๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž Profile Banner
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž Profile
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž

@MwitaJulius2000

Followers
42,095
Following
578
Media
22,701
Statuses
52,946

Former Secretary General for CHADEMA Youth Wing (BAVICHA) | Parliamentary Candidate for Musoma Urban Constituency (2020) | LLB Student l Managing Director GIFT

Musoma, Mara, Tanzania
Joined June 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Luteni Kanali Mamady Doumbouya huyu ndio mwanajeshi Sasa, Hawa wengine wakafagie barabara
Tweet media one
121
122
2K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Baada ya Mgombea Ubunge wa @ccm_tanzania Jimbo la Musoma Mjini kuhundua hawezi kupata 20% ya Kura, ameamua kukodi kikosi cha wahalifu ili kukata mapanga, kupiga na kujeruhi Wapiga Kura!! Sisi @ChademaTz hatutamwachia Mungu, tutampa stahiki yake!!! @TumeUchaguziTZ @tanpol
67
152
2K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
"Ni kweli siko salama. Kuna watu wanatafuta kupendezesha mamlaka kwa kuchukua uhai wangu. Wamepiga kambi hapa kwetu wakitafuta namna ya kunidhuru, hawajatumwa. Wanadhani wakifanya hivyo watapata favour ya mamlaka. Niko tayari. Sitakimbia." Askofu Bagonza @kigogo2014 @MariaSTsehai
Tweet media one
59
153
2K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Sasa hii ni Kata ya Nyamatare, nimewaeleza Wananchi kuhusu njama za @ccm_tanzania kutaka kuiba Kura, na nimemuombea Kura Diwani Mariam Esole, mbunge @MwitaJulius2000 na Rais @TunduALissu na Sisi tumeapa Kura haiibiwi hata moja!!! Asanteni!!! @ChademaTz @IAMartin_ @freemanmbowetz
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
43
180
2K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Tunaendelea kuuwasha Moto huku kwetu Musoma Mjini, Mungu wetu ni mkuu mnooo! Asanteni Musoma Mjini, Asanteni Kata ya Kigera!!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
39
101
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Hivi mwaka 1980 wakati @freemanmbowetz anaagiza benzi lake la kwanza Ndugai alikuwa anaagiza Nini!? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
171
56
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Shikamoo CDF Venance Mabeyo!!! Four Star General ๐Ÿ‘ฎ๐Ÿ‘ฎ๐Ÿ‘ฎ
Tweet media one
20
58
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Road to November 02, 2020!! Musoma Mjini tupo tayari, Huko mliko vipi!? @Ntobi_ @HecheJohn @halimamdee @ChademaSerenget @ChademaTz @TunduALissu
Tweet media one
55
111
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Hii ni komesha kabisaa Kuna mtu anaitwa Kassimu Majaliwa kaja kutafuta kura za CCM Hapa Musoma Mjini!! Alichokutana nacho anajua mwenyewe, Musoma Mjini hatutaki ujinga!!! Asanteni Mwisenge, Asanteni Musoma Mjini! Naweza kuendelea Hadi nishinde bila kuposti!?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
56
98
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Huyu GAIDI @freemanmbowetz ana mapenzi Sana na Watanzania na watu wake!! Hapa alikwenda kumsalimia mtoto wa @masoudkipanya Malcom Agha Khan Hospital!! #FreeManMbowe !!! @MboweSioGaidi !
