Jon Mrema Profile
Jon Mrema

@JonMrema

Followers
207,181
Following
1,414
Media
1,392
Statuses
4,323

Chadema Director for Communications and Foreign Affairs .

Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Nimeambiwa kuwa Wasafi FM Leo asubuhi wamenichafua saana na kusema kuwa Mke wangu ni Mbunge kwa sababu tu nilimtaka Spika wa Bunge aache Propaganda. Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye. Asipofanya hivyo nitajiongeza!
473
130
3K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Hii nukuu ya Mwalimu Nyerere aione kwenye faili Spika Ndugai na Ally Keissy.......Mwalimu alikuwa anawazungumzia wao!
Tweet media one
246
403
3K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Usiku huu nyumba ya mgombea ubunge wa Chadema Chato imenusurika kuunguzwa na moto, nyumba ya diwani wetu wa Mganzo imevamiwa na wahalifu hao na wamevunja mlango ila wamezidiwa na nguvu ya wananchi. Wanatumia Gari mbili land cruiser wamekimbia. Kesho Rais Lissu atakuwa Chato!
135
334
3K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Nimetangaza Nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu kama Chama changu Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema kitanipa fursa hiyo.Naomba ushirikiano kwa wananchi wa Jimbo hili.
153
170
3K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Msigwa ametoka Magereza pamoja na ukweli kuwa tuliwalipia watu watatu ila aliyetolewa ni Msigwa . Msigwa amekataa kupanda magari ya serikali na kuongea na vyombo vya habari vilivyoandaliwa na Polepole ambaye Yuko segerea. Sasa Msigwa yupo na wakili wa Chadema. Tutawapa updates
155
196
3K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Mkutano wa Makamu wa Rais Salum Mwalim Nachingwea......Hali iko hivi huko .....
148
415
3K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Humphrey Polepole Muda huu anamtukana Mgombea Urais wa Chadema kuwa ni msukule ndio maana watu wanaenda kwenye mikutano yake ili kumshangaa! Matusi haya yanatangazwa live na TBC redio na nyinginezo . Maadili ya uchaguzi yanavunjwa waziwazi na hakuna wa kuchukua hatua. #SasaBasi
261
286
3K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Pichani ni DAS wa Kisarawe Mtela Mwampamba ambaye uteuzi wake umetenguliwa Leo na Rais kwa tuhuma za kutembea na wake za watu. Aliyekaa kulia Kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwengelo.Mtela alifukuzwa uanachama wa Chadema na Bavicha kwa makosa ya utovu wa nidhamu 2013
Tweet media one
232
121
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Managment ya Clouds Media Group, inawezekana hamkuwatuma wale waandishi wenu Leo asubuhi kuitukana na kuidhalilisha Chadema kwa maneno ya uongo, Kama ndivyo semeni tujue au laa tutajua mliwaelekeza kufanya waliyofanya, tupeni sababu ya kwanini tuwasikilize. .. @CloudsMediaLive
262
141
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Asanteni sana Wananchi wa Jimbo la Segerea kwa kunielewa na kuniamini, nawaahidi utumishi uliotukuka .
Tweet media one
75
120
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Mpaka saa tatu kamili usiku huu michango imefikia kiasi cha shilingi 36,547,000 na zinaendelea kupokelewa. Hizi ni nje ya zilizotumwa kwa njia ya Benki ambazo tutatolea updates asubuhi . Tunashukuru kwa mchango naomba muendelee kuchangia tafadhali.
135
217
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Tuna taarifa za uhakika kutoka Vyanzo vyetu kuwa Vijana wa Green guard kutoka Arusha walioondoka kwa ajili ya kazi maalum wamefika Singida.Tunaendelea kufuatilia kwa karibu kazi hiyo waliyotumwa wataitekeleza vipi..Miongoni mwao ni wale waliofuzu 'mafunzo maalum' hivi karibuni!
155
161
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ndugu zangu maisha ni mafupi sana, dakika chache zilizopita Dereva wangu jimboni Segerea amempoteza Mama yake mzazi, amegongwa na gari alipokuwa anavuka barabara kwenye Zebra hapo Magengeni Liwiti. Tumuombee aweze kupata uvumilivu na nguvu za kuhimili matatizo haya.
