TumeUchaguziTZ Profile Banner
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Profile
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

@TumeUchaguziTZ

Followers
39K
Following
356
Media
3K
Statuses
5K

Kusimamia na Kuratibu Uendeshaji wa chaguzi kwa mujibu wa Sheria ili kulinda demokrasia kwa manufaa ya wananchi, vyama vya siasa na wagombea.

Dodoma, Tanzania
Joined May 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewateuwa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais kwa tiketi ya Chadem, Bw. Tundu Lissu na Bw. Salumu Mwalimu. Uteuzi huo umefanyika leo tarehe 25 Agosti 2020 kwenye Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa, Jijini Dodoma. Hatua hii inatoa fursa kwa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
81
110
1K
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
2 years
TAARIFA KWA UMMA!
Tweet media one
563
124
946
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
MARIDHIANO TBC, CHADEMA!. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles leo Septemba 04, 2020 ameongoza kikao cha Maridhiano kati ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusu ushiriki wa TBC
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
130
86
907
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
87
81
836
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya majimbo na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata kuwepo kwenye ofisi zao kesho tarehe 25 Agosti, 2020 wakati wote wa kupokea fomu za uteuzi kutoka kwa wagombea ubunge na udiwani kuanzia saa 1:00
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
64
108
785
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA!
Tweet media one
Tweet media two
343
54
759
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TIMU ZA KAMPENI.Timu ya kampeni ni kundi la watu lililoundwa na mgombea wakati wa mchakato wa uteuzi au uchaguzi kwa lengo la kumnadi na kumsaidia mgombea huyo katika kampeni za uchaguzi (Kifungu 7(3)).
166
38
727
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mgombea mwenza wa CHADEMA, Bw. Salumu Mwalimu akishuhudia zoezi la uhakiki wa fomu za uteuzi za chama hicho. Zoezi hilo linaendelea Ofisi za Tume, Njedengwa, Jijini Dodoma. #uchaguzimkuu2020 .#kurayakosautiyako .#nendaukapigekura.#nendakapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
64
57
679
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
318
26
657
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUTEULIWA WAGOMBEA PEKEE WA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020 #uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
469
82
617
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
5 years
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Tume ya Taifa ya Uchaguzi Gerald Mwanilwa, leo amekabidhi magari saba kwa Viongozi wa Idara mbalimbali za Tume ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya upokeaji wa vifaa vitakavyotumika kwenye shughuli za Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
94
51
536
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Zoezi la kubandika majina ya walioteuliwa kugombea kiti cha Rais na Makamu wa Rais linaendelea nje ya Ofisi za Tume eneo la Njedengwa Jijini Dodoma. Hatua hii inatoa fursa kwa watu walioruhusiwa kisheria kuweka pingamizi dhidi ya wagombea hao kuweka pingamizi zao. Mwisho wa
Tweet media one
69
35
504
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
3 years
Picha ya kwanza ni mgombea kwa tiketi ya CHADEMA, Bw. Dismas Luhwago akirejesha fomu za uteuzi kugombea kiti cha Udiwani Kata ya Luduga Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe, mkoani Njombe na ya pili ni mgombea kwa tiketi ya CCM, Bw. Andrea Maseleka akirejesha fomu za uteuzi
Tweet media one
Tweet media two
302
24
438
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU RUFAA ZA WABUNGE! .#uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
104
83
432
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewateuwa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Mama Samia Suluhu Hassan. Uteuzi huo umefanyika leo tarehe 25 Agosti 2020 kwenye Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa, Jijini Dodoma. Hatua hii inatoa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
37
44
404
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU PINGAMIZI DHIDI YA WAGOMBEA WA KITI CHA RAIS KWA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020 #uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
97
50
390
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
128
36
344
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS,WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020.(Kifungu cha 124A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) .5.2.2 Kamati ya Kitaifa Itakuwa na mamlaka ya kusikiliza malalamiko ya ukiukwaji wa maadili kwenye uchaguzi wa Rais na Rufaa kutoka Kamati ya Jimbo.
