MASHUJAA FC Profile Banner
MASHUJAA FC Profile
MASHUJAA FC

@MASHUJAA_FC

Followers
30,431
Following
4,827
Media
490
Statuses
6,153

Official Twitter Account of Mashujaa Fc💪 #MapigoNaMwendo

Kigoma, Tanzania
Joined July 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
NI MUDA WA KUUPA MOYO POLE 😍🦍 KWANI KUNA TEAM INATESEKA ETI SISI KUPATA RAHA KAMA IZI😂
Tweet media one
70
85
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Huu ndiyo ukurasa wetu maalumu wa Twitter, Tunaomba mtu-follow ❤️
Tweet media one
150
167
5K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
KOMBE WATAKALO BEBA MSIMU HUU NI LAKUFA KIUME KILA MASHINDANO😂😂
Tweet media one
199
270
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
ASANTE GEITA🙏🦍 Watanganyika tunashukuru kwa sapoti yenu kipindi chote ambacho tulikuwa migodini, hakika TUMEFURAHI 😍⚽🦍
Tweet media one
117
194
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Korosho tamu sana jamaniiii na watanganyika tumefurahi
Tweet media one
80
158
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
SHUGHULI IMEKWISHA 😍🦍💪 Mnasemaje Sasa 😂
Tweet media one
130
151
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Chakushukuru atuna jezi nyekundu🤭maana yale majini🙌
Tweet media one
140
175
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Watanganyika tunaungana na dunia kuadhimisha Kheri ya siku ya wanawake duniani 😍🦍 Msisahau kutu follow team bora na yenye mashabiki wengi kwa sasa👋 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
77
182
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tulizihataji Alama tatu lakini tumepata moja ⚽🦍
Tweet media one
71
113
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
14 days
Saa 10 Jioni tutaagana na Mashujaa wetu 🦍
Tweet media one
44
74
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mhh🤔 sasa afadhali wapi kule kwa majini au huku kwa bwana kisasi mwakarobo
Tweet media one
75
114
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
😂😂😂muoneeni huruma jamani sasa mwakani atacheza kombe gani na shirikisho wamefuta🤣🤣🤣
Tweet media one
165
96
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Ubwabwa ujaiva umegoma kupita mdomoni🙆‍♂️😭😭
Tweet media one
69
100
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Tumevuna alama moja ⚽🦍 Wametuwekea sumu kwenye miwa
Tweet media one
144
123
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Kheri ya siku ya wapendanao kwa Watanganyika wote ❤️🦍 Ila nyinyi wafuga majini lolote liwakute😂
Tweet media one
148
163
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
22 days
Wallpaper threads..😂
Tweet media one
89
92
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Mashujaa Fc tunawatakia Watanganyika wote Kheri ya Kwaresma🙏
Tweet media one
54
107
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
MWAMBA ANARUDI NYUMBANI 😍🦍 Baada ya panda shuka na mapambano makali ya msimu wa #NBCPremierLeague 2023/2024, Mwamba anarudi nyumbani kwenye viunga vya @gombe .nationalpark na @mahalemountains_nationalpark kupumzika. Tukutane msimu ujao wa #NBCPremierLea Nb: BADO TUPO SANA 🦍
Tweet media one
108
149
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Mpenzi Mtazamaji Bado Tunashambukiwa Sana Ila Chamuhimu Atuna Jezi Nyekundu
Tweet media one
99
54
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
14 days
Baada Ya Kulipia Bluetick Na Kuwa Ni Miongoni Mwa Timu Kubwa Tatu Japo Ile Moja Inacheza Kombe La Looser Ni Wakati Wa Mashujaa Kula Na Kunywa Vitu Vizuri Vinakuja😂
Tweet media one
82
99
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
10 months
Msijidai mko bize na matokeo ya Simba na Yanga, mmeona Msimamo wa ligi kuu lakini. 😂
