Kipanga Profile Banner
Kipanga Profile
Kipanga

@Kipanga1986

Followers
5,189
Following
879
Media
4,262
Statuses
74,041
Explore trending content on Musk Viewer
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
BAKWATA mnadhima kubwa kesho mbele ya Allah, na hii dhambi itawatafuna mpaka mnaingia kaburini, mnaifanya siku ya Eid kua Ni maamuzi yenu badala ya maamuzi ya Allah
Tweet media one
99
30
539
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Naiyona @yangasc1935 ikiwa bingwa wa CAF Confederation Cup 2022/ 23, sio CUF ya Lipumba lakini muelewe hivyo 😀😀😀
Tweet media one
10
11
322
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Kwani Nairobi Kuna Nini mbona tumepata taarifa zisizo Rafiki kidogo, wacha tuendelee kufautilia tutawaletea kinachojiri @ngaso6_ngaso tenga muda wako Kuna habari nyeti sana
Tweet media one
Tweet media two
50
20
308
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Mpina aliomba rushwa kwa wavuvi kipindi Cha kambale ili asichome nyavu zao, Ila wavuvi walisema sisi hatutokupa chochote kile wewe choma tu hizo nyavu, Mpina kwa kiburi chake akaamua kuchoma nyanvu, wavuvi wakamuachia Allah, Dua za wavuvi zinafanya kazi kwa Mpina
Tweet media one
56
13
285
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Kambale Hana la kukumbukwa tuondoleeni ujinga, kambale akumbukwe kwa lipi haswa
Tweet media one
121
12
278
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Huyu ndio Raisi wetu mpaka 2030 Inshallah hakuna mwengine @SuluhuSamia LOVE YOU MAMMY
Tweet media one
137
19
219
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Wanaharakati uchwara na ndugu zenu UFIPA mnaanza saa ngapi kumshambulia Barbara Gonzalez, @kigogo2014 Jamaa zako wanayo hii habari?
Tweet media one
5
14
209
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Sisi wanaharakati wetu wanawajaza watu sumu, Wallah Tanzania maendeleo tutabaki kuyaona kwenye Tv, Watu wanaumiza kichwa kutafuta wewekezaji sisi tunaleta siasa za kijinga sijui Mzanzibar anataka kuuza bandari, sijui mkataba hauna kikomo, siasa za kijinga kwenye mambo ya msingi
Tweet media one
125
28
223
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Tibaijuka ni Mama, Mama kila siku ni mtu mwenye busara na hekma juu ya jambo flani, hatukutegemea Mama Tibaijuka utumike kuwajaza vijana ujinga kwenye jambo ambalo litaleta faida kwao, Vijana wa TZ wanahaki ya kuishi maisha mazuri kama wanavoishi watoto wako, usiwajaze ujinga
Tweet media one
147
28
217
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Mnajua kwa Nini mama @SuluhuSamia anapendwa Sana na watu hapa Tanzania na Nje ya Tanzania, Hamjui, Ni Jambo moja tu, kuthaminisha maisha ya watu na kuona kila mmoja anahaki sawa na mwengine
Tweet media one
26
17
197
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Lema Ni mwanasiasa Mjinga na Mpumbavu kuwahi kutokea Tanzania, Kweli boda boda iwe kazi ya laana kuliko kuiba gari za watu na kudhulumu watu, akili za Lema hazina tofauti na akili za Bunuasi
Tweet media one
52
12
188
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Tanzania ndio Nchi pekee Duniani wananchi wake wanaenda mahakamani kupinga maendeleo ya Nchi yao kisa tu wawekezaji wanavaa vilemba na kanzu😀😀
Tweet media one
149
20
196
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Hii ndio faida ya #RoyaltourTz kuja kwa Herrera na Etto ni Jambo kubwa sana kwenye Utalii wetu,hawa ni watu maarufu barani Ulaya na Dunia kwa ujumla, kufika kwo ni kuzidi kiutangaza utalii wetu Tunaamini ujue wao ni mwanzo wa safari za wengine #sisitumekubali
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
15
186
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Mbowe na Genge lake ni wapumbavu sana "Raisi ni Mzanzibar anauza Mali za Tanganyika" Dah! kiwango cha upumbavu cha watu wa UFIPA kimekua kikubwa mnoo, Mmepata Raisi anaehangaika kuwaletea Maendeleo eti mnasema anataka kuwapora Mali zenu kisa yaye ni Mzanzibar, Aiseee
Tweet media one
137
19
181
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Pamoja na uongo mwingi alioandika humu tumuachie mwenyewe, Ila mwambieni huyu makombo ya nyapala wenu, kharama za Sensa sio kununua tablet tu na kuwalipa mishahara makarani, Kuna kharama nyngine nyngi Nje ya hapo aelewe Hilo, UFIPA mbona mnavijana wa hovyo Sana shida Nini haswa?
