Ado Shaibu Profile Banner
Ado Shaibu Profile
Ado Shaibu

@AdoShaibu

Followers
62,406
Following
1,349
Media
3,006
Statuses
25,401

Secretary General, Alliance for Change & Transparency (ACT Wazalendo)

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Ni kwa mapenzi yake Mola Mimi na wenzangu tumetoka salama kwenye ajali kubwa Kama hii. Ashukuriwe Mungu; apangaye likawa, azuiaye likazuilika, alindaye likalindwa!
Tweet media one
Tweet media two
235
119
2K
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Time for mass action, time for RESISTANCE!! Wakati wa vuguvugu la umma, wakati wa mapambano! Wakati ni huu!!
51
126
1K
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Kwa siku mbili, Jeshi la Polisi Wilayani Tunduru linamshikilia Katibu wa ACT Amani Ndugu Mohamed Babu. Babu alikuwa pia wakala Mkuu wangu wa majumuisho katika Jimbo la Tunduru Kaskazini. #FreeBabu
8
66
990
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Mwaka 2018 nilifungua kesi kupinga uteuzi wa AG Kilangi. Nimefurahi kuondolewa kwake kuwa AG kwa sababu uteuzi wake ulivunja Katiba. Ingawa, sijaridhika uteuzi wa Jaji Feleshi kuwa AG kwa sababu ya rekodi zake ikiwemo kumvua uwakili aliyekuwa Wakili wangu @fatma_karume .
Tweet media one
25
62
798
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Ndugu yangu Julius Mtatiro, DC Tunduru, anasema tusishangae ATCL kupata hasara kwa sababu mashirika makubwa ya ndege Duniani yanapata pia. Nadhani hiyo siyo hoja. Hoja ni kwa nini nyuma tuliongopewa shirika linapata faida na sasa CAG anatueleza limekuwa likipata hasara mfululizo?
81
56
794
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Nilipoamua kumpeleka Rais Magufuli Mahakamani kwa kumteua Mwanasheria Mkuu asiye na sifa za kikatiba nilijua hilo ni jambo zito sana hasa katika zama hizi zilizojaa hofu. Hivyo basi, nilihitaji wakili shupavu! Fatma Karume alikuwa ni chaguo sahihi #IStandWithFatmaKarume
Tweet media one
28
75
729
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Uamuzi wa Katibu Mkuu Habari Dk. Hassan Abas kulipa tafsiri finyu agizo la Rais SSH la kufunguliwa kwa vyombo vya habari (Anadai hajaagizwa kufungulia magazeti, ni online TVs tuu) ni dalili kuwa kichwani mwake bado anaishi zama za JPM!
68
68
677
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Nipo huru. Sina la kusema zaidi ya kile nilichokisema kwa waandishi na Wana-ACT nikipelekwa Polisi Oyesterbay: "Msiogope. Mapambano yataendelea".
Tweet media one
Tweet media two
42
56
660
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Unamteka MO. Unamuachia. Unasikia ana "microchip" mwilini. Unapata mshtuko. Unakufa😂
Tweet media one
40
92
640
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
"Binadamu ana mambo matatu; anafikiri, anasema & anatenda. Unaweza kumzuia kusema na kutenda lakini huwezi kumzuia kufikiri. Ukimzuia kusema na kutenda huwezi kujua anawaza nini. Hiyo ni hatari" Nasaha kutoka kwa Duni Haji. #TogolaniStyle @zittokabwe @tonytogolani @salimbimani2
Tweet media one
14
113
582
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Mambo mawili muhimu ambayo hackers wa account ya Zitto wamefeli ni: Kuigiza mwandiko na akili zake. Wanachoandika hata mtoto anajua kuwa sio Zitto. WAPUUZI!
