Nafikiri hii hali ikomeshwe kisheria, kuna udhalilishaji na ubaguzi mkubwa anafanyiwa
@dejangeorgijevic
kwasababu ya uzungu wake na mashabiki wa mpira. Serikali iingilie kati, tukiacha huu upuuzi wa kumdhihaki kijana huyu kwasababu ya rangi yake tusije laumu huko mbele
Leo imedhihirika kwamba
@ChademaTz
ni chama kikubwa sana Tanzania kwa sasa, Kwakutumia mitandao ya kijamii tu, Chama kimefanya mkutano wa Kitaifa nchi nzima na umehudhuriw na mamilioni ya Watanzania kila pembe ya nchi.
Mzee Mengi amefariki, Kijana Ruge amefariki, Mzee Mfuruki amefariki na sasa Mzee Shamte amefariki, hiki ni kizazi cha ujasiliamali na mhimili wa sekta binafsi nchini kimeondoka, Hakuna anayestuka, kuna nini katika sekta binafsi huku?, Ni pigo kwa taifa.
Ndugu
@kigogo2014
ni mtu huru lazima to heshimu uhuru wake wa mawazo, sio mwanachama wa Chadema, anao uhuru wa kuongea chochote, lakini hana uhuru wa kudhalilisha viongozi wetu. Tutaheshimu uhuru wake lakini tutalinda Chama chetu na viongozi wake.
Video ya
@Roma_Mkatoliki
na
@StaminaMC
inaweza kuwa imegharimu kati ya shilingi 50,000 tu kwaajili ya mtu wa kuchanganya tu video calls hizo, lakini uzito wake na ilivyopokelewa inalingana na kuzizidi video za wasanii wanaosafiri hadi Afrika Kusini nakutumia milioni 50 hadi 70
Tatizo la ushoga nchini ni kubwa sana aisee, Hivi kumbe na afande anakobolewa? Very sad.....! Ndiomaana namuunga mkono Putin kwakupiga marufuku uhayawani huu wa kimagharibi.
Taifa letu limebahatika kupata kadinali wa tatu mswahili tena tangu taifa letu lipate Uhuru 1961. Awali Taifa letu lilianza kwakumpata kadinali Kasisi Laurian Rugambwa kutoka Bukoba, akafuata Kadinali Kasisi Pengo kutoka Sumbawanga, Na sasa Familia ileile ya Wahaya imepata bahati
Leo nilikiwepo kwenye kile kinachoitwa Mkutano Mkuu wa TLP, niliingia kwakujifanya kama mjumbe wa mkutano toka Kigamboni. Nimefanikiwa kuwaona wajumbe zaidi 156 ambao nawafahamu ni wanachama wa
@ccm_tanzania
toka Kinondoni, Temeke na Ilala. Leo wamempitisha Magu kuwa mgombea wao
Waziri wa afya wa Burundi kaulizwa ni siri gani ambayo imesaidia nchi yao kutokuwa na mgonjwa wa Virusi vya Corona mpaka sasa akajibu hawana vifaa vya kuipimia
Hivi kuna redio imekusanya mashoga na kuwapa kipindi chao maalumu kabisa? Aisee nimebaki na butwaa, wanabinua midomo na kucheka visauti vinavyoenda juuu!
Marekani na Ulaya watapiga magoti tu kwa Mrusi, Moscow inafanikiwa kuunda dunia Mpya yenye mwelekeo mpya, yenye sarafu mpya, yenye nguvu mpya nk.
Kama hatua ya kuidhibiti Marekani na Ulaya, Urusi imefanikiwa kuzishaeishi nchi wazalishaji ws Mafuta duniani kupunguza uzalishaji wa
Awali 1919 nchi iliitwa Smutsland, Pili ikaitwa Eburnea, Tatu ikaitwa Azania, Nne ikaitwa New Maryland, Tano ikaitwa Windsorland, Sita ikaitwa Victoria, Saba ikaitwa Kilimanjaro , Nane ikaitwa Tabora na hatimaye jina la Tisa ikaitwa Tanganyika January 1920.
Wakili msomi
@peterkibatala
amevunja rekodi ya Dunia ya 23 May 1934 iliyokuwa inashikiliwa na Wakili Meloslov Yukov wa Hezgovina aliyemjoho shahidi masaa 39 na dakika 6 na sekundi 23. Upande wa mashitaka ulijibu hoja hizo kwa saa 1 na dakika 43 na sekunde 4.
Usikutee Ndugai yuko Chamwino naye anashangaa barua iko mitandaoni imesainiwaa kwa jina lake kwamba amejiuzuru. Naye anashangaa imekuwaje. Kama yeye na vijana wake walighushi saini ya KM Mh
@jjmnyika
kuwaingiza bungeni COVID 19, vijana wake watashindwaje kughushi saini yake tu?😂
Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwamara ya kwanza duniani, kwamba Biashara inakufa kwasababu ina wateja wengi😂. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la Wateja ni kubwa sana na Haina mpinzani ni Wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? Sisi ni MANYANI.
Mpaka kufika kesho saa mbili asubuhi tunatakiwa kuwa tumechanga milioni 350. Anza kutoa chochote ulicho nacho.. tuma kwa namba hizo hapo chini.
Bank Crdb : Chadema M4C account namba 01J1080100600
Simu: Rodrick Lutembeka
0754 275 531,
0655 275 531
Kwa usaliti na jaribio la mapinduzi/Uhaini alioanzisha
@MsigwaPeter
ilikuwa ni vigumu kwake kuendelea kubaki ndani ya
@ChademaTz
. Hatua ya leo tunahitimisha kwakusema Chama kimeshinda vita dhidi ya maadui zetu wakuu yaani CCM na Vibaraka wake. Pongezi kwa Idara ya Ujasusi ya
Hureeeeeee nimeshindaaaaa! Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika (Best Author of Year Africa).
Asante sana Wanzania wote mlionipigia kura,
Asante sana Mizimu yote ya ukoo wangu.
Asante sana
@airtanzania_atcl
kwakunipeleka Zambia.
Tanzania imeshinda!
Wakati nyie walumumba mmekomaa na kusambaza ngonjera za Baraka flavor, Nandy nk, sisi tuko tunashare kwa speed ya 6G ngoma ya mtu wetu anaitwa
@Roma_Mkatoliki
. Hakuna kunununa wala kutegemea faulo kwakuwatumia wasiojulikana, Kila mtu a-share, a-forward, a-retweet upande wake.
Leo nimechaguliwa kwa kura 52 sawa na 60% kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa
@ChademaTz
nikiwakilisha jimbo la Kigamboni. Nawashukuru sana wajumbe kwakuniamini na kunipa kazi hii ya utume, Kwapamoja Kigamboni itazaa mitaa, madiwani na Mbunge na kuhakikisha tunaongoza halmashauri.
Hebu twende taratibu kwanza, Ni lini Spika wa Bunge la Tanzania amewahi kutumia ndege ya Rais kwa safari zake? Hii ni private jet, ambayo kuirusha ni bei ghali sana, Spika anaruka kwa private jet kwenda kwenye ishu za kidini tu baada ya kupitisha dili la Bandari.
Mikwara ya wanetu M23 wakiwa mstuni, kipigo kimekolea kutoka JWTZ
Kenya walienda Congo wakakaa miezi minne tu wamegongwa kwenye visigino balaaa wakakimbia wenyewe! Walijua kushinda vita ni sawa na kuzungumza kiingereza, Kumbaaaafu!
Wanaume wameingia wiki tu tayari M23 wanatoa
Hawa wanaomaliza vyuo na kutupia mapicha yao na Majoho, tuwaeleze hali halisi ya Mtaani, au tuvunge vunge kwanza?. Ngoja nywele walizosuka zifumuke na walionyoa ziote. Dar kuiishi haina chuo wala cheti, muhinu fuatisha midundo ya wenyeji tu, ukijitia jeuri utapakatwa soon..
Ile propaganda ya maccm na vibaraka wake kwamba Chadema haina ofisi bado ipo? Hii ndio ofisi Kuu ya Chadema Taifa. Ipo Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
Ni jengo la mahadhi ya Ikulu ya Rais.
Hata shetani angetushangaa yaani mtu ahamie juzi ndani ya CDM kisha leo awe mwenyekiti wa Chama Taifa? Haya masihara yabaki nje ya chadema labda huko ccm. Usifananishe na tulivyomweka Lowasa agombee urais. Tulifanya hivyo tukijua tunao uwezo wa kumdhibiti kichama. Sio kuuza Chama
Mkuu
@kigogo2014
kazi uliyofanya kwa ni kubwa haina kipimo cha kuelezea, nakosa sifa ya kukupa, lakini itoshe kusema wewe ni mzalendo wa kweli na unalipenda taifa lako kwa moyo wote. Jina lako tumeliandika kwa wino wa dhahabu. Taifa litakukumbuka daima. Umeokoa maisha ya Raphael
Ndugu zangu Wanasimba wenzangu, Leo Viongozi wetu wamemfukuza kocha Bora kabisa barani Afrika, Na wanawadanganya Wanachama kwamba kocha kaomba kuondoka sijui ana matatizo ya Kifamilia lakini ni uongo viongozi wanajificha kwenye kichaka cha kufukuza makocha kwa kufeli kwao
Tukiacha ushabiki wa kawaida wa kivyama, na kujipendekeza kwa Rais, Kuna yeyote anaweza kunieleza kosa la msingi la Kisheria/kikatiba la Spika Job Ndugai ni nini? Maana ibara ya 63 (2) inamruhusu kufanya alichofanya cha kushauri serikali kuhuhu mikopo. Kosa lake nini hasa?
Idara ya Usalama wa Taifa, Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya ulinzi, inakuwaje mtu kama GWAJIMA anamtuhumu RAIS
@SuluhuSamia
kuhongwa PESA ili kupigia CHEPUO Chanjo ya COVIDE19? Mko busy kumbambikia kesi ya Ugaidu
@freemanmbowetz
na kuacha huyu anayehatarisha usalama wa nchi?
Uongo hauna lugha mbadala unabaki kuwa ni uongo, Ikiwa Rais ameongopa kuwa washitakiwa wenzake na Mh Mbowe walishafungwa wakati kesi bado huo ni uongo. Msajiri hana miongozo ya lugha mbadala za kumtambulisha muongo. Awalaumu BAKITA kwakutotohoa neno mbadala kumtambulisha muongo.
Picha ni mwenye suti nyeupe ni Jenerali Ulimwengu akiwa ikulu ya Pyongyang nchini Korea Kaskazini akiwa katika picha ya pamoja na rais wa nchi hiyo Bwana Kim Je Sung mwaka 1974.
Muulizeni Job Ndugai wakati Ulimwengu akilitumikia taifa letu hivi yeye alikuwa wapi?
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania (JWTZ) Jenerali Mkunda atemebelea wanajeshi wake nchini Congo kwenye mstari wa Mbele wa Mapigano huko Sake wilayani Masisi Kivu KSKAZINI Mashariki mwa Congo!
Kwamjibu wa Mtandao wa Habari wa MalivikaTvDrc
Nimemsikiliza IGP akihojiwa Startv, namshauri Mh Rais Mama
@SuluhuSamia
kwamba malengo yake ya kuliunganisha taifa yatachelewa kama hatapata wasaidizi wengine haraka. Kuna umuhimu mkubwa wa kupatikana IGP mwingine. Mzee Siro tumwache apumzike asiendelee kuligawa taifa kwa chuki.
Kama nikiambiwa nimshauri Mh Rais
@SuluhuSamia
, nitamwambia awaondoe ofisini HARAKA IGP Siro na DGIS Diwani. Aagize idara za intelijensia za vyombo hivi ziundwe upya bila kufukua makaburi. Jeshini nako aanze kutafuta mrithi wa CDF Mabeyo haraka. Hivi vyombo ndio NCHI na sio Mbowe
Nipigie kura nishinde Tuzo ya
@zikomoawards
na kuwa Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika. Napambana na magwiji 8 wa uandishi wa Vitabu Barani AFRIKA kutoka Mataifa mbalimbali ya AFRIKA. FUNGUA LINK
Leo hii kwa Afrika Mashariki, Tanzania, Burundi, Uganda na South Sudan zimekwepa mkutano maalum wa UN kupiga kura ya kupinga Urusi kuendesha oparesheni ya kijeshi nchini Ukraine. Halafu bado kuna wapwa wanamtukana Yericko Nyerere kuonyesha msimamo wake kwanini anaunga mkono Urusi
Kila mtu kwa imani yake amuombee kamanda wetu kijana mwenzetu Mdude Nyagali ashinde hukumu ya kesi inayosomwa leo. Katika uso wa dunia tunaamini na kufahamu kwa 💯 Mdude alioneowa na Magufuli, basi kwa imani yetu Magufuli hayuko tena na tena na haki itatamalaki.
