Hivi huyu msanii
@Roma_Mkatoliki
huko Marekani hatambuliki?? Kama kweli yeye ni msanii kwa Nini asiimbe mambo ya Kidunia? Naona kama ni harakati za kijinga, no direction strategies.
Nashangaa kuna watu wanasikiliza nyimbo zake.
Mzee jitahidi mziki wako uingie kwenye soko la USA, kama ulivyohamia huko, usitafute soko la Tanzania kwa kukosoa usioweza kuleta m'badala wake. Wakatoliki ni watu makini sana, unatumia jina lao vibaya.
Tusiwape nafasi wanasiasa uchwara, Binafsi nitatembea kwa miguu nchi nzima kueleza kwa Nini Rais Samia aendelee kuongoza Tanznia 2025. Watu kama Lissu wanatumia umaarufu wao kukejeli kazi nzito anazozfanya Rais. Lissu amekua Mbunge kwa Miaka 7, kashndwa kujenga hata kisima kimoja
Barabara ya Mwenge Ubungo, Intersection ya BRT kutoka Posta Hadi Tegeta, Kazi inafanyika kwa Kasi ya ajabu. Mama ni mtu wa Vitendo, maneno kidogo. 2025 njia nyeupe.
Hiyo Picha ya Chairman kwenye Chopa ya Mchongo inamaanisha Nini? Au yeye ndio Kiongozi wa milele?? Chopa ilitakiwa iwe na jina la Chama sio sura ya Mtu. Chairman anawaburuza sana manyumbu, hivi hayashtukagi???
@ChademaTz
@TunduALissu
@freemanmbowetz
@YerickoNyerereT
Hivi kuruka na Chopa ya mchongo ni Maendeleo?? Au ni kujimwambafy? Maana office za pale Ufipa ni kama Grocery. Maendeleo yanaanzia kwa jirani au nyumbani kwako??? Nani alisema Charity start at home??
@ChademaTz
@TunduALissu
@freemanmbowetz
Mama yetu sio kiongozi wa maneno ni Vitendo vinaongea. 2025 njia nyeupe, Watanzania wote tumemkubali! 2025 ni Yeye asubuhi na mapema. Champion wa Nishati Safi Africa!
Mradi wa maji Mwanga-Same-Korogwe ulikuwa umekwama kwa Miaka 10, Rais Dkt Samia anamtua Mama ndoo kichwani kwa kukamilisha mradi huu, utakao hudumia watu zaidi ya Laki nne. Umekamilika kwa asilimia 95.
#NaniKamaMama2025
?
Rais Dkt Samia Suluhu ni Professor wa Maendeleo, sisi kama Engineers tumenufaika sana na Miradi mikubwa. Upanuzi na ukarabati wa uwanja wa ndege Songea sio jambo la mchezo, Tsh37billion, imetumika. Nani kama Mama?
Huyu Maria Sarungi mwanaharakati uchwara ni kirusi hatari sana, Hana adabu kabisa, huyu anastahili kucharazwa bakora hadharani. Anamkosea heshima Mzee wake Profesa Sarungi. Nikikutana nae ama zangu ama zake namlamba vibao on the spot. Ni mchochezi wa mambo ya hovyo
@MariaSTsehai
Imagine hiki ni kikao cha Mawaziri!
Je, umewahi kuona kikao cha Viongozi wa juu wa CCM wamezungukwa na pombe kali??
Tukisema hiki ni kikundi cha KIPIGAJI tumeelewana??
@mdudechadematz
@TheRealJongwe
@ExMayorUbungo
Tumechoka na story za huyu mzee
@TunduALissu
, Kila siku hadithi zile zile, mara Risasi, mara kulipwa posho, mara Abdul, tumekuchoka mzee. Tafuta hoja zingine zenye mvuto Kaka.
Engineers na Wakandarasi tumemuandalia zawadi Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kutafuta Pesa za kuendesha Miradi.
Zawadi hii imeandliwa na Wahandisi wa Itikadi zote CCM, Chadema, ACT na wasio na vyama.
Ni kuunga mkono na kumtua moyo juhudi zake.
Wakali wa Ku-Gugu, huu Mkeka wa Mama unatandikwa wapi???
Rais Dkt Samia sio kiongozi wa Mbwembwe za Chopa, ni kiongozi wa kujenga Uchumi.
#MguuKwaMguu2025
#NiMama2025
Leo ni jumapili ila Mkandarasi mzawa yuko site hana day off. Maelekezo ya Mhe Rais Samia ni miundombinu iwe kwenye ubora. Mama ni Vitendo maneno kidogo. Barabara ya 3km kiwango cha Lami, Ubungo,Matosa Goba.
#mguuKwamguu2025
Huu ni mkeka wa Lami unatandikwa kutoka Nyamuswa Wilaya ya Bunda hadi Nata Serenget Mkoani Mara. Hizo ni bags za Cement zinawekwa, Kuitaalam inaitwa Soil Stabilization .
Rais Samia halali usingizi mpaka Tanzania iwe kama Ulaya.
Je,uko tayari kuona Mikeka inatandazwa?
#Typeyes
.
Vijana fanyeni kazi, huyu mzee wa Ufipa anawapotezea muda kuwadanganya "Kuandamana" wakati yeye familia yake iko vizuri kiuchumi. Nyie anawasagisha Lami, ruzuku anakula yeye, nyie mkirudi nyumbani hali Tete.
Hili sio shamba la viazi ni Mikeka ya Mama.
Rais Dkt Samia hana fujo za Chopa, yuko busy na kutandaza Mikeka ya Lami nchi nzima.
2025, Watanzania watachagua Chopa au Kujenