PatrickJAssenga Profile Banner
Patrick John Assenga Profile
Patrick John Assenga

@PatrickJAssenga

Followers
78K
Following
21K
Media
4K
Statuses
11K

Mwanachama wa CHAUMMA. Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Segerea 2019-25| Mgombea Ubunge Rombo 2020 | Diwani Tabata 2015-2020 |

Rombo Tanzania
Joined September 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 years
Hii ilikuwa ni ROMBO 2020, MAGUFULI bila AIBU akapindua MAAMUZI ya WATU wote hawa. siku sio nyingi tutafanya MIKUTANO ya HADHARA kuyashakuru MAELFU yote haya kwa KURA zao za UAMINIFU 🙏✌️
30
65
302
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
Jukwaani ni Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma, Salum Mwalimu akihutubia Maelfu ya Wananchi katika Mkutano wetu wa Hadhara Usariver Arusha Leo. Tunaendeleza tulipoishia. #TunaendeleTulipoishia .#C4C
Tweet media one
Tweet media two
103
13
244
@grok
Grok
17 hours
Generate videos in just a few seconds. Try Grok Imagine, free for a limited time.
292
104
1K
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
Msibadilishe Jenerali katikati ya vita. Haya Maneno ya muasisi wa CHADEMA na yenyewe yametimia. @JamesMbowe4
137
25
212
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
RT @PatrickJAssenga: Ahsanteni sana MPANDA MJINI. #CHAUMMA inaendelea kuchanja mbuga. #C4C.#TunaendeleTulipoishia
Tweet media one
Tweet media two
0
9
0
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
Ahsanteni sana MPANDA MJINI. #CHAUMMA inaendelea kuchanja mbuga. #C4C.#TunaendeleTulipoishia
Tweet media one
Tweet media two
12
9
46
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
MAMIA ya Wananchi WALIOFURIKA kufuatilia HOTUBA katika mwendelezo wa MIKUTANO yetu iliofanyika JIONI ya leo huko Jimboni SERENGETI, Mkoa wa Mara. Tunaendeleza tulipoishi.
Tweet media one
Tweet media two
263
24
443
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
Nikihutubia MAELFU ya Wananchi, Jioni ya Leo katika Viwanja vya FURAHISHA-Nyamagana, Jijini MWANZA. Asanteni Wana-MWANZA kwa kuja kwa WINGI kutisikiliza CHAUMMA. Tunaendeleza pale tulipoishia.
242
13
139
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
Ni MPAKA Kieleweke…. Tunaendelea pale TULIPOISHIA
Tweet media one
Tweet media two
103
7
256
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 months
Tunaendeleza PALE Tulipoishia…
Tweet media one
80
6
111
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
Hapa ni Nyumbani ROMBO MAMSERA, umati huo sisi ndo TULIUPA IMANI hapo nyuma. Tuliujenga hatua kwa hatua, Tunakwenda KUANZIA tulipoishia.
@ChademaTZ2
Chadema Tanzania
3 months
Wananchi wa Mamsera, Rombo wasimamisha msafara wa Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. @HecheJohn wakitaka kupokea ujumbe wa #NoReformsNoElection.
178
55
576
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
Tulikamata jiji la Dar es Salaam mwaka 2015, Tukachukua MANISPAA ya KINONDONI, tukachukua ILALA, tukachukua na UBUNGO. MWAKA huu kupitia CHAUMMA tunaenda KUKOMBA vyoteeee.
59
5
35
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
RT @JonMrema: Sifa mojawapo ya kuwa Mwanachama wa CHAUMMA kwa mujibu wa Katiba ni lazima uwe unaamini uwepo wa Mungu, Katiba ibara ya 10(b)….
0
11
0
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
Kamati Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) KUKUTANA
Tweet media one
50
13
103
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
Ndugu yangu Bony ulikuwa wapi siku zote kuniambia haya? Unaona sasa NDUGU yako napigwa kama mpira wa Kona? SEGEREA hakukaliki, ROMBO ndio kabisa…hii habari za hii CHAUMMA zishakuwa ngumu kueleweka?. Naendelea kutafakari hatima yangu kisiasa, Mungu nijaze UJASIRI.
210
86
986
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
Wahini kabla haijafungwa. Wahi siti za mbele. Mtakuja kunishukuru.
Tweet media one
135
18
419
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
Jitokezeni nyie wenyewe. Acheni kuwatuma hawa makatibu wa MATAWI uku mkijua hawana MAMLAKA hayo ya KIKATIBA ya kumfuta UANACHAMA kiongozi wa KANDA . Tukiwachukulia HATUA za KINIDHAMU msitoe MLIO.
Tweet media one
175
14
341
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
Mnafanya jambo nyie wenyewe, kisha mnalichunguza nyie wenyewe. Umma hautakubaliana na nyie katika jambo hili. Mdude mrejesheni akiwa mzima, ama maiti yake.
23
33
208
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
RT @JonMrema: TAARIFA KWA UMMA . YAHUSU TAARIFA INAYOSAMBAZWA MTANDAONI KUWA MIMI JOHN EDWARD MREMA NIMEVULIWA UANACHAMA WA CHADEMA NA TAW….
0
47
0
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
RT @MwitaJulius2000: 🚩 Anaandika Mh Johnrema @JonMrema Mkurugenzi Mstaafu wa Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje wa @ChademaTz .KWA HESHIMA….
0
9
0
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
3 months
RT @JonMrema: KWA HESHIMA NIMEJIBU ANDIKO LA MWANASHERIA MKUU WA CHAMA DR.RUGEMELEZA NSHALA ,GROUP LA MASWALI MAGUMU : . Mwanasheria Mkuu w….
0
38
0
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
4 months
Katika hili hata yanga watakua wamefurahi.
Tweet media one
5
3
43