SHALIPOPO ✝️ Profile Banner
SHALIPOPO ✝️ Profile
SHALIPOPO ✝️

@jinnyX66

Followers
4,174
Following
2,858
Media
6,183
Statuses
54,979

I just deserve success, it’s my birthright.

vibe inc HQ
Joined April 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 hours
Nyimbo MPYA zilizotoka nzuri Nzuri hi hizi 🥲
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
21
40
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
8 months
kipindi shetta ana sema "yo baba qaylah" kumbe alikua anachanganya siasa na muziki sema huyu dogo ana confident moja Kali sana 🙌
Tweet media one
35
38
1K
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
Usicho kijua nikwamba Kaka yake ayrastarr ameajiriwa pale mavins Recon kama co-writer na ndiye muandishi wa hit song zote za ayra unazozijua
Tweet media one
15
52
1K
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
8 months
Marioo ukimpa verse kipande Chake kina Beba nyimbo lakini alifanya makosa kumpa verse Konde boy nahisi hata sahau 😂
Tweet media one
81
46
1K
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
Hiki kipande kinajibu maswali 100 ya Kwanini matikiti,Nchumali wala kibaka hamna mwenye sifa yakuitwa international artist
48
82
484
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
Ila kusema ukweli yanga isingecheza na hii mamelodi tunge zidi kudanganywa kua mamelodi ni tishio lakini ni Timu ya kawaida sana .
18
47
448
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
1 month
mtoto mzuri nilitaka kuuliza unajisaidia kweli nikakumbuka ulivyo chafua nyumba na mavi🙌
@OmggItsBambi
Bambi
1 month
Don’t mind me, It’s ovulation week.
61
30
374
147
41
430
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
halafu ukute na sketi kafupi 🔥
Tweet media one
Tweet media two
67
38
399
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
🚨🚨🧵✍️ LIL FROSH ; MSANII WA DAVIDO ALIYE HARIBULIWA CAREER YAKE YA MUZIKI NA MWANAMKE kama ilivyo kwa samsoni na Delila , Adam na Eva katika maandiko matakatifu basi hakuna jipya katika maisha yetu ya sasa matukio kama haya yamekua sio mageni maskioni mwetu
Tweet media one
31
64
388
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
🚨🚨🧵 UPDATE PLAYLIST YAKO NA NYIMBO (10) MPYA KALI KUTOKA AFROBEAT APRIL 26 1. Tems ~ love me jeje
Tweet media one
16
90
387
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Huu mfupa unaitwaje ??
Tweet media one
273
27
370
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 months
PLAYLIST YA NGOMA ZAKUSIKILIZA Kipindi hiki Cha baridi ukiwa umekumbatiwa🫂 1.Ric Hassan ~Angel
Tweet media one
30
126
372
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Tuko na Fisi hapa kijiweni tunapiganae story kama ni kweli yeye na sungura walikua marafiki au vip??😁
Tweet media one
47
39
363
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 months
Nimechoka kujiuliza wakuu Hivi Kuna wachaga ambao ni waislamu ???
Tweet media one
54
18
362
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
maisha Yana badilika imagine watu wa Twitter ndio tunasoma vizuri habari za kimambi
Tweet media one
16
31
350
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
"Leo ni sabato sitaweza kuja kukusalimia"
Tweet media one
11
30
343
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
😂😂😂aaah watu niwachokozi kisengee eti Ms Bee amepata msukule biashara yake ya asali na viatu iende
Tweet media one
64
36
306
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
nimetoka kuangalia video ya gharama kutoka kwa msanii wa Bongofleva 😁
Tweet media one
24
30
294
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
"Dk mbili chaliii" Baada ya kukutana na wasamaria wenye hasira Kali 😂
Tweet media one
9
23
287
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
10 months
MALKIA WA NGUVU 🌹 "Nilimchagua mama yangu kua meneja wangu kwasababu ni mtu pekee ninae muamini" ni maneno ya burna boy katika interview moja alipoulizwa Kwanini mama yake na sio mtu mwinginee kama meneja wake .