Tweet media one
72
14
182
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Kama hizi story zinazomuhusu huyu bidada kipindi Cha uhai wake Ni za kweli, Basi alistahili kufa zamani Sana, watu kama Hawa hawastahili kuishi kabisa Duniani, Mungu hajaumba watu waje wasagane au wawe mashoga manake wakifanya hivyo hawana haki tena ya kuishi, Safi kabisa
Tweet media one
55
8
183
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Huyu Ni Nani mbona anatrend Sana humu?
Tweet media one
18
6
174
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Huyu akitoka tu Hospital tunaye hatuwezi kua na mawiziri wajinga wajinga wa namna hii
Tweet media one
20
11
175
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Pumbavu jengine hilo, UFIPA Kumejaa watu Wapumbavu aisee, hivi Hawa wanakua wanafutilia haya mambo au wakesha kuvuta Bangi wanabweka tu, @kigogo2014 Hawa jamaa zako wanashinda gani gani kwenye ubongo wao au ndio akili zimechotwa kutoka Nairobi
Tweet media one
98
15
158
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Dkt. Nshala ni Mlevi mbwa, analewa mpaka anaanguka, hata juzi alipo ongea alilewa kinyama na ndio maana alisahau kwamba mama zetu wote akiwemo na wa kwake wanachanua mapaja sio Samia peke yake, Acheni elivi hauna maana kubwa utaonekana wajinga na wapumbavu hata kama muko na elimu
Tweet media one
138
9
163
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Miaka 22 TICTS hawana walilofanya Bandarini zaidi ya kutoa mwanya kwa watu kula Rushwa na kuwapa mzigo mkubwa wafanya biashara, Mtu hajawahi Import hata kiroba cha Basmat halafu analishwa maneno na Maria eti aende mahakamani kupinga mkataba wa DPW, hii Nchi ina wehu sana aisee
Tweet media one
61
15
160
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
@tanpol Naibu waziri sio mtu special kwenye Taifa hili, lazima akamatwe na ahojiwe, huyu binti kapoteza maisha kwenye hali ya sitofaham sana, huku kifo chake kikihusishwa na ajali aliopata huyu waziri, waziri na haki kuliko wengine ashuhulikiwe
Tweet media one
Tweet media two
35
16
155
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Huyu kijana ndio aliemshambulia yule binti Mis Celine mpaka akafuta acc yake twitter naona sasa kaja kwa mama Samia, kuna siku nilisema Fani ya udaktari imevamiwa na watu wajinga sana, Zamani hakukua na daktari mwenye ujinga wa namna hii, @wizara_afyatz huyu nae mmepa lesen?
Tweet media one
91
16
148
@Kipanga1986
Kipanga
8 months
Mama Samia Allah amlinde sana, kwa hakika mara hii tumepata Raisi, huu ndio uongozi hatuwezi kua na mawaziri aina ya PAULINE
Tweet media one
16
7
136
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Endelea kupiga kazi mama @SuluhuSamia watanzania Wana Imani na wewe, tunaamini utaifanya TZ kua ni miongoni mwa Nchi ambazo ziko vizuri kiuchumi Duniani, Sisi hatuna wasiwasi na wewe tunakusapoti na tutaendelea kukusapoti, M/ Mungu akusimamie kwenye majukumu yako
Tweet media one
21
18
134
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Huyu Ni waziri wa fedha makini Sana kuwahi kutokea Tanzania, Pamoja na changamoto zilizofanya kuyumba kwa uchumi wa Nchi nyingi Duniani Ila jamaa kasimama imara na kuhakisha Tanznia tuko stable, hongera Sana Mh. @mwigulunchemba1
Tweet media one
61
10
133
@Kipanga1986
Kipanga
9 months
Dogo anakitu atafika mbali sana
Tweet media one
15
17
133
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Pamoja na Mambo ya hovyo yote aliofanya kambale kadinali Pengo hakuwahi kusema lolote lile, alimuona kambale ni mtukufu sana, leo anapata wapi kiburi cha kukosoa uwekezaji wa DPW, au kisa Samia haendi kanisani kwake ndio anadhani yuko na haki ya kuona anachofanya sicho Tulia Mzee
Tweet media one
102
20
125
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
CDM tunawauliza huyu ni wa kwenu kweli? Kama Ni wa kwenu msitegemee kuchukua Madaraka kwa aina hii ya vijana mliokua nao Jiandaeni kua chama Cha upinzani mpaka mwisho wa Dunia, Kama mnaona mzaha endeleeni kua nao huku wakijinasibu kwamba wao Ni CDM Tukutane 2025
Tweet media one
48
11
127
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
UFIPA leo nimeamini kweli akili hawana, kila siku wanapiga kelele kuhusu usawa wa haki za kuishi bila ya kua na utofauti leo wanawasukuma wamasia waishi kwenye vibanda hivi wakati nyumba mzuri za kuishi zipo Sasa usawa gani huo wanaoaungumizia wao?