29
55
542
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Unaandaa filamu feki. Umma unakukimbiza kwa maswali. Unapiga mkwara. Umma bado unakuzonga. Unakimbia...unakimbia..unakimbiaaa...Unajikwaaa, unakufa😂 #UnakufaChallenge
Tweet media one
19
58
534
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Tumemzika Ndugu yetu Aboubakar. Urithi mkubwa anaotuachia viongozi ni kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na kujitoa. Tutauenzi mchango wake kwa Chama, Zanzibar na Tanzania kwa vitendo. #RIPLegend
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
23
55
544
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Issues 3 kwenye lecture ya "King Kong" Chid Benz kwa Makonda: 1. Umuhimu wa focus badala ya kuhangaika na kila kitu 2. Umuhimu wa kumaliza jambo badala ya kugusagusa kila kitu 3. Umuhimu wa kujibiisha na utatuzi wa kero za watu badala ya "maigizo" ya wasanii kusaka sifa
Tweet media one
20
74
526
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Ndugu yangu @JonMrema huku Dodoma, Mzee Pinda, PM Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM anasema: "Hili la Tume Huru, sioni sababu kwa nini Chama Tawala tusikubaliane na Upinzani..". Na mapungufu yake yote, Mkutano wa Dodoma umezalisha fursa muhimu ya kusonga mbele.
134
71
533
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
🎶Watekaji Hodariii🎶 (In Mboso's voice) Hawakujali kwamba gari imeshawekwa public na imezua mjadala wa kitaifa. Wakaona bado ni salama kuendesha kuelekea viunga vya karibu na Ikulu na gari hilohilo😅 #WatekajiHodari 🎶
Tweet media one
46
80
472
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Tweet media one
6
23
483
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Picha hii ya Mama Janeth Magufuli mwenye uso wenye matumaini akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud nimeipenda sana. Mungu aendelee kumpa nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wake.
Tweet media one
17
25
464
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
".....Nilimkazia macho bila tashwishi."🤣
Tweet media one
58
29
432
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Pale Mwandishi anapotaka Ndugu @zittokabwe amjibu Musiba. Jibu: Hatuwezi kuacha mijadala nyeti ya kitaifa tujibu #Takataka ! Takataka kwake ni kwenye dustbin!
24
70
413
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
WAKO WAPI? Kanguye wa Uhambweni*, "Kidumu" yake salamu Azori wa Gazetini Silaha yake Kalamu Sanane wa Ufipani* Alipo hatufahamu Mo Kawakoseani, Mso hofu na Qayyumu*? *Mhambwe: Anakotokea Kanguye * Mtaa wa Ufipa Makao Makuu ya @ChademaMedia ***Qayyumu: Mungu wa Milele Mtumainiwa
Tweet media one
12
82
409
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Nimefuatilia Press Conference ambazo @RealKhalifax anahudhuria. Anatutoa jasho kwa maswali yake! Si watendaji serikalini, si wanasiasa, si CCM, si wapinzani. Wote jasho! Hata leo kwa IGP, ametekeleza wajibu wake ipasavyo. Tusimchukie. Ndivyo hasa waandishi walivyopaswa kuwa!
Tweet media one
37
77
408
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 years
Mwanza-Dar, Majadiliano na Ndugu yangu, Mjumbe wa Kamati Kuu @ChademaTz , @HecheJohn . Guess the topic!
Tweet media one
Tweet media two
40
28
403
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
🎶Watekaji Hodariiiiii🎶 (In Mboso's voice) Wamemteka karibu kwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Wamemuachia karibu na kwa Rais. #WatekajiHodari 🎶
Tweet media one
25
72
392
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Update: 1. Kesi yangu dhidi ya Rais Magufuli imeondolewa "struck out" kwa kumjumuisha Mh. "John Pombe Magufuli". Wakili wangu Fatma Karume atafafanua. 2. Wakili Fatma Karume amesimamishwa (suspended) uwakili kwa maneno yake kwenye "submission" ya kutetea kesi yangu.
