Mungu akawabariki WANAUME wote wanaojituma na kutimiza wajibu wao lakini wanaelemewa na majukumu mbalimbali.
Awatie nguvu na kuwapa busara na uvumilivu.
Wadogo zangu wa kike/kiume..acheni hii tabia ya kujirekodi wakati mnafanya mapenzi. Mnajiaminisha ni mapenzi lakini 1 ni UVUNJAJI wa SHERIA na 2 ni upumbavu ambao unaweza kukuharibia kabisa maisha yako ya sasa na baadae. Don’t be stupid. Don’t break the law. The internet never...
Kijana wa kitanzania unayeamka na kujituma kutafuta riziki kihalali kwa namna moja au nyingine..naomba nikupongeze..naomba nikupe moyo usikate tamaa..safari inaweza kuonekana ndefu sana sasa hivi lakini utafika tu.
Leave No One Behind- We want to build a vocational school for teenage mothers in
#Tanzania
who are banned from re-entry.Specifically targeting those who were sexually assaulted & forced into early marriages. Please support the cause and spread the word
Wanaume wanaonewa sana na hii role ya ‘uprovider’…Sis take care of some of those majukumu..Hebu saidieni wenzenu jamani sio kuishia kununua nywele za Milioni tu kila siku wakati you can afford to take care of some of the family expenses..
HATIMAYE!! - tunaanza kurelease chapters
@GetrudeMligo
thank you for your patience and persistence...
"Kunyanyuka, kuanguka na kunyanyuka tena kwa Queen Kunta"
on Scribd:
@Scribd
ReadMore
My dada wa nyumbani kaanza shule leo National College of Tourism - To become a professional Chef.
Nimekaa naye 6+ years na ingawa nimemfundisha kupika vyote ninavyojua mimi nataka awe certified kabisa.
Have big plans for her Inshallah.
Chef Zippowise Mtu M-badi!!
#SautiZao
imezaa
@ZetuSiasa
Mabibi na Mabwana -Tunaomba mpokee Podcast Mpya (Audio & Visual) ya SIASA ZETU.
Jukwaa hili linakwenda kujadili mambo mbali mbali yanayohusiana na Siasa za
#Tanzania
likiwa na lengo la kuhamasisha mijadala ya kiraia
5th June - Loading 💪🏾
#SiasaZetu
#LimaNaCarol
Supporting women farmers in rural areas is a complex issue that requires a multifaceted approach.
One needs to address challenges related to land ownership, access to resources, training, market access, technology& gender equality.
#FoodSystems
#Agriculture
Kiimani si vema kushangilia anguko la mwenzako hata awe amekuumiza na kukuangusha kiasi gani. Ubinadamu ndio unatufanya tusahau hili na kushangilia...lakini tukumbuke laweza kutufika na sie tusipojiangalia mienendo yetu na kuishi katika hofu ya Mungu ya UKWELI.
Ukipata nafasi ya kuwashirikisha wengine kwenye kazi wapate na wao chochote, fanya hivyo. Kuna baraka kwenye kusaidia kupatikana kwa riziki ya wengine.
@tanpol
Niko Oysterbay Police - kosa langu ni kuchukua video ya mtu tuliyemkuta kwenye ajali (hakugonga mtu yoyote) anasukumwa na kupigwa na polisi aingie kwenye gari wakati yeye alishasema sio dereva. Nimepigwa na kuumizwa na askari g. 8682 na askari J 563
Mpaka hii June 2024
@LPDigitalTZ
kupitia program tofauti za
#DigitalTanzania
offline na online tumeweza kufikia vijana na wanawake
#Tanzania
zaidi ya 1000+
Kati ya hawa 37% ni wanawake.
Lengo letu ni kuwafikia moja kwa moja wanawake 500
#Tanzania
hadi kufikia mwaka 2025.
Vijana acheni kutaka mafanikio ya haraka.