Tweet media one
231
139
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Tunapata goal la tatu hapa tuliwaambia shujaa asaliti chama aya twendeni
Tweet media one
29
86
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
10 months
Bado hamja sema, yaani mpaka mseme..!! 😂
Tweet media one
91
77
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
11 months
Amuogopi nyie💪💪 na pale juu atushukii mtaisoma namba
Tweet media one
124
79
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
🚨 VICTORY 🦍💪 KISASI KIMELIPWA, WATANGANYIKA TUMEFURAHI 😍 WATANGANYIKA MNATAKA NANI MWINGINE TUMLIPIZIE KISASI😂
Tweet media one
63
115
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
🚨 CHUMA KIMEFIKA😋🦍 Timu aina hata gari ya kusafiria alafu usipigwe tano👋 Nb: Usi-left group mambo mazuri yatakupita #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
54
114
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
HAWA TUNAHAMA NAO 👜🦍⚽KAMA TULIVYOSEMA NDO TUMEANZA LIGI🤭 #NextMatch Ihefu fc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️28.02.2024 🕓Saa 8 Mchana 🏟️Ccm Liti Nb: Utaratibu ni uleule, Mapigo ni yaleyale na Mwendo ni uleule "Shujaa hasaliti chama" 🦍💪 #mapigonamwendo
Tweet media one
135
152
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
HALMASHAURI ZETU ZINAFANYA KAZI KUBWA SANA KUWEKA MIJI YETU SAFI 😜🦍 Tumeanza Ligi Sasa Tunataka Kurudi Kileleni
Tweet media one
73
104
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Mchezo umemalizika ⚽🦍 Tunaramba ivyo ivyo japo wameponea tundu la sindano🥲
Tweet media one
70
90
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Huku migodini usiku huu vicheko vimetawala kwani kumetokea nini?🤔😎🦍 Kumbe kushinda rahaa ivi na amsemi😂
Tweet media one
52
86
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
DHAHABU NI MALI YA MASHUJAA 😍🦍💪 TUMEANZA LIGI SASA Geita Gold fc 1-3 Mashujaa fc ⚽Adam Adam ⚽Ally Ramadhan ⚽David Ulomi
Tweet media one
111
129
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
🚨 TULIWAAMBIA UNYONGE BASI HAWAKUELEWA😍😂🦍 Nb: LAKE TANGANYIKA KUNATISHA KIGOMA KULE MLIPOTOKA TU 😂
Tweet media one
96
176
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tunawatakia Waislamu wote Duniani mfungo mwema wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan 🌙 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
27
93
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Tunawatakia Eid Mubarak Watanganyika wote 🌙 NATUMAINI LEO MMEFURAHI👋
Tweet media one
89
96
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tumepoteza usalama wa golikipa na kupoteza mchezo ⚽🦍 ILA TUTAKUTANA TENA #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #fahariyakigoma #lekadutigite
Tweet media one
85
101
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Bora leo mbili kuliko tano ata lakuongea ntapata😂😂ila tumekoma kusema lile la UBUNTU sio goli
Tweet media one
66
85
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Najaribu kuwaeleza kuwa mimi sikuwa na jezi nyekundu wala sina ubaya nao ndo mana 👋 ukaniepuka poleni ndugu zetu wa 👋bora kipindi cha pili msingerudi😂
Tweet media one
63
106
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
26 days
HappyFathersDay Kheri ya siku ya Baba Duniani kwa Baba wote wapambanaji na Mashujaa wenye kujali familia zao.
Tweet media one
21
70
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
🚨 MWAMBA ANATOA MREJESHO 😍🦍 Baada ya Mwamba kurudi nyumbani sasa ni muda wa kutoa mrejesho wa kile alichovuna kwa msimu wote wa 2023/2024. Familia baada ya kuona mrejesho imedhamilia kuongeza nguvu kwa Mwamba kuelekea msimu ujao wa #NBCPremierLeague 24/25.
