya makato mapya will totally set us back? Samahani lakini...
186
103
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Kwahiyoooo…Majaliwa ataendelea na mafunzo ya jeshi?
156
32
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Nikiwaambiaga watu mshahara niliokua nalipwa nilivyokua TV huwa hawaamini. Lkn ndio mazingira ya kazi na nilikua content kwa wakati ule sababu nilikua najua naitumia Media kama platform ya ya kutengeneza njia ya kuja kufanya vitu vingine mbeleni.Very few wanalipwa vizuri todate.
47
61
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Vijana wa Kike na wa Kiume 🤦🏾‍♀️…Punguzeni kupenda vya BURE na Kulelewa. Fanyeni kazi. Work for it. Unless of course umeamua kuifanya ‘profession’ then no judgement zone..but tofauti na hapo, PIGA KAZI, get YOURS. Stop this vitonga nonsense.
118
118
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Tweet media one
106
33
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Ondoa kimoja TU!!
Tweet media one
484
29
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Tunahitaji wataalam wa Utalii wajiunge na hii space tafadhali We need people who work in the Tourism sector to join this space - if you are on set a reminder here 👇🏾👇🏾
71
66
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
SayNoTozo
Tweet media one
54
199
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
My names are Carol Juliette Asnath Ngamakisi Mfu’oko Moses Aremu Jonas Kishinda Samali Ndosi. Daughter of Alice Shamge & The Late Major Moses Ndosi. I am a mother of 2 beautiful brilliant daughters and a sister to 6 Sisters & 6 Brothers. I believe in sustainable development.
Tweet media one
95
71
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
'A Man has to provide'...another depression trap for men..unakuta hana kitu kabisa....lakini anajibana maskini kisa...rejea mabano hapo juu..Mungu awape nguvu. Wanawake pia this is 2021 jamani..handle your share of the load. Split the bill when & if you can.
105
174
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
6 years
Vijana wenzangu (Bado nipo nipo) tupendande..na kama tunaona kupendana ni mzigo basi tuamini tu kila mtu ana riziki yake. Haya mambo ya kumbania mwenzako, au kuponda mwenzako anachofanya hayafai jamani. Never undermine someone’s hustle.
59
258
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Wanaume wanaweza kukupa furaha sana. Sana.
136
64
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Hackers wanaitwaje kwa kiswahili?
359
30
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Hatimaye leo nimekutana live na @ManenoIzaak yaaaani 😁😁😁
Tweet media one
Tweet media two
168
40
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
ALIYESIMAMA HAPA NI RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA AMBAYE MAUMBILE YAKE NI MWANAMKE - Rais Samia Suluhu Hassan
41
87
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Lol! Huwa nacheka sana mtu akisema, ‘Shepu ya Kimeru’ mara ‘Miguu ya Kimeru’…kwahiyo mnataka niikate au? Ndio nilivyoumbwa na Mwenyezi Mungu…halafu mjue nini..sidhani kama mapungufu yangu (kama ni mapungufu) yanakupunguzia chochote WEWE. Ukiteseka bonga na Mungu arudie uumbaji.
187
37
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Nazipeleka wapi sasa? @rollymsouth
Tweet media one
105
24
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Jamani kwa wale wenye Tanks wameweka juu..tuwe makini na kucheck Vifuniko kuwa tank limefunikwa - a friend just found 3 dead Kungurus inside his tank na walikua wanatumia maji kupikia 😔
155
63
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Majanga! Nimegongwa jana smdh! But still woke up smiling my first born graduates grade 7 today! Proud Mother! 🙏🏾🙏🏾
107
19
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Mheshimiwa Rais wangu mpendwa @SuluhuSamia Nakusalimia katika jina la jamhuri ya Muungano wa #Tanzania .
41
36
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Beautiful! #CocoNaDenge
Tweet media one
31
42
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Kaka zang/Wanaume jitahidini na mazoezi.
185
40
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Wakaka jipendeni (kama iko ndani ya uwezo wako) Shati kali, Kiatu kikali, Mkanda Mkali, Saa Kali..na mnukie jamani hata zile Albaity sijui..mnapendeza sana mkiwa hivi. Utanashati na usafi muhimu pale panapo wezekana.
108
106
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Dar es Salaam by night 😁 When @MxCarter is behind the lens.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
69
67
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Lidada fulani hivi likubwa likubwa lirefu refu linajifanya liko serious kila saa..
Tweet media one
Tweet media two
98
32
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
5 years
Na ikawe wiki yenye baraka na neema tele kwako..Mwenyezi Mungu akutimizie maombi yako.
61
100
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Can we call it a day already 😪
Tweet media one
125
24
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Magomeni Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
104
28
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
6 years
Ewe Kijana BADILIKA. Mashirika mbalimbali yanajitahidi kutoa mafunzo mengi bila gharama yoyote, Wewe una jukumu la kuhakikisha unajifunza kutokana na malengo yako na kucommitt muda wako. Invest in yourself for your own personal and professional development. Tuache kufuata 'NAULI'
70
250
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
1 year
#LimaNaCarol Majuzi niliuliza kama ‘organic farming’ ni gharama zaidi🥦🥕🍆👩‍🌾👩🏿‍🌾🥒 Kwenye kujifunza nilibahatika kukutana na Mama Shujaa Elinuru anaye fanya kilimo ikolojia. KILA KITU kinategemeana shambani kwake na watu wanatoka nchi mbali mbali kuja kujifunza hapo Tengeru.
20
110
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Hivi where is that Musiba guy?? 😞
114
21
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
Prayers up for Freeman Mbowe 🙏🏾
27
83
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
3 years
GOD is good! 🙏🏾
Tweet media one
59
19
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Adam Mchomvu!! 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
37
22
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
2 years
Uko serious sana! @bvrbvra Hongera..Kweli Superbowl ya Kibongo
13
41
1K
@CarolNdosi
Carol Ndosi
4 years
Ninasadiki kwa Mungu mmoja..baba mwenyezi Muumba wa Dunia...na kwa Yesu Kristu..mzaliwa pekee..Mungu Mwana..
24
53
1K