Tweet media one
23
82
286
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
SOUL SPEAKER ✍️🧵 Stanley Omah Didia jina la umaarufu Omahlay Aliyezaliwa 1997 May 19 Ni mwanamuziki na mwandishi wa nyimbo za Afrobeat kutokea maeneo ya River State nchini Nigeria ambae baada yakumaliza masomo yake ya sekondari alijiunga na University of port Harcourt
Tweet media one
28
82
286
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 months
PLAYLIST YA NGOMA ZAKUSIKILIZA UKIWA Umeachwa,Hutaki mapenzi au mapenzi yanakutesa✍️ 1. FIREBOY DML ~ God only knows
Tweet media one
30
116
288
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Jina halisi la Tiwa savage ni TIWATOPE OMOLARA SAVAGE 😂
Tweet media one
24
30
276
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
AMEWEKA ALAMA KUBWA KWENYE INDUSTRY YA AFROBEAT🧵✍️ Najua umekutana na story za Olamide kumsaidia Asake na fire boy Au Don jazzy kumsaidia Rema, ayrastarr,crayon na wasanii wakubwa pale nigeria kupitia labels zao Yani mavins na YBNL Basi...👇
Tweet media one
22
48
280
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
🧵✍️ 🚨🚨ITS WEEKEND UPDATE YOUR PLAYLIST NA NYIMBO MPYA (10) ZA AFROBEAT 🚀 1. Usher ft Burnaboy ~coming home
Tweet media one
15
76
274
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
11 months
🧵 KIJANA WA MAMA 🌹 "Mr money " Ahmade ololade stage name Asake ambalo nijina la mama yake Wengi wakiwa wanaamini alibahatisha nakutoboa mwaka 2022 lakini za ndani na record silizopo nikwambaa Asake ameanza sanaa kitamboo sana
Tweet media one
15
68
260
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
mapishi ili kaa mahali yake wazee 😂 #Cookwithshalipopo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
Mungu akibless Leo Nile chapati za kusukuma nipike mwenyewe 💀
Tweet media one
2
9
32
154
38
254
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
Huu ujinga wakua na best friend wakike ni mtego tu bado atakuomba hela kama vile wewe ndo boyfriend wake 🚮
31
43
253
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
Bado semi final za AFCON watu waumie vizur hii ishakua vita sasa 😂😂💔
Tweet media one
Tweet media two
16
36
242
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
1 month
"East Africa nzima Kenya ndio Ina wanaume "
Tweet media one
Tweet media two
23
22
239
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
Manka akitoka Moshi Manka akifika dar
Tweet media one
Tweet media two
24
37
232
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 months
🧵✍️ KING OF OUTLAW "VICTONY" Antony ebuka victor aliezaliwa January (5 2001) stage name yake akijulikana kwa jina "victony"...
Tweet media one
Tweet media two
20
62
237
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
kumekua na kaubishi kidogo Tukamalize Work of art Vs Mr money 1v1 Best 10 songs from each album piga kura👇
Tweet media one
Tweet media two
30
46
233
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
TOP 5 YA NGOMA KUBWA ZA DAVIDO ALIZOANDIKIWAGA . Imekua ni tofauti sana kwa wasanii kutoa shoutout kwa waandishi halisi wangoma zao *Lakini kwa Davido hilo ni swala dogo na yeye ndiye sababu ya waandishi kupata Thamani yao pale Nigeria list ya ngoma na waandishi wake 👇
Tweet media one
26
44
225
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
Kuna wakati unataka kumkataa harmonize ila akitoa ngoma unasahau 🙌🔥
Tweet media one
27
26
218
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
Zablon singers kumbe ni wa kenya ????!!!! na sio watanzania aseee
27
23
219
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
Kuna watu wanavipaji wallah🙌
13
50
197
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
Hii mnakubaliana nayo wakuu???🤔
Tweet media one
48
21
187
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
😂😂 mbona kama marioo amerudia makosa tenaa kmkee au tuipe muda
Tweet media one
32
17
185
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
Davido Devi huyo
Tweet media one
Tweet media two
22
22
181
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
10 months
HII HAPA LIST YA NGOMA BORA 10 ZA AFROBEAT 2023 MPAKA SEPTEMBER 29 KUTOKANA NA MAIN STREAMS NA MITANDAO YA KIJAMII 10. Blaqbonez - like Ice spice
Tweet media one
17
64
172
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Ufugaji kazi sana kuku unambadilishia chakula kila mwezi anataga yai la hivi 😂
Tweet media one
Tweet media two
38
35
171
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
🧵✍️ TYLA KUTOKEA SOUTH AFRICA MPAKA DUNIANI Bila shaka ndoto mbaya kwa wanigeria hivi sasa ni ukimwambia msanii wao atakua kipengele kimoja Cha tuzo na tyla jina halisi "Tyla laura Seethal" mtoto mdogo wa januari 30 ,2002 mzaliwa wa Johannesburg, Southafrica .......