Kauli ya Rais kuwa atakaowacha Uwaziri ni wanaofikiria urais 2025, Na ukaangalia Uteuzi mpya wa Mawaziri, Ni wazi kuwa sababu aliyoitoa haiendani na kilichotokea. Wasaka urais niwajuao ni Mwigulu, Januari nk na wapo baraza jipya. Kwamba Waitara, Mwambe, Kitila wanataka urais?🤣🤣
Kwa masikitiko makubwa, Nina watangazia kifo cha Bibi yangu mzaa Baba, Bi Dakilimali Nyakunga (Mgulwa) kilichotokea leo 02/10/2023 majira ya saa 11 alfajiri kijijini kwetu Maduma. Bibi yetu amefariki akiwa na miaka 131.
Taratibu za mazishi zinafanyika kijijini Maduma.
Katibu Mkuu wa CDM Taifa, Vicent Mashinji mwenye taalumu ya U-Dr wakulipwa hata 50M, Akiwa CDM alisimamia wanachama zaidi ya 8M na kulipwa mshahara karibu 11M kwa mwezi, leo anakwenda kuwa DC wakusimamia watu elfu 25 na kulipwa mshahara wa 3M. Huku ni kuanguka sio kupanda kisiasa
Bi Shida Salum Mama Mzazi wa
@zittokabwe
alifariki Dunia June 1, 2014 Dar na Mazishi yakafanyika Kigoma June 2,2014 CHADEMA iliwakilishwa na Mhe mjumbe wa kamati kuu
@WenjeEzekiah
. Zitto anaongopa anasema CDM haikufika? Mh
@freemanmbowetz
alitoa ndege 3 zikarukw Dar to Kigoma.
Matajiri baadhi huoa wake wenye akili hata kama wanasura za kawaida (mbaya). Masikini huoa wake wenye sura nzuri hata kama hawana akili kichwani.
Lengo la tajiri ni mke mwenye akili alinda mali zake. Masikini hufurahisha nafsi yake kwa umbo na sura nzuri ya mkewe asiye na akili
Tulitahadharisha Rais
@SuluhuSamia
usianzishe vita vipya nje ya ccm, pigana vita vyako vya ndani ambavyo umeviumba kwakutounda serikali yako na kuendeleza genge la utawala uliopita, ukatupuuza, na sasa vita viko hadharani ndani kuna Gwajima, Polepole na Nje kuna UMMA na Chadema
Hotuba ya
@TunduALissu
ya kutangaza nia ya kugombea Urais Tanzania. Ni moja ya hotuba madhubuti na adhimu ambayo dunia haijawahi kuipata kwa miongo mingi sasa. Ni watu wachache sana duniani wenye uwezo wa kutoa hotuba kama hii, imenikumbusha enzi za
@BarackObama
na Sir John Major
Nimepora siti ya mbele ya Kwaya ya kusifu na Kuabudu iliyokuwa inakaliwa na Mataga, Sasa najimwagamwaga kulia na kushoto, mbele nyuma, Viva Mama
@SuluhuSamia
Tanzanzia imepata mkombozi wa kweli, Mama ana lugha tamu laini na inayofunza... Tulichoka sana kufokewa na kutukanwa.
