Comrade Eng Yuda Kemincha Profile Banner
Comrade Eng Yuda Kemincha Profile
Comrade Eng Yuda Kemincha

@yudakemincha84

Followers
449
Following
3
Media
437
Statuses
2,826

Construction Engineer, Hakuna mtu asie na Akili, Kila mtu anazakwake, Hakuna kipimo cha akili. Never compete with a genius.

Joined October 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
25 days
Mgombea Urais?
Tweet media one
339
31
805
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
21 days
Hivi huyu msanii @Roma_Mkatoliki huko Marekani hatambuliki?? Kama kweli yeye ni msanii kwa Nini asiimbe mambo ya Kidunia? Naona kama ni harakati za kijinga, no direction strategies. Nashangaa kuna watu wanasikiliza nyimbo zake.
Tweet media one
359
31
433
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hii ni Chopa au Banda la Kuku?? Majibu please!!🙏🙏
Tweet media one
115
6
178
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
21 days
Mzee jitahidi mziki wako uingie kwenye soko la USA, kama ulivyohamia huko, usitafute soko la Tanzania kwa kukosoa usioweza kuleta m'badala wake. Wakatoliki ni watu makini sana, unatumia jina lao vibaya.
@Roma_Mkatoliki
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
21 days
@yudakemincha84 @Kipanga1986 @Getrude_mollel @420Cousin @Daktariwayanga @dictatorbin Komrade hao wamarekani wenyewe wanaimba kuhusu Cocaine/Bitches/Gun/Pombe/ Kasikilize muwa wa wayne unaitwa Pus😺 money…weed Na hiyo ndo’ dunia sheikh….relax dozi ikuingie
80
54
822
52
7
127
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
@Tanzaniawall @ayubu_madenge @__abdulazack @Sisimizi3 @UdsmOfficial Wanafunzi waliosoma PCM au PCB ndio wenye ufaulu mkubwa kuliko wengine. Kama wangesoma Sheria hizo First Class zikekuwa zakutosha, tatizo ni kwamba wanasomaga, Engineering na Udaktari. Sheria wanasoma waliofeli hisabati.
19
6
97
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Tusiwape nafasi wanasiasa uchwara, Binafsi nitatembea kwa miguu nchi nzima kueleza kwa Nini Rais Samia aendelee kuongoza Tanznia 2025. Watu kama Lissu wanatumia umaarufu wao kukejeli kazi nzito anazozfanya Rais. Lissu amekua Mbunge kwa Miaka 7, kashndwa kujenga hata kisima kimoja
Tweet media one
110
17
81
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
23 days
Atangaza Rasmi maamuzi magumu ya kumng'oa Chairman wa miaka 20?
Tweet media one
13
9
73
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
2 months
Wakuu hivi Rais wa TLS ana mamlaka gani nchini? Mimi kwa uelewa wangu mdogo, nacho kijua Rais wa Tanznia ni Dkt Samia Suluhu Hassan.
Tweet media one
26
8
54
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Barabara ya Mwenge Ubungo, Intersection ya BRT kutoka Posta Hadi Tegeta, Kazi inafanyika kwa Kasi ya ajabu. Mama ni mtu wa Vitendo, maneno kidogo. 2025 njia nyeupe.
45
24
51
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hivi Family Business maana yake Nini?? Bado kuna watu wanaodhani hiki Chama kinawahusu?? @mdudechadematz @YerickoNyerereT @TunduALissu @ChademaTz @John_Pambalu
Tweet media one
21
30
50
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hiyo Picha ya Chairman kwenye Chopa ya Mchongo inamaanisha Nini? Au yeye ndio Kiongozi wa milele?? Chopa ilitakiwa iwe na jina la Chama sio sura ya Mtu. Chairman anawaburuza sana manyumbu, hivi hayashtukagi??? @ChademaTz @TunduALissu @freemanmbowetz @YerickoNyerereT
Tweet media one
101
14
51
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hivi kuruka na Chopa ya mchongo ni Maendeleo?? Au ni kujimwambafy? Maana office za pale Ufipa ni kama Grocery. Maendeleo yanaanzia kwa jirani au nyumbani kwako??? Nani alisema Charity start at home?? @ChademaTz @TunduALissu @freemanmbowetz
Tweet media one
54
7
41
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Mama yetu sio kiongozi wa maneno ni Vitendo vinaongea. 2025 njia nyeupe, Watanzania wote tumemkubali! 2025 ni Yeye asubuhi na mapema. Champion wa Nishati Safi Africa!
