Mapo Profile Banner
Mapo Profile
Mapo

@NhanaPaul

Followers
9,653
Following
1,556
Media
2,173
Statuses
66,677

Contact creator// Mchj na mwalim wa vijana, 🙏 // Arsenal & Simba sports club

Joined January 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Viwanja bora vya soka duniani. vyenye Thamani, Fungua -THREAD- 1. Tottenham Hotspur Stadium
Tweet media one
117
147
2K
@NhanaPaul
Mapo
4 months
WATOTO NI MALAIKA 🤣 THREAD FUNGUA 👇
Tweet media one
Tweet media two
60
121
1K
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Inachekesha sana Jinsi Mtu Huyu anavyojiweka Photoshop kwenye Picha tofauti za watu Mashuhuri 😂 Fungua Thread 🧵 👇 1. Na Barack Obama
Tweet media one
37
70
1K
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Wanasoka walilelewa kwenye Akademi za virabu vyao na kupandishwa timu kubwa kwa kiwango bora zaidi. Fungua - Thread- 🧵 1. Bukayo Saka - Arsenal (Hale End)
Tweet media one
49
73
1K
@NhanaPaul
Mapo
4 months
USIMWAMBIE MTU YEYOTE HII KITU. FUNGUA THREAD 👇
Tweet media one
59
187
1K
@NhanaPaul
Mapo
4 months
WATU 10 WANAOLIDWA ZAIDI DUNIANI ⚔️🛡️🌎 THREAD 👇🧵
Tweet media one
Tweet media two
54
96
925
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Baadhi ya Wachezaji wa Arsenal na wake zao ❤️ Pis kali 🔥 Fungua 👇 THREAD 🧵🔥
Tweet media one
35
65
794
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Wanasoka na watu mashuhuri wanaofanana📌 Thread 🫵 Fungua 👇 1. Romelu Lukaku and Stormzy
Tweet media one
Tweet media two
40
60
756
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Kuna watu hawajawahi kua seriously 😂😂😂 Agalia vituko kwa picha Fungua THREAD 🍷😂
Tweet media one
25
53
662
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Picha za utoto 😅 Baadhi ya Watu Mashuhuri ❤️ Thread 👇 1) Rubi Rose 😂
Tweet media one
Tweet media two
27
54
649
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Vikosi maalum vya juu duniani 🌎 mwaka huu 2024 -THREAD- 🧵
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
33
74
655
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Epuka hizi TOP CANCER zinazosababishwa na VYAKULA Hivi Vyakula Ni hatari usitumie mara kwa mara, ili kuepuka SARATANI kwa maisha marefu👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
56
106
558
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Vipi wewe ni "SMART"?? Ishara 10 kuwa wewe ni mkali kiakili kuliko mtu wa kawaida, kulingana na saikolojia - Thread-👇
Tweet media one
36
73
503
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Kufikia umri wa miaka 30, unapaswa kuwa na akili ya kutosha kujua haya: Fungua THREAD👇👇
Tweet media one
37
98
455
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Tabia na baadhi ya vituko 😂 kwa wanyama hawa (Wakufugwa) Itakusikitisha🙆‍♂️ na Kukuchekesha hapo hapo 😂🤣 Fungua -THREAD-👇
Tweet media one
24
51
454
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Waigizaji 10 Duniani wanaofanya filamu za Good Action kama inavyotarajiwa, mara nyingi sana hawajaniagusha ✊ Fungua - Thread - 10. Jason statham
Tweet media one
57
54
404
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Black Dolphin: Gereza hatari duniani lililopo Russia, shuka na huu Uzi👇 ushuudie Majabu 👇👇
Tweet media one
Tweet media two
27
73
393
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Mbona hivyo jamani! cheki video hapo chini👇👇
Tweet media one
3
22
374
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Baadhi ya Ndugu wanaocheza Football ⚽ Fungua THREAD 👇 😳 1- The Timber Brothers
Tweet media one
19
50
374
@NhanaPaul
Mapo
5 months
2. Santiago Bernabeu - Real Madrid
Tweet media one
2
6
351
@NhanaPaul
Mapo
9 days
Wanaume Jifunzeni Hili👇 Juzi nilihudhuria msiba wa rafiki yangu mmoja na mkewe. Yeye na mkewe walifariki kwa ajali ya gari, wameacha watoto wawili mmoja wa miaka kumi na mwingine wa miaka minne wakike, mkubwa ni wa kiume. Mimi kama rafiki nilikuwa karibu sana na watoto
29
74
351
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Jinsi ya kutibu upungufu wa mbegu za kiume kwa kudumu Kabisa na kuweza ili kumpa mwanamke ujauzito 🤰 kwa kutumia vitu laisi vinaptikana majumbani kwetu Thread🍿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
27
70
340
@NhanaPaul
Mapo
5 months
3. Allianz ARENA - Bayern Munich
Tweet media one
1
3
279
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Kijana mdgo tu lakini mambo yake makubwa. Miaka 23
Tweet media one
12
30
246
@NhanaPaul
Mapo
5 months
4. Soccer city
Tweet media one
4
3
237
@NhanaPaul
Mapo
5 months
5. Camp Nou
Tweet media one
2
2
236
@NhanaPaul
Mapo
4 months
JINSI YA KUONDOA UDHAIFU WA KIMAPENZI NDANI YA SIKU 21 THREAD 🧵
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
18
62
228
@NhanaPaul
Mapo
2 years
Huyu jamaa ni nan?