Tweet media one
78
122
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Nawatakia Eid Mubarak Njema Mashabiki Wote Wa Mashujaa FC Ila Mashabiki Wengine Wa Mwakarobo Lolote Liwakute👋
Tweet media one
56
107
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Familia ya watu wa Twitter(X) inazidi kuongezeka😍🦍Ahsanteni sana🙏 🚨 Mwendo ni uleule na Mapigo ni yaleyale, hakuna ku-left Group 💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
63
89
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
HESABU ZINAKUBALI 😍🦍
Tweet media one
59
60
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Natamani mastaa wengine waige mfano mzuri wa malezi kutoka kwa msanii mwenzao shetta kwa jinsi anavyotumia nguvu na umaarufu wake katika kumtengenezea maisha mtoto wake wa kike na sio kama wengine wanavyowatumia watoto wao kama kitega uchumi, Mungu ampe afya njema shetta 🙏🙏
Tweet media one
41
87
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Kuna timu inalipiziwa kisasi huko😂au ni wezi kweli maana sio kwa magereza kuwapiga hivi🙌
Tweet media one
52
84
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
25 days
#EidMubarak kwa Watanganyika wote 🌙🙏 Msichinje Peke Enu Jamani😂
Tweet media one
43
71
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
🚨 TAKWIMU ZA MICHEZO YETU MINNE YA MZUNGUKO WA PILI #NBCPREMIERLEAGUE ⚽MICHEZO - 4 -Ushindi - 2 -Sare - 2 -Kufungwa - 0 ⚽USHINDI - Geita Gold Fc - Namungo Fc ⚽SARE - Kagera Sugar Fc - Ihefu Sc
Tweet media one
54
111
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Leo watatuambia kwanini wanaitwa singida na wanaishi mwanza😂
Tweet media one
25
40
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Sisimizi kaangusha tembo 🥲
Tweet media one
104
70
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Siku hizi atuongei sana n mwendo wa kipondo tu 💪
Tweet media one
26
48
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
19 days
Leo Nataka Kufollow Kila Account Itakayo Nifollow Kabla Atujaanza Kuwa Busy Na Ligi Kuu Shusha Handle Yako Nifollow Nikufollow Back Kisha Mfollow Kila Atakaye Repost Hii Post Mashabiki Tuongezeke💪
Tweet media one
409
177
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Sisi ndio kigoma mwisho wa reli nani mwingine anafuatia kumtia tatu💪
Tweet media one
75
56
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tukisema tunaanza ligi muwe mnaelewa
Tweet media one
41
60
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Kwani leo hakuna taulo golini jamani wakatoe😂😂😂😂
Tweet media one
41
64
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Simba wanapata goli la pili hapa mpenzi mtazamaji naona mambo yameanza kuharibika bora tusingerudi🤔
Tweet media one
60
49
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
HESABU ZINAENDA SAWA 😍🦍 WATOTO WATAMU HAWA AYA WASALIMIENI MBEYA😂
Tweet media one
51
51
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
🚨 KISASI KITALIPWA 🦍💪 #NextMatch Mashujaa fc 🆚 JKT Tanzania 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️O6.03.2024 🕓Saa 10 Jioni 🏟️Lake Tanganyika Nb: (HAWA TUNA KISASI NAO NA KISASI KITALIPWA ) Usi-left group, Shujaa hasaliti chama 🦍💪
Tweet media one
47
92
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Mchezo umemalizika ⚽🦍 Baada Muombe Tusishuke Au Kuna Sehemu Nyingine Mtapata Vionjo Vya Sokwe😔
Tweet media one
93
62
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mchezo wetu unaofuata tunawakaribisha walima Korosho kwenye himaya ya Gombe na Mahale maskani kwa Watanganyika🦍💪 #NextMatch Mashujaa fc 🆚 Namungo fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️O2.03.2024 🕓Saa 10 Jioni 🏟️Lake Tanganyika Nb: Ni wakati wa kurudisha heshima ya Lake Tanganyika,
Tweet media one
41
112
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Leo naomba nijibu maswali yenu wote mliokuwa mnataka kumuuliza mr admin😊
Tweet media one
98
72
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
VITA INAENDELEA 🦍💪 #NextMatch Simba Sc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️15.03.2024 🕓Saa mbili na robo usiku 🏟️Azam Complex Nb: Usi-left group, Shujaa hasaliti chama 🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