Tweet media one
29
61
175
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
🧵✍️ ANACHO KIFANYA KIDAYOO NI MARUDIO KILISHAFANYIKA ZAMANI !!! Imenichukua muda kidogo kutafakari kauli ya wizkid akisema kua "yeye sio mwanamuziki wa Afrobeat na kamwe msimuite hvyo " Kwanini wasiseme wengine kwa Nini aseme yeye tu au ni kiki tu majibu yake ni :
Tweet media one
14
44
167
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
1 month
🚨🧵 ITS FRIDAYYY UPDATE PLAYLIST YAKO NA NYIMBO MPYA KALI KUTOKA AFROBEAT WIKI HII 20 JUNE🔥🔥 1. Asake ft Central cee ~ Wave🔥
Tweet media one
14
56
166
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
mdada akishatanguliza Tako kwenye picha zake mtangulizie pesaa utaniambia 📌
18
42
163
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 days
Tumieni condom watoto wanasumbua sana kwenye nyumba zakupanga usiku wanalia tu 😂
12
26
170
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
PLAYLIST YA AFROBEAT ITAKAYOBARIKI JANUARY YAKO🧵✍️ 1. Asake~ only me
Tweet media one
18
42
148
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
Hivi mnaweza kuamini Hit kubwa kama "Calm down" haikupata hata nomination moja kwenye Grammy 😁😁
17
28
149
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Hizi moments za kulala ndugu mnapo kutana zimeishaga kwasababu ndugu wanaongoza kulana sana😮‍💨
Tweet media one
16
17
147
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
mwambieno asenalo ameyakanyago
Tweet media one
10
21
142
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
8 months
🧵 #TBT ya NYIMBO 10 ZILIZO WAHI KUSUMBUA AFRICA 1. Davido ~aye
Tweet media one
31
29
138
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
🚨🚨🧵UPDATE PLAYLIST YAKO NA NYIMBO MPYA ZA WIKI HII(10) APRIL KUTOKA AFROBEAT IT'S FRIDAYYY 1. SIMI FT TIWASAVAGE~ Men are crazy
Tweet media one
10
45
140
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
19 days
kwamfano ukipelekwa mirembe kimakosa utawadhibitishia vipi madaktari kua ww sio kichaa 😂
18
31
139
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
8 months
😄😄 naruka na ya Konde boy
Tweet media one
20
19
134
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
14 days
🧵🚨🚨IT'S FRIDAY UPDATE PLAYLIST YAKO NA NYIMBO MPYA KUTOKA AFROBEAT ZILIZOTOKA WIKI HII JULY 2024 1. Dj SPINALL, OMAHLAY & TYLA~ONE CALL
Tweet media one
17
50
137
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 months
🧵✍️ BIFU ZITO LA KIMUZIKI NIGERIA 2016. Kila linapokuja swala la Tuzo linanikumbusha Tukio maarufu na zito lililo tokea katika ugawaji wa Tuzo za muziki Nigeria "The headies" za mwaka 2015 lakini ziligaiwa januari 1 , 2016 ukiwa ni msimu wake wa kumi.
