Wanaweza wasinielewe watoto wadogo au watu wenye uwezo mdogo kufikiri lkn
@kigogo2014
tumpe maua yake akiwa hai. Kuna namna tunatakiwa kukumbuka tuliko toka sio kufikiri tunakokwenda pekee. Kwangu Mimi
@kigogo2014
ni shujaa au tulipewa zawadi kipindi tukiwa na nyakati ngumu.