Tweet media one
27
125
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Kila siku tunahubiriwa Maendeleo hayana Vyama, lakini hachoki kuuliza "Wa Chama gani* leo kanyooshwa kamponda wee, mwisho anaambiwa wa CCM eti kuua soo anapiga eti anafanya kazi nzuri ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ @HecheJohn @JonMrema @ChademaTz @MariaSTsehai @IAMartin_ @bavicha_taifa @halimamdee
176
112
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Taarifa. Askari 4 wa @tanpol wilayani Ileje wamevuka mpaka wa Tanzania kwenda kuwakamata bodaboda upande wa Malawi . Wananchi Malawi wakawazingira na kuwaweka chini ya ulinzi. Askari mmoja alifanikiwa kukimbia wengine wapo lupango Malawi pamoja na gari ya polisi. MNATUAIBISHA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
208
185
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson amesema, leo Alhamisi kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini "hakuna mbunge aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza waziri mkuu." Hata hivyo, wakati akitoa kauli hii, waziri mkuu, hakuwepo ndani ya ukumbi wa Bunge.๐Ÿ˜‚
94
67
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Kinachoendelea kwenye SPECIAL AUDIT kule BOT, Sasa hivi ni ngumu Sana hiyo ripoti kuwekwa wazi kwa sababu Makamu wa Rais wa Sasa anahusika na madudu mengi!!
34
67
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Musoma Mjini wanamtaka Mbunge wao atakayewasemea kwa hoja nzito na ujasiri, wanamtaka @MwitaJulius2000 Asanteni Sana Rwamlimi Asanteni Musoma Mjini!!! @ChademaTz @HildaNewton21 @ChademaSerenget @bavicha_taifa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
93
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Mh Rais @SuluhuSamia wale watu 19 wakikaa Bungeni kwa miaka 5 watalisababishia taifa hasara ya TShs 16,745,123,200 Sasa utaamua mwenyewe!! @HecheJohn @Ntobi_ @Herculses @MariaSTsehai @IAMartin_ @HildaNewton21 @jozee_____ @kigogo2014
Tweet media one
108
184
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Huyu ndiye Christina Mndeme, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliyeagiza Bw. Delux Mayono akamatwe na kuhojiwa na @tanpol juu ya mahusiano yake na Shemasi!! Kosa la Mayono Ni ku-comment kwenye tweet ya Shemasi na kumueleza @SuluhuSamia kuwa alienda Ruvuma aondoke na huyo RC!! #FreeDelux
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
56
108
1K
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Je, ungependa kuona wagombea Urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 wakifanya mdahalo wa pamoja kujadili masuala, sera za kiuchumi, mahusiano ya kimataifa, ajira, miundombinu, usalama wa raia, uhuru wa Habari, kilimo,maji, afya?? RETWEET hii iwafikie wahusika watuletee wagombea.
72
321
987
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Nasikia Mgombea wa @ccm_tanzania anasema nimekimbia jimbo, hiyo ni hasara ya kuwa na watu wasioaminiwa na Chama Chao!!! Niko kwenye vikao vya @ChademaTz na hapa nateta Jambo na mhe @TunduALissu kuhusu kushinda Uchaguzi!! #NiYeye2020 #TunduLissu2020 @AnethStanley
Tweet media one
15
91
950
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Hivi Mh @SuluhuSamia taarifa za misiba unapata, Ila taarifa ya @freemanmbowetz kutekwa hujaipata eti!? Hujatujua wewe, ngoja...
Tweet media one
Tweet media two
43
99
926
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Kwani Sisi Wananchi tumewakosea nini nyie Wanajeshi!? Mmekuja zilipo ofisi za @ChademaTz Musoma Mjini mnaanza kupiga watu, tumewakosea nini!? Basi mje mnikamate Mimi @MwitaJulius2000 na mniue kwa sababu Mimi ndio chaguo Lao, MSIWAONEE WANANCHI!!!
43
115
926
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Nimezindua Kampeni za Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Musoma Mjini. Nawashukuru Sana dada @esteramosbulaya , @Matiko_Esther_ na Kaka @HecheJohn kwa kufika na kunishika Mkono!! Asanteni Musoma!! @Kiganyi_ @HildaNewton21 @IAMartin_ @ChademaSerenget @ChademaTz
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
31
101
915
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
5 months
Sasa watu wa Arusha mmeshindikana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
33
83
905
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
"Ni lazima tuanze kumzoesha Raisi kujua yeye ni Raisi tukiendelea kumuita mama anajua sisi wote ni watoto wake kwa hiyo mtoto kwa mama huna sauti." @HecheJohn Sauti imesikika vyema brother!! Aitwe Rais, na sio Mama!!