Niliandika makala nyingi kuaonya Wazbr kujiunga na ACT, nikiwaeleza ACT iliundwa na dola kwa lengo la kuua CDM. Waasisi wake ni mamluki waliofukuzwa CDM, Malengo ya dola ilikuwa kupunguza nguvu za CDM. Dola ilipoiua CUF ilikuwa lazima imdhibiti mwelekeo wa Malim uwe ACT, ikatimia
Uhuru wa maoni wa akina
@hpolepole
@jgwajima
uheshimiwa na kulindwa chini ya katiba ibara ya 18. Wasiingiliwe na kutishiwa. Tumepigania uhuru wa mawazo katika kipindi chote cha utawala wa Dikteta Magufuli na hawa kina Polepole walishiriki kuzuia uhuru wetu, Lakini sisi tuheshimu
“Kaka habari. Pichani ni askari wa jeshi la Polisi G.5476 DC/CPL MADUSHI MHOGOTA NG’WALA wa Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi. Anatuhumiwa kufanya tukio la kikatili la kumbaka mtoto wa darasa la 6 (jina linahifadhiwa kwa ajili ya usalama wake).
Tukio lilitokea juzi tar.18 jioni
Maasi yameisha, majeshi yanarudishwa kambini, Madai yao muhimu Rais Putin ameahidi kuyatimiza... Ile hoja ya Wizara ya Ulinzi kutaka kuifuta Wagner sasa imefutwa... Watapewa tenda nyingine ya vita ndani ya saa 48. Pia katika makubaliano watahakikishiwa ulinzi wa kisheria (kinga).
Huyu Zitto juzi kati tu miaka mwili iliyopita alimuita Mh Lissu ni zwazwa, leo anataka kujibanza ubavuni mwake na kutoka kisiasa kupitia jina la Lissu na ugonjwa wake. Hii tutaizuia kwa nguvu zetu zote amefanikiwa kuwatapeli akina Jussa na Maalim, huku hawezi kufanikiwa kamwe
Putin ni Master kabisa wa 5D chess. Matokeo ya kile kinachoitwa "coup d'état" ni:
Juni 24: Wagner walikuwa kilomita 200 kutoka Moscow.
Juni 25: Wagner wako kilomita 100 kutoka Kiev.
Hii ni baadhi ya mbinu za kivita za Stalin's au Sun Tzu za kiwango kinachotendwa na Putin leo.
Nafikiri kuna watu ni wagongonjwa wa akili, Yaani asubuhi nilipopost taarifa ya uasi Nchini Urusi, nilipokea meseji nyingi za shangwe zikiambana na matusi kwangu na kejeri kubwa sana, utadhani mimi ndio napigana vita.
Hivi mmeanza kusoma upepo? Tangu nabadiliko kadhaa yatokee kwenye mfumo
@kigogo2014
amekuwa sawa na vijana wa ACT, maneno na aina ya uandishi wake yanajieleza kuwa huyu si yule tuliyekuwa tukimsoma. Twendeni taratibu tutamjua tu kigogo ni nani Nimechat nae dm naanza kupata jibu
Unapotosha mkuu alichokisema Mh Lissu, Ukweli alimaanisha kwamba wanaosema miaka 100 sio sahihi bali ni mkataba wa maisha hauna ukomo.... Hivyo unaporipoti jambo hakikisha unaripoti usahihi wa alichoongea Mh
@TunduALissu
MAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA na Mwanasheria mbobevu, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote kuhusu muda wa miaka 100 kwenye Kandarasi ya uendelezaji Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya DP World kutoka Falme za Kiarabu.
“Nimesoma mkataba wote
Hebu fikiria haka ni kakibaka kadogo sana kamoja tu kutoka kwenye Utawala dhalimu wa Magufuli kanazomewa namna hii,
Hivi siku akifikishwa mahakamani Jambazi, muuaji na mhalifu namba moja Paulo Makonda nchi si itabidi isimame kwa siku saba za furaha ya taifa?
Wanayanga wamekamilisha kuuza bure kilabu chao kwa GSM. GSM anamiliki
@yangasc1935
kwa 100%. Hisa 49% za GSM, zinaungana rasmi na hisa 51 za Wananchi zilizotwaliwa leo na Eng Said ambae ni mfanyakazi wa ngazi ya juu ya GSM. Kuanzia leo nimarufuku kwa mwanayanga kuhoji chochote!