Tweet media one
32
6
39
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Mradi wa maji Mwanga-Same-Korogwe ulikuwa umekwama kwa Miaka 10, Rais Dkt Samia anamtua Mama ndoo kichwani kwa kukamilisha mradi huu, utakao hudumia watu zaidi ya Laki nne. Umekamilika kwa asilimia 95. #NaniKamaMama2025 ?
Tweet media one
20
25
33
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Huu ni muarobaini wa tatizo la ajira, Ushauri wangu kwa vyuo vya Biashara na vyuo vya VETA. Tukizingatia haya vijana wetu wataweza kujiajiri. @kitilam @mwigulunchemba1 @zittokabwe @JMakamba @TuliaAckson @udsm_alumni @Dr_DGwajima @ccm_tanzania
8
29
36
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hii ni picha bora ya Mwaka. @ikulumawasliano Hao Walinzi wako makini kuliko kawaida, picha hii iko Nyumbani kwangu nimeitundika. #NiMama2025 #NiYeye2025 #MguuKwaMguu2025
Tweet media one
7
15
35
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Rais Dkt Samia Suluhu ni Professor wa Maendeleo, sisi kama Engineers tumenufaika sana na Miradi mikubwa. Upanuzi na ukarabati wa uwanja wa ndege Songea sio jambo la mchezo, Tsh37billion, imetumika. Nani kama Mama?
32
20
28
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Huyu Maria Sarungi mwanaharakati uchwara ni kirusi hatari sana, Hana adabu kabisa, huyu anastahili kucharazwa bakora hadharani. Anamkosea heshima Mzee wake Profesa Sarungi. Nikikutana nae ama zangu ama zake namlamba vibao on the spot. Ni mchochezi wa mambo ya hovyo @MariaSTsehai
Tweet media one
41
5
31
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Imagine hiki ni kikao cha Mawaziri! Je, umewahi kuona kikao cha Viongozi wa juu wa CCM wamezungukwa na pombe kali?? Tukisema hiki ni kikundi cha KIPIGAJI tumeelewana?? @mdudechadematz @TheRealJongwe @ExMayorUbungo
Tweet media one
25
6
28
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
10 days
Tumechoka na story za huyu mzee @TunduALissu , Kila siku hadithi zile zile, mara Risasi, mara kulipwa posho, mara Abdul, tumekuchoka mzee. Tafuta hoja zingine zenye mvuto Kaka.
Tweet media one
33
7
31
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Engineers na Wakandarasi tumemuandalia zawadi Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kutafuta Pesa za kuendesha Miradi. Zawadi hii imeandliwa na Wahandisi wa Itikadi zote CCM, Chadema, ACT na wasio na vyama. Ni kuunga mkono na kumtua moyo juhudi zake.
11
18
26
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Mikeka ya Samia.
Tweet media one
7
9
25
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Wakali wa Ku-Gugu, huu Mkeka wa Mama unatandikwa wapi??? Rais Dkt Samia sio kiongozi wa Mbwembwe za Chopa, ni kiongozi wa kujenga Uchumi. #MguuKwaMguu2025 #NiMama2025
Tweet media one
15
21
25
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Leo ni jumapili ila Mkandarasi mzawa yuko site hana day off. Maelekezo ya Mhe Rais Samia ni miundombinu iwe kwenye ubora. Mama ni Vitendo maneno kidogo. Barabara ya 3km kiwango cha Lami, Ubungo,Matosa Goba. #mguuKwamguu2025
Tweet media one
11
7
26
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Wale wanaosema Tanzania tutapigwa mnada kwa Madeni.
