Ngaso6 Profile Banner
Ngaso6 Profile
Ngaso6

@ngaso6_ngaso

Followers
17,983
Following
10,044
Media
3,574
Statuses
125,983

Dar es Salaam, Tanzania
Joined July 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Ukiwa na akili ndogo ni ngumu Sana kumuelewa wakazi lkn tangia utawala wa Kikwete aina ya nyimbo ndo hizo hizo so mashabiki lazima watakuwa walewale (ufipa) tatizo la vinyimbo vya siasa havichukui muda mrefu kwani ney kiko wapi? Police wamjue kigogo kwa sababu gani? Mgosi kaisha.
Tweet media one
346
39
1K
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Mwanasiasa pekee aliye weza mwambia kambale usinitishe enzi ya uhai wake.
Tweet media one
58
29
771
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kama na huyu ni mwanasheria wa feisal nna Imani yanga ndio wako sahihi!
Tweet media one
31
9
764
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Jamaa mashabiki wa yanga wapo mbele yangu wamenipita hapa Africana kilicho nishangaza tokea mabwepande hadi Taifa tu wamekodi Bm basi la kwenda mkoani kama sio uhalibifu ni nini? Hata kama hela sio zangu sijapenda.
Tweet media one
69
38
664
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Daaaah ngoja kwanza hv Yani kwamba any way Deo filikunjombe apumzike kwa amani tu.
Tweet media one
Tweet media two
59
31
667
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Makamba hali ambayo alikuwa anapitia kwenye utawala wa jpm ngumu. Kama Jk tu aliambiwa anawashwa vp makamba na kinana? Achana na kina nape vile walitembezwa magogoni si dharau zile? Halafu mnataka aseme vitu vya kumfurahisha hayati kweli? Unasemwa kadri ulivyoishi na watu.
Tweet media one
Tweet media two
143
23
539
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Ningeshangaa Sana back bencha ikushinde Vita ndogo namna hii. Wapili toka kushoto anaitwa lubasha hapendagi kutumia picha yake kwa vile kichwa chake kimefanana na pumbu za mbuzi @goligani nimeogopa Sana namna unavyopigana Vita nikikukosea tumalize tufauti zetu bila vita sikuwezi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
51
23
495
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
6 months
Jamaa kaona usiwe tabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
126
83
429
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Huyu angetulia tu ajiuguze apumzike lkn namna anavyojichosha ugonjwa unazidi na atakufa mapema coz anavo tamani Tanzania iaribikiwe kamwe Haito tokea kwa namna Mh Rais anavyoongoza nchi kitaalam.
Tweet media one
291
25
389
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
@bajabiri Hakuna mwenye chuki muambieni mziki na siasa havikai pamoja ukivichanganya Kuna siku vitakuchangana itaona unaonewa
Tweet media one
9
26
347
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Mh kikwete alisema hategemei kura za wafanyakazi lkn aliwajali kwa kuongeza mshahara kila mwaka. Hayati alisema kama mshahara hautoshi waache kazi akuongeza. Bahati mbaya ajenda ya mishahara hubebwa na wahuni kuliko wafanya kazi wenyewe. Bora kupata kidogo kuliko kukosa kabisa.
Tweet media one
43
22
340
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Wabunge Hawa hawa walio pelekwa bungeni kibabe babe na marehemu kwa kusaidiwa na mh rais @SuluhuSamia na waziri mkuu ambaye jimboni kwake alipita bila kupingwa ndo unaitaji huruma yao? Katiba mpya itatuondolea kupita bila kupingwa😁.
Tweet media one
@BukuBado
Bado Buku
3 years
@davitheempire @Ngaso6 Kwann mbunge lisituonee huruma ss wanainchi hawaoni kama wanatuonea wamaskinj
2
0
6
4
37
332
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Yajueni mambo kabla hamjaongea.kitendo cha kupewa ajira Automatic dogo anakuwa kuruta na kuruta yoyote wa jeshi lolote la wizara ya mambo ya ndani tayari anakuwa kwenye ajira Sasa mnataka kuruta aongee kwani ye ni msemaji wa jeshi? Mwisho wa mwezi huu ataanza kupokea laki tatu.