Tweet media one
32
86
837
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Mama mzazi wa aliyekuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Musoma Mjini, @MwitaJulius2000 alipokutana na Mwenyekiti wa Taifa wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz Leo mjini Musoma kwenye kikao cha Jimbo la Musoma mjini. #TumeHuruyaUchaguzi #HakiZaWatu #KatibaMpya
Tweet media one
Tweet media two
13
70
833
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Ulrich Matei, alikuwa RPC Mbeya, ndiye aliyeiambia dunia kwamba, @tanpol Mbeya wamemkata Mdude na dawa za kulevya!! Jana Mahakama umesema Mdude alisingiziwa๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ na inawezekana @tanpol ndio walioweka hizo dawa nyumbani kwa Mdude๐Ÿ˜ณ Neno moja kwa RPC huyu
Tweet media one
208
94
816
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Nyiee njoeni Mbona mna Siri hivyo!?! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
75
42
785
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Mimi nawahakikishia, Musoma Mjini nashinda kuanzia madiwani, Ubunge na Urais Mtu akikudanganya eti kuna CCM Musoma mwambie subiri 28 Oktoba, 2020. Asanteni Rwamlimi, Asanteni Musoma Mjini!!! @ChademaTz @ChademaSerenget @bavicha_taifa @BawachaTaifa
28
105
784
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Kuna watu sasa tuna uhakika kwamba hawana kazi hapo Dar, tunatumia Kanuni waliyoleta wao wenyewe, kwa kutii Sheria bila shuruti, WAONDOKE DAR HARAKA SANA!!๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฅ
20
45
774
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
UMAGUFULI umemvaa Rais @SuluhuSamia na Sasa amekuwa MAGUFULISTA kamili!! Kitendo Cha kuvunja mlango wa Hotel aliyofikia @freemanmbowetz ni Ujambazi, na Sasa tunaomba Watanzania mtuunge mkono, tutaanza kufanya yale ambayo yapo ndani ya Uwezo wetu #NeverAndNeverAgain
39
132
755
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
"RPC Kinondoni Ramadhani Kingai alimwambia @freemanmbowetz kuwa Safari hii hutoki, TUNAKUPA UGAIDI" @jjmnyika
Tweet media one
11
94
755
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Naelezwa kwamba polisi wanazunguka mji mzima wa Musoma Mjini kunitafuta Mimi @MwitaJulius2000 ili nisipange mchakato wa Kesho!! Bahati mbaya Sana wamechelewa, everything is set!! Niko tayari Kwa lolote!!! @ChademaTz @ChademaSerenget @ChademaIringa @bavicha_taifa @Ntobi_
28
83
760
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Namshukuru Mungu nimerudi uraiani baada ya kushikiliwa na @tanpol kwa siku nane! Asanteni wote mliopaza sauti kupinga uonevu na ukiukwaji huu mkubwa wa sheria. Asanteni Sana @Herculses @Dr_jastinmoremi @MariaSTsehai @IAMartin_ Na wengine wote Mapambano yanaendelea.!๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช
Tweet media one
43
111
744
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Tumeshiriki Uzinduzi wa Kampeni za Ubunge Jimbo la Serengeti za Mh @CatherineRuge Mugumu wameamua, Serengeti sio ya kukaliwa na wanaume wa Viti Maalum!! @ChademaTz @ChademaSerenget @halimamdee @HecheJohn
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
53
752
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Hivi @tanpol mnafanyaje kazi!? Mmenikuta nimekaa mahali mnasema nazurura!? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
25
25
728
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Leo 08/10/2020 DC wa Musoma ameita kikao cha Viongozi wa Vyama na Wagombea, ninaamini DC hahusiki na chochote kuhusu Uchaguzi, hivyo kikao hiki ni mwendelezo wa Vitu vya hovyo vinavyofanywa na wafuasi wa @ccm_tanzania Sisi @ChademaTz hatutaendekeza ujinga wa namna hii!!