152
125
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Updates kuhusu Mdude Nyagali: Alikamatwa na Polisi juzi tarehe 10.05.2020 na alituhumiwa kwa Makosa ya uchochezi wa mtandaoni. Jana Polisi walienda kufanya upekuzi nyumbani kwake na 'dalili' zilionyesha kosa la mtandaoni sio kinachopekuliwa kwa taarifa za mashuhuda . Tumuombee!
94
116
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Sauti inawatosha au tuongeze Volume ? ......
179
411
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Breaking News : Msafara wa wagombea mbalimbali wa Chadema walio enguliwa kugombea uliokua unaelekea tume ya Taifa ya Uchaguzi Dodoma umekamatwa na police Muda huu.
69
151
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Wakili John Mallya anashikiliwa na Polisi Kituo kikuu cha Morogoro kwakosa la kumtishia msimamizi wa Uchaguzi Morogoro Mjini kuwa atadeal naye personally kisheria iwapo angeendelea kumnyima fomu za rufaa Devotha Minja baada ya kumuengua kihuni.Tutawapa tariff zaidi
48
183
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Baada ya kauli kuwa Barakora ni sawa na titi la Mwanamke lililokatwa, nilitegemea kusikia kauli za wanaharakati na wanawake kutoa sauti kubwa. ...ila nimewasikia wachache sana wakipaza sauti...Wanawake ni jeshi kubwa mnaweza kujitetea na kukomesha kauli za aina hii. Nawapenda!
155
98
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ndugu Watanzania wenzangu, Kwanza Niombe radhi kwa kuchelewa kutoa updates ya michango na sababu Kubwa ilikuwa ni reconciliation ya Namba zote ambazo zilikuwa zinakusanya as kulitokea tatizo la kiufundi Jana na tumelitatua tayari. Nitaweka updates soon . Asanteni sana
81
118
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
RIP Aloyce Kimaro aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo CCM ....Alikuwa mtu mwema Sana . Mungu akupe pumziko la Milele. Poleni wafiwa wote.
Tweet media one
105
64
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Sasa ni rasmi mimi ni Mgombea Ubunge Jimbo la Segerea kwa Tiketi ya Chadema. Pambano limeanza rasmi na Leo nitatambulishwa rasmi viwanja vya Mbagala Zakhiem kabla ya tarehe 30.08. Kutambulishwa viwanja vya shule ya Msingi Liwiti na Mhe.Rais Tundu Lissu. Naomba ushirikiano wenu
Tweet media one
66
113
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ndugu zangu, Jamaa na Marafiki hapa Tweeter, shughuli ya kampeni imeshaanza. Naomba mshiriki Katika kampeni zangu kwa kunichangia .Mchango huo utumwe Benki kwenda NBC akaunti Na. 011201257390.Tumia simu yako, Napokea kiasi chochote utakachotuma. Mungu akubariki, Asante Sana.
Tweet media one
84
145
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kuhusu tukio la kushambuliwa na kuvunjwa mguu kwa Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe Jana usiku huko Dodoma, tutatoa taarifa rasmi leo .
52
96
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Updates 5: Makusanyo ya fedha Mpaka Leo saa nane mchana . 1. Simu 176,945,600 52,743,400 3. Cash 4,000,780 Jumla tumekusanya 234,469,000 Matumizi sh.40,000,000 Mdee, 30,000,000 Bulaya na 30,000,000 Matiko. Faini zao zimeshalipwa. Asanteni watanzania
90
199
2K
@JonMrema
Jon Mrema
5 months
Picha yangu ya siku Maandamano ya Arusha Leo !
Tweet media one
26
202
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Updates: Magereza wameshapokea nyaraka zote kuhusu Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya jioni hii. Kwa uhakika watatoka kesho asubuhi kwani Magereza zimeshafungwa. Tuendelee kuchanga ili waliosalia 5 waweze kulipa faini na kutoka. Tunawashukuru Sana watanzania, tuendelee.
71
143
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Tutatoa updates ya pili saa Sita usiku juu ya michango tunavyoendelea kupokea . Watanzania wameamua kuihami demokrasia kwa umoja wao. Wapo wanaochangia shillingi mia mbili, tunawashukuru sana na Kuna wanaotuma ujumbe kuwa kesho Watauza kuku au Mayai waweze kuchangia. Asanteni
77
128
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kwa wale watanzania wanaoniuliza kuhusu utaratibu wa kumdhamini Mgombea Urais Tundu Lissu. Ni kuwa uko hivi, siku anapofika Mkoani kwako utatakiwa kwenda Ukiwa na kadi ya mpiga kura ambayo imehakikiwa na ipo kwenye daftari la wapiga kura.Ukiwa umejiandikisha utapata fursa hiyo.
48
100
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Karibu Chadema Ndugu Felix Francis Mkosamali. Pamoja na mbwembwe eti wamepewa majimbo 20! ila umeuona ukweli na kuamua kuhamia Chadema.
Tweet media one
42
70
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kazi inaanza rasmi kesho. ....
Tweet media one
41
136
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Uongozi ni kuwa Mfano, Pamoja na yoote angalau angeweza kutuvusha kwa kuonyesha Mfano wa kujali maelekezo ya wataalamu wa afya na WHO. ..but amerudi utumwani. ....sad .....OK amshauri Mkubwa kuzingatia ushauri wa wataalamu. ....
Tweet media one
110
57
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Historia Ina tabia ya kujirudia, waliowahi kushinda kura kwa 99.8% ni pamoja na Sadam Hussein, Muamar Ghadaf, Robert Mugabe, Hugo Chavez na Leo 2020 CCM wamevunja rekodi ya mgombea wao ametangazwa kupata 100% ya kura za Mkutano mkuu. ......Historia haijawahi kudanganya....
180
104
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ndugu Watanzania tunawashukuru Sana kwa michango yenu .Mpaka Muda huu 6:15 tumepokea jumla ya shilingi 312 Milioni. Tunatangaza rasmi kuwa tumesimamisha michango kwa zile namba nyingine zote isipokuwa namba ya Chama 0744 446969 itaendelea kupokea michango ya ujenzi wa Chama.
54
132
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kaungana na #Mwamba kwa vitendo. Nyoa Kipara kama ishara ya kukataa ukandamizaji Katika taifa. Nami nitanyoa Kipara
Tweet media one
100
79
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Niko safarini ila naumwa kutokana na tukio hili. ....Natafakari nini maana yake na lengo lake na sababu zake na walipofikia ......
Tweet media one
77
87
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mhe.Freeman Mbowe Leo jumapili tarehe 17.05.2020 kuanzia saa saba mchana atahutubia Taifa kuhusu masuala mbalimbali nchini. Atakuwa mubashara kwenye Mitandao mbalimbali.
97
71
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ni miaka 28 tangu kuasisiwa kwa CHADEMA tazama Hao waasisi, ndio maana hii taasisi ni imara Sana kwani ilijengwa kwenye misingi imara Sana. .....
Tweet media one
71
122
2K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kama China wameweza kuthibiti huu ugonjwa wa Corona kwa miezi miwili , na wamefanikiwa kwanini sisi Tanzania tuanze kufikiria kushindwa ? Tufikie kufikiria hata kuahirisha uchaguzi Mkuu ujao kwa hoja kuwa Bunge haliwezi kupitisha bajeti ya Uchaguzi? Tujipange kuzuia maambukizi
84
87
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kesho jumatatu tarehe 16.03.2020 saa Sita Kamili mchana, ofisi za Makao Makuu ya Chama Kinondoni Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe atazungumza na vyombo vya habari. Waandishi wote mnakaribishwa kufika kwa wakati. Asanteni.
65
113
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
TAHADHARI NA ONYO: Mgombea Ubunge,Jimbo la Segerea wa ACT Maharagande UNAPOTOSHA Wananchi kuwa nimejitoa Kugombea Ubunge. Najua hujafanya kampeni kwa kipindi chote,NAKUONYA UACHE UONGO HUO MARA MOJA! WANANCHI WA SEGEREA NAOMBA MPUUZENI MUONGO HUYU,Tujipange kulinda ushindi
106
147
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ccm Karagwe wanavuruga kanuni za uchaguzi Sasa wanatumia gari la Halmashauri namba DFP 5445 kutangaza mkutano wa KAMPENI wa Kasimu Majaliwa.Tume ya Taifa ya uchaguzi iko kimya kana kwamba Maadili hayajavunjwa . Mgombea Ubunge Karagwe ameshawasilisha malalamiko kamati ya Maadili
Tweet media one
71
182
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Updates on Michango hadi mchana huu. 1. Mapato jumla 260,084,250 2.Matumizi Tarehe 11.03.2020 kulipia faini (3) 100 M . Tarehe 12.03.2020 zimelipwa 100M (tunasubiri risiti ya Mahakama) Tuna upungufu wa sh. 60M Simu ukomo 5M kwa siku isipokuwa No.ya Chama tuliyoipata Jana mchana
56
133
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Bukoba imesimama Katika kumpokea Lissu Leo ....... #NiYeye2020
47
163
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Polisi wametoa hukumu,wanasema wanaendelea na uchunguzi na wanaomba wananchi wawape taarifa.Hilo hitimisho la kuwa"mlevi' si ndio mmekamilisha uchunguzi wenu?Tunajua hamjawahi kuchunguza matukio ya aina hii tangu, Ben,Azory, Lissu, Kanguye nk.Propaganda hazijawahi kushinda ukweli
93
107
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ndugai, hizi ni kanuni zinazowataka wabunge wa Chadema kukichangia Chama , na wabunge kabla ya kugombea walizisoma na kuzikubali. Kumshambulia Mbowe kuwa michango ameagiza ni UONGO.Aidha tuna taarifa za wabunge wa CCM na CUF kuchangia vyama vyao pia .
Tweet media one
140
128
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Vifaa vya kupima wagonjwa wa Corona vilivyotolewa na WHO na kukaa bandarini kwa Zaidi ya wiki 3 visambazwe kwenye hospitali zote za Mikoa na Wilaya zote za mipakani ili iwe rahisi kupima hukohuko, tusisubiri sampuli kutumwa Dar pekee. Hii itasaidia kukabiliana na maambukizi
49
113
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Tutafanya mkutano na waandishi wa Habari Leo saa tano na nusu asubuhi . John Mnyika, Salum Mwalimu na Peter Msigwa watazungumza baada ya kutoka Magereza . Tutatoa updates ya michango tulipofikia
37
80
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Tumeishauri Serikali kuchukua hatua nane ili kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya Corona; 1. Vifaa vilivyotolewa na WHO kwa ajili ya kupima Corona visambazwe kwenye Hospital za Mikoa zote na zile za Wilaya za Mipakani ili kurahisisha upimaji. 2. Tuzuie Wageni kuingia nchini
76
117
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Hatimaye Paulo Makonda Katumbuliwa .....sasa ni raia wa kawaida. .......Yajayo yanafurahisha ..
Tweet media one
250
62
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ndugu watanzania tumefanikiwa kusajili Namba ya Chama kwa Jina la Chadema yenye uwezo mkubwa wa kupokea fedha nyingi nayo ni 0744 446 969 ni Vodacom. Tutaweza kutibu tatizo la fedha Kujaa kwenye simu za awali na kushindwa kutuma . ASANTENI SANA
51
165
1K
@JonMrema
Jon Mrema
1 month
Huu ujumbe muhimu sana Kwa Taifa ! Hata ukiwa na Kibanda Chako ,kopa ongeza mtaji!
Tweet media one
25
230
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Aongeze sauti au inatosha?
@WateteziTV
WateteziTV
4 years
"Vita ya Corona ni ya kisayansi nasio ya kidini, kutegemea rehema za Mungu bila kuchukua tahadhari na mikakati ya kisayansi, kibajeti, kielimu na ushirikishwaji umma ni udhaifu mkubwa wa watawala ambao utawaletea lawama huko tuendako,"Freeman Mbowe, M/Kiti CHADEMA
Tweet media one
56
127
1K
89
73
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Mara baada ya hukumu ya viongozi wetu inayoendelea kusomwa Katika Mahakama ya Kisutu itakapokamilika, Chama kitazungumza na waandishi wa Habari Makao Makuu Kinondoni. Tunawakaribisha waandishi wote. John Mrema .
24
97
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Familia ya Freeman Mbowe yakiri kuuguliwa na mgonjwa wa Corona ambaye ni mtoto wa Freeman wa Kwanza Dudley . Familia imetoa taarifa rasmi na kuitahadharisha serikali kujidhatiti kupambana na janga Hilo badala ya Propaganda zinazofanywa.
55
59
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Watanzania wenzangu puuzeni uzushi huu .....Wamezidiwa , wanatapatapa..... #Niyeye2020
Tweet media one
76
185
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Aliyekuwa Naibu Supika Tulia Akila chips yai kwa mama ntilie Mbeya. ..eti anawazuga wanaMbeya kuwa ni mwenzao. ...huku akiwa na security detail ya kutosha. ....Msimu wa maigizo umewadia. ....
Tweet media one
225
47
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Ili mtu ateuliwe kuwa Mbunge V.Maalum anatakiwa kujaza fomu za NEC namba 8D ambazo sehemu C Inatakiwa kujazwa na Katibu Mkuu wa Chama, na kiapo mbele ya Hakimu. NEC imepokea hizo fomu? Nani alizijaza?Nusrat alizijazia magereza?Hakimu gani alimuapisha?
119
150
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kesho Ijumaa tarehe 29.05.2020 Chama kitafanya Mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumza na Watanzania. Tunawakaribisha waandishi, kuhusu Muda na eneo mtajulishwa hapo baadaye. Wote tuzingatie kanuni zote za kujikinga na maambukizi dhidi ya virusi vya Corona.
53
71
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Huu msimu hatari sana huko Jimbo la Mbeya Mjini. ...Tulia Ackson 'apagawa' baada ya wajumbe kutokufika, aamua Kuyaruka majoka kwa staili yake. ....Vunja Mbavu. .....
299
116
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Nilivyompokea First Lady mtarajiwa Leo Jimbo la Segerea. ...Asante kwa tabasamu kama looote
Tweet media one
29
83
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Breaking News; Tunawaalika waandishi WA Habari saa Tatu Kamili usiku huu Ijumaa 27.11.2020 katika ukumbi wa Bahari beach hotel inakofanyika Kamati Kuu ya Chama. Mhe.Freeman Mbowe , Mwenyekiti Taifa atazungumza .
54
90
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Updates 2: Tunawashukuru sana watanzania kwa umoja na michango yenu inayoendelea kupokelewa. Mpaka saa Sita usiku huu tumepokea shillingi 69,346,500 kwa njia ya mitandao na cash. Hii ni pamoja na hujuma zote ambazo tutazisema, Tuendelee kuchangia. Asanteni watanzania.
59
133
1K
@JonMrema
Jon Mrema
2 years
Joel Nanauka! Vile vitabu vyake sijui nimpe nani kama zawadi!
Tweet media one
283
49
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
From LissuACTION ALERT!Nimetaarifiwa kwamba watu wasiojulikana wakiwa kwenye magari matatu yenye usajili T370 DRD Toyota Noah; T721 CYT Landcruiser and T132 CUP Toyota Landcruiser wananisubiri kunikamata au kuniteka nyara nje ya ofisi za Tume mara nitakapotoka nje ya jengo la NEC
69
187
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Leo tarehe 12.08.2020 nimechukua fomu za kugombea Ubunge Jimbo la Segerea. Picha ni msimamizi msaidizi Jimbo la Segerea akinikabidhi fomu za uteuzi.
Tweet media one
82
50
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kijijini Mahambe kwao na Mhe Rais. Tundu A. Lissu no furaha iso kifani.
64
126
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Usicheke Bila kibali😃😃😃, huyu ni Godbless Lema akiwa dukani kwa Mama yake Enzi hizo..... #FreeIdrisSultan
Tweet media one
91
45
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Chadema Mbeya Mjini wakishiriki Msiba Leo, Wanawake hawa wamenifurahisha sana walivyoenda kumpa faraja aliyekuwa Diwani Viti Maalum Christina Sokolo kutoka kata ya Nzovwe aliyefiwa na Baba yake mzazi.