Tweet media one
30
12
320
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Mihemko achaneni nayo si ilikuwa Askari vp alifukuzwa kwa kosa gani? Police walijua kumbe wankamata mwanajeshi? Sawa je wakati anakamatwa alitii sheria bila shuruti? Tusiongee kisa mtu kaongea mahakamani kuweni watu wa kuwaza sana
Tweet media one
132
8
299
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Sema tatizo lenu huwa mnajisahaulisha lkn huwa mnashangiliaga wenzenu wakipata shida na kuamini wao wanastahili ila ikitokea kwenu mnaona mnaonewa. Niwakumbushe tu Jpm alimwitaji mno kigogo mnavotuambia mnajua alipo tunawadharau kwa sababu nyie waongo. Ni tulipane tu ubaya
Tweet media one
Tweet media two
30
20
296
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Ibadani kuna masharti?Tumewahi kujiuliza kwanini inafikia wakati tunamchezea mungu?Atawajibu nnachompendea huwa anapiga kadri ya Kauli zao. Nanukuu 'Eti nikiachia madaraka sioni wakuendeleza haya nnayo fanya.' akitokea ghafla anakuta mbowe gaidi anajua ye ndo kumbe hajui yani😁
Tweet media one
@kigogo2014
Kigogo Media
3 years
Hili siyo kanisa ni uchafu!!. Yaani kanisa wanachagia watu wavae nini? Haya ndiyo makanisa ya kuja kutafutilia mbali
188
95
793
4
34
253
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kwa mujibu wa riport ya CAG madudu mengi yako wizara ya huyu jamaa!
Tweet media one
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
Ukaguzi wa CAG umebaini Mashine za POS zinazotumika katika Vituo vya kukusanya Mapato vya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) hazikuwa zimeunganishwa kwenye Mtambo Mkuu wa kuhifadhi Data HII INAMAANISHA: Mashine ikiharibika, Taarifa za Mapato hupotea na haziwezi
Tweet media one
104
67
847
50
18
253
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Wanasema sababu nyingi za wanawake kuwa wagumba ni matokeo ya kula mno maisha kwenye ujana wao na kutunza muonekano wa kuwa pisi kali kwa kuogopa kuzaa. Shangazi yenu aliwahi kuolewa? Hv Jay z na Beyonce wanaweza kutusaidia nini wa Tz mf tukiwa tunawasemelea matatizo yet?
Tweet media one
Tweet media two
75
19
229
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Baada ya kambale kudondoka nà kupewa uwaziri si akaanza kuutamani uwaziri mkuu na kuamini ile nafasi haimfai mtu mwingine isipokuwa yeye! Kama hv waziri wa nishati tu kahonga V8 2030 akiwa Rais si anaweza honga mlima Kilimanjaro huyu! @Mapungo2020 Mali za Tz hazitakuwa salama.
Tweet media one
42
8
232
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kwamba mkigoma mnaiumiza serikali? Ulisikia wapi? Nani kasema serikari inaumia? Mna uhakika wafanya biashara wote mna hela ya kujikimu kipindi chote cha mgomo bila kutetereka? Pango ya frem inasimamishwa hadi mgomo uishe? Mkiwasikiliza wanasiasa wa ufipa mnafeli.
Tweet media one
71
8
228
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Huyu mzungu Tz anatokea wapi? Mnawachukuaje watu wasio watanzania kudai vitu ambavyo watanzania wenyewe hawataki?
Tweet media one
142
11
224
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
4 years
Hainiingii akilini yani uonewe halafu ukubali kulipa ml100 ? Hv nadhani wote tunaijua m 100 huyu atakuwa mhujumu uchumi kweli na mkwepa kodi
Tweet media one
59
10
204
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
4 years
Huyu wetu akabidhiwe lini?
@bbcswahili
BBC News Swahili
4 years
Baraza la mpito limekubali kumkabidhi rais wa zamani Omar al Bashir kwa mahakama ya kimataifa ya ICC.
53
101
1K
11
10
184
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
@TZFanatic @MariaSTsehai Asee anashambulia Sana halafu hachoki
1
5
183
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Mwamba huyu hapa!
Tweet media one
2
8
187
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kama anaweza badili hadi dini kisa tu Urais. Hafai huyo
Tweet media one
18
8
186
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Ndo amewaambia ye ni mwana harakati na nyie mmekubali kwamba ndo mwanaharakati wenu sio? Hamna akili.
