"..Kavazi linafungwa ifikapo Desemba 31, 2019. Hii inatokana na uamuzi wa bodi ya COSTEC kwamba wao, kwa busara zao, wanaona, ingawa Kavazi lilikuwa linafanya kazi nzuri, hawaoni kama lina relevance, na ndiyo neno walilotumia, relevance, kwa shughuli za Costech" Prof.
@IssaShivji