"Mdogo wangu anaitwa Teresia Rubeni Mrimi. Ana cheti chake Cha kidato Cha nne kinachoshikiliwa katika Shule aliyosomea iitwayo Mother Theresa of Calcutta Secondary School nayomilikiwa na Kanisa Catholic Jimbo la Same.
Mwaka 2014 Fr. (Padre) Emmanuel Yatera alimtembelea Fr.
Wazbr poleni, ACT na Zitto waliwadanganya ni wapinzani, Zitto ni ccm kama Lipumba nk, dhamira yao ilikuwa kumaliza siasa za Seif, Waznbr/Watgk ukweli ni kwamba Upinzani upo CHADEMA tu kwenye agenda ya Katiba Mpya, Wengine ni mawakala wa CCM wanawarubuni tume huru bila katiba mpya
Hebu vaa viatu vya MATAGA muda huu... Vichwa vyao vinawaka kama jua la saa sita, wanajaribu kufikiria njia gani zitawapa uteuzi ikiwa ile njia kuu ya kusifu na kuabudu imepandwa mbigiri ghafla hivi? Kibaya zaidi kwaasili Wazanzibari hawapendi sifa za kinafiki...
Heri ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu!
Mutu Mwanamume mshirikina, Mwanga, Kigagula, Mlozi Na Mshindi wa Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani AFRIKA, ametimiza miaka 41 kamili tangu azaliwe katika kijiji cha Maduma, Mufindi Iringa.
Mizimu inaniongoza vema sana, Idumu Mizimu ya
Hivi ukimya wa buraza
@zittokabwe
tangu ishu ya katiba kimyaaaa, ikaja ishu ya tozo za miamala kimya, ikaja tozo za mafuta kimya, ikaja tozo pembejeo kimya, leo tuko kwenye hali hii ya Mwigulu. Buzara sio kawaida yake kabisa tumemzoea ni mkosiaji na mshauri mzuri kulikoni?
Kuna watu waajabu sana duniani hapa, Yaani mtu anatokea tu kumchukia
@IAMartin_
kisa anapata sifa nje kwakuripoti kesi ya kubumba ya Mh
@freemanmbowetz
, lakini mtu huyohuyo habaduki kwenye TL ya Martin ameganda anasubiri updates kesho...🤣🤣🤣🤣
Nimesoma kinachoitwa taarifa ya Polisi Nchini juu ya shambulio la Mh
@freemanmbowetz
. Tunatatizo kubwa sana juu ya jeshi hili kuliko watu wanavyofikiri, Hata mtu ambae hajamaliza certificate ya Investigation hawezi kuandaa taarifa kama ile. Hawa ndio wapelelezi wa watz zaidi 55M
Baada ya vurumayi za DP World na Waraka wa Kanisa la Tanzania nakisha mikataba kusainiwa kwa nguvu, Awali nilieleza kiasi nafasi ya Kanisa kwa Tanzania naomba nirudie tena kuchambue kwakueleza nafasi ya kanisa katika Tanzania ambapo kwa sehemu kubwa nilishaeleza katika kitabu cha
Kauli ya
@kigogo2014
kuwachama kianzishe vita vya kigeshi na dola ilikuwa ni ya hatari kwakuwa ilikuwa inapalilia na kuhalalisha mashitaka ya kughushi ya Mh Mbowe, Kuibuka kwa Makamu Mwenyekiti Mh
@TunduALissu
na kukemia kwamisingi ya Kisheria ilikuwa ni lazima na halali...
Kwamjibu wa Mh
@TunduALissu
ni kwamba Mh
@zittokabwe
amewageuka viongozi wa vyama vingine ambavyo awali walikubaliana kutohudhuria mkutano wa TCD hadi mambo matatu yatatuliwe, 1. Mbowe aachiwe, mkutano ya kisiasa iachiwe, na tatu kesi zote za upinzani zifutwe.
Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Spika hana kinga. Nimsihi na kumpa taarifa Job Ndugai kuwa iwe leo au kesho utawala huu unaowalinda ukitoka madarakani tutamfikisha Mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma na kufuja kodi ya umma.