Tweet media one
Tweet media two
10
39
133
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
" Nilikua na wanangu kina chinno tunakula maandazi eeh" sasa hivi Ina sound kinafki sana 🥲
Tweet media one
16
23
133
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
unaruka na ipi kati ya hizi
18
37
133
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
10 months
Boris low budget nimetoa kitu 😂😂
Tweet media one
28
17
126
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
8 months
mambo hayo
79
23
126
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
😂😂 miwili yetu Binadamu itachoka kabla hatujafa Supu ya pweza haitoshi ??
Tweet media one
24
7
129
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 months
PLAYLIST YA NGOMA ZAKUSIKILIZA KWA wapambanaji,wasio kata tamaa na kuamini kesho ipo. 1. Davido~Stand strong
Tweet media one
14
63
126
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
9 days
kumbe pesa zikianza kuingia unatakiwa uanze kurudisha fadhila kwa demu wako aliye kuvumilia kipindi ukiwa huna 😄
11
23
137
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Nimekutana na hizi moments hasa kwenye daladala unakuta mzee au mama wawatu kakaa kwenye siti anaangalia video au picha alizo wapiga watoto wake huku anatabasamu huwaga nafurahi sana kuona hichi kitu 🫂
5
27
128
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
Kuna demu kitaa hapa alikua wa moto halafu ni wakishua amepata mimba mwanangu Leo ndo ananipanga yule demu alitakaga namba zangu jamaa akamnyima kwasababu "demu alikua hajatulia" sasa nimesha mjua mchawi wangu ni nani na kwann mambo yangu hayaendi 😂
7
26
130
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
Asake Achawe !!
Tweet media one
Tweet media two
6
13
125
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
😂😂 chopper ni comedian sema ndo hvyo hii uno iliimbiwa kwenye mabati "mnaonaje chopper akapata subscribers 100K "??
28
23
125
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
8 months
Msigwa tukifungwa ng' oeni hizo Tv zangu wekeni mabango yenu ya uzazi wa mpango.
Tweet media one
19
23
123
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
"pale Umezaliwa halafu ukute baba yako anawahi kuamka asichelewe kipindi chuoni"
Tweet media one
12
21
123
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
🚨🚨🧵 NI IJUMAA LAKINI NI IJUMAA KUU UPDATE YOUR PLAYLIST NA NYIMBO 10 MPYA ZA WIKI HII KUTOKA AFROBEAT 🎧 1.MAGIXX~4DAYZ
Tweet media one
15
32
118
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
Hii version ya Harmonize Sijui kama itakuja kutokea tena 🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
27
119
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
Njia pekee ya ku survive mjini ni kumchumbia mama ntilie upate uhakika wa chakula 😂
Tweet media one
12
24
119
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
20 days
Dogo ashatuuza 🥲
Tweet media one
Tweet media two
13
26
119
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
kama unajua muvi yeyote ya huyu mwamba nitajie Nina shida nazo 🙏
Tweet media one
23
17
113
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
Kuna screenshot zilikua za utani humu ila zinaenda kua vita 😂
7
25
111
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
Wanawake wakichaga wanajua kunusa mafanikio ukiona anakuvumilia ujue kabisa sio muda mambo yako yatakaa poa
3
19
115
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
Kitu kimoja mnatakiwa muogope ni lile tabasamu analokupa adui yako kwasababu Lina maanisha Kuna sehemu umeshapoteza
4
25
115
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
10 months
"Geto kwako siji mpaka ukanitolee mahari kwetu wakujue tuoane"
Tweet media one
22
24
114
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
Hawa wadada wa 30+ wameanza kua warembo machoni mwangu nishalogwa nn??