60
90
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
Kila la kheri @taifastars kwenye mchezo wa leo dhidi ya Zambia kwenye mchezo wa kufuzu kombe la dunia 🇹🇿🦍 Graphic by @rugegera255
Tweet media one
14
41
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
12 days
Baada ya Bluetick Kinachofuata Ni Usajili Nipo Hapa Nasoma Comments Zenu Mseme Mnamtaka Nani Tuingie Chimbo Sisi Hela Zetu Sio Mba,mba,mba😂
Tweet media one
100
69
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
🚨 KANASA 🦍💪 #NextMatch Mashujaa fc 🆚 Yanga Sc 🏆 #NBCPremierLeague 🕒 Saa 10 Jioni 🗓️ 05.05.2024 🏟️ Lake Tanganyika Usi-left group, Shujaa hasaliti chama Nb: PICHA HAINA UHUSIANO WOWOTE NA MCHEZO WA TAREHE 05.05.2024
Tweet media one
125
105
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
TUMEWAFIKIA WACHIMBA DHAHABU 🪙🦍 #NextMatch Geita Gold fc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️25.02.2024 🕓Saa 10 Jioni 🏟️Nyankumbu Stadium Nb: Utaratibu ni uleule, Shujaa hasaliti chama 🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
112
111
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
8 months
Huu ndiyo ukurasa wetu maalumu wa Twitter, Tunaomba mtu-follow ❤️ kama kweli wewe ni shabiiki wetu na unatokea kigoma follow ukurasa wetu huu💪
Tweet media one
60
76
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mashabiki zetu wa tanzania yote tunawapenda sana na tunawa hakikishia mazuri💪
Tweet media one
13
39
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
13 days
Kwani Ligi Kuu Inaanza Lini Maana Tunaugwadu😂💥
Tweet media one
11
34
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
CHURA ANAPENDA MAJI ILA SIYO YA MOTO BASI ACHA TUMCHEMSHE
Tweet media one
81
58
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Jana Ilibidi Tuwakaange Samaki Zao Na Mafuta yao Ila Bahati Ilikuwa Kwao Wametuomba Tuwasamehe😂
Tweet media one
32
49
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
WAMEBAHATISHA TU NAJUA WAMETUMWA KULIPA KISASI🤔🤔
Tweet media one
50
45
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Mtatukumbuka Nyie Shangilieni Sisi Kufungwa Wakati Tunawafanya Mnafurahi
Tweet media one
52
51
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
#100kfollowers 😍🦍 Asanteni sana Watanganyika kwa kuweka imani yenu kwa timu na kuiunga mkono siku zote katika safari hii ya 100k. Ni matumaini yetu kuendelea kuwaletea maudhui bora na kuwapa thamani katika kila post. Asanteni tena kwa upendo wenu na uaminifu wenu.
Tweet media one
24
44
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Tunawatakia Watanzania wote kheri ya miaka 60 ya Muuungano wa Tanganyika na Zanzibar 🇹🇿 Hivi Hawa Team Kibegi Wakija Huko Kwenu Wanakuja Kufanya Nini Maana Lazima Wafungwe😂
Tweet media one
19
43
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mashabiki zetu wamaana kabisa achana na wale mashabiki wa ovyo ovyo washirikina😂wanaotumwa kuchimba chimba golini🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
68
77
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
HAPPY BIRTHDAY @rugegera255 Leo ni siku muhimu sana, siku ya kuzaliwa kwa Admin wetu Watanganyika, Simon Rugegera @rugegera255 @rugegera255
Tweet media one
51
63
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Kipenseli @officialbalama alivyowafanya vibaya ndugu zetu wa Jkt Tanzania 🫡🦍💪 Kisasi akijaisha💪
Tweet media one
Tweet media two
7
29
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Samaki(Sato) ➕ Mafuta ya Alizeti 🟰 SINGIDA FG Mchezo wetu unaofuata wa #NBCPremierLeaguetutacheza dhidi ya Singida fountain gate Fc kwenye dimba la CCM Kirumba. Singida FG 🆚 Mashujaa Fc 🏆 #NBCPremierLeague 🕒 Saa 10 Jioni 🗓️21.04.2024 🏟️CCM Kirumba TUNAWALA MPAKA MIBA 🤭
Tweet media one
38
67
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Mashujaa Fc pamoja na @amaniqueensofficial Tunawatakia Wakristo wote "IJUMAA KUU" njema ✝️🙏 "MAPIGO NA MWENDO" #mapigonamwendo #shujaahasalitichama #fahariyakigoma #mashujaawalaketanganyika
Tweet media one
17
65
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Why Between In My Ushindi Nyuki Is Passing Around I Hate Youu Ntakufungaaaa😂
Tweet media one
46