Tweet media one
36
38
384
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Chama Cha ACT Wazalendo kinawajulisha wanachama wake na Watanzania kuwa Kiongozi wetu wa Chama Ndg. @zittokabwe ameshikiliwa na mamlaka za Serikali tangu saa nane mchana leo. Kiongozi ameshikiliwa na maofisa wa Uhamiaji Zanzibar kwa maelekezo kuwa haruhusiwi kwenda Nje ya nchi
Tweet media one
Tweet media two
47
51
371
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Nimearifiwa kuwa Mwanaharakati na Mwanachama wa ACT Wazalendo @SuphianJuma amekamatwa na Polisi na anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Mburahati. Tunafuatilia..
Tweet media one
26
43
359
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Taarifa ya Kaimu Mwenyekit wa @ACTwazalendo ndugu, Dorothy J. Semu ( @SemuDorothy ).
Tweet media one
7
20
373
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"Tarehe 24 itakuwa ni siku ya kupigania demokrasia nchini. Wanaouliza tutafanya nini wasubiri tarehe 24"- Wakili Bonifasia Mapunda, Naibu Katibu, Ngome ya Vijana, ACT Wazalendo.
41
34
352
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Unapokuwa mikononi mwa mtu anayeweza kumkabili waziwazi IGP na kumueleza "Unajua MO yupo wapi. Hatutaki maneno. Tunamtaka MO mapema", kisha kesho yake anaachiwa. Bila shaka nawe utapata UJASIRI. Asante Mwami! Vijana tunajifunza @zittokabwe
15
53
355
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Ninawashukuru sana mlionitakia heri ya kuzaliwa. Tupo pamoja. Mapambano yaendelee!
Tweet media one
25
26
360
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Heri ya kuzaliwa Adv. @fatma_karume . Sitakusahau kwa kujituma kwako na kunijaza ujasiri kwenye "Ado Shaibu Vs John Pombe Magufuli". Endelea na moyo wako wa kijasiri. #HBD
Tweet media one
Tweet media two
3
20
359
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Jaribio lolote la kutaka kumdhuru au kumkosea heshima Zitto halitafanikiwa. Tunafuatilia. Jeshi la Polisi endeleeni kumlinda. Mkumbuke ujumbe wetu: "Information is power".
Tweet media one
11
69
349
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Msimamo wetu juu ya afya ya viongozi wa umma upo dhahiri kwa kauli na vitendo. Ndio maana Mwenyekiti wetu alipougua, Chama chake na yeye mwenyewe binafsi tuliweka bayana kwa umma. Kiongozi wa umma ni mali ya umma.
22
26
358
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
"Unaunga mkono juhudi". Hupati uteuzi. Unachoka. Unakufa😂
Tweet media one
21
61
343
@AdoShaibu
Ado Shaibu
7 years
Ukiona kusanyiko la vijana wa chama kinachotawala kutoka kona zote za nchi limekutana na usisikie masuala nyeti ya vijana Kama vile ajira, elimu nk yakitawala na badala yake ukasikia vinavyotawala ni vijembe na mipasho ujue Kama taifa tuna tatizo kubwa! @zittokabwe @doromankaa
28
65
349
@AdoShaibu
Ado Shaibu
7 years
Nilipoteuliwa kuwa Mwenezi wa @ACTwazalendo @YLulungu aliandika Makala @MwananchiNews .Kwake yeye, Wanaharakati kujiunga na active politics ni aidha vyama kupokea mabadiliko(Chama 'kupatikana') au mwanaharakati kubadilishwa (mtu 'kupatikana'). Msome hapa
Tweet media one
36
62
332
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
#KoroSHOW Unafanya maamuzi kwa kukurupuka ukidhani unamuumiza mtu kumbe unaumiza taifa
28
53
334
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Sheikh Issa Ponda amejipambanua kama mmoja wa viongozi wa dini wanaosimama imara kupinga vitendo mbalimbali vya uonevu, dhuluma na ukandamizwaji wa haki. Uamuzi wa Mahakama ya Rufaa kumpeleka Kisutu akahukumiwe upya wakati ametumikia adhabu unaweza kuhusiana na msimamo wake.