Tweet media one
72
5
175
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Kwani Kuna kilichobadilika? Mambo si ni yaleyale tu tukitaka katiba tunaambiwa tuna chokochoko ubabe haujaisha msitutoe kwenye ishu yetu ya msingi tugeeni katiba mpya
Tweet media one
3
14
169
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Wabunge bila kulazimishwa kwa ridhaa yao wenyewe wametoa wazo kwa serikali kuongeza Kodi kwenye pombe. Tuwekane sawa ikitokea lawama baadae tulibebeshe bunge lote Kuna wenye uwezo mdogo kufikiri watalazimisha kumlaumu waziri wa fedha kitu ambacho sio sawa na tutawakumbusha.
Tweet media one
32
18
166
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Huwezi kopesheka Kama huna sifa Kuna namna Mh mwigulu anajitahidi Sana kumsaidia Mh Rais ili kuwaletea watanzania maendeleo. Na Kama Kuna nchi mnaijua inafanya maendeleo bila kukopa naombeni mnitajie.
Tweet media one
Tweet media two
51
12
164
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Aloo kipara akiwa Rais hiyo 2030 tumekwisha
@Mapungo2020
Mapung'o
1 year
Sasa mwenetu kipara ukiwa Rais si tutafute pa kwenda maana kama utelezi tu umehonga VXR V-8 halafu hizo nyege wake zetu tutawaficha wapi?🚶🚶👀
Tweet media one
Tweet media two
133
66
2K
15
5
158
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Mwambieni anamchanganya mwenyezi Mungu kwani yale matusi anatukana as if hana wazazi licha ya hivo kawahi kumpiga baba yake mitama keshaungama? Kama bado haya maombi yake anapoteza muda mwana kulitafuta kwaajili ya sifa za mtandaoni acha alipate hakuna namna ingine😁
Tweet media one
34
8
159
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Kwani kamtukanaje? Leteni tafsiri ya tusi msiniambie wembe kunyoa ni tusi ili Hali nyie matamko yenu ni hayo wembe kututilia mimba wake zetu na hata Rais mh @SuluhuSamia kutamka kwenye kampeni wanaenda ktk kufanya utu ila wao ndo washindi. Kumbe nyie mnavotamka huwa mnatutukana?
Tweet media one
@Malyekete
Geronimo
3 years
@IAMartin_ Mdude aliinewa na kunyanyaswa sana na Mwendazake na watu wake Ila wote tunajuwa Rais SSH ndiyo amewezesha Mahakama ikatenda haki haraka. Ila kwa sasa mpumzisheni au mpelekeni kwa tiba ya past trauma. Kumtumia kwenye majukwaa kumtukana Rais itawaharibia sana
21
0
51
6
18
157
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
@kigogo2014 Utawala wa dikteta umetuimarisha umetutoa uoga na umetufundisha kuhusu tension wanazoweza kutengeneza wao hata zikivuja video za zuchu si inakuwa katombwa yeye? Shida ni #KatibaMpya
Tweet media one
7
16
152
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Dk Bashiru ameongea maneno ambayo hakustahili kuyatamka yeye mwenyewe angalau basi angemtuma mtu ili atupe kazi ya kugundua kwamba kayakumbuka mno Yale madaraka ya kulevya alipewaga na kambale.
Tweet media one
44
12
155
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Chama kinachotaka kutukomboa kumbe kinatutegemea tukikomboe kwanza chenyewe! Tukitekwa wote nani anamuokoa mwenzake au ndo inakuwa imelala hiyo. Vijana wengi wanaumia magerezani na hawana msaada utaamua mwenyewe wewe na familia yako tumia akili.
Tweet media one
37
10
154
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Ukiachana na cheti kuwa feki mtu kafanya kazi miaka 20 labda Kawa mzoefu na kazi anafanya vzr bado miezi 6 astaafu unamuondoa bila kumlipa chochote watu wamekufa kuwa vichaa familia kusambaratika. Jpm alifanya swala la vyeti feki bila kuangalia pande zote. Mama yuko sahihi.
Tweet media one
40
20
150
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Kwanini wanachama wa ukombozi mnashindwa kugundua vitu vidogo vidogo namna hii? Hiki ni kikundi cha wahuni mfano huu ni mchango wa kazi gani labda mnaibiwa asee.