Tweet media one
18
4
21
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Huu ni mkeka wa Lami unatandikwa kutoka Nyamuswa Wilaya ya Bunda hadi Nata Serenget Mkoani Mara. Hizo ni bags za Cement zinawekwa, Kuitaalam inaitwa Soil Stabilization . Rais Samia halali usingizi mpaka Tanzania iwe kama Ulaya. Je,uko tayari kuona Mikeka inatandazwa? #Typeyes .
Tweet media one
8
7
22
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
23 days
Vijana fanyeni kazi, huyu mzee wa Ufipa anawapotezea muda kuwadanganya "Kuandamana" wakati yeye familia yake iko vizuri kiuchumi. Nyie anawasagisha Lami, ruzuku anakula yeye, nyie mkirudi nyumbani hali Tete.
Tweet media one
14
4
22
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hili sio shamba la viazi ni Mikeka ya Mama. Rais Dkt Samia hana fujo za Chopa, yuko busy na kutandaza Mikeka ya Lami nchi nzima. 2025, Watanzania watachagua Chopa au Kujenga nchi. #NiMama , #NiYeye2025
6
15
18
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Kuzunguka na Chopa na kuandamana sio agenda ya Watanzania. Huu ni mwonekano wa Msalato Airport ukikamilika, kwa Sasa Ujenzi uko 64%. Mwaka 2025 uwanja huu ndege zitatua kutoka Dubai, New York, Amsterdam na kwingine. Rais Dkt Samia amefocus kujenga Taifa imara kiuchumi. #SSH2025
Tweet media one
6
3
20
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Engineer soma hiooo!!!! Mikeka ya Samia kila pahala Tanzania, Sako kwa Bako. #MguuKwaMguu2025
Tweet media one
4
14
19
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
SGR , Dar Moro ni saa moja TU, Hii Reli ni kama New York City Manhattan. Rais Dkt Samia ni mkombozi 🔥🔥 Sisi Wasukuma tunapagawa hili li Treni linavyokwenda Kasi. Ogopaaa!!!! #NiYeye2025 #NiMama25
Tweet media one
6
8
18
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Engineers na Wakandarasi tunaunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu kwa Vitendo. #MguuKwaMguu2025
6
17
18
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Sicheki na Kenge yeyote anayebeza kazi zinazofanywa na Rais Dkt Samia. @mdudechadematz @TunduALissu @ExMayorUbungo @YerickoNyerereT
Tweet media one
5
5
18
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Kazi ya Uongozi wa nchi ni kutatua matatizo ya Watu sio majungu mtandaoni. Rais Dkt Samia yuko bize kutatua shida zetu. Kumtua ndoo Mwanamke kichwani, Kuwezesha nishati safi kwa Kasi , kujenga Barabara na kujenga madarasa takribani 23,000 kwa Miaka mitatu. #NaniKamaMama2025 ?
Tweet media one
4
9
17
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
2 months
Siku Chadema wakipata Nyomi ya namna hii ya Dkt Samia leo Kilosa Morogoro hatutapata usingizi. @ChademaTz
Tweet media one
7
5
18
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Usalama wa Taifa letu ni jukumu la kila raia. Usiache kutoa ripoti kwa mamlaka husika @tanpol unapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa Amani. Vijana ni nguvu ya Taifa.
Tweet media one
4
8
18
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Tumekuelewa, wamekuelewa. #njianyeupe !2025
Tweet media one
3
4
16
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Mtwara Mikeka inatandazwa, Rais Dkt Samia ni Mwamba wa Miundombinu. Lami zinajengwa Kila pahala Tanzania. #MguuKwaMguu2025 #SakoKwaBako2025 #NiMama2025
2
12
17
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Mikeka ya Samia ni Kila kukicha, Wakandarasi na Engineers tunamshukuru Rais Dkt Samia kwa kutulipa kwa Wakati. #MguuKwaMguu2025 #NiMama2025
Tweet media one
8
11
17
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
10 days
Je, umewahi kuona mtu akiandamana huku Akichekelea? Hawa wako serious kweli? Tukisema huyu binti wa Chairman ni mnufaika wa Maokoto Chama tunakosea? Vijana msiburuzwe kama Manyumbu.