Tweet media one
30
14
121
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
UFIPA kila siku wanapiga kelele vijana hawana ajira Majaliwa kapata ajira, lakushangaza wao wamekasirika UFIPA wanamatatizo gani? Kweli wanaweza Kuja kuwapatia vijana ajira hawa? Kama Kuna siku Tz itakuja kuingia kwenye unyonge wa kupitiliza Basi ije iongozwe na UFIPA
Tweet media one
33
7
116
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Mwanamke gani mwenye heshma zake, anaeweza kuvaa kimalaya namna hii, Huyu ni Malaya tu Kama walivyo Malaya wengine, Aendeleee kujiuza Nairobi uko...mtu ashavuka usichana Ila bado anataka mambo ya kisichana.. @kigogo2014 Huyu Mara hii mpka akikamata sim apate mtetemeko
Tweet media one
60
10
118
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Sasa Lema alishindwa Nini kunyoosha maelezo Kama alivyoosha @AdoShaibu na kusema ushoga haufai, au aliogopa kupigwa block ya kurudi Canada 😁😁
43
27
119
@Kipanga1986
Kipanga
9 months
Kuna muda watu wanayo haki ya kusema CCM ni wezi na wala rushwa wasio na kiasi, 2.6bn ni hela ndefu ambayo inaweza kutekeleza mradi mkubwa sio huu uzushi waliotuletea hapa, tunamuunga mkono mama Samia ila hatuungi mkono ubadhirifu wa namna hii
Tweet media one
35
18
118
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Turudi Nyuma kidogo, Jinsi wanaharakati wa Tz walivyokua na Roho mbaya @mshambuliaji alieleza kwa ufasaha kabisa, kwamba watu wanapaswa kuishi Kama tunavyoishi sisi wanaharakati wakalazimisha waishi porini waendelee kua na maisha duni, Wanaharakati wa Tz hawana tofauti na wachawi
15
19
111
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Ulinzi wa kishamba sio, kwamba TISS, Police na JWTZ wote Ni washamba wewe ndio wa mjini Sawa Bwana Mdude makomando wenu wa Chadema ndio watoto wa mjini Raisi mwachie alindwe na washamba Jamaa zako watakuja kuleta #tag humu @kigogo2014
Tweet media one
29
8
112
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
UFIPA wakiona hiyo picture ya Zanzibar hapo wanazidi kuchanganyikiwa, Wanaona Sasa Mama @SuluhuSamia analeta waarabu kuja kuchukua maeneo yetu, UFIPA acheni Ujinga hizi zama sio zama zile tena, Dunia imekua tofauti sasa sio Kama mnvyofikiria nyinyi kwa akili zenu fupi
Tweet media one
10
11
107
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Maria Sarungi ni mwanamke ila kafanikiwa sana kuchota akili za wanaume wanaojiita wanaharakati huku akiwapeleka kama bendera, the activists have now become slaves to Maria, what she says to them is an agenda and they push it, bila kujiuliza ni sahihi au sio sahihi
Tweet media one
Tweet media two
31
11
109
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
NSHALA kadhulumu 30m kwa mtu mmoja kutoka Arusha, alimuahidi kumsimamia kesi yake ya madai, ila mzee kala 30m kasema akipigiwa cm hapokei, mshikaji kaona isiwe shida atume vijana waende wakamtishie maisha ili atoe hela za watu, yeye kamua kusema Serikali wanataka kumua, Mwizi
Tweet media one
110
10
105
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Waziri makini wa fedha kuwahi kutokea Tanzania, chapa kazi Mh. @mwigulunchemba1 wizara ya fedha ndio wizara yenye kushika mustakbali wa Taifa lolote Duniani, kwa kweli hujatuangusha na tunaona Taifa linavyopiga hatua kwa jinsi ulivyojitolea kusimamia wizara hii, Hongera sana🙏🙏
Tweet media one
60
18
100
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Kama chawa Ni mdudu anaenuka Basi wanaharakati wa Nchi hii watakua wananuka Sana mpaka wanatia kinyaa manake ndio chawa wakubwa Sana kwako, wengine wakahamia Nairobi Ili wapate nafasi ya kuwa chawa wako bila kubugudhiwa