Tweet media one
134
9
146
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
4 years
@kigogo2014 Hv kweli kwa hadhi umri na muda alokitumikia chama mzee kinana mnamtangazia kumuita kwenye kamati ya maadili kwa tafsiri ya kumuonya kweli ? Chama kinachoongozwa na mtu alopoteza nguvu na muda kumuweka madarakani? Kina polepole leo wamuonye mzee kinana? Dharau hizo
5
7
150
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
5 years
Mzee acha basi unafiki elimu unaua wewe toka uingie na ahadi yako ya elimu bure umefeli field yangu ilikuwa ni kuhusu changamoto katika elimu kwa shile za msingi na sekondari wakuu wa shule kama 4 hv mkoa wa iringa wanadai unapeleka elfu 70 tu sasa hapo ndo kunakufaulu?
8
10
142
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Ukiachana na maswala ya mapenzi vitu gani vingine vinaweza kukufanya ubadili dini? Kwahiyo mwanetu Mh @JMakamba unakuja KKT, Roman Catholic au TAG kabisa? Halafu jina nalo unabadili au kwa vile mwezi wa kwanza linafit kokote? Mh kisa Urais tu au umeamua kumfuata yesu wa kweli?
Tweet media one
19
10
151
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Ila tuweke masikhara pembeni sahv Kama taifa bi mkubwa ana tuinua na kutuheshimisha sana sio hayati mzee anavaa vaa tu magwanda ya jeshi na kuwatuma kina bashite watusumbue na kututisha kutwa hatuna raha. Mwenyezi mungu amjalie maisha marefu mama azidi kutuinua na kutuheshimisha.
Tweet media one
18
9
147
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Ndio kusoma sijui lkn pic zinaongea sana mtaamua wenyewe kuendelea kuwachangia wakale urojo baada ya kufanya siasa.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
38
10
139
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Najisikia fahari kuwepo upande sahihi kwa wakati sahihi ni kweli katiba inatakiwa lkn watu hutupo tyr shida itakuwepo tu tuvute mda Pr Assad ni rolimodo wa vijana wengi
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
3 years
"Bado siamini kama katiba mpya inaweza kutoa suluhisho la mambo yanayolalamikiwa hadi wawepo watu wenye msimamo na taasisi na viongozi wawe na msimamo. Katiba ya wananchi ndiyo Katiba isiwe ya wachache," amesema Profesa Mussa Assad #MwananchiUpdates
Tweet media one
49
88
473
8
9
139
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Alibanwa Sana atoe cheti huyu jamaa kwa zile bisibisi angekuwa nacho angetoa. Hawakutoa cheti. @ccm_tanzania mnawezaje kumpa nafasi ya uenezi mtu ambaye jamii inajua elimu yake ni magumashi? Kuhusu vyeti feki kambale alikuwa mbele ya muda shida ilikuwa inaumiza hadi wanaye.
Tweet media one
27
4
137
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Shemasi @kigogo2014 kasome kwanza maandiko uje unitajie kwanini nikiweka hela na kusema man City anakufa ni dhambi. samahani pic haihusiani na maongezi yetu
Tweet media one
2
6
134
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Kama uliwahi kula madawa ya kulevya au kuwa shoga haijarishi hata kama ulisababishiwa kwa nguvu kutatuliwa marinda automatic unabaki kuwa shoga. Teja na shoga hawajawahi kuwa na akili kufikia Hadi kushirikiana nao kitu. Mnaweza hisi ni kejeli au matusi lkn ndo ukweli japo mgumu.
Tweet media one
47
11
136
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Wanaweza wasinielewe watoto wadogo au watu wenye uwezo mdogo kufikiri lkn @kigogo2014 tumpe maua yake akiwa hai. Kuna namna tunatakiwa kukumbuka tuliko toka sio kufikiri tunakokwenda pekee. Kwangu Mimi @kigogo2014 ni shujaa au tulipewa zawadi kipindi tukiwa na nyakati ngumu.
Tweet media one
41
12
135
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Umuhimu wa kuwa na watoto na mume husaidia mtu kujitambua na kujiheshimu hasa ukiwa na umri mkubwa hili vazi halistahili kuvaliwa na mtu wa umri wake Fatma sio binti ndo maana mnamuita shangazi. Kwanini Sasa hataki kujiheshimu?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
69
17
130
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Yanga wanamng'ang'ania @IamFeisalSalum Kama ambavyo @ChademaTz walikuwa wanamng'ang'ania @kigogo2014 kipindi anawakataa. Nipo naangalia game ya liver yule jamaa anaesemwa sana leo kachomoa goli.
Tweet media one
21
5
129
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Aliwahi kutweet kutetea ushoga lkn aliwahi kupata kashfa ya usagaji na mwenzie Maria lkn bila aibu anapinga hatua zinazo chukuliwa na serikali kupiga vita ushoga. Watoto anaosema wake alowasomea kawatoa wapi? Na tunajua hana hata wa kusingiziwa? Anazeeka vbya huyu bibi apuuzwe.
Tweet media one
33
17
132
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Mwenyekiti wa chama ni dikteta unategemea wenyeviti wa chama kanda wawe wachungaji? Haiwezekani. Wabunge wao wamo miaka kumi bungeni na majimbo yao hayana hata ofisi @ChademaTz ni wezi mkibisha onyesheni ofisi iringa mjini.
Tweet media one
Tweet media two
36
13
122
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
4 years
Damu za marehemu alowaua zimeanza kumuandama mambo sasa
@millardayo
millardayo
4 years
“Mwita na Mkewe tunawashikilia kwakuwa wakiwa kwenye daladala walisema Serikali haina fedha kwa ajili ya kulisha wanafunzi ndio maana mashule na vyuo vimefungwa kwa kisingizio cha corona na wakadai Serikali inafanya hivyo ili kuomba msada kwa Mataifa mbalimbali”- MAMBOSASA
Tweet media one
151
57
1K
4
2
119
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Shangazi @MariaSTsehai shikamoo samahani kama ntakukwaza hii imekaeje hii maana nauona ukweli ktk hii lkn mambo yanavyoendelea sielewi ukizingatia katika kutoa mawazo yenye mashiko mi nakuaminigi sana shangazi. Kama hutojali naomba kusikia lolote toka kwako. Natanguliza shkran🙏
Tweet media one
17
8
117
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Yani kuna mtu anajiita mangi mkuu nayo ni ajenda kweli? Tufanye mambo ya msingi na yenye tija kwa taifa.
Tweet media one
8
9
114
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Mh waziri @ummymwalimu hivi vituo hewa mlivyokuwa mnalipa hela alikuwa anapokea nani? Umekuwa kwenye afya mda mrefu. Mkapima mapapai na kambale mkaficha idadi ya wagonjwa wa covid19 mmezika kihuni watu wengi tu ule wakati. Sasa hizi mlizolipa vituo hewa ni Kodi zetu. Umo na wewe.
Tweet media one
23
15
117
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
@kigogo2014 Unaona Sasa wamesema tusitumie simu lkn hapa wameweka na no ya simu kuchangia. Hata hivyo Kama tunatakiwa kuwachangia mawakili tukubaliane kuwa mawakili mnatembelea gap kwenye kesi si mlisema mnajitolea michango ya nini Sasa? Njoni vita ni kawaida tu😁
Tweet media one
Tweet media two
45
5
117
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kwanini tunao amini DP WORLD wapewe bandari hatutakiwi na tunatakiwa tumsikilize Prof tu mmetumia kigezo gani? Kwamba kwa vile profesa? au Nini hasa kitu gani chenye logic Kama sisi tutapata huduma Bora kwenye bandari yetu? Waliokuwepo wametusaidia nini? Mnasema mno kuhusu hasara
Tweet media one
86
13
118
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Ufipa Viongozi wenu waliwahi kutuambia lowasa ni mchafu wakamaliza maneno baadae akawa mgombea wenu tunajua @AnnaTibaijuka ni mwizi nguli wa taifa hili leo usafi ana utoa wapi? kisa anawapotosha kuhusu DP? Hela za mboga? Sisi sio Kama nyie tunawajua wahuni na kuwakataa pia.
Tweet media one
68
14
114
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Mbowe miyayusho Sana Sasa unakuwaje Dj kilabuni? Sema tu kwa sababu vijana wako umewatoa akili kiasi kwamba wanashindwa kukutambua Kama wewe ni mhuni Kama wahuni wengine tu @kigogo2014 jamaa yako alikuwa anapiga disco kilabuni moshi huko.
