AdoShaibu Profile Banner
Ado Shaibu Profile
Ado Shaibu

@AdoShaibu

Followers
65K
Following
24K
Statuses
27K

Secretary General, Alliance for Change & Transparency (ACT Wazalendo)

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 hours
RT @Mwanahalisitz: ADO Shaibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-WAZALENDO, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira ameteu…
0
33
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 hours
Nimekamilisha ziara yangu ya siku tatu kwenye majimbo ya Rufiji, Kibiti na Mkuranga. Nimewaeleza viongozi wa majimbo hayo kuwa kwa kushirikiana na vyama vingine makini, tujiandae kwa mapambano makali ya kupigania mageuzi ya kusiasa nchini. Nimewaeleza kamwe tusikubali maneno ya hadaa ya maridhiano kwa sababu yatatupotezea muda!
Tweet media one
1
4
13
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 hours
Hoja ya Mzee Wasira kuwa Wapinzania wanakodi vijana (kutoka Mara) kuleta vurugu inafadhaisha. Hakuna Chama kunachokusanya, kutoa mafunzo na kuwapa kazi vijana ya kuleta vurugu, kupiga na kuumiza watu zaidi ya CCM.
4
15
55
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 hours
Wiki moja baada ya uteuzi wake imekuwa bayana kuwa uteuzi wa Mzee Wasira umekusudia kuwababaisha na kuwatoa wapinzani kwenye mstari wa kupigania masuala ya msingi hasa mageuzi ya mifumo ya uchaguzi na hali ya maisha ya Watanzania na badala yake tuhangaike na yeye. Tusitoke kwenye mstari!
0
11
36
@AdoShaibu
Ado Shaibu
13 hours
RT @MwanzoTvPlus: ADO:UKIMYA WA UCHUNGUZI MAUAJI YA MZEE KIBAO DOLA INAJUA Anaadika Ndugu @AdoShaibu , Katibu Mkuu wa @ACTwazalendo kupiti…
0
37
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
16 hours
Nimeona jitihada za baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii kufurahia kukamatwa na kushikiliwa kwa Dk. Slaa kutokana na baadhi ya matendo na matamshi yake ya nyuma. Wanaofanya hivyo wanakosea kwa sababu mbili. Mosi, kwenye kupigania haki, tunapaswa kumsea kila anayekandamizwa na dola. Pili, katika siku za karibuni, Dk. Slaa amefanya kazi kubwa kwa maslahi ya umma, hasa kwenye sakata la bandari inayoweza kuwa alama ya kusamehe yaliyopita
33
57
374
@AdoShaibu
Ado Shaibu
16 hours
Rais aliagiza uchunguzi wa mauaji ya Mzee Ally Kibao. Hadi leo hatujasikia lolote kuhusu uchunguzi huo. Mnajua kwa nini? Leo nitawapa sababu. Mara nyingi ripoti zinazofichwa huwa na taarifa nyeti, hasa ambazo ni dhidi ya dola. Bila shaka, hali ni hiyohiyo kwa uchunguzi wa Mzee Kibao
34
153
843
@AdoShaibu
Ado Shaibu
1 day
RT @ACTwazalendo: Chama cha @ACTwazalendo tunatoa salamu za pole kwa watu Namibia kufuatia kifo cha Mwasisi wa Taifa lao.
0
18
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
1 day
RT @HusnaSungura: Jana tarehe 8 Feb 2025, Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu @AdoShaibu ameanza ziara kwenye Mkoa wa Kichama wa Mwambao kw…
0
2
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
1 day
RT @MwanzoTvPlus: #TANZANIA: ADO SHAIBU AGEUKA MBOGO SAKATA LA DKT SLAA KUENDELEA KUSOTA MAHABUSU Katibu Mkuu wa chama cha @ACTwazalendo, @…
0
11
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
1 day
RT @zittokabwe: Msimu wa 2024/25 nimelima Mahindi shambani kwangu Mungonya Farms Mwandiga. Nilifuata kanuni zote za Kilimo kwa mujibu wa bw…
0
127
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 days
RT @ACTwazalendo: Jana tarehe 8 Feb 2025, Katibu Mkuu wa @ACTwazalendo, Ndugu @AdoShaibu ameanza ziara kwenye Mkoa wa Kichama wa Mwambao kw…
0
7
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 days
Ikiwa sehemu ya ziara yangu kwenye Mkoa wa Kichama wa Mwambao, Leo nimefanya kikao na viongozi wa Jimbo la Rufiji, moja ya Ngome zetu madhubuti za kisiasa. Nimefarijika kukuta "Wapiganaji" wetu wakiwa imara na tayari kwa mapambano ya kupigania mageuzi ya kisiasa na ushindi. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Tweet media one
0
24
38
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 days
Jana tarehe 7 Feb 2025, Katibu Mkuu Kiongozi wa @ACTBarazaKivuli @idrisa_kweweta amefanya kikao na viongozi wa Kata ya Kiburugwa katika Jimbo la Mbagala. Ziara hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa Programu ya Sekretarieti Taifa ya Ziara ya Ujenzi wa Chama Kata kwa Kata, Dar es salaam
Tweet media one
0
7
30
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 days
0
0
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 days
Katika utekelezaji wa Programu ya Ujenzi wa Chama ya Kata kwa Kata katika Mkoa wa Dar es salaam inayoendeshwa na Sekretarieti ya Chama Taifa, Naibu Katibu Mwenezi @ayo_shangwe amefanya kikao na viongozi wa Kata ya Vingunguti Jimbo la Segerea. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Tweet media one
0
9
22
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 days
Kuanzia tarehe 8-10 Februari nitakuwa na ziara ya ujenzi wa Chama kwenye majimbo ya Rufiji, Kibiti na Mkuranga yaliyopo kwenye Mkoa wa Kichama wa Mwambao. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Tweet media one
0
7
19
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 days
RT @ACTwazalendo: Kuanzia tarehe 7-10 Februari 2025, Sekretarieti ya Chama Taifa itafanya ziara ya ujenzi wa Chama ya Kata kwa Kata kwenye…
0
6
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 days
RT @ayo_shangwe: Kamati ya Ilani 2025-2030
Tweet media one
0
12
0
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 days
RT @zittokabwe: Our party leader @SemuDorothy has appointed a 14 members strong team to draft a 2025 ACT Wazalendo election manifesto for U…
0
29
0