Tweet media one
15
57
327
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Mwambieni Mzee: 1. Tumeshaamua maisha yetu ni siasa, 2. Siasa ni Mapambano, 3. Kuwekwa Jela kwa ajili ya mapambano ya maisha ya watu na haki zao ni jambo la HESHIMA. @zittokabwe @fatma_karume
16
55
330
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Kwa wanaofuatilia ziara za kimataifa za @SeifSharifHamad watakubaliana nami kwamba Maalim amejidhihirisha kuwa mwanasiasa kinara nchini kwenye kujenga mshikamano wa kimataifa na international engagement. Wanasiasa wengine wa upinzani tunalo la kujifunza. @zittokabwe @IsmailJussa
Tweet media one
16
37
320
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Tangu Ndugu Elias Massala, Mbunge Mstaafu wa Nachingwea atangaze kujiunga na ACT Wazalendo na kuteuliwa kugombea Ubunge, anakumbana na hujuma za CCM kuzuia asigombee. Nimefika Nachingwea kuhakikisha hujuma hizi zinafeli na Massala anachukua fomu.
8
25
313
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Ndugu @SuphianJuma ameteuliwa kuwa Afisa Mawasiliano kwa Umma (Mass Communication Officer) wa Chama cha @ACTwazalendo . Tunamtakia utekelezaji mwema wa majukumu yake.
11
18
310
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"..Mwalimu Nyerere aliniambia Seif jiuzulu. Nikamwambia sijiuzulu. Unajiuzulu unapojua kosa lako. Mimi naamini sina kosa. Mwalimu akasema in that case We are expelling you. Nikamwambia nakubali"- Maalim @SeifSharifHamad . kutazama interview, bonyeza link:
1
51
306
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
"Edo Edo nakutahadhalisha"... Mkwara kutoka Chi Chi Em😂😂
88
40
299
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
PUUZENI! Huu ni "mradi" wa kutugawa. Nao utafeli kwa sababu upinzani unahitaji mshikamano imara kuliko kipindi kingine chochote katika historia yetu ya mageuzi. @zittokabwe @freemanmbowetz @SeifSharifHamad @ACTwazalendo @ChademaMedia @CUFTanzania
Tweet media one
55
36
295
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Nimemsikia Rais @MagufuliJP kwenye #LawDay2019 kuwa "Tuliomshtaki Mahakamani (Kwa kumteua AG asiyekidhi vigezo vya kikatiba) hatujasoma ibara ya 46 ya Katiba (inayompa Kinga)" My Take: Mamlaka ya kutafsiri sheria ni ya Mahakama, si Rais. Iachwe ifanye kazi yake. @fatma_karume
21
42
292
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Leo Jimbo la Pandani (Zanzibar) linafanya Uchaguzi wake wa marudio. Uchaguzi huu ni kipimo cha kwanza kikubwa cha nia njema ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK). Kila la heri Wana-Pandani, Kila la heri Wazanzibari.
8
23
303
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"Napatwa na mshangao kuwa Makamu wa Rais @SuluhuSamia ambaye alimwakilisha Rais huko Harare alikwenda Ubalozi wa Zimbabwe kuweka saini kwenye kitabu cha maombolezo akijua anakwenda Harare kuzika 🤷🏿‍♂️! Akiwa ubalozini, Mkuu mpya wa Usalama anaapishwa Ikulu"- Zitto Kabwe.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
26
30
297
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Taarifa Kwa Umma. Taarifa zinazowekwa hivi sasa kwenye akaunti ya Twitter ya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe si zake. Simu na laptop ya Ndugu Zitto vipo mikononi mwa Jeshi la Polisi. Ado Shaibu, Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi, ACT Wazalendo.