Tweet media one
57
10
109
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Nilisikia hotuba ya Mh Rais @SuluhuSamia kwamba tuna utaratibu wa kuto kuwajibishana ndio maana haya hujirudia. Nimekuwa mtulivu kwa sababu nna Imani na Mh Rais atachukua hatua kwa sababu ni yeye pekee ndiye mwenye nguvu uwezo na maamuzi juu ya mambo haya. Ikiwa tofauti....
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
18
113
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Ngoja kwanza shughuli specific ya bambucha ni ipi sasa mbona hasomeki @kigogo2014 we unajua hasa shughuli yake ya msingi?
Tweet media one
10
8
109
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Ukiona mtu anakupinga na wakati unakijua vizuri na una uhakika na unachoongea mkatae Kama ambavyo msukuma amefanya.
7
17
111
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Malalamiko ya wafanya biashara ambapo hakuna mwarabu Wala muhindi? Shtuka wewe ni wahuni tu hao.
Tweet media one
13
10
109
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Kazi ya msingi kabisa ya Askari magereza ni kumchunga mfungwa. Mafunzo mengine ni katika kuwa tu mkakamavu Jeshi la magereza linaitaji mkuu mwenye mafunzo ya kumchunga mfungwa. Unamchukua Daktari ili akawe hakimu? Hili ni moja kati ya maamuzi ya hovyo kufanywa na hayati Jpm.
Tweet media one
18
6
110
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Mnyika: Heche hakikisha ndugu yako lema akiniita mjinga tena aanze na mwenyekiti kwanza maana yule jamaa anajifanya ana akili na wakati hana lolote. Heche: achana naye mkimbizi yule hana lolote la kutuambia na hana uwezo wa kuja ananuka madeni mwili mzima. Mnyika: imeisha hiyo.
Tweet media one
9
10
105
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Mwanetu @HusseinBashe sio mwizi Wala muuaji Kama kipara apewe tu Kama alivyoomba
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
BASHE AOMBA BUNGE KUIDHINISHA ZAIDI YA TSH. BILIONI 970 BAJETI YA KILIMO Waziri wa Kilimo, #HusseinBashe ameliomba Bunge kuidhinisha Tsh. 970,785,619,000 kwa ajili ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 Amesema fedha hizo ni sawa na ongezeko la 29% zaidi ya
Tweet media one
27
12
314
5
8
107
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Wanetu wa ufipa namna mnavyo isimulia katiba mpya tena mnavyosemaga tuwaige Kenya huwa nawaangalia sa huko mahakamani kulikoni tena Kama katiba mpya imeruhusu maandamano?
Tweet media one
17
8
105
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Sasa mbona watu wa ufipa mnatuambiaga police wa kwenye katiba mpya ndo wako vzr na wakati jamaa anayetoka kwenye katiba mpya anasema wakwetu ndo wako Safi? Mnatuchanganya Sasa.
Tweet media one
19
8
102
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
@Mobimba_Kunew @kigogo2014 Si kwa vile huna akili na hufuatilii aliyesena tususe kwani ni Mimi au wao?
Tweet media one
11
4
101
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Msikilize vizuri kaka yake yuko tukuyu pale anaitwa mzee mwansasu huwezi kaa naye wiki nzima kwenye biashara yake na wasitokee watu watano kwenda juu kuitaji ushauri wana hekima hii familia. HAKUNA WAKUBWA WAWILI WANA KAAGA SEHEMU MOJA MKUBWA ANAKUWAGA MMOJA TU.
Tweet media one
5
4
101
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
@Nkololotz @MariaSTsehai Hata wao wanavosema hawataki katiba kwani wao wenyewe wanakuja? Si wanatuma police kuhamasi so ha cyo lazima ashiriki.
8
9
97
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kambale aliwazimisha kuanzia wanasiasa hadi wanaharakati wote nikikumbuka mwanetu Idris vitu alikuwa anakutana navyo wakati wanaharakati na wanasiasa wamefyata mkia nashangaa hata nguvu ya kumsema Idris cjui wanaitoa wapi?