17
17
98
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Humu twitter mnasiri Sana aisee, mtu anajiita @Getrude_mollel jina la shangazi kabisa na picha pia ya shangazi kumbe Athumani, Sasa alikua na lengo gani na kwa faida ya Nani haswa, ndio maana wanaume wengi siku hizi huwa wasenge kwa ujinga kama huu, Ila huyu mhhhh
Tweet media one
53
10
101
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Umepigwa Risasi ukasababishiwa ulemavu, uliporwa haki zako uliogopa hata kutia miguu Tz kwa hofu ya usalama wako Leo unaishi kwa kutekelezewa yote kama Raia halali wa Tz, eti unatoa maneno machafu na kuoana hakuna kitu mtu amefanya, kujitambua kunahitaji akili ya ziada sana
Tweet media one
Tweet media two
91
19
99
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Nchi za wenzetu Askofu wanatumia ushawishi wao kuwafumbua watu mamcho juu ya Dunia ya sasa inavyoenda, lakushangaza Tanzania Askofu wanatumia ushawishi wao kutaka kuligawa Taifa, huku wakidhani wao wako na haki ya kusema hili lifanyike na hili hapana, huu upuuzi haikubaliki
Tweet media one
130
13
95
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Mpina kuwafanyia watu ushenzi kazoea, aliwafanyia ushenzi wavuvi kwa kuwachomea nyavu zao kwa kisingizio cha uvuvi haramu, hakuishia hapo akapora wananchi Ardhi yao na kujimilikisha sehemu kubwa ya Ardhi, Mtu akidhubuti kuwaingiza watu kwenye umasikini huyo ni hatari kwa Taifa
Tweet media one
17
13
92
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Maaskofu wa kanisa katoliki wanajipa umuhimu na kuwasemea watanzania wote kana kwamba wao ndio walioshika fikra wa watanzania, Eti sauti ya wengi ni sauti ya Mungu mbona mlipokwapua mgao wa TEGETA ESCROW watanzania walipopiga kelele hawakusema ni sauti ya Mungu, WANAFIKI!
Tweet media one
80
13
91
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Halafu kuna wehu wa ufipa wanasema watu hawakatai uwekezaji bali wanakataa mkataba mbovu, Wakatoliki wameamua kupinga wawekezaji kisa wanaokuja ni warabu na warabu 99% ni waislamu, ila wakae wakijua enzi za kuifanya Tanzania iko kwenye mikono ya wakatoliki imeisha, WAPUUZI, WEZI
Tweet media one
81
17
93
@Kipanga1986
Kipanga
2 months
Heee! Kwamba LISSU hana pesa ya kununulia gari, kwa iyo miaka yote ile Bungeni ilikua ya kazi gani, au hata chama chake miaka30 yote ya ruzuku iko na kazi gani, tukiwaambia hiki chama ni chama cha michongo mnakuja na mitusi hapa, haya changieni ndio ashawambia shangazi yenu
Tweet media one
128
16
90
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Ni vigumu sana kumuelewa Tibaijuka, hii ni sawa na kua mlevi baadae ukawa shekh au Padri, Historia yako itakuhukumu na nivigumu sana watu kupokea ujumbe wako kwa dhati, Bi Anna alitumia vibaya sana wadhifa wake kakosa sifa ya kuhukumu wengine, kilichobaki alee wajukuu
Tweet media one
68
11
90
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Sisi hatuwezi kusema "Mama unaupiga mwingi kwa sababu ya kunyesha kwa Mvua" tunajua Mvua Ni mipango ya M/Munga, Ila tutasema watekaji siku hizi Tanzania hawako tena, na tunampongeza Sana kwa kuwadhibiti watekaji na kurejesha Uhuru wa habari
Tweet media one
23
8
90
@Kipanga1986
Kipanga
5 months
Huyu kijana wa kizanzibar kafariki Tanzania bara kwa kukata mapanga, sipati picha kama angetokea Mnyamwezi mmoja au Mmasai akakatwa mapanga na kufariki, leo Wanaharakati nadhani wangepandisha mashetani, tunawauliza tu wanaharakati mna uke wenza na wazanzibar?