15
60
297
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Lipo darasa maridhawa la msimamo kutoka Zanzibar: 1. Uchaguzi uliporwa kumnyima ushindi Maalim Seif 2. Wawakilishi wakasusa kuwa sehemu ya Baraza kupinga uporaji 3. Licha ya kukosa maslahi na stahiki zao kwa miaka 3, hatujasikia hata mmoja kuhamia CCM @IsmailJussa @mansoorhimid
Tweet media one
21
64
289
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Jenerali Ulimwengu anasema: @KagutaMuseveni wa sasa angekutana na Museveni Mwanamapinduzi wa Miaka ya 60 hadi 80 wangemiminiana risasi. NAAFIKI. Kuthibitisha msome Museveni Mwanamapinduzi kwenye makala yake "Activism at the Hill". Kitabu: Cheche (Prof. Hirji et al).
Tweet media one
22
87
280
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Ndugu Hassan Elias Massala, Mbunge wa Nachingwea aliyemaliza muda wake na Mgombea wa ACT Wazalendo ameachiwa huru baada ya kushikiliwa na Polisi kutwa nzima. Polisi wamejiridhisha kuwa hakukuwa na sababu ya msingi ya kukamatwa kwake. Kesho tutamsindikiza kuchukua fomu yake.
Tweet media one
6
24
280
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 months
Vile nashangilia ushindi wa @YoungAfricansSC ! Kilele cha Mlima wa Red Rock, Florida. #IVLP
Tweet media one
10
34
301
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Nimefuatilia kwa makini masimulizi ya Wazee wetu kwenye Maadhimisho ya Maisha ya Maalim Seif. Funzo moja ni bayana: Mambo mengi makubwa tunayoyaona kwenye medani ya siasa ni zao la mazungumzo ya watu nyuma ya pazia bila kujali tofauti zao. Nimejifunza sana!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
17
34
289
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Shikamoo @kigogo2014 . Raphael kapatikana! Wameona bora wakamtupe Mombasa!! #RaphaelIsBack
2
39
272
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Ready for battle! Tayari kwa vita! Tunduru Kaskazini #KaziNaBata
Tweet media one
23
40
282
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Tunafahamu: 1. Mbunge wa Kigoma Kusini Hasna Mwilima ameandika kwa Spika kutaka hoja binafsi ili Bunge liunde Kamati Teule kuchunguza mauaji ya Mpeta. 2. Spika amempeleka kwa PM ili wayazungumze kusiwe na hoja. 3. Safari ya Kangi Lugola ni kuzima hoja ya Kamati Teule.
Tweet media one
10
57
278
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
This shall pass Brother🙏
Tweet media one
6
27
276
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Ndugu @SuphianJuma ameteuliwa kuwa Afisa Mawasiliano kwa Umma (Mass Communication Officer) wa Chama cha @ACTwazalendo . Tunamtakia utekelezaji mwema wa majukumu yake.
Tweet media one
Tweet media two
18
33
270
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Watekaji wamemtupa Mo viwanja vya Gymkana, karibu na Ikulu. Tunashukuru amepatikana kwa "nguvu ya umma". @zittokabwe @godbless_lema @fatma_karume
Tweet media one
10
31
265
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Utatembea kutoka Kisutu ukiwa huru!! Haki itashinda leo, InshaAllah!
Tweet media one
11
28
274
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"Kisheria Mwanasheria Mkuu (AG) ni Wakili Na. 1. Katiba inataka awe na uzoefu wa miaka 15 ya uwakili. Mtu mwenye uzoefu huo anahesabika kuwa mkongwe (senior) na mwenye kuheshimika kwenye taaluma. Huyu wa sasa (Dk. Kilangi) ni mchanga (junior) kupewa heshima hiyo" @fatma_karume
Tweet media one
16
26
263
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 years
Happy Birthday to the People's President of Zimbabwe Hon. @nelsonchamisa . I pray that you celebrate your next birthday in the State House.