Tweet media one
4
2
97
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Michezo ya kuchoma ofisi hamjaacha tu? Kwa kipi kwa mfano hadi wawachomee ofisi? Nyie cyo threat tena. Endeleen kusaka huruma ambayo hamtoipata. Lema alikuwa anachoma kule kaskazin naona kazi kapokea msigwa na heche. @kigogo2014 @pompeowabuza waoneni ndugu zenu mbinu zilezile tu
Tweet media one
18
8
97
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Zitto huwa anawazaga mbele kuliko nyie kwanini?
@Twaha_Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
2 years
"Nimezungumza na Mh. Rais Samia Suluhu kuhusiana na kesi ya Michongo ya Mh. Freeman Mbowe" Mh. Tundu Lissu
23
73
462
16
20
92
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Master
Tweet media one
6
4
83
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kwamba @IssaShivji ni mzalando? Huo ni uwongo DPWORLD inaenda kuzuia uhuni wa watu wazito wenye pesa na ambao walikuwa wananufaika na bandari kuibuka kwa mtu Kama shvji ni kawaida mno yuko nyuma ya mapapa nguli. Huyu Dr slaa ni mtaalamu wa kujiegesha akiona fupa tumpuuze tu.
Tweet media one
Tweet media two
68
12
90
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Sio haji tu hata vijana mliopo kwenye ofisi za serikali au makampuni binafsi ukosee au usikosee achana na habari ya msamaha. Acha wakuhukumu tu kwa kadri watakavyoona inafaa. Msamaha unao uomba ni ushindi wa kishindo kwa wale wanao kuhukumu. Niulize kama hujaelewa.
Tweet media one
14
10
87
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Yani mnajadili picha kwenye ofisi na wakati chama chenu hakina hata ofisi? Mna tofauti gani na wale jamaa wanasemaga gari yangu mbovu na wakati wao hawana hata toroli? Mi nawaangaliaga halafu nawaachaga tu hivohivo.
Tweet media one
64
6
88
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Hv jina la utani la West Ham ndio wagonga nyundo au wapiga nyundo mwenye kumbukumbu nzuri atukumbushe jina letu la utani la timu tunayo ishangilia
Tweet media one
19
5
86
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Mwanaharakati wenu anajiuza Nairobi huko njaa kali ndo maana anachanganyikiwa hadi kufikiri Jay z na Beyonce wanaweza kushughulika na mambo ya kijinga. Mtu anauza mwili na anawajaza space mna jaa hamna akili. Tuilinde nchi yetu kwa wivu mkubwa.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
51
10
88
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Hawa wahuni tu Kama wahuni wengine wametumwa na watu ambao kambale aliwakataa na mambo yao yote. Si ni kina mzee kinana hao.
@eastafricatv
EastAfricaTV
1 year
#HABARI Mahakama Kuu kanda ya Mbeya imesogeza mbele hadi tarehe 20 Julai 2023 kesi namba 5/2023 ya Wadau wa katiba ya kuhoji uhalali wa mkataba uliosainiwa na Serikali ya Tanzania na kupitishwa na Bunge
Tweet media one
21
30
765
20
6
89
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Kwamba ndege kubwa Ikija Tz kwani ndo tatizo?
Tweet media one
20
5
87
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
5 years
Maneno ya @MagufuliJP nakumbuka akisema kwa utawala wake huu mtoto wa kike ukipata Mimba ndo basi yeye hasomeshi wazazi akatoa na ule mlio wake wa kisukuma ule anasema hiiiiiiiiiiiiiii nikasikia makofi kwa wingi yanapigwa
9
7
80
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Ukiwa muadilifu na mchapa kazi camera zinakufuata ulipo sifa zinamiminika bila kujieleza kama @HusseinBashe . Ukiwa mwizi ka @JMakamba utatumia nguvu kubwa kujieleza vitu vya kijinga mf mabwawa kujaa maji na huku mvua imenyesha na bado lawama za kukatika umeme ziko vilevile.
Tweet media one
11
13
89
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Space ya simba imefurika mno imejaa inaendelea kujaa kuliko space nyingine yoyote ambayo iliwahi kufanyika ndani ya miezi mitatu nyuma kwa kweli nimefarijika sana kwa namna viongozi wanavyo iendesha kisomi.
