Jon Mrema Profile
Jon Mrema

@JonMrema

Followers
213K
Following
3K
Statuses
5K

Former Chadema Director for Communications and Foreign Affairs .

Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@JonMrema
Jon Mrema
3 days
RIP Derick Magoma ! Mwenyezi Mungu akulaze pahali Pema peponi !
3
11
83
@JonMrema
Jon Mrema
6 days
Kwamba hujui kuwa Chasambi kasajiliwa Simba au unamfananisha na yule wa Jana aliyepiga katikati ya uwanja ? Kajopange,maana kesho utakuja na hoja ya Kagoma!
@privaldinho
Privaldinho
6 days
Na ole wenu mumtishie kijana wetu Chasambi. Chasambi alisema kuwa hapo Ukoloni hana role model. Akasema role model wake ni Maxi Nzengeli. Kimsingi Chasambi ameona haoni wa kumwamini kwenye timu mbovu hiyo akaona akapiga kwa kipa kumbe nae hamna kitu πŸ˜‚
6
3
35
@JonMrema
Jon Mrema
11 days
@calvinElchapo Hakuna anayemkomoa mtu ,soma ujumbe wangu then uuelewe na nilikuwa namjibu Wakili Mwita !
1
0
1
@JonMrema
Jon Mrema
11 days
@Goodluckpaschal Nilalie wapi ?
1
0
1
@JonMrema
Jon Mrema
11 days
@Goodluckpaschal Sijaumwa Miaka mitano iliyopita !
23
0
27
@JonMrema
Jon Mrema
12 days
Jaribio kama hili lilifanyika Mwaka 2016 wakati inatungwa sheria mpya ya habari , lilishindwa kufanikiwa baada ya wabunge wa Upinzani waliokuwa Bungeni kipindi hicho kupaza sauti na kukataa ! Leo wako peke Yao huko Bungeni sitashangaa wakapitisha sheria hiyo na Taifa kuwa na Mhariri mmoja wa vyombo vyote vya habari ! Kwamba Karne hii ya social media Kuna Mbunge anawaza kuhariri habari za saa mbili usiku ,wakati watu wanakuwa wameshapata habari hiyo ilivyo kikamilifu Tena Mubashara ! Wabunge wa aina hii wanadhani tupo enzi za Giza ! Wanatia aibu sana watu wa aina hii! Zama zimepita za kusubiri taarifa za habari !
@TheChanzo
The Chanzo
13 days
Mbunge Asenga apendekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, vyombo vyote virushe.
57
46
223
@JonMrema
Jon Mrema
17 days
Naposti bila maelezo! Tusikilize mpaka mwisho !
258
69
537
@JonMrema
Jon Mrema
20 days
@YohanaLulyeho @BabaMwita Kama ulikuwa Baraza kuu , sikiliza upya hotuba ya KM !
2
0
13
@JonMrema
Jon Mrema
20 days
@BabaMwita Sikutaka kukujibu ila mamlaka ya kufukuza mwanachama yapo kwenye TAWI na Kamati kuu !
19
2
45
@JonMrema
Jon Mrema
21 days
Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
672
88
2K
@JonMrema
Jon Mrema
21 days
@OleMtetezi Naomba nisikujibu, uongozi ni karama kutoka Kwa Mungu ! Usiku mwema
38
3
73
@JonMrema
Jon Mrema
21 days
RT @freemanmbowetz: Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Ja…
0
3K
0
@JonMrema
Jon Mrema
22 days
Puuzeni uzushi huu unaosambazwa na watu wajinga na waongo !
Tweet media one
22
10
92
@JonMrema
Jon Mrema
27 days
Kwamba Msajili aliwahi kutishia kufuata Chama ! Sababu ilikuwa ipi ? Unamtuhumu Wenje kuwa MUONGO na wewe unaandika uongo ? Ukiwa MUONGO usipoteze kumbukumbu ! Haya soma Ufafanuzi wa Katibu Mkuu unaenda kinyume kabisa na haya maelezo Yako! Hivi kufanya au kutofanya Baraza kuu ni sababu za Msajili kufuta Chama ? Kujadili rufaa au kutojadili rufaa za wabunge 19 ni sababu za kufutwa Chama ? Kweli ushirika wa wachawi huwa haudumu !
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
27 days
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo. Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche. Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama , Wala sio kufanya mapinduzi. Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga.. Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..
Tweet media one
133
14
129
@JonMrema
Jon Mrema
30 days
@JosephC85099765 @jjmnyika @ChademaTz @freemanmbowetz Afisa Huko Sweden , Ubalozini, Kipenyo! Unajua tulikutana Ujerumani ukiwa Mwambata! Kama Mwita, Catherine Ruge Leo ni wachagga ,barikiwa!
7
1
6
@JonMrema
Jon Mrema
1 month
RT @fatma_karume: Thank you πŸ™πŸΎ kwa nyote na kwa aliyehakikisha my darling Maria is safe. Nimeambiwa karudi nyumbani. πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ https://t.co/…
0
591
0