Tweet media one
4
53
264
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Dk. Bashiru Ally na CCM kwa ujumla wake waliyasaliti mapambano dhidi ya Corona kwa kuchagua kukaa kimya nchi ikiwa kwenye janga. Huu ni usaliti kwa Watanzania na ukosefu mkubwa wa utu. Maneno wanayoongea sasa ni porojo ya kujikosha.
20
23
272
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Siku moja imepita tangu msaidizi wa Ndg. Bernard Membe Allan Kiluvya atekwe na watu wasiojulikana. Ingawa Allan anafahamika kuwa kada wa CCM, ni mwenzetu kwa mengi; kijana mwenzetu, Mtanzania mwenzetu na zaidi binadamu mwenzetu. #BringBackAllan
Tweet media one
10
52
265
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Kongamano limewabagua wanawake! Kongamano ni la "Wasomi Dola" hivyo ni la upande mmoja! Retweet and Like kama unadhani @fatma_karume , Jenerali Ulimwengu, @zittokabwe & @MariaSTsehai walipaswa kuwepo kutoa "sauti mbadala" Comment kumtaja mwingine unayedhani alipaswa kuwepo!
Tweet media one
60
93
262
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo Ndg. @zittokabwe akisoma ujumbe wa Mwandishi Erick Kabendera kwa Watanzania kwa niaba ya Wakili wake @Advocate_Jebra kwenye shughuli ya kuuaga mwili wa Mama yake Eric Kabendera iliyofanyika katika Kanisa la Mt. Xavier, Chang'ombe, DSM.
Tweet media one
17
25
261
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
"Polisi wapo wangapi? Polisi wapo wangapi? Hakuna Polisi wa kutosha nchi nzima ikiwaka moto. HAKUNA!!! Kazi yake yeye ni kuwaambia watu wanaohusika na uchaguzi watende haki (badala ya kutisha watu)"- @zittokabwe
14
45
263
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Nimewaeleza @VOANews kwamba Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa unalenga: 1. Kuzuia uwezekano wa vuguvugu kama UKAWA 2. Kuhalalisha matamko batili ya kuzuia mikutano 3. Kuongeza nguvu ya Msajili kuvibana vyama 4. Kudhoofisha upinzani & kuiimarisha CCM TUTAUPINGA!
Tweet media one
Tweet media two
20
46
245
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Mwanasiasa wa @ccm_tanzania ninayemuona kwenye video hii si Mwalimu na Komredi wetu Bashiru Ally tuliyemjua. Ni mtu mwingine kabisa. Yule rafiki yetu mwenye lugha ya kiungwana amesombwa na madaraka. Chambilecho wahenga madaraka hulevya! @zittokabwe @ACTwazalendo
46
56
248
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Kwa hiyo Chama cha Makatili (CCM) ndio mnamaanisha hamjaguswa kabisa na kutekwa kwa @ChademaMdude kama ambavyo hamkuguswa na kupotezwa kwa Azory, Kanguye, Saanane n.k? Nyie jamaa mna roho ngumu sana!! #BringBackMdudeAlive
Tweet media one
32
50
248
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mwalimu @MabalaMakengeza . Miaka 6 iliyopita, niliwahi kuandika makala gazetini "Mambo 10 Usiyoyajua Kuhusu Richard Mabala". Leo, katika kuadhimisha siku yake, nayarejea mambo hayo hapa chini. #HBDMabala
Tweet media one
14
14
255
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
17
35
241
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Huyu ndiye Spika Ndugai anasema hajui yupo wapi? #Unyama !
Tweet media one
26
27
242
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Tunduru Kaskazini stand up!