Tweet media one
7
11
85
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Nyie mnaweka umakini kumsikiliza space kule kama mtu kumbe mwenzenu akimaliza kuwalisha matango pori anaenda zake kutoana nyege shtukeni nyie mnaongeaga na kahaba mjue! @kigogo2014 Maria ni kahaba wa kimataifa alikuwa reta raha hotel Kenya naona sasa anashuka zake kwa kaguta.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
7
85
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Kama haiwezekani wahusika kuwajibishwa huo ukaguzi unafanyika wa Nini? Na Kama CAG anatimiza wajibu wake kiasi kwamba Watanzania tunajua na hakuna hatua zinachukuliwa mnao tuongoza mnatuchukuliaje? Mtatudharau hadi lini? Baada ya hayo yote mwisho ukoje? Tunafanyeje kuondoa hii?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
16
85
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
10 months
Mh @ridhiwankikwete hv baba yako alihongaga nini vile kwa wachina ili usinyongwe baada ya wewe kukutwa na madawa ya kulevya?
Tweet media one
20
7
86
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Ukute Faisal hana shida na tatizo liko kwenye uongozi wa yanga
Tweet media one
12
6
84
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Msikilizeni vzr Mh Rais. Sijui kuzalisha cjui kufanyeje kazi kubwa ya Askari magereza uwe na vyeo uwe huna vyeo ni kumchunga mfungwa asitoroke na kuzingatia haki zake.zile mbanga alituambia hayati kambale ni mbwembwe tu eti walime hata kwa meno thubutu.
Tweet media one
7
4
82
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Niwatambulishe kwenu shemeji yenu mwingine toka kwa kipara anaitwa Agaton jael kanyarukiga. Kazalishwa na kuachwa na kipara tangia mwaka 2015 tuna waziri maraya kuliko umaraya wenyewe. Vitu ambavyo Marais watarajiwa 2030 wanapendaga ni umaraya sio kwa ubaya huo ndio ukweli.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
4
84
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Za ndaaani kabisa ufipa wamemmaind Chiba kwanini amesema wanae wana uraia wa marekani kwamba hakutakiwa kutangaza kwa sababu mwenyekiti naye alitangaza waneye kuwa na uraia wa marekani. Kiufupi kimeumana na wote kila mmoja kwa wakati wake wanamkubali mno Mh Rais Samia.
Tweet media one
37
8
83
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
4 years
@Leyenda_vivien Anakuwa na uwezo wa kulipa 100 kama kishika uchumba halafu halfu 150 ndani ya miezi 6 anakuwa na uwezo wa kulipa. Halafu moja ya sababu ya mama yake kufariki mapema ni kukosa huduma ambayo Mwanaye tu angeweza .unawezaje kulipa hela nyingi namna hii na ushindwe kumuhudumia mama
33
2
78
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
4 years
Hv kampuni za pombe zimeshindwa kabisa kumtumia jamaa kujitangaza kweli ?
Tweet media one
9
6
76
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Mwenye anajua hili daraja lipo nchi gani na limejengwa kwenye mto gani Kuna li ten hapa chap!
Tweet media one
13
13
80
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Ukiona nimekuchunia unavyonitukana nakua nimeangalia profile yako hasa Kama ulikuja 2020 nikiongea na wewe kwanza Mimi mwenyewe najua Kama nakuwa nakufanyia tu utu ndo maana siachi kuwaambia ukweli na msipokuwa kiakili mtawapa mno hasara familia zenu
Tweet media one
20
5
74
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
2 years
Form ilipelekwa gerezani na @jjmnyika halafu nyie mnasema sio mbunge kivipi? @ChademaTz nyie wahuni.
Tweet media one
70
11
77
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
3 years
Hv kwanini kile chama cha ukombozi hakina watu wenye uwezo wa kupambanua mambo kwa uweledi na uwezo mkubwa Kama @KifumuJ
13
4
76
@ngaso6_ngaso
Ngaso6
1 year
Tweet media one
@kigogo2014
Kigogo Media
1 year
Wanasiasa vijana wa Tanzania ni watu wajinga sana! Yaani rushwa mpokee nyie, ma V8 mhonge nyie, mimba muwajaze nyie mahawara zenu halafu mkianza kukaangwa na wafia nchi mnasema ni kigogo katumwa. Nikipokuwa namkaanga kambale alinituma nani au nani alikuwa ananilipa? Mimi
2
18
120
2
2
77