87
82
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Kujiunga na Chadema kwa njia ya Mtandao fuata hatua zifuatazo hapo chini kwa kutumia simu yako. Karibuni Sana.
Tweet media one
112
134
1K
@JonMrema
Jon Mrema
3 years
Hii picha inatuma ujumbe mzito Sana kuwa Job Ndugai yupo wapi? Anaumwa au ndio Yuko chini ya Kaunda suti ? Mbona hayupo kwenye tukio muhimu kama hili la kumkabidhi madaraka Spika Mpya?
Tweet media one
100
64
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Msimamizi wa Uchaguzi Morogoro Mjini amekamilisha uhuni wake na amebandika fomu kuwa hajamteua Devotha Minja eti hakuwasilisha picha wakati Kuna ushahidi wa video akiwasilisha kila kitu. NEC mambo haya yanaharibu Amani ya Nchi chukueni hatua haraka kunusuru Hali hii.
83
106
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Sasa ni Rasmi anarejea Nyumbani. #KaribuNyumbani
Tweet media one
45
87
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Mgombea Urais wa Chadema Mhe.Tundu Lissu akipokea fomu za Uteuzi wa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ameambatana na Mgombea Mwenza Salum Mwalim.
Tweet media one
29
73
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Mambosasa ulisema walivamia gereza, huu ushahidi unaonyesha walivutwa kuelekea geti la gereza .....watu waliostaarabika hawawezi kufanya mambo ya aibu kama haya. ....
Tweet media one
105
105
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Updates 3: On Mdude. Tumepokea taarifa kuwa Polisi Mbeya wanamtafuta Katibu wa Kanda ya Nyassa, Ndugu Emmanuel Masonga ili wamuunganishe na Mdude . Wamekerwa na kitendo cha Masonga kusema hadharani kinachoendelea kupangwa nao kuhusu tuhuma za Mdude. Tutaendelea kueleza umma.
33
65
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Usiku mwema kwa hisani ya mzee Fredrick Tulway Sumaye. ....
243
123
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Walivyoumbuka Leo wakina Polepole kwa Msigwa kuwakataa hadharani na kuondoka na wakili wa Chadema. Aibu ya karne hii. ...Tumalizie michango ili Mbowe na Heche watoke Gerezani kesho. Watanzania tuonyeshe nguvu ya umma ilivyo madhubuti dhidi ya udhalimu.
68
98
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Asanteni sana Mbeya .....kadiri siku zinavyosonga ndivyo rekodi inawekwa. .....
Tweet media one
25
68
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
TCRA, kumbe tunahitaji kibali ili kupata Namba ya kuhabarishana kuhusu misiba ? Mbona kanuni hii itamfunga kila mtu ? Tuelezwe Sasa Namba zetu ni kwa ajili ya Aina gani za Habari !
Tweet media one
199
97
1K
@JonMrema
Jon Mrema
5 years
Leo sijaona picha ya kiongozi yeyote wa serikali aliyeenda kupiga kura mtaani kwake, hivi nao wamepuuza wito wa Baba Askofu Nyaisonga ? Viongozi mliokuwa mnasema Kuna uchaguzi Leo Mbona hamkushiriki ? Au nanyi mmeungana nasi kujitoa ? Tutaelewana tuu ....
100
80
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Katibu Mkuu wa Chadema Muda huu anaendelea na live streaming juu ya maamuzi ya Vikao vya kamati kuu vilivyomalizika Jana usiku . Anapatikana Chademamedia, Millard na Global TV
19
45
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Yaani tunaanza kuvaa Barakoa kwa kupokezana? Au sijawaelewa Hawa Bugando?
Tweet media one
271
68
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Tired, Frustrated and Isolated from the Truth .......