Tweet media one
15
21
246
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"Unajua hawa watu wanalalamika kila siku. Utawasikia Zitto alipokuwa PAC alikula hela. Sasa nyinyi mna polisi, mna DCI, mna usalama..mna kila kitu! Kwa nini msimshtaki huyo Zitto"- @zittokabwe
5
30
237
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 months
#EidMubarak from Muslim Community Center (MCC) Masjid, Silver Spring, Maryland, 🇺🇸
Tweet media one
10
19
244
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 years
Hats off to my CCC comrades @nelsonchamisa @hwendec @advocatemahere @gladyshlatywayo for a successful #yellowsunday campaign launch!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
54
239
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
#WhatShangaziSaid Kwenye thread hii, nitaweka nukuu muhimu za kwenye submission ya #Shangazi @fatma_karume kwenye kesi yangu dhidi yangu ya Rais Magufuli. Ni dhahiri #Shangazi amehukumiwa kwa msimamo wake wa kutetea haki na demokrasia. Hakuna la zaidi! #ISTANDWITHFATMAKARUME
Tweet media one
8
34
225
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Pigo kubwa kwa Chama chetu Cha @ACTwazalendo , Kwa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla hususani tasnia za sheria na siasa ambazo Ndg. Abobakar alizitumikia kwa weledi, kujitoa na uadilifu mkubwa. #RIPLegend
@zittokabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
4 years
Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mkt wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompigia risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa Sawa mpaka umauti. Inna lillah waina ilaih raajiun
Tweet media one
414
293
3K
3
21
237
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"Tunafahamu kuwa Chama cha Mapinduzi kinaumizwa sana na nguvu yetu iliyopo Zanzibar, hawakutegemea kwamba Maalim @SeifSharifHamad na viongozi wengine wangeweza kuondoka na watu wengi namna ile"- @zittokabwe . #Konani
Tweet media one
5
11
227
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI Kesho tarehe 10 Juni 2020, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Maalim @SeifSharifHamad , atazungumza na Waandishi wa Habari. Muda: Saa 5:00 Asubuhi. Mahali: Makumbusho Jengo la Millenium Tower (Kisenga Hall). Waandishi wote mnakaribishwa.
Tweet media one
8
22
227
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
@ZanzibariYetu
Salma Said
5 years
Hatimae Zanzibar Law Society (ZLS) imesema kusimamishwa kwa Wakili Fatma Karume hakukufuata taratibu za kisheria kwa kukoseshwa kupewa haki ya kusikilizwa na kumtaka Jaji Mkuu wa Tanzania kuingilia kati ili haki itendeke. #justiceForFatma
Tweet media one
39
132
1K
1
19
222
@AdoShaibu
Ado Shaibu
7 years
Wenye kuhitaji kitabu cha "Salim Ahmed Salim: Son of Africa" wanaweza kukipata kwa link: Ukishindwa kukipakua andika email yako kwenye comment nitakurushia kwa email. #KitabuNilichosoma
Tweet media one
173
71
228
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
"Kila mtu akila kiapo, anashika Biblia/Msahafu mkononi, anaapa kuilinda Katiba. Lakini Katiba hii ina MATATITO. Tunaapa kuyalinda MATATIZO!"- @othmasoud , Mjumbe wa Kamati Kuu, ACT Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Tweet media one
10
35
219
@AdoShaibu
Ado Shaibu
3 years
Ni jambo la fahari, nikiwa Msimamizi Mkuu wa fedha za Chama (Chief Accounting Officer) kuwa Chama chetu cha ACT Wazalendo si tu kimeendelea kupata hati safi bali kina hoja (queries) chache zaidi katika Ripoti ya CAG. Fedha za Vyama vya Siasa ni Fedha za Umma!