Tweet media one
53
10
211
@NhanaPaul
Mapo
4 months
SIFA 10 KWA MWANAMKE ZINAZOMVUTIA MWANAUME. THREAD 👇🏾
Tweet media one
15
53
222
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Jumuiya za Siri zenye Nguvu zaidi katika historia. Fungua 👇🏻 Uzi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
62
215
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Mpaka watu wamekaa wakakusema basi ujue unakitu cha ziada!! 🙏🏽
33
104
200
@NhanaPaul
Mapo
5 months
6. Mercedes-Benz stadium - Atlanta United
Tweet media one
Tweet media two
2
2
206
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Oya nimeamka na mzuka wa ku m follow atakaye like , retweet na kuweka handle yake hapo 👇
Tweet media one
43
55
195
@NhanaPaul
Mapo
6 months
Usifanye Mambo HAYA Mara Baada tu ya Tendo la Ndoa... Thread 👇
Tweet media one
19
48
198
@NhanaPaul
Mapo
10 months
Kinachotisha si kifo bali hofu ya kifo na hofu hiyo ya kutokuwa na uhakika juu ya yafuatayo baada ya kifo huko uendako na huku upaachapo 📌
25
105
192
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Utajifunza kitu SERIOUS STORY YA KWELI 🙏 FUNGUA🌹 THREAD 👇
Tweet media one
17
42
197
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Hata uki lake tu mi nafollow. weka👇 handle Tupate followers
Tweet media one
63
39
183
@NhanaPaul
Mapo
5 months
7. Moses Mabhida Stadium (Durban)
Tweet media one
Tweet media two
1
3
190
@NhanaPaul
Mapo
5 months
8. Emirates stadium - Arsenal
Tweet media one
Tweet media two
1
2
184
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Handle mbona kidgo na mimi nimeamka na mzuka wa kufollow watu. 👇👇👇shusha hapo niko active
Tweet media one
90
47
170
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Mnamo mwaka 1993 huko Sudan, Kevin Carter alipiga picha ya tai anayesubiri msichana mwenye njaa afe ili aweze kummeza ... Picha hii👇 ilimfanya ajiue Thread 🧵
Tweet media one
24
56
180
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Ukiwa unapata luanch. shusha na handle yako tupate na followers😎
Tweet media one
38
32
172
@NhanaPaul
Mapo
9 months
Katika maisha kuna marafiki unawapoteza na kuna marafiki wanakupoteza wewe. Tafakari.🤔
31
116
170
@NhanaPaul
Mapo
3 months
Baadhi ya vitendo vya watoto,🙇‍♂️ visivyo na hatia kabisa vinajileza kwenye Picha 😂❤️ fungua Uzi 🍷👇
Tweet media one
Tweet media two
14
40
177
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Furaha ya mapenzi ni Upofu, usi'ingize Akili utayaharibu,...mwenye kupenda haoni ingawa macho anayo.
33
90
171
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Asubuhi hii watu active tupate followers. weka handle yako sasa👇👇
Tweet media one
57
33
164
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Shusha handle yako👇 tusalimiane za asubuhi.
Tweet media one
58
39
161
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Wakati mwingine uamuzi sahihi ndio unaoumiza zaidi; kwa sababu tu ni wewe kumaliza uhusiano, haimaanishi kuwa hauumiza kuzimu . Fungua THREAD 👇👇
Tweet media one
12
37
165
@NhanaPaul
Mapo
2 months
Dunia imewahi kua na majiji na,miji mikubwa ya kifahari yenye pilikapilika na Starehe za kila namna, Ila matajiri wa kiarabu wa SAUDIA ARABIA wanafanya kufuru ivi sasa Soma hii THREAD 👇
Tweet media one
Tweet media two
18
48
169
@NhanaPaul
Mapo
9 months
Unapokaribia kufika ndipo safari huchosha zaidi na ndipo ilipo njia panda ya mafanikio na kufeli.