Tweet media one
45
15
88
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Kama Kuna mamabo ya busara BAKWATA wamefanya tokea kuanzishwa kwake Basi na hili ndilo, kwenye mapungufu tutakemea Ila panapostahiki sifa hatutosita kuwapa sifa, kwa hili wanastahili sifa Sana, tuondokane na mambo ya kukaa kwenye kiti na kusubiri ripoti ya mwezi kutoka kigoma
Tweet media one
18
5
86
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Mbowe na Dkt Slaa hawana la kutueleza hawa watu ni wabinafsi sana wako kwa ajili ya matumbo yao na familia zao, Ndio maana hawataki kusikia Serikali kuingia mkataba na DPW ili kuwaletea watanzania wote maendeleo, kazi yao ni kuwaminisha watu ujinga, Watu hawa ni wakupuuzwa
Tweet media one
Tweet media two
62
11
85
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Nchi hii Maaskofu wa katoliki waliechezea sana na kudhani wao wako na haki ya kukubali na kukataa lolote na Serikali ikatii amri yao, Tz ilifika hatua mtu anaegusa mfumo wa katoliki anapotea kwa jinsi hawa watu walivyokua na nguvu, Bado akili zao ziko na fikra ya 1961
Tweet media one
56
16
86
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Chongolo asijifanye CCM ndio wenye hati miliki ya Nchi hii,CCM ni chama cha siasa kama vyengine, na katiba sio takwa la chama cha siasa ni la wa Tz wote, ukisema CCM ndio kitaongoza mchakato wa katiba uko na maana gani, Tunawakumbusha tu CCM nyinyi sio watu special wa Taifa hili
Tweet media one
7
16
84
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Moja kati ya Nchi isiopenda Uislamu Duniani ni INDIA, ila kwenye suala la maendeleo hawajali waislamu wala wakatoliki, wanachoangalia wao ni namna gani Nchi inaweza songa mbele, leo Tanzania Nchi maskini kabisa eti MAASKOFU na WANAHARAKATI wanapinga wawekezaji kisa waislam, WEHU
Tweet media one
125
25
88
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Watu hawajibu hoja badala yake wanajibu kejeli, Sasa hoja Kama hii unadhani mtu ajibu nini, kwani mtu akishikiliwa na Police ndio unashikiliwa na RCO pekee Hili ndio zalia la Mbowe, LEMA na wenzake, vijana wa UFIPA badilisheni akili zenu huu sio upinzani huu Ni uwenda wazimu
Tweet media one
51
7
86
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Mama @SuluhuSamia sisi tunatambua jitahada zako na Nia yako njema kwenye Taifa hili, Ila Kuna baadhi ya watendaji wako wanakufelisha Sana mama, chukua hatua kwa kila aliesabisha kwa namna moja au nyengine upotevu wa fedha za Wananchi, Hii inasikitisha Sana kwa kweli
Tweet media one
23
10
83
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Hawa waarabu wanataka kuifanya Dunia iwe ya kwao peke yao sasa, Mbona wanazinunua bandari zote, UN waingilie kati hii haikubaliki kwa kweli, hii Dunia sio ya waarabu peke yao hata wanaharakati na TEC nao wanahaki
Tweet media one
54
10
85
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Mgomo wa wafanya biashara wa kariakoo ni udhibitisho tosha kwamba awamu hii inaendeshwa kwa misingi ya haki na kusikiliza kero za wananchi, kipindi cha kambale wafanya biashara walikutana na madhila mengi sana ila hawakuwahi kugoma, kwa sababu walijua nini kitawakuta Tuko Salama
Tweet media one
54
16
82
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Huyu alisema cheo chake Cha mwisho Ni ukatibu mkuu wa chama, baadae akawa katibu mkuu kiongozi bila kujali tamko lake, leo hii Ni Mbunge, Bashiru Ni wa kupuuza
Tweet media one
30
7
82
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Hawa wanaharakati wetu wanapoona hii habari wanakua wanajisikije huko waliko, au ndio akili zishawatoka hawajui kibaya na kizuri tena, Eti @kigogo2014 dada yake @Ngaso6 anahali gani?