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa wa Roma, ameongoza ibada ya Ekaristi Mjini Lisbon leo iliyohudhuriwa na makutano milioni 2, Moja ya Ibada zenye idadi ya mahudhurio kubwa zaidi duniani kuongozwa na kiongozi huyo wa Roma. Papa wa Roma yuko nchini Ureno kwa ziara ya kiroho
Mh Waziri
@DocFaustine
, sababu ya kuchukua hatua za maboresho ya gharama za bando si ilitokana na malalamiko ya watumiaji kuwa makampuni ya simu yanatuibia? Sasa mbona imekuwa kinyume badala ya kupunguza gharama, sasa zimeongezeka gharama? Au ni makampuni ndio yaliomba maboresho?
Kuna hoja za kijinga kwamba uchunguzi imekwama kisa Lissu na dereva hawapo. Hivi Mo yupo je kesi imefikia wapi? Roma yupo, kesi imefika wapi? Nay yupo, kesi imefikia wapi? Kifo cha Mawazo kesi imefikia wapi? Ben Saanane kesi imefikia wapi? Ifike kipindi Ujinga wenu uwe na kikomo
Katika hili niseme Asante Rais, umeonyesha unavyozimudu siasa za nera na mdundiko wa vita vya medani. Nakumbuka nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madola iligombewa na Bernard Membe enzi za Magufuli, Lakini Rais Magufuli akagoma kumuidhinisha Membe akagombee, Diplomatic kadhaa
Najaribu kuwaza hivi CDF Mabeyo alibariki Askari wake ashiriki siasa chafu za akina Kingai dhidi ya Mbowe? Luten wa JWTZ inayoheshimika duniani ndio huyu Urio? Mabeyo amehudumu Idara ya Usalama na Utambuzi JWTZ, anajua uongo na ukweli vizuri,alijiridhisha kuwa kuna kesi kweli?
Imekuwa furaha kwangu, ambapo nyumbani kwangu Mbutu Block E. Kigamboni, nilipokea ugeni wa Kanali Benno Mathias Nzowa Mkufunzi wa ngazi ya juu wa Kijeshi na kufanya mazungumzo kuhusu kitabu cha Ujasusi na kunipongeza kwa ushindi wa Tuzo ya Mwandishi bora wa vitabu Barani Afrika.
Ukiniuliza mimi nitakuambia Kasim Majaliwa ni mtu katili zaidi kuliko maccm wengi sana, huyu ndie alikuwa mwenyekiti wa kamati ya Mazishi ya Hayati Lowasa iliyoondoa na kufuta historia ya Lowasa kuwa aligombea urais 2015, Kamati ilizuia popote katika msiba kutajwa Chadema hadi
Hatimae kisiki cha mateso kwa wapinzani kimeng'ooka Mahakama ya Kisutu, Anaitwa Wankyo Simon, Alikuwa In Charge wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Kang'olewa na kupelekwa Dodoma ambako atakuwa Mwendesha Mashtaka wa kawaida tu ambaye siyo In Charge tena.
Kama ingekuwa ugonjwa wa Corona unaelekezwa wakumpata, ningeelekeza kwa rafiki zangu
@mwanaFA
na
@SalamaSK
angalau waugue hata kidogo tu. Hii mizaha yao isingekuwepo tena.
Ndugu zangu wanasimba, ukweli ni kwamba Simba mbovu imetolewa na Al Ahly mbovu kabisa! Ukweli mchungu ni kwamba Menejimenti ya Simba inatakiwa kuondolewa klabuni tena haraka sana, Tatizo kubwa la Klabu yetu ni utapeli wa usajiri wa wachezaji wasio na viwango vya kuchezea Simba
Tunaishi katika Dunia ambayo kwa sasa ujinga na upumbavu una nguvu kuliko werevu na busara. Wajinga wameshika madaraka ya ulimwengu, Werevu na wenye busara wako hatarini
Huyo
@kigogo2014
akiendelea kuropoka huko mniambie nina ac za pori nitamfuata hukohuko na kumbaka mchana kweupe..... Utapeli wa siasa za mitandaoni awafanyie ccm sio Chadema. Sisi ndio waasisi wa siasa chafu na nzuri, akijaribu ataharibikiwa kabisa...