31
105
167
@NhanaPaul
Mapo
4 months
UNAFAHAMU NINI!?, KUHUSU WEMA. 🦅🦅🦅 Hii itabadilisha mtazamo wako mzima wa jinsi unavyowatendea watu kwa ujumla🔥 USIKOSE KUSOMA HII. THREAD FUPI 👇👇
Tweet media one
15
64
166
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Vitu vifatavyo vikiwemo vitunguu saumu na Tangawizi Utaponya Magonjwa 7 yafuatayo,👇 Unapotumia Kila Siku. Fungua Thread 👇
Tweet media one
13
45
167
@NhanaPaul
Mapo
4 months
TENDO LA NDOA kwa wana NDOA NI CHAKULA!. Tendo la ndoa sio tu kutengeneza watoto. Lazima uwe mwanamke tofauti na mume wako kila wakati. Mdanganye mumeo, usikubali kila mara mumeo akuombe Mapenzi, lazima pasiwe na ratiba ya kufanya mapenzi. Jifunze hapa: THREAD👇
Tweet media one
14
56
165
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Weka handle yako👇 tukue zaidi nafollow back
Tweet media one
98
39
159
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Hii nini? wajuaji twitter😳
Tweet media one
68
23
158
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Tofauti ni fursa ya kujifunza zaidi kwa binadamu waelewa lakini palipo na maslahi ni habari nyingine 🙌
39
89
154
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Hatimaye Jamaa kachomoka huwezi amini 🙆‍♂️ Fungua -Thread- 👇👇
Tweet media one
37
49
159
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Oya siku nyingne tena. dodosha handle yako👇 asubuhi hii tupate follows
Tweet media one
56
28
155
@NhanaPaul
Mapo
1 year
HANDLE wakuu na follow back💯
Tweet media one
41
33
155
@NhanaPaul
Mapo
5 months
9. Old Trafford - Manchester United
Tweet media one
Tweet media two
2
1
161
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Nafollow na kufollow back kwa kas ya ajabu weka handle sasa twende 😳
Tweet media one
73
54
152
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Weka handle tusalimiane kwa kufollow na kufollow back
Tweet media one
77
37
144
@NhanaPaul
Mapo
5 months
RAMANI YA DUNIA NI UONGO, WANAIFANYA AFRIKA IONEKANE NDOGO KULIKO ILIVYO... SHANGAA🙆‍♂️ KWA NINI HAWAFUNDISHI HII SHULENI, lakini hapa kuna nadharia🤔 kwa nini hawafundishi. Angalia thread.🧵
Tweet media one
Tweet media two
20
48
153
@NhanaPaul
Mapo
4 months
Kasoro za ngozi zinazofanana lakini ni tofauti kabisa. TAGS ZA NGOZI ZA DPN (Dermatosis papulosa nigra) Matibabu na sababu, Fungua Thread.👇
Tweet media one
Tweet media two
20
69
150
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Lakini ujumbe umewafikia🤣. weka handle tutembee mbele sasa👇👇
Tweet media one
44
36
146
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Msamaha ni nguvu isiyozuilika ndani ya mtu. Mwenye kusamehe ndiye hupata nguvu.✊
35
89
144
@NhanaPaul
Mapo
6 months
MTU AKIFA, KUNA NINI BAADAYE? Shuka na huu Uzi 👇👇
Tweet media one
Tweet media two
19
65
140
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Handle zishuke nafollow back 💯💯✌
Tweet media one
48
31
142
@NhanaPaul
Mapo
2 years
Wataalamu wa location hapa👇👇 wap?
Tweet media one
30
18
139
@NhanaPaul
Mapo
10 months
Ukitaka kuishi maisha mazuri hapa duniani, watue watu mzigo si kuwatwisha,wasitiri si kuwaanika,wafariji si kuwasononesha,wafute machozi si kuwaliza." 🙏🙏
28
86
137
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Nafollow na Kufollow back weka handle yako👇 sasa tutembee
Tweet media one
78
42
139
@NhanaPaul
Mapo
11 months
Viumbe wawili usiwaamni kabisa. mimi nataja mmoja. wa pili malizia 👇👇 1-Mlevi 2-..........
54
72
139
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Oya kausha. achana nae weka handle tukufollow .👇
Tweet media one
69
43
141
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Huwezi kuona taswira yako katika maji yanayochemka. Vile vile, huwezi kuona ukweli katika maisha yako katika hali ya hasira. Hasira hupoteza uhalisia wa ukweli. 📌
24
96
140
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Ndoto ni mwanga wa giza, washa taa yako na utaona njia. Ndoto ni sauti ya moyo, sikiliza..