Tweet media one
Tweet media two
41
76
723
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Yes!!! Hii ni Kata ya Mshikamano wamesema wanamtaka @MwitaJulius2000 ndio waridhike kuwa Wana mbunge!! CCM hawana Chao Musoma Mjini!!! Asanteni Musoma Mjini, Asanteni Mshikamano! @jjmnyika @HildaNewton21 @ChademaTz @ChademaSerenget
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
72
723
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Tusiwe watumwa wa Haki yetu wenyewe!! @TunduALissu anaishi uhamishoni ndani ya Nchi yake, ni udhalimu kuendelea kumtesa Lissu bila kujali ujasiri na Mori ya Watanzania aliyoiibua aliporejea nchini! DEMOKRASIA ina gharama zake, lazima kuzilipa hata kama ni ghali @ChademaTz
24
92
719
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Uchumi wa Musoma unategemea uvuvi wa Samaki wakubwa na wadogo, kuna Samaki ambao ni wadogo wa maumbo wanaovuliwa kwa nyavu Maalum!! Nitasimamia Ujenzi wa mwalo wa kisasa hapa Makoko ziwani!! Nitasimamia Uhuru, Haki na Maendeleo ya Wavuvi na Wachuuzi wadogo na wakubwa wa Samaki
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
69
716
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Tweet media one
11
32
704
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Unakataa Kongamano la Watu 300 sisi MAGAIDI tuko kwenye Kongamano la Watu 1000 huku Clubhouse una akili wewe!? Tukitoka Clubhouse tunaenda kwenye space ya @MariaSTsehai Leo tutakuwa 10000 Bladifakeni
Tweet media one
26
78
709
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Huu ndio mzuka wetu wa kumpokea @TunduALissu sasa nyie @tanpol endeleeni na ushabiki wenu wa Kisiasa, mjiandae kwenda @theHague tusikae kutishana tishana hapa!! @JonMrema @ChademaTz @ChademaSerenget @ChademaIringa @bavicha_taifa @BavichaIringa @ChademaDiaspora
38
92
709
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Yaani jamaa linakaa na dola milioni 1.5 nyumbani!? Kwa hiyo Shujaa alifuga mafisadi!? Na wanaomba msamaha!?
27
33
690
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Karibu Uraiani bro!!!
Tweet media one
10
72
689
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
6 months
Mlitaka tuwepo!? Mimi nipo mbele kabisa hapa #VuguvuguLaHaki #KatibaMpya
8
98
685
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
GOOD BREAKING NEWS Ile milioni 5 imetimia Tumeshalipa Na sasa @yerickonyerereT yupo huru uraiani!! Hapo vipi!? @IAMartin_ @MariaSTsehai @kigogo2014 @TunduALissu @freemanmbowetz @jjmnyika
Tweet media one
25
60
676
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Jeshi la Wananchi liko mitaani linapiga Wananchi linawatawanya kwa nguvu na kulazimisha utangazwaji wa matokeo ya Udiwani na Ubunge
30
86
669
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Heshima kwako @AnanileaN Unaitendea Hali Nchi yetu!!!
Tweet media one
5
25
666
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Yaani leo Rais Magufuli alitamani kungekuwa na Wabunge wa UPINZANI aseme ndio walioingiza Barakoa zenye Corona nchini!!! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
14
38
652
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
8 months
KAIMU RAIS...
