Some men wako petty sana,jamaa walikosana na bibi na bibi akabeba watoto mzee akaenda akachukua watoto na akarudi nao kwake,mama watoto akeenda kwa chief akastaki mzee akatumaniwa arudishe watoto ama akujiwe,after 1 day akawarudisha na akajirusha kwa dam akirudi nyumbani