๐ฝ๐ข๐๐๐ข๐ ๐บ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ค๐๐ก๐
4 years
Je, ungependa kuona wagombea Urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 wakifanya mdahalo wa pamoja kujadili masuala, sera za kiuchumi, mahusiano ya kimataifa, ajira, miundombinu, usalama wa raia, uhuru wa Habari, kilimo,maji, afya?? RETWEET hii iwafikie wahusika watuletee wagombea.