101
32
279
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
28
33
259
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, leo Oktoba 23, 2020 amezungumza na Vyombo vya Habari kutoa rai kwa Watanzania, kuvipuuza vikundi au Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao wamejipanga kuharibu taswira ya Uchaguzi Mkuu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
104
24
247
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
73
24
245
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
UCHAGUZI MDOGO KATA TATU!. #uchaguzimdogo.#tumeyataifayauchaguzi
Tweet media one
Tweet media two
164
12
247
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
133
38
241
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imepitisha Kanuni za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi za Mwaka 2024 na Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Mwaka 2024 ikiwa ni hatua muhimu katika kuzitafsiri sheria zilizotungwa na Bunge hivi karibuni. Sheria zilizotungwa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
60
29
239
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewateuwa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Bw. Bernard Membe na Prof. Omar Faki Hamad. Uteuzi huo umefanyika leo tarehe 25 Agosti 2020 kwenye Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa, Jijini Dodoma. Hatua hii inatoa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
24
226
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
29
32
226
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Katibu wa Kamati ya Maadili ya Taifa, Bw. Emmanuel Kawishe akisoma taarifa kwa umma mbele ya Waandishi wa Habari inayofafanua adhabu ya Mgombea wa kiti cha Rais kwa tiketi ya CHADEMA, leo Oktoba 3, 2020 Jijini Dar es Salaam. #uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
90
18
213
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU RUFAA ZA WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI! .#uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
56
37
197
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
Tweet media two
41
51
199
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
5
13
193
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
101
29
183
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage ametangaza matokeo ya awali ya kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano kutoka majimbo 12 ya Njombe Mjini, Nsimbo, Misungwi, Sengerema, Mpanda Mjini, Babati Mjini, Donge, Musoma Mjini, Mahonda, Bumbwini,
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
32
11
167
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura utafanyika tarehe 01 Julai, 2024 mkoani Kigoma na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB). Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Unguja
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
16
168
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
120
12
155
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
22
18
159
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
3 years
Tume ya Taifa ya Uchaguzi leo tarehe 14 Agosti 2021 imekabidhiwa tuzo ya Mshindi wa Pili kwa Taasisi za Serikali zinazoongoza kwa upandaji miti mkoa wa Dodoma. Tuzo hiyo imetolewa kwenye Tamasha la Upandaji Miti la mwaka 2021 lililofanyika Chuo cha DECA Jijini Dodoma ambapo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
153
4
143
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst), Mbarouk Salim Mbarouk akisoma hotuba ya ufunguzi wa kikao cha tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 baina ya Tume na waratibu wa uchaguzi nchi mzima. Kikao hicho kimefanyika Jijini Dodoma leo Novemba 20,2020.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
104
7
136
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
12
20
137
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
NAFASI ZA KAZI
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
15
138
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
WAHUSIKA WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA . #Kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
21
131
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
wagombea walioteuliwa kuanza kampeni kesho tarehe 26 Agosti 2020 hadi tarehe 27 Oktoba 2020. Uchaguzi Mkuu utafanyika tarehe 28 Oktoba 2020. #uchaguzimkuu2020 .#kurayakosautiyako .#nendaukapigekura.#nendakapigekura.#28oktoba2020.
2
16
125
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mfano wa karatasi itakayotumika kupigia kura kwa nafasi ya Kiti cha Rais kwenye uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani tarehe 28 Oktoba 2020. #uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
58
25
126
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera (katikati) akizunghumza na waandishi wa Habari katika ofisi za Tume Njendengwa Jijini Dodoma leo ambapo ametangaza majimbo 18 ya uchaguzi ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Kushoto ni Mkurugenzi wa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
71
10
128
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
3 years
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Mohamed Said Issa kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo tarehe 09 Oktoba, 2021. Mgombea huyo amepata kura 2391kati ya kura halali 3338
Tweet media one
Tweet media two
49
14
121
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
VITUO VYA KUANDIKISHA WAPIGA KURA . #Kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora
Tweet media one
Tweet media two
15
15
125
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
10 months
MABADILIKO YA JINA LA TUME
Tweet media one
62
19
125
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
asubuhi hadi saa 10:00 jioni na iwapo hawatakuwepo ofisini kwa muda huo Tume itachukua hatua kali dhidi yao. Hayo yamesemwa leo tarehe 24 Agosti, 2020 na Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.
8
24
121
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
24
7
122
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA RUFAA ZA  WAGOMBEA UDIWANI!.#uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
33
20
115
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
26
6
110
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
2 years
Tweet media one
63
3
118
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
2 years
Tweet media one
5
6
118
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
59
13
113
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata. Hadi hivi leo, wagombea wa vyama vya siasa 17 vyenye usajili wa kudumu wamechukua fomu za uteuzi wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais.
5
20
112
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
5
11
113
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
Tweet media two
11
15
116
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
60
11
110
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
37
24
110
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
3 years
Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametangazwa mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
112
5
103
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
kuhusu maandalizi ya kupokea fomu za uteuzi na uteuzi wa wagombea kesho tarehe 25 Agosti 2020. Jaji Kaijage amesema kesho tarehe 25 Agosti, 2020, Tume itafanya uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani nchi.
5
25
103
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akiwa ziarani Kaliua, Mkoani Tabora. Mkurugenzi yupo kwenye muoendelezo wa ziara ya kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020.
Tweet media one
Tweet media two
46
13
99
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
USHIRIKISHAJI WA WADAU: Mkurugenzi wa Uendeshaji Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Clothilde Komba akiongoza kikao cha Kamati ya Kuratibu Ratiba ya Kampeni za Wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais, kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo tarehe 31 Agosti 2020.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
25
12
99
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
30
12
98
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
38
16
91
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
2 years
Tweet media one
18
12
96
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
07 Juni, 2024.
12
2
98
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
nzima. Amesema uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais utafanyika katika ofisi za Tume zilizopo eneo la Njedengwa Jijini Dodoma na uteuzi wa wagombea ubunge utafanyika katika ofisi za wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo na udiwani katika ofisi za wasimamizi.