Tweet media one
15
11
82
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Wazungu waliwapa kila sifa ya ubaya Waarabu ili waonekane ni washenzi na kuzijaza sumu Nchi za Afrika, hivi sasa ni wadau wao wakubwa wanaoshirikiano nao kwa ajili ya maendeleo, lakushangaza TZ bado kuna wehu wanasema hawataki warabu watakuja kuwapora Rasili mali zao, TZ yangu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
39
10
78
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Bado tunawaambia endeleeni kustahamili wanaharakati, 2025 msimaisheni Maria kupitia UFIPA huenda akawa Raisi na yeye aje avae mavazi ya kijeshi, ila sijui harakati zenu mtakuja kuzifanyia wapi, manake wanaharakati kukosoana ni dhambi kwenu
Tweet media one
18
12
75
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
1994 Rwanda ilikua na vita vya kimbari ikapitia Hali ngumu sana kiuchumi na kila sekta, leo ukienda kigali ni mara 10 zaidi ya Der, hii inatokana na kagame kuacha kusikiliza watu wanaojiita wanaharakati na Maaskofu pale anapoamua kufanya jambo la Maendeleo, ASKOFU NI WAHUNI
Tweet media one
81
11
77
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
LEMA anapokua jukwaani hajui hata anaongea Nini na wanaongea na Nani, LEMA kweli Bangi 😀😀
16
26
80
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Ndugu zetu wanazania Siasa Ni Vita vikali vya makombora na kuekeana visasi, huu Ni mchezo tu watu hucheza mwisho wa siku wakapiga Juice pamoja na maisha yakaendelea @VidonyiHumphrey Kuna siku nilikuambia, nahisi leo umethibitisha mwenyewe
Tweet media one
Tweet media two
7
7
76
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Wananchiiiiiiíiii, sawa sawa hii ndio @yangasc1935 kupenda Yanga hara sanaaa😁😁😁😁😁
Tweet media one
1
10
76
@Kipanga1986
Kipanga
2 months
Nasikia Bani Yai anataka Ubunge Jimbo la Ubungo amshinde Profesa Kitila Mkumbo, mulizeni yuko serous au anatania?
Tweet media one
52
7
76
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Hatari Sana, Mdude Nyagali ananguvu ya kupatikana kwa katiba mpya kabla ya 2025 labda iwe amekufa, mbona hatumuoni akitokezea pale Ikulu au nguvu hiyo yeye anaitoa wapi? @kigogo2014
25
9
74
@Kipanga1986
Kipanga
10 months
Sisi tukiwambia mnasema tunalipwa 20k hakuna chama cha siasa kitakacho badilisha maisha yako sio CCM wala CDM pamabaneni vijana muache kua na fikra za kitumwa, haya wakili wenu huyo naye ashalamba 20k?
Tweet media one
Tweet media two
22
18
76
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Eti halafu chama kinategemea kipate Madaraka kwa aina ya viongozi Hawa waliokua nao, huyu Ni BAVICHA NATIONAL CHAIRMAN anaongea utumbo mtoto wa darasa la 3 haongei...tukutane 2025 inshallah
Tweet media one
32
13
74
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Kwani Boni kafanya nini? Mimi kaniweka kabatini sijui alichofanya ila kwa jinsi ninavyojua uwezo mdogo wa Boni wa kufikiri hakuna zaidi ya ujinga, Juzi aliandika kwamba Serikali imeingia mkataba wa miaka 100 na DP WORLD leo kaandikaje tena @ngaso6_ngaso kafanyaje Boni Mayai?