33
93
136
@NhanaPaul
Mapo
5 months
10. Anfield stadium - Liverpool
Tweet media one
2
3
141
@NhanaPaul
Mapo
5 months
REKODI ZA (GUINNESS WORLD) AMBAZO HAZIWEZI KUVUNJIKA FUNGUA 👇 -THREAD-🧵
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
44
137
@NhanaPaul
Mapo
4 months
NO,1) Vladimir putin rais wa urusi ni mmoja wa wanasiasa wenye nguvu duniani, analindwa na wakala wa usalama wa juu pamoja na jeshi la nchi hiyo. Hii ndiyo sababu putin amejipanga ili kuepuka Kuchangiwa na maadui zake kwa muda mrefu
Tweet media one
Tweet media two
2
2
141
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Yaan!, Chelsea kama kimboka😆 unachukua unayetaka😂😂
Tweet media one
13
28
136
@NhanaPaul
Mapo
2 months
Nawashukuru wote kwa maombi yenu, michago yenu kwa namna yeyote ile . X ni familia kubwa sana Mmeshiliki kwa kiwango kikubwa mno Nimemwambia Baba na wadogo zangu kua kuna ndg zangu pia wako X APP. Wamewashukulu sana. kwakujitoa kwenu Mama💔 tumempumzisha salama.🙏
Tweet media one
43
49
139
@NhanaPaul
Mapo
11 months
Tujikumbushe Bwana , enzi hizo X inaitwa Twitter 😳
Tweet media one
15
44
138
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Handle yako inakupa followers. Ukishuka hapo chini. weka twende.👇
Tweet media one
69
36
130
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Oya asubuhi nynigne tena. shusha handle yako👇👇Nafollow back Wote😳
Tweet media one
44
26
127
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Oya, wanawake hii ni urembo au uchafu!? 🤔 Kwa ajiri ya kuvutia wanaume au!? kwa nini ifikie hali hii 🤔 Fungua Thread 👇 uone maajabu 🙆‍♂️
Tweet media one
16
22
133
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Kama umeamka poa .Anza na lake, retweet na weka handle yako👇👇 wapwa tuna follow na kufollow back.
Tweet media one
39
34
134
@NhanaPaul
Mapo
6 months
USILE VYAKULA HIVI MUDA MCHACHE KABLA YA TENDO LA NDOA. Thread 🧵👇
Tweet media one
22
47
135
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Kuwa Hai tu! ni Mwanzo wa Mafanikio, KUTHUBUTU Sasa Hayo ni Maamuzi Yako Binafsi....
27
69
130
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Hizi ni tamaduni 6 tata na za kushangaza 'zaidi' duniani fungua Thread 👇👇
Tweet media one
14
39
134
@NhanaPaul
Mapo
9 months
Ukaribu tunaowapa watu maishani mwetu, ndio dirisha la usajili la watesi na wabaya wetu.
23
84
128
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Wakati mwingine kurudi nyuma ndio mwendo, wakati mwingine kubomoa ndio kujenga, wakati mwingine maumivu ndio tiba, wakati mwingine kujipangua ndio kujipanga na wakati mwingine mwisho ndio mwanzo.
34
88
128
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Kuna wakati ukifika. huwez kuumizwa na yanayo kuumiza kwa sasa. Utakua na uwezo mzuri, wa kuwaza , na kuyatatua ✍
12
61
128
@NhanaPaul
Mapo
1 year
HANDLE WAKUU TUINUKE👇👇.
Tweet media one
38
23
126
@NhanaPaul
Mapo
10 months
Kuota ni bure, kuifikia na kuiishi ndoto yako ni gharama.😎
22
77
128
@NhanaPaul
Mapo
8 months
Wema unadumu, Uovu haudumu maovu yoyote yana expire baada ya muda, fanya yaliyo mema 📌 . Nenda ,,,,,,,
30
83
127
@NhanaPaul
Mapo
1 year
Habar ya kubadirisha chanel, na kuweka katun, mida mzee anakalibia kurudi home. Eti niendelee kumwaminisha kua mimi bado mtoto , mzee Kaistukia.😂 Ki ukwel nimekua . Namshukulu MUNGU HAPPY BIRTHDAY TO ME 🥳
Tweet media one
Tweet media two
48
52
127
@NhanaPaul
Mapo
5 months
Haya hapa ni Masomo 15 Watu hujifunza wakiwa wamechelewa sana maishani. Hakikisha hauikosi. - Fungua - Thread 🧵👇
Tweet media one
15
62
134