@IAMartin_
Nyie watu mna influence vijana ambao hawaza uwezo kifedha kisheria kuingia matatani kwa kugombana na mamlaka na ham wasaidii chochote wanapota shida ,tangia sukununu ya wenzie wakamatwe Nan kaenda kuwasaidia ? Nyie kwakujua ikitokoea mnasaidiana nyie kwa nyie ujinga Kama huu .