UFIPA mnajifunza Nini kutoka kwa
@zittokabwe
? mnamengi Sana ya kujifunza, jamaa Ni kiongozi wa upinzani haswa, anasifia na kukosoa pale napohitajika kukosoa, Nyinyi mmebakia na mauzushi na kusubiri hutuba za Raisi muanze kuzijadili,jifunzeni kwa huyu mwamba hakika mtafika mbali