82
116
1K
@JonMrema
Jon Mrema
2 years
Kama watu wanaweza kughushi nyaraka na zikawawezesha kuwa wabunge, wakatunga sheria zikiwemo za kuwa kugushi ni kosa la jinai, vyombo vya uchunguzi vipo kimya! Hivi kuna uhalifu mkubwa kuliko huu? Vyombo vya uchunguzi vinakaa kimya Kwa Maslahi ya Nani? #KatibaMpyaNiSasa
76
160
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Prof.Janabi kaachia ngazi. .....Mnakumbuka audio clip yake kuhusu Corona ? Professionals hawatakiwa kushauri professionally .....Inafikirisha sana
Tweet media one
277
64
1K
@JonMrema
Jon Mrema
3 years
Huyu kijana anaitwa Masumbuko Chakachua wa Kata ya Bulyankulu Leo tarehe 22Novemba,2021amenikabidhi mchele kilo 100 Kwa ajili ya kuifikishia Familia ya Mhe.Freeman Mbowe kama zawadi ya Christmas wakati huu ambao Baba Yao yupo Gerezani,Ukonga ni Upendo wa Agape huu. Ameniliza!!
Tweet media one
43
153
1K
@JonMrema
Jon Mrema
2 years
Kauli fupi juu ya Mazungumzo ya Chadema na CCM !
Tweet media one
221
96
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Viongozi, Wanachama na wafuasi waliokamatwa na kupigwa na kuumizwa Sana na askari Magereza Leo Katika gereza la Segerea hatimaye wamepata dhamana ya Polisi na Sasa wanaelekea hospitali kwa ajili ya Matibabu. Tutaendelea kueleza hatima ya afya zao baada ya vipimo vya Madaktari
50
83
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Nawapongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kusimamisha ndege zote kutoka nje ya nchi kuingia znz kama Hatua ya kuzuia maambukizi ya Corona. Wamekataa watalii, huku bara Hawaoni hiyo hatari?
55
68
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
FAKE ...Ipuuzeni. ...Huyu Kigogo20l4 ni tofauti na Kigogo 2014.....see the difference
Tweet media one
156
50
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Tumekamilisha kumlipia Mhe.Freeman Mbowe na Sasa ni taratibu za kumtoa Magereza zinafanyika ili atoke mchana huu Mara taratibu zitakapokamilika .Asanteni Sana watanzania
Tweet media one
44
96
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Breaking News; Jeshi la Polisi Dodoma wamevamia ofisi za Chadema Dodoma na wanawafukuza waandishi wa Habari ambao wamezingatia masharti yote kuhusu Corona waliokuwa wanamsubiri Mhe.Freeman Mbowe, M.kiti Chadema na KUB kwa ajili ya press conference kuhusu Corona na Hali ta taifa
104
66
1K
@JonMrema
Jon Mrema
2 months
Masoud Kipanya na Chadema! Wakati wa Maridhiano,tukawa Mbwa na Joka , Chaguzi Kanda Malori ya mafuta yanafuata moto! Leo basi limepasuka barabarani! What next ? Au ndio utabiri hautaki kutimia!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
115
133
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Coming home !!!!!!!Coming Home a free Man .....It's Monday 27.07.2020 at noon .......
45
105
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Msafara wa Mgombea Urais Chadema akienda kuchukua fomu za Tume Leo 8.8.2020 huko Dodoma. #MaendeleonaHakizaWatu #NiYeyeee2020
79
120
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Walikuwepo airport ....
@AJENews
Al Jazeera Breaking News
4 years
Tanzania opposition figure Tundu Lissu returns from exile
Tweet media one
74
381
3K
18
45
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Nikisaini fomu za maadili mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi Leo 25.08.2020 baada ya kurejesha fomu za uteuzi kugombea Ubunge Jimbo la Segerea. Nimekamilisha taratibu zote za kuwa Mgombea Ubunge.
Tweet media one
24
61
1K
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Msajili wa Vyama, acha kuinajisi ofisi ya umma . Huyu katengeneza mabango kabisa hujawahi kumhoji, na Kuna video Dr.Bashiru akimsifia Huyu na Cheyo ...hujasema lolote. ...mwaka huu utaisoma namba. ....
Tweet media one
35
110
993
@JonMrema
Jon Mrema
4 years
Gari la Magereza MT0128 linasambaza na kupandisha bendera za CCM Leo tarehe 07.07.2020 huko Dodoma. Huu ni uvunjaji wa sheria za Nchi na ni kinyume na mikataba ya kimataifa kuhusu haki za wafungwa. Tunalaani kwa nguvu zote tukio hili. #Tutatumiavyombovyadola kubaki madarakani
Tweet media one
101
79
997