LINCOLN Profile
LINCOLN

@LeeCute255

Followers
9K
Following
10K
Statuses
20K

Mtanzania🇹🇿🤞I believe in God 🙏

Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@LeeCute255
LINCOLN
1 day
Ulishawahi kusikia ule msemo wa mnyonge hana haki, basi huu ndio mfano wake.
24
75
319
@LeeCute255
LINCOLN
36 minutes
uchumi na kuleta imani kwa washirika wa maendeleo, na kwa kuzingatia heshima kwa maoni na haki za binadamu, Rais Samia ameongeza usawa na mshikamano katika jamii. Huu ni mfano halisi wa uongozi unaozingatia maslahi ya wananchi na mustakabali wa nchi kwa ujumla.
Tweet media one
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
38 minutes
@Aduiwayanga 😂😂😂
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
39 minutes
0
0
3
@LeeCute255
LINCOLN
40 minutes
RT @m_rightk: Gaining is just simple -If you support me, I support you -If you reply to me, I reply to you -If you like this tweet, I li…
0
21
0
@LeeCute255
LINCOLN
48 minutes
@dictatorbin @SuluhuSamia Hakika Mama anafanikisha #SamiaNakupaTano
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
48 minutes
Tunajivunia uongozi Bora wa Rais Samia katka kuleta maendeleo endelevu katika taifa letu #SamiaNakupaTano
@dictatorbin
MWALIMU🙏🇹🇿
1 hour
TUNA HAKI YA KUJIVUNIA KATIKA SWALA LA UWEKEZAJI. Ujio wa Rais Dkt @SuluhuSamia katika kuboresha Sekta ya Uwekezaji alianza na kuboresha Sera za uwekezaji ili kumpa Mwanya muwejezaji kuwekeza katika nchi yetu bila Masharti magumu Yoyote pia katika kukuza sekta ya uwekezaji..
Tweet media one
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
50 minutes
RT @dictatorbin: TUNA HAKI YA KUJIVUNIA KATIKA SWALA LA UWEKEZAJI. Ujio wa Rais Dkt @SuluhuSamia katika kuboresha Sekta ya Uwekezaji alianz…
0
19
0
@LeeCute255
LINCOLN
51 minutes
@Cutyhusnah Mama anafanikisha kwa vitendo zaidi #SamiaNakupaTano
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
52 minutes
Mama anafanikisha kwa vitendo zaidi #SamiaNakupaTano
@Cutyhusnah
Husnaiya
1 hour
RAIS SAMIA AIBORESHA TANZANIA KUWA KITUO KIKUU CHA UWEKEZAJI AFRIKA MASHARIKI Rais Samia Suluhu Hassan ameleta mageuzi makubwa yanayovutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, hatua inayofanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara na uwekezaji barani Afrika. Kupitia maboresho ya sera na sheria, serikali yake imefanikiwa kupunguza urasimu, kurahisisha upatikanaji wa vibali vya biashara, na kuimarisha miundombinu mikubwa kama Reli ya Kisasa (SGR), bandari, na upatikanaji wa umeme wa uhakika. Mbali na kuhamasisha uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje (FDI), Rais Samia ameweka kipaumbele kwenye nishati safi, akihimiza uwekezaji katika umeme wa jua na upepo kwa maendeleo endelevu. Hatua hizi zimeifanya Tanzania kuwa soko lenye ushindani mkubwa, huku sekta ya biashara, viwanda, na nishati ikishuhudia ukuaji wa kasi. Wachambuzi wa uchumi wanatabiri kuwa mageuzi haya yatachochea zaidi ustawi wa taifa. #SamiaNakupaTano
Tweet media one
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
52 minutes
RT @Cutyhusnah: RAIS SAMIA AIBORESHA TANZANIA KUWA KITUO KIKUU CHA UWEKEZAJI AFRIKA MASHARIKI Rais Samia Suluhu Hassan ameleta mageuzi mak…
0
16
0
@LeeCute255
LINCOLN
54 minutes
Mama anafanikisha kwa vitendo zaidi #SamiaNakupaTano
@FatumaCute
꧁FatumaCute💋꧂
1 hour
UKUAJI WA UWEKEZAJI CHINI YA MAMA SAMIA. Tangu Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani, uwekezaji nchini Tanzania umeshuhudia ukuaji mkubwa kutokana na juhudi zake za kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji. #SamiaNakupaTano 👇🏾
Tweet media one
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
1 hour
@mastilo0 Aiseee kazi kweli kweli
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
1 hour
RT @mastilo0: Gonga Retweet kwa Lissu na Likes kwa Heche. Watabaka wanachama wao hawa!
Tweet media one
Tweet media two
0
18
0
@LeeCute255
LINCOLN
1 hour
Tunampongeza Sana Rais Samia Kwa juhudi na jitihada alizozifanya katika kukuza sekta ya madini nchini #SamiaNakupaTano
@Bizydan
Wiseman 😎
2 hours
Chini ya uongozi wa Dr @SuluhuSamia, Tanzania imekuwa ikishuhudia ongezeko katika sekta ya madini hususani katika mauzo ya dhahabu. Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali zilizopo kwenye tovuti za serikali na makala ya habari,Mageuzi ya uongozi wa Rais Samia yamehusisha.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
0
0
@LeeCute255
LINCOLN
1 hour
@Bizydan @SuluhuSamia Tunampongeza Sana Rais Samia Kwa juhudi na jitihada alizozifanya katika kukuza sekta ya madini nchini #SamiaNakupaTano
0
0
0