60
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
10 months
Hii imeenda. 😂
Tweet media one
51
56
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Tulisema kuna mkubwa mmoja atatuachia point tatu💪 Kituo kinachofuata ni Jangwani 🏜️⚽🦍 Yanga Sc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️08.02.2024 🕑 Saa 1:00 Usiku 🏟️Azam Complex
Tweet media one
75
56
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Kama refa atachezesha ivj ivi mbona vyura tunawapika leo
Tweet media one
29
41
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
30
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Wana Mbeya THANK YOU, sasa tunarudi Kigoma. 👋
Tweet media one
22
60
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
10 months
Onyesha upendo kwaku like hii picha.❤️
Tweet media one
12
31
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Usiku mwema mashabiki zetu😂
Tweet media one
20
26
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
Hongera sana Reliants Lusajo kwakuwa mchezaji bora wa mwezi Mei wa ligi kuu ya #NBCPremierLeague
Tweet media one
11
35
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
ASALI HALISI KUTOKA TABORA NI TAMU NA BORA KWA AFYA😋🦍 Full Time Mashujaa fc U20 4-1 Tabora United U20 Vijana wanaendelea walipoishia🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
19
54
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Wananitumia majini kwenye taulo😂😂
Tweet media one
51
45
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Aliowaambia Yanga Wakitufunga Wanakuwa Mabingwa Ametukosea Sana
Tweet media one
Tweet media two
16
32
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Mchezo wetu unaofuata wa #NBCPremierLeague tutacheza dhidi ya Azam Fc kwenye dimba la Azam Complex. #NextMatch AZAM FC 🆚 MASHUJAA FC 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️17.04.2024 🕒 Saa mbili na nusu usiku 🏟️Azam Complex Nb: Usi-left group, Shujaa hasaliti chama.
Tweet media one
48
47
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
Watanganyika mmepata usingizi kweli au na nyinyi mnawaza magoli ya @adamadam_07 hii leo? 🤔⚽ Usi-left group, Furaha kubwa inakuja 🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
24
54
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Timu yetu leo inapenda kufungua milango na kuwakaribisha mashabiki wote ambao wanaona wanateseka kwenye timu zao wakaribie mashujaa waje kupata furaha kwasababu tunapenda kuwapa furaha mashabiki zetu😂💪
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
51
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
HODI HODI MAKAO MAKUU, TUNAKUJA WALIMA ZABIBU 🦍😍 Watanganyika wote tunakuja kumaliza hasira zetu kwa walima zabibu😡. #NextMatch Dodoma Jiji fc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️11.02.2024 🕓Saa 1 Usiku 🏟️Jamhuri Stadium
Tweet media one
61
66
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
🚨 USI-LEFT GROUP HESABU ZINAKUBALI 😍🦍 Watanganyika ni wakati wa kuonesha ushujaa wetu kwa kuisapoti timu yetu kwenye michezo mitatu iliyobaki ili tuvuke pamoja 24/25. NB: Hesabu zinakubali, Ikumbatie Mashujaa fc tuvuke pamoja 24/25.
Tweet media one
32
66
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Tumepoteza kwenye mikwaju ya penati⚽️🦍 "MAPIGO NA MWENDO"
Tweet media one
23
33
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
14 days
Michael Masinda, Said Makapu na Shedrack Ntabindi hawatakuwa sehemu ya kikosi chetu kwa msimu wa 2024/2025.
Tweet media one
13
31
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Bado ujasema😂😂
@SimbaSCTanzania
Simba Sports Club
3 months
33’ | Mashujaa FC 1-0 Simba SC. #WenyeNchi #NguvuMoja
Tweet media one
68
15
607
54
43
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Mbona nasikia kelele huko kuna nini🤔
Tweet media one
18
36
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
5 months
🚨 NEVER TURN BACK, SHUJAA HARUDI NYUMA 🦍💪 Asanteni sana walima Zabibu wa Dodoma kwa sapoti yenu kipindi chote tulichokuwepo Makao Makuu ya Nchi🙏 Macho na masikio yetu tunaelekeza Kagera kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar siku ya Ijumaa Tarehe 16.02.2024
Tweet media one
37
42
1K