Trust the process! Hamna unalopitia ambalo ni bahati mbaya..amini katika safari yako na uongeze juhudi..lakini ISHI KWENYE UHALISIA... wa yanayo wezekana kwa nafasi na mazingira yako.
Too many youngins stressing over the ‘gram life’
Samahani mkuu
@mwigulunchemba1
tulivyo pitisha haya makato mapya tulifikiria 'financial inclusion' na hatua tulizopiga kwenye hili kupitia mobile money and how haya makato mapya will totally set us back? Samahani lakini...
Nikiwaambiaga watu mshahara niliokua nalipwa nilivyokua TV huwa hawaamini. Lkn ndio mazingira ya kazi na nilikua content kwa wakati ule sababu nilikua najua naitumia Media kama platform ya ya kutengeneza njia ya kuja kufanya vitu vingine mbeleni.Very few wanalipwa vizuri todate.
Vijana wa Kike na wa Kiume 🤦🏾♀️…Punguzeni kupenda vya BURE na Kulelewa. Fanyeni kazi. Work for it.
Unless of course umeamua kuifanya ‘profession’ then no judgement zone..but tofauti na hapo, PIGA KAZI, get YOURS. Stop this vitonga nonsense.
Tunahitaji wataalam wa Utalii wajiunge na hii space tafadhali
We need people who work in the Tourism sector to join this space - if you are on set a reminder here 👇🏾👇🏾
My names are Carol Juliette Asnath Ngamakisi Mfu’oko Moses Aremu Jonas Kishinda Samali Ndosi.
Daughter of Alice Shamge & The Late Major Moses Ndosi.
I am a mother of 2 beautiful brilliant daughters and a sister to 6 Sisters & 6 Brothers.
I believe in sustainable development.
'A Man has to provide'...another depression trap for men..unakuta hana kitu kabisa....lakini anajibana maskini kisa...rejea mabano hapo juu..Mungu awape nguvu. Wanawake pia this is 2021 jamani..handle your share of the load. Split the bill when & if you can.
Vijana wenzangu (Bado nipo nipo) tupendande..na kama tunaona kupendana ni mzigo basi tuamini tu kila mtu ana riziki yake. Haya mambo ya kumbania mwenzako, au kuponda mwenzako anachofanya hayafai jamani. Never undermine someone’s hustle.
Lol! Huwa nacheka sana mtu akisema, ‘Shepu ya Kimeru’ mara ‘Miguu ya Kimeru’…kwahiyo mnataka niikate au? Ndio nilivyoumbwa na Mwenyezi Mungu…halafu mjue nini..sidhani kama mapungufu yangu (kama ni mapungufu) yanakupunguzia chochote WEWE. Ukiteseka bonga na Mungu arudie uumbaji.
Jamani kwa wale wenye Tanks wameweka juu..tuwe makini na kucheck Vifuniko kuwa tank limefunikwa - a friend just found 3 dead Kungurus inside his tank na walikua wanatumia maji kupikia 😔
Wakaka jipendeni (kama iko ndani ya uwezo wako) Shati kali, Kiatu kikali, Mkanda Mkali, Saa Kali..na mnukie jamani hata zile Albaity sijui..mnapendeza sana mkiwa hivi.
Utanashati na usafi muhimu pale panapo wezekana.
Ewe Kijana BADILIKA. Mashirika mbalimbali yanajitahidi kutoa mafunzo mengi bila gharama yoyote, Wewe una jukumu la kuhakikisha unajifunza kutokana na malengo yako na kucommitt muda wako. Invest in yourself for your own personal and professional development. Tuache kufuata 'NAULI'
#LimaNaCarol
Majuzi niliuliza kama ‘organic farming’ ni gharama zaidi🥦🥕🍆👩🌾👩🏿🌾🥒
Kwenye kujifunza nilibahatika kukutana na Mama Shujaa Elinuru anaye fanya kilimo ikolojia.
KILA KITU kinategemeana shambani kwake na watu wanatoka nchi mbali mbali kuja kujifunza hapo Tengeru.