Tweet media one
12
6
16
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Ujenzi wa SGR unaendelea. Kilometers moja ya Reli ya SGR ni Tsh 11 billion. Tafakari kwa Kilometers 2000 ni pesa kiasi Gani? Rais Dkt Samia ni mkombozi wa Taifa letu. #MguuKwaMguu2025
Tweet media one
2
7
16
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
1
0
16
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Uzalendo ni kujenga Nyumba ya Kifahari au kusaidia wasionacho?? Hawa watu wakiingia Ikulu itakuaje?? Si watauza hadi Fanicha za Ikulu? Hiki kikundi ni cha kipigaji, Hi nyumba ni mavuno ya 20yrs ya Uenyekiti?? Kwa Nini msijenge visima, Dispensary au hata madarasa? @ChademaTz
Tweet media one
27
3
16
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
2 months
Tweet media one
5
5
15
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
@420Cousin Huyu ni Nabii aliekuja kuwakomboa Watanzania, uchumi una paa, barabara na Madaraja yanajengwa, wanahabari wako huru, Chadema mikutano Hadi kwenye vilabu vya pombe.
Tweet media one
12
0
15
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Kazi Imeonekana, Mwenyezi Mungu akujalie. #NaniKamaMama ?
Tweet media one
4
4
15
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
2 months
Geita Mikeka inatandazwa kwa kasi, unaweza kuzunguka na Bajaji nchi nzima, kutoka Pwani hadi Kagera. Rais Dkt Samia ni mtendaji. 2025 tunaruka nae.
6
6
13
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Mikeka inatandazwa kwa fujo, Tanzania ni kama Dubai?? #NiYeye2025 #NiMama2025 #MguuKwaMguu2025
3
7
15
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Msalato Airport Dodoma, Kazi Iendelee. #SSH2025
Tweet media one
4
6
14
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
SGR hakuna kulala. Leo asubuhi Live from the Site, Makutupora Tabora. Rais Dkt Samia Suluhu yuko serious na miundombinu ya Tanzania. #Tunaendeleanae2025
Tweet media one
2
10
13
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Huu ni Mkeka mpya wa Lami, kutoka Bunda Hadi Isenye Serengeti. Rais Dkt Samia anatekeleza mahitaji ya Watanzania. #MguuKwaMguu2025 #NiMama2025
2
7
14
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Mtu akikuita Chawa, tambua kuwa yeye ni mvivu wa kufikiri. Kazi ya Serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa wananchi, Umeme upo, Barabara zinajengwa, Chakula kipo, vyombo vya habari viko huru, mikutano ya Siasa huru, wanafunzi wanappata mikopo. Je , Rais Samia atupikie ugali?
Tweet media one
4
4
14
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Wakali wa Location, hii Mikeka ya Mama inatandazwa wapi? Hints: Mkoa ni Dar es Salaam. #MguuKwaMguu2025
Tweet media one
3
7
13
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Chadema kuhamasisha vijana waige maandamano ya Kenya ni kuushiwa sera. Unawezaje kuwaambia vijana makini wa Tanzania waige bila sababu? Chadema msipokua makini vijana wote watawakimbia. @ChademaTz @freemanmbowetz @TunduALissu
7
11
14
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Jembe ni Jembe 💪 #NiYeye2025 #NiMama2025
Tweet media one
2
9
14
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Rais Dkt Samia kawawekea mkeka mpya huo hapo Karagwe Ngara, Kazi ni kwenu kununua Range Rover, Mercedes, Ferrari au Rolls Royce. Tushindwe wenyewe. #NaniKamaMama2025 ?