Tweet media one
19
19
648
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Kufuatia kuhukumiwa Kwa @yerickonyerereT kwenda jela miaka 3 au faini milioni 5 Tunaomba tuchangie kumtoa kamanda jela Namba zinazopokea Mchango 0769823839 0676250710 John Pambalu @MariaSTsehai @Advocate_Jebra @HildaNewton21 @HecheJohn @JohnMallya @ChademaTz @Twaha_Mwaipaya
Tweet media one
14
86
636
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Nawashukuru Sana Mkutano Mkuu wa Musoma Mjini kwa kunipendekeza kuwa mgombea Ubunge wa Jimbo kupitia Chama Chetu!!! Asanteni Sana #MusomaYetu2020 #MbungeWetu2020 @IAMartin_ @HecheJohn @JPambalu @bavicha_taifa @ChademaTz @ChademaSerenget @BavichaIringa @RealHauleGluck
Tweet media one
20
48
648
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
TAARIFA... Mkiti wa Jimbo la Makambako jana jioni alipigiwa simu na Ofisa wa @tanpol (OCCID) akimuaguiza awapeleke wanawake wote waliofanya Jogging jumamosi iliyopita ama watamkamata yeye!! Kwa hiyo Sasa hivi ukifanya jogging tu unakamatwa, hivi PGO inasemaje hapo!? @PKibatala
31
123
642
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Katika Msiba huu PM Bwana Majaliwa Kassim Majaliwa ameibuka kuwa Muongo mkuu wa Taifa!!
16
25
632
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Mwenye safari ya kariakoo Leo asije watu wanapigwa wameamriwa wafunge maduka warudi nyumbani ni maombolezo leo nipo kariakoo Nimetumiwa huo ujumbe na rafiki yangu....
48
31
604
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Asanteni Sana Kata ya Nyasho kwa Upendo mkuu mlionionyesha!!! Asanteni Sana!! Tumekubaliana kupigania UHURU, HAKI na MAENDELEO ya WATU Tutamchagua @TunduALissu @MwitaJulius2000 na Madiwani wote wa @ChademaTz @bavicha_taifa @ChademaSerenget
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
50
616
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Suala PM Majaliwa Kassim Majaliwa kuachia ngazi lina sababu kuu 2. 1. Kufuata matakwa ya Katiba ya nchi 2. Awajibike kwa kulidanganya Taifa juu ya hali ya Afya ya Rais. Zote mbili ni sababu MUJAARABU za kumuondoa Majaliwa kwenye u-PM
16
46
606
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
"KATIBA MPYA Ni Hitaji la Msingi la Watanzania Wote, na sio kwa hisani ya Rais" - @freemanmbowetz
Tweet media one
5
33
599
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Mh Rais @SuluhuSamia umesikia Mfalme Mswati III amekimbia ufalme wake kwa sababu watu wanataka Uhuru wa Demokrasia!? Usidanganywe na washauri wako, eti ili ujenge Uchumi Ni lazima eti "NCHI IWE CALM AND COOL" umejipotosha Sana, hili halikubaliki na binafsi sijakuelewa!!
38
70
594
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Hebu @IAMartin_ @MariaSTsehai @HildaNewton21 @halimamdee @esteramosbulaya @ChademaSerenget @ChademaTz someni hapa muone wasimamizi wa vituo wanavyoomba toba!!!! Nawaambia hiki kitu hakiwezi kupita bure, lazima yalipwe!!!
Tweet media one
97
98
587
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Ngurdoto Mountain Lodge yakodishwa kwa chuo cha uhasibu kuwa hostel za wanafunzi mwaka wa kwanza, kutoka five star hotel hadi kua hostel, daah , sijui patafanana vipi baada ya mwaka mmoja Let's stay and watch!!! @kigogo2014 @MariaSTsehai @HildaNewton21 @AnethStanley @AnnaShayo1
84
64
597
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
OCD: Nimezuia msikutanike Kuna tishio la Ugaidi Mimi: Hapa Kongwa wapi Ugaidi umetokea!? OCD: Hakuna, Ila Kuna Tishio Mimi: Tishio gani!? Twende mkatulinde OCD: Sina Askari wa kutosha Mimi: Mbona umewatuma kunifuatilia toka Kibaigwa!? OCD: Wewe jua NIMEZUIA Mimi: PGO inasemaje!?
23
77
573
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Yaani mkuu wa Upelelezi wa @tanpol Chalinze na timu yake walikwenda kwa Adamoo, wakavunja kitasa WAKAIBA begi la kijeshi, Vyeti, Hati ya Uwanja na kadi ya Pikipiki (jiulize vinahusikaje) @SuluhuSamia huoni aibu na Mambo Haya ya hovyo kufanywa na Polisi wakiongizwa na Sirro!?