3
20
96
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
60
13
92
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
3 years
Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kwa Wanawake wa Kikundi cha Ujasiriamali cha Uweso kilichopo Kijiji cha Nyamilangano Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Ushetu Mkoa wa Shinyanga.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
58
4
89
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) leo Juni 14, 2024 imekutana na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari ikiwa ni siku ya pili ya kikao hicho chenye lengo la kutoa elimu kuhusu zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Katika kikao hicho,
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
13
96
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewateuwa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais kwa tiketi ya Demokrasia Makini, Bi. Cecilia Augustiono Mwanga na Tabu Mussa Juma. Uteuzi huo umefanyika leo tarehe 25 Agosti 2020 kwenye Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa, Jijini Dodoma. Hatua hii
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
7
92
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imekamilisha maandalizi muhimu kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ikiwa ni pamoja na ununuzi wa vifaa vya uandikishaji vinavyojumuisha BVR Kits 6,000. Hayo yamebainishwa leo tarehe 10 Juni, 2024 jijini Dar es Salaam na
Tweet media one
10
7
94
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linatarajiwa kuzinduliwa tarehe 01 Julai, 2024 katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, mkoani Kigoma. #tumehuruyataifayauchaguzi.#uboreshajiwadaftari .#nendakajiandikishe .#kaboreshetaarifazako .#tuwemo
Tweet media one
6
5
94
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utakuwa na mambo mapya kadhaa ikiwa ni pamoja na kuwaandikisha wafungwa kwa upande wa Tanzania Bara na wanafunzi wa vyuo vya mafunzo kwa upande wa Zanzibar na kuwaruhusu wapiga kura kuanzisha mchakato wa kuboresha taarifa zao kwa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
4
91
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linatarajiwa kufanyika tarehe 01 Julai, 2024 katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, mkoani Kigoma. #tumehuruyataifayauchaguzi.#uboreshajiwadaftari .#nendakajiandikishe .#kaboreshetaarifazako .#tuwemo .#mpigakura
Tweet media one
8
11
91
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
6
5
88
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
10
13
90
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA RUFAA ZA WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI!.#uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
27
12
87
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
9
17
85
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
7 months
Tweet media one
3
7
86
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwahani lililopo Wilaya ya Mjini mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar, Bi.Safia Iddi Muhammad amemtangaza Bw. Khamis Yussuf Mussa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Kwahani. Mussa almaarufu Pele
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
11
84
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema watu wote wenye sifa za kuandikishwa kuwa wapiga kura wataandikishwa hata kama hawana kitambulisho cha Taifa kinachotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
11
88
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
2 years
Tweet media one
19
3
84
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
20
84
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura hauhusiani na maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu wa 2024. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K wakati akifungua mkutano wa
Tweet media one
Tweet media two
5
7
83
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mfano wa Tactile ballot 🗳 folder 📂 (Jalada la nukta nundu) litakalotumiwa na watu wasioona kupiga kura kwenye uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani tarehe 28 Oktoba 2020. #uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
19
14
78
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles (kulia)akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma leo 25 Oktoba 2020, kuhusiana na madai ya uwepo wa vituo na wapiga kura hewa katika maeneo mbalimbali nchini
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
23
7
81
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage, leo Oktoba 26, 2020 amekutana na Ujumbe wa Watazamaji wa Uchaguzi kutoka Shirika la EISA - Electoral Institute for Sustainable Democracy in Africa wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
5
76
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
7
7
80
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Vyama vya siasa vitaruhusiwa kuweka wakala mmoja kwenye kila kituo cha kuandikisha wapiga kura kwenye uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kuzinduliwa mkoani Kigoma, tarehe 01 Julai, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
10
80
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
KUANZISHA MCHAKATO WA UBORESHAJI MTANDAONI. #Kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
15
79
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
katika kuripoti kampeni za uchaguzi mkuu kwa wagombea wa CHADEMA. Kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam, kimehudhuriwa na Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dkt. Ayoub Rioba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na.
4
10
79
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
8 months
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K yupo ziarani mkoani Kigoma kwa ajili ya maandalizi ya awali ya uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kufanyika tarehe 01 Julai, 2024 Manispaa ya Kigoma Ujiji
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
9
76
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
7 months
Tweet media one
4
3
79
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
Tweet media one
4
3
79
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Mgombea atakayekuwa na timu ya kampeni anapaswa kuwasilisha majina ya watu wanaounda timu yake ya kampeni siku mbili kabla ya kuanza kwa mchakato wa uteuzi au siku saba baada ya uteuzi, kama ifuatavyo:.
9
10
73
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
MWALIKO WA WAANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA . #Kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora
Tweet media one
Tweet media two
7
6
76
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
TAARIFA KWA UMMA RUFAA ZA  WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI!.#uchaguzimkuu2020.#kurayakosautiyako.#nendaukapigekura.#28oktoba2020
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
11
74
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
9 months
MWALIKO WA TAASISI NA ASASI ZA KIRAIA KUTOA ELIMU WAKATI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA . #Kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
9
72
@TumeUchaguziTZ
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
4 years
Tweet media one
10
18
69