Tweet media one
32
7
75
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Martin Ni kijana Mjinga na Mpumbavu kuwahi kutokea Tanzania, Ni vile tu jamaa zetu wamezoea kuchukua watu Wapumbavu wakawakumbatia, lakini huyu hafai hata kushirikishwa kwenye kikao Cha Birthday achilia mbali mambo yanayohusu Nchi, so sad kwa kweli
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
50
6
76
@Kipanga1986
Kipanga
1 month
Huyu ni mama ama shangazi? 😁😁
8
10
75
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Yaani chama kikuu Cha upinzani kinalilia viongozi wa Serikali kutokuepo kwenye uzinduzi wa kujaza maji bwawa la Nyeyere kweli? UFIPA Jana hawakuwahi kunywa dawa kwa kweli, jitahidi sana msisahau kunywa dawa Ili muwe na ajenda mzuri kwa wananchi, 2025 sio mbali
Tweet media one
19
8
72
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Wanaharakati @kigogo2014 aliwambia msicheze na Bahari mkamuona msaliti, haya Sasa kima kirefu Cha maji hicho mtaweza kufika ufukweni kweli, tunawasubiri tuwaone ufukweni mkiwa wazima😁😁
19
10
71
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Huyu Raisi tumombeini sana, Ni ngumu Sana kupata Raisi wa namna hii @McCainTumaini @kigogo2014
21
16
71
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Haya mambo hatukayaona kabisa kipindi Cha nyuma ya kitajwa, Ila kwa vile mama @SuluhuSamia Ni muwazi wa kila kitu bila kuingilia kazi za sekta nyengine, hatimae CAG kagundua madudu haya, huu mradi ukikua mradi wa watu special kupiga hela Mara hii wameingia kwenye 18
Tweet media one
31
10
70
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
UFIPA mnajifunza Nini kutoka kwa @zittokabwe ? mnamengi Sana ya kujifunza, jamaa Ni kiongozi wa upinzani haswa, anasifia na kukosoa pale napohitajika kukosoa, Nyinyi mmebakia na mauzushi na kusubiri hutuba za Raisi muanze kuzijadili,jifunzeni kwa huyu mwamba hakika mtafika mbali
Tweet media one
16
11
71
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Sasa unategemea pawe na busara gani hapa, walevi tangu lini wakawa na busara
@kigogo2014
Kigogo Media
11 months
"Naomba ieleweke wazi Kanisa linaunga mkono uwekezaji, hatupingi uwekezaji na tunajua wewe kwenye nia yako unataka uwekezaji, hata hivyo jambo hilo limekuwa na maoni mbalimbali ya wananchi na vyombo vya habari, lakini Mheshimiwa Rais tunatambua kwamba sisi viongozi wa dini zote
Tweet media one
2
8
89
55
10
71
@Kipanga1986
Kipanga
1 month
Dah! Nchi iko na mtihani sana hii😉😉
15
20
71
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Hii ni golden goal kabisa na mpira ndio umeishia hapo, tusubiri utekelezaji wa DPW
@kigogo2014
Kigogo Media
1 year
Ustadi aliouonyesha Profesa Kitila Mkumbo kwenye kufafanua suala la uwekezaji wa DP World hubgeni hivi karibuni na jinsi alivyo na mawazo mapana kwenye kufafanua mambo hasa ya uwekezaji lazima ni moja ya sababu zilizolazimu mamlaka kumteua na kumuundia wizara hii muhimu hasa
Tweet media one
0
13
132
11
2
70
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Kanisa katoliki limejaa wabadhirifu lenye viongozi wakatili na wenye hila, kanisa KKKT ndio kanisa lenye viongozi wa dini tunaowataka wenye busara na hekma wanaongelea jambo bila kudhani wao ndio wenye haki kuliko wengine, tunataka kauli za kukenga sio za kihuni
Tweet media one
74
10
65
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Huyu mume alie achana nae ana kila kitu ni mmiliki wa zile hospital za premier care lakini aliachika, ndio maana hakuna mwanaume anaeweza kuishi na @fatma_karume kwa ujinga huu Mshahara ndio Nini kwamba mwanamke ashindwe kumuheshimu mumewe, Ni laana tu subirini mufe vinywa wazi
Tweet media one
29
6
69
@Kipanga1986
Kipanga
3 months
Mitandaoni sasa, ila kwa ground😀😀😀
Tweet media one
8
6
68
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Halafu Kuna watu bado wanaleta blablaa, Nyinyi endeleeni na blablaa zenu ila huu ndio ukweli, Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye hili chini ya Uongozi wa Mama @SuluhuSamia #MamaYukoKazini #kaziendelee