Tweet media one
2
4
13
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Kwa Miaka 60 ya Taifa la Tanzania, hakuna Nyakati nzuri kwa Wakandarasi kama awamu hii ya Sita chini ya Uongozi makini wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Mama yuko very Serious na a Ujenzi wa miundombinu ya Tanzania. #NiMama2025 #MguuKwaMguu2025
6
8
13
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Waziri Jumaa Aweso akitatua Kero za Maji eneo la Goba Ubungo leo. Anatekeleza maelekezo ya Mhe Rais Dkt Samia ya kumtua ndoo Mama Kichwani, #MguuKwaMguu2025 #NiMama2025
1
6
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Usikivu ni Kipaji cha Mama yetu.
Tweet media one
1
9
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Engineers wote wamenituma nifikishe ujumbe kwa @SuluhuSamia , @ikulumawasliano , @TZMsemajiMkuu Miradi ya Reli, Madaraja, Barabars, Upanuzi wa Bandari, Viwanja vya ndege, , Ujenzi wa Vituo vya Afya, Shule, hizo zote ni kazi za Kihandisi. Kasi anayoitekeleza, ni kama Muujiza.
4
5
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Maajabu na mapinduzi ya kiuchumi, Kisiasa na uhuru wa habari aliyoyatenda Mhe Rais Dkt Samia Suluhu, tumepata Imani kubwa sana kwa Wanawake kwenye uongozi wa juu wa Kitaifa. Napendekeza Rais @SuluhuSamia akimaliza muda wake, Rais atakaefuata awe Mwanamke pia.
Tweet media one
3
5
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Live SGR kutoka Kishapu Shinyanga. Rais Dkt Samia anajenga nchi, vijana wanafanyakazi usiku na mchana . Reli ni Uchumi . #MguuKwaMguu2025 #NiMama2025
0
9
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Jembe ni Jembe 💪 #Tunaendeleanae2025
Tweet media one
1
4
13
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Jembe ni Jembe 💪, Uchumi unapaa.🚀🚀 Mama ni mkombozi 🔥🔥🔥 #MguuKwaMguu2025 #NiYeye2025
Tweet media one
2
6
13
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hivi yale maandamano ya Chadema yalikua na faida gani??? Na ile barua waliopeleka UN walijibiwa??? @ChademaTz @freemanmbowetz @TheRealJongwe @godbless_lema
Tweet media one
5
3
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
4 months
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anamtua Mama ndoo kichwani kwa Vitendo, Mradi wa maji kutoka Mugango-Kiabakari-Butiama umekamilika kwa asilimia 99% , umetumia Tsh70.5Billion, utawahudumia watu zaidi ya laki mbili. #NaniKamaMama2025 ??
1
5
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
2 months
Wakuu, huyu ni Mdude Chadema au ni Nani???? Majibu please🙏
Tweet media one
9
7
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Wazee wa huruma, mnaonaje tukichangishana tufanye ukarabati?? Tupake rangi, madirisha, vyoo, tiles. Au hapa hatutapata sifa kwa wananchi? @MalisaGJ_ @mdudechadematz @YerickoNyerereT @ChademaTz @JamesMbowe4
Tweet media one
7
5
11
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Hii ni bahati kubwa! VICHWA NGUMU HAWAELEWI, kuongozwa na MwanaMama sio jambo la mchezo hasa Africa. Rais Dkt Samia ni mkombozi kwa Watanzania, Watafiti wanasema 2025 ushindi wake ni Kimbunga Sunami. Wapinzani wasipoteze muda kuweka mgombea kwenye nafasi ya Urais. #NiYeye2025
Tweet media one
6
5
12
@yudakemincha84
Comrade Eng Yuda Kemincha
3 months
Kikao cha Ukaguzi wa Utekelezaji wa Ilani ya CCM, Ubungo Kibamba
Tweet media one
1
7
12