21
22
111
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
10 months
Ukiwa mizunguko halafu ujisachi ukute hauna simu 😄
Tweet media one
14
20
107
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
🚨🚨🧵 NI IJUMAA !! UPDATE YOUR PLAYLIST 🎧NA NGOMA MPYA( 10) ZA AFROBEAT ZA MWEZI MARCH 2024 1. Bella Shmurda ~ Loner
Tweet media one
13
44
110
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
1 month
pale umekufa lakini mkeo Alisha tangulia kabla yako
Tweet media one
12
20
109
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
10 months
🧵VERSUS BATTLE REMA 🆚 FIREBOY DML Rema Yuko ndani ya label ya Don jazzy ( mavins) kihistoria Rema harakati za kimuziki alizianza 2015 . Na fireboy Dml Yuko ndani ya label ya Olamide (YBNL) kihistoria alianza harakati za muziki 2012
Tweet media one
Tweet media two
32
38
105
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
Ukitaka mpenzi wako awe na Gari kama wapenzi wa rafiki zako nunua mawili mpe moja📌
11
26
108
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
kipindi nikiwa sekondari Kuna shule moja ya private tulienda kuinteract nao kwa mara yakwanza nikaona kadada kamevaa miwani na hivi vyuma yule dada alinichanganya sana ile siku ila nilivyokuja kujua bei ya hv vyuma ni mshahara wa mtu 😂🙌
Tweet media one
12
18
105
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
huyu Maza ma Grammy wa Africa itabidi nimzingatie ndio msanii wa Africa mwenye Grammy nyingi 😂😂
Tweet media one
9
9
101
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Leo nimemkumbuka bajaji mmoja alinipakia nikiwa na karibia kituoni kujisachi nikawasina nauli niliangusha ikabidi ni mwambie kabla hajafika kituoni akaniambia sawa akaongezea speed ya bajaji nikamwambia Mimi naishia hapo mbele akaniambia ukiona kituo chako ruka 😂😂
27
16
102
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
29 days
Hapa mlimani city mkiona mdoli mjue ni mimi nimeingia shift ya kazi 😂
Tweet media one
23
28
103
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
4 months
maji maji yamekuwa mafuriko 🥲
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
22
102
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
22 days
Hii jeans yangu nyeusi ipo siku itapiga kelele😂
12
22
100
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
Nimetoka kuangalia video ya wimbo wa "chuga hio" ya rayvanny na Fido ninauhakika director wahio video alipata changamoto sana akiwa location 😁
9
18
101
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
6 months
Kuna dogo kani chek anataka kufanya kazi akiwa chuo kwasababu anakaribia kumaliza angejua Mimi ni saidiaa Fundi 🥲
Tweet media one
12
13
102
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
20 days
hivi huyu jamaa anafanya hivi na hawafanyi chochote ????
10
18
98
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
7 months
Mohbad once said : "Doctor want you sick, lawyer want you in trouble Na only thief dey pray make you dey successful"
Tweet media one
6
27
97
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
Kuna hawa wadada wanavaa nguo za kutamanisha halafu kumbe tabia zao ni nzuri na hawana tamaa za ajabu wananivutia sana 😊
11
21
101
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
2 months
Sir Jeff alikua ananimotivate na harakati zake ila ameniaibisha kulia kwenye space 😂
15
17
100
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
14 days
ushawahi kuandika meseji ya kimahaba mpaka ukiisoma unalegea halafu ukajibiwa " sawa" ," Ahsantee" au " haya kama bado huniambii kitu kuhusu heartbreak wewe
20
31
100
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
3 months
🚨🚨🚨Ni IJUMAA YA MAY UPDATE PLAYLIST YAKO NA NYIMBO MPYA NA EP'S ZA WIKI HII KUTOKA AFROBEAT 1. Fire boy DML ~ Everyday
Tweet media one
14
49
98
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
5 months
"ugali dagaa kwenye "wali nyama vitani" amani"
Tweet media one
Tweet media two
14
21
97
@jinnyX66
SHALIPOPO ✝️
1 month
Spider man alipiga kavu kwa demu mwenye kipini puani hapa chanika imebidi akapime chap
Tweet media one
11
15
99