12
21
228
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Allan amepatikana. Nimezungumza naye kwa ujumbe mfupi na amenithibitishia yupo salama. Nina imani kuwa atabeba wajibu wake wa kutueleza yaliyomkuta na kuwaweka bayana watekaji. Bila kufanya hivyo, hatutaweza kukomesha vitendo vya utekaji. #AllanIsBack #UtekajiSasaBasi
Tweet media one
14
30
222
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"Kwa kutumia taaluma yangu ya sheria nilidhani ningeweza kuleta mabadiliko kwenye jamii yangu. Kwa kilichotokea, sasa naanza kutafakari kama ni wakati muafaka wa kuingia kwenye siasa. NATAFAKARI!"- Wakili Fatma Karume #IStandWithFatmaKarume
Tweet media one
13
35
220
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"..Kavazi linafungwa ifikapo Desemba 31, 2019. Hii inatokana na uamuzi wa bodi ya COSTEC kwamba wao, kwa busara zao, wanaona, ingawa Kavazi lilikuwa linafanya kazi nzuri, hawaoni kama lina relevance, na ndiyo neno walilotumia, relevance, kwa shughuli za Costech" Prof. @IssaShivji
Tweet media one
5
25
220
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Kazi ya Kiongozi ni KUONGOZA sio KUONGOZWA. Kiongozi mwenye maono hawezi kukwepa KUONGOZA. Bila kujali mawimbi, Kiongozi lazima AONGOZE kwa kuzingatia maslahi mapana ya jamii yake ya sasa na ya baadaye.
Tweet media one
99
20
220
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
"Tunatoa wito kwa Watanzania. Wajiandae kwa maelekezo yatayotolewa baada ya mashauriano yanayoendelea miongoni mwa viongozi wa vyama vya siasa na makundi mengine ya kijamii" @zittokabwe , Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo. #TumeHuruYaUchaguzi #ChaguziHuru
Tweet media one
Tweet media two
23
22
213
@AdoShaibu
Ado Shaibu
4 years
Usilie Tanzania, wakati wa ukombozi umewadia!! Weep not Tanzania, time for freedom has come!! Usilie Zanzibar, uhuru unakuja! Weep not Zanzibar, freedom is coming!!
5
35
218
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Mzee Wakati Mwandemba "Ndevu za Shaba" anasema 2020 ni #KaziNaBata . Ziwa Tanganyika, Kijiji cha Isasa, Kata ya Itete, Tarafa ya Kirando, Wilaya ya Nkasi, Mkoa wa Rukwa. @zittokabwe
Tweet media one
Tweet media two
8
13
211
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Walimteka, walipoulizwa kama wanamshikilia wakakataa! Kelele zilipopigwa na walipoelezwa baadaye kuwa CCTV imerekodi tukio zima, wakatoa kauli kuwa wanamshikilia! #FreeErickKabendera
Tweet media one
13
34
213
@AdoShaibu
Ado Shaibu
6 years
Ni heshima kwa kiongozi yeyote yule kijana kuwa sehemu ya uandishi wa historia muhimu ya nchi yake. Ninajisikia heshima kubwa kuwa sehemu ya timu ya ufundi nyuma ya #AzimioLaZanzibar .
Tweet media one
Tweet media two
10
19
205
@AdoShaibu
Ado Shaibu
5 years
Maalim Seif: Dola iliagiza kufanywa utafiti maalum kuhusu hali ya kisiasa na nguvu za vyama zilivyo kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao Zanzibar. Utafiti huo ulionesha kwamba CCM inaungwa mkono na asilimia 36 tu ya Wazanzibari huku @ACTwazalendo ikiungwa mkono na 64% ya Wazanzibari.
Tweet media one
5
19
212
@AdoShaibu
Ado Shaibu
2 years
Ninakishukuru Chama changu cha ACT Wazalendo kwa kuniamini na kunichagua kukiwakilisha kwenye uchaguzi wa EALA. Wajibu wetu ulikuwa ni kulionesha Taifa kuwa ACT Wazalendo kinaweza kutoa uwakilishi bora kuliwakilisha Taifa kwenye @EA_Bunge
Tweet media one
38
29
212