21
93
577
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Rais @SuluhuSamia huyu mtu hapa Anaitwa Ramadhan Nghanzi kutoka @tanpol anasema umemtuma kuvuruga Kongamano la @bavicha_taifa la #KatibaMpya ! Ya kweli Haya? Kama ni kweli, Mimi nashukuru, naamini umeturahisishia zaidi Agenda yetu, na Asante kwa kuzidi kutuunganisha!
Tweet media one
Tweet media two
19
89
572
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Aisee Mimi kwenye Hilo fungu la โ‚ฌ27M sikutumia hata shilingi 10, kwa hiyo kwenye kulipa msinifikirie kabisaaa, tuelewane mapema!!! @McCainTumaini @IAMartin_ @rollymsouth
Tweet media one
20
21
573
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Jeshi la @tanpol Musoma Mjini wamemkamata Mkiti wa @ChademaTz Wilaya Musoma, wamemuachia na sasa mmemkamata Mgombea Udiwani wa Kata ya Kigera Desmond Nyehumbi, eti kwa nini anafanya Siasa akiwa anahubiri katika kanisa lake!!! Shame on you! @HecheJohn @makene_tumaini @JonMrema
13
38
568
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Nani alimuua AQUILINA AKWILINI!? Hilo Jambo halipaswi kubaki gizani!! Mh Rais @SuluhuSamia napendekeza iundwe tume ya majaji kutafuta ukweli kuhusu kifo Cha huyu binti!! @tanpol kupitia Mambosasa walikiri kuwakamata Askari waliohusika, wako wapi!?
Tweet media one
21
73
552
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Huyu ni Leonard Ntukula, ni dereva wa Makao Makuu ya @ChademaTz amekamatwa na @tanpol kituo cha Kinondoni na kupelekwa kwa DCI, tangu Ijumaa 28.08.2020 lakini hajulikani alipo Hadi sasa!! #JusticeForNtukula #TunamtakaNtukula @MariaSTsehai @HecheJohn @fatma_karume , @halimamdee
Tweet media one
18
70
568
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Huu wimbo Mpya wa Ney wa Mitego ni balaa tupu!! MAMA "Ukishatengwa na familia, huwezi kushiriki vikao vya Ukoo, mbona Shangazi Halima na wenzake nawaona kwenye vikao vya Ukoo na walishatengwa na familia yao!?, Sema neno kuhusu hili mama" Thumb up kaka!!
22
54
543
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
6 months
Mlimtaka Wakili Msomi Nicole Mbowe!? Huyu hapa mbele kabisa #VuguVuguLaHaki #KatibaMpya
Tweet media one
2
88
562
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Nyie hivi @CloudsMediaLive wameshaenda kumuona Sabaya!? Au ndio kila mtu abebe mzigo wake!? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
27
26
544
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Hivi @halimamdee hii ni sifa au ni nini!? Umetufokea Sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
13
35
542
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Sawa Mama @SuluhuSamia nimekusikia Lakini โœ๏ธHaki za Binadamu hujazungumzia kabisa โœ๏ธKesi za kubambikiwa za watu wengi โœ๏ธUhuru wa Vyama vya Siasa kufanya shughuli za siasa โœ๏ธWizara ya Katiba na Sheria hujaizungumzia hata Anyway nasikia sauti ya "Tukupe Muda"
52
47
543
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
2 years
Mh @ummymwalimu narudi tena kwako, Kitendo kilichofanywa na Hospitali ya Muhimbili kuvujisha video ya @ProfessorJayTz akiwa ICU, na video kupostiwa na Mange ni Udhalilishaji mkubwa, Ukiukwaji wa Haki za Binadamu na kinyume cha misingi ya faragha ya mgonjwa Tafadhali chukua hatua