Tweet media one
7
8
66
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Sisi kazi yetu ni kuwasogezea mambo kama haya ili kuwafumbua macho, mnatuona ni vibaraka ila baadae mtakuja kutukumbuka, endeleeni kikaza vuvu mnataka kuuziwa Nchi yenu kwa Waarabu, wenzetu wanatumia hawa hawa waarabu kuziletea maendeleo Nchi zao eti sisi wa Tz maskini tunapinga
24
8
67
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Siku hizi Maria anavaa ushungi? Vijana acheni kujazwa ujinga ni wanaharakati na wanasiasa wao wametulia na familia zao nyinyi wanawatumia kama Punda, kama walikua na nia njema kweli kwenye haya maandamno mbona hatukuwaona barabarani, sisi tutaendelea kuwafumvua macho
Tweet media one
14
13
66
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Kambale kweli akawe Bora kuliko Nabii Issa na Nabii Muhammad, sawa mwambie Basi kushatenguliwa aje afute utenguzi wako Kama yeye ndio bora, mnajisahau Sana mkiwa na vinyazifa uchwara mpaka kumkufuru M/Mungu
Tweet media one
12
5
66
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Madereva wa Bajaji wako tayari kuhesabiwa, sisi tupinge kwa Nini? Haiwezekani, tunaungana nao kwa Asilimia 100% Sensa ni kwa ajili maendeleo @kigogo2014 #sisitumekubali #kaziendelee
Tweet media one
5
11
63
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Utafikiri hiki chama hakina uongozi kabisa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
1 year
Utafikiri hii NCHI haina serekali kabisaaa....
15
22
106
21
5
68
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Miaka miwili ya Mama Nchi iko salama kila eneo 🙏🙏
Tweet media one
10
14
65
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Vijana wa UFIPA tukiwaambia mawakili wenu hawajawahi kushinda kesi iwe mnatuelewa, boss wenu anasema kapewa msamaha nyinyi kunguni na wanaharakati wenu mnasema nguvu ya umma ilitumika mkashinda kesi, Sasa Nani mkweli Kati ya nyinyi kunguni na boss wenu? @kigogo2014
Tweet media one
20
9
66
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
Hii ndio Tanzania tunayoihitaji Tz yenye furaha na amani, kila la heri viongozi wetu kwenye majukumua ya kuwatumikia wanachi, #sisitumekubali #kaziendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
7
65
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Kwa iyo wenetu wa UFIPA mkipata Nchi mtaleta mashine za kupandia Mpunga Nchi nzima Ili Hawa mama wasiendelee kuchezea tope, vp kuhusu hii nayo Ni kazi ya laana manake ukiondoka hapa miguu yote imeoza kwa matope, wenetu wa UFIPA tumueni lugha mzuri kufikisha ujumbe kwa watu
Tweet media one
19
9
66
@Kipanga1986
Kipanga
2 years
ACT waoneeni huruma Kaka zenu, hiki mnachoenda kufanya kwa hakika mnaenda kuwadhalilisha, Miaka 8 tu imetosha kuzindua ofisi za kisasa namna hii, wakati wao Ni 30 years Sasa bado wanaendelea kusumbuka kinondoni na kibanda Cha kukodi, kweli akili ni nywele kila mtu anazake,
Tweet media one
Tweet media two
27
15
64
@Kipanga1986
Kipanga
5 months
Ila Mama Samia kiboko sana aisee, kamjibu Mbowe kisomi na hekma kubwa mnoo, Lowassa hakuwahi kuwakejili wapinzani wala wazodoa kwenye siasa zake
9
9
64
@Kipanga1986
Kipanga
11 months
Kiongozi Mkuu wa wakatoliki Duniani amuombea Raisi Samia kwa kazi nzuri anayofanya ya kuwatumiakia wa Tz, ila lakushanga hawa INTARAHAMWE wa Bongo maselfish eti wanambagua na kuona hakuna kitu amefanya kisa Uislamu wake, Sawa mwambieni Papa na yeye kapewa 20k, NYINYI WEHU
Tweet media one
33
8
63
@Kipanga1986
Kipanga
1 year
Ndio maana UFIPA wanamakasiriko Sana mwaka huu, haya mambo kutoka kwa ACT yanawachanganya vibaya mnoo, hawakutegemea kabisa kwamba ACT inaweza kua tishio namna hii, ACT inavijana mahiri Sana na ndio maana kila siku zikienda mbele chama kinazidi kuimarika kwa Kasi sana
Tweet media one
Tweet media two
9
15
64