Tweet media one
26
104
550
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Tweet media one
27
29
549
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Tunawasheshimu Sana na tunawapenda Sana watu wa Jamhuri ya Twitter, Asanteni Sana!! @kigogo2014 @fatma_karume @MariaSTsehai @IAMartin_ ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
2
50
542
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Baada ya Mkutano inakuwaga hivi huku kwetu Musoma Mjini!!! Karibuni Sana!! @ChademaTz @ChademaSerenget @bavicha_taifa @BawachaTaifa
22
63
543
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Nimefarijika Sana kumuona Mama Janeth Magufuli akiwa amevaa barakoa Pole Sana Mama! #VaaBarakoa
6
19
531
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Baada ya Mkutano wa Kata ya Mukendo Wananchi wakasema wanamsindikiza Mbunge wao!! @MwitaJulius2000 Asanteni Sana Mukendo Asante Sana Musoma!!! #NiYeye2020 #tunduLissu2020 Ushindi uko dhahiri na Halisi!!! Ole wenu mguse Kura hata moja ya @MwitaJulius2000 na @TunduALissu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
59
530
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Mmoja Ni Afisa Mahusiano wa @CloudsMediaLive na mwingine ni mtangazaji wote ni CCM na wanahost vipindi vya kuishughulikia @ChademaTz sijui wataweza!? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
Tweet media two
50
59
527
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Tanzania ndio nchi pekee ambayo Serikali inaweza kufanya ARMED ROBBERY na Wananchi wasiseme kitu!! Yaani hii TOZO YA KUSHIKAMANA ni Armed Robbery, inafaa kupingwa na kila mtu!! Kuna sababu ya kuitisha maandamano makubwa kukataa huu UJAMBAZI WA SERIKALI ya CCM!!
49
85
521
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Leo tumerejea tena kwa heshima Kata ya Kigera, nimemuombea Kura Diwani Mh Methusela Nyehumbi, Mbunge @MwitaJulius2000 na Rais @TunduALissu #NiYeye2020 #TunduLissu2020 @bavicha_taifa @ChademaSerenget @ChademaTz
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
62
526
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Baada ya kila uchafu kufanywa na @tanpol Mwanza Jana Jumamosi, Mkiti wa @ChademaTz Mh @freemanmbowetz anatarajiwa kutua Mwanza na kuzungumza na Taifa kesho Jumatatu 19 Julai, 2021. Mwanza stand Up #KatibaMpya ni lazima Haikwepeki!!
Tweet media one
15
76
508
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Updates; โœ๏ธNimetaarifiwa kwamba Delux Mayono amepachiwa kwa dhamana jioni ya leo! Hongereni na Asanteni Sana Familia wa Jamhuri ya Twitter! @kigogo2014 @MariaSTsehai @IAMartin_ @fatma_karume @Captain255_ @HildaNewton21 @AnethStanley @jozee_____ @Herculses @HecheJohn @TZFanatic
Tweet media one
13
36
516
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Binafsi sita- Uninstall VPN Apps kwenye simu yangu Hadi kuwe na Uhuru wa Habari uliothibitishwa!!
21
28
508
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
News Alert... Askofu Mwamakula amepatikana Polisi Kirumba Mwanza, Ni Jambo la kushangaza kwamba walitenganishwa na Dr. Lwaitama Hadi Sasa Lwaitama hajulikani alipo!! @tanpol tuambieni alipo Dr. Lwaitama, TOENI DHAMANA!
16
74
508
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Kwa heshima kubwa nawataarifu kuwa, Hadi kufikia sasa, saa 10:30 jioni, hakuna pingamizi lililowekwa dhidi ya Diwani yeyote kwenye Jimbo letu, wala Mbunge na hata Rais wetu @TunduALissu Hivyo basi, tukutane mzigoni rasmi kuanzia kesho! @ChademaTz @ChademaSerenget @bavicha_taifa
Tweet media one
7
27
508
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Jamaa wameamua kuchora kabisa hiyo picha, hivi Yule ni Mimi kweli!?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Musoma Mjini heshima kwenu!!!๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
41
504
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Hatimaye DPP amewafutia mashitaka @hanje_nusrat , @Twaha_Mwaipaya na wenzao!!! Mungu yu mwema, japo wamesota mahabusu Kwa siku zaidi ya 130 lakini leo wameachiwa kwa kuwa hawana makosa!!!! @MariaSTsehai @ChademaTz @bavicha_taifa @Ntobi_ @BawachaTaifa
24
28
502
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Uzinduzi wa Kampeni za Ubunge za @HecheJohn Jimbo la Tarime Vijijini, Asanteni Tarime!!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
36
500
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
We Bwanaeee Kuna Mwamba yupo SA huko kucheki matizi ya @SimbaSCTanzania na kajipigia Scarf ya @ChademaTz aseee!! Shukrani na Hongera kwa huyu Mwamba Yaani!! @HecheJohn @John_Pambalu @bavicha_taifa @davitheempire @ExMayorUbungo @IAMartin_ @MariaSTsehai @Queen_com1 @NamdiAzikiwe
Tweet media one
22
51
500
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Wakati huo nikiwa sina hela ya kushona Kombati, natafuta shati la khaki lenye mikanda mabegani na mifuko miwili juu na suruali ya khaki, naingia mzigoni!!! Nikipata nije kung'e ng'e๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ @HecheJohn @JonMrema @ChademaTz @bavicha_taifa @PatricOleSosopi
Tweet media one
14
22
503
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Njooni Njooni Njooni Njooni!!! Mkapa huyu hapa alitoa "COMMITMENT" ya kuendeleza Upinzani, sio wale wa kuua Upinzani na hawapangiwi wala kujaribiwa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… @bavicha_taifa @MariaSTsehai @fatma_karume @ChademaTz @BawachaTaifa @halimamdee @HecheJohn @PatricOleSosopi @TunduALissu
20
89
502
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
RC Christina Mndeme anataka kurusha ngumi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ @kigogo2014 @MariaSTsehai
63
46
488
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Ila "Mama" ana dharau Sana, Yaani unamteua Mwenyekiti wa Vijana wa Taifa wa Chama chako kuwa DISII!? Alooo, YUVISISIEMU, hii Ni dharau kubwa Sana!!
31
23
491
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Tutamkosoa Rais @SuluhuSamia kwa kufuatisha anavyotukosea au anavyovunja Katiba!! Msitupangie namna ya kumkosoa, siku 100 tulizokaa kimya Ni muda wa kutosha yete kukijua kiti Cha Urais, Sasa atekeleze wajibu kwa mujibu wa Katiba ya nchi na si matakwa yake au ya Chama chake!!!
38
47
481
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
Leo niko Nyumbani, niko na mama, baba, dada, Kaka na ndugu zangu wa Jimbo la Musoma Mjini!! This love asee #TumeHuruyaUchaguzi #HakizaWatu #KatibaMpya
Tweet media one
9
42
494
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Salamu ya Christmas na Mwaka Mpya kutoka kwa George Sanga, Mwenyekiti wa @bavicha_taifa Mkoa wa Njombe. Anayekabiliwa na kesi ya "mauaji". Kimsingi mapito yetu ni magumu, Ila tutavuka Tu!!! @kigogo2014 @MariaSTsehai @JPambalu @JonMrema @lifeofmshaba @USAmbTanzania
Tweet media one
9
35
487
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
4 years
Leo tumemaliza Salama Kata ya Nyasho, na tumekubaliana kuwa UHURU, HAKI na MAENDELEO yaWATU ndio Msingi wa Maendeleo ya WanaMusoma!! Musoma Mjini tumekubaliana kuwa @TunduALissu ndio Rais wetu na @MwitaJulius2000 ndio Mbunge Wetu!! #NiYeye2020 @TunduALissu @ChademaTz
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
47
498
@MwitaJulius2000
๐ฝ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ข๐‘  ๐บ๐‘Ž๐‘๐‘Ÿ๐‘–๐‘’๐‘™ ๐‘€๐‘ค๐‘–๐‘ก๐‘Ž
3 years
IGP Sirro amekurupuka, anadhihirisha jinsi @tanpol walivyo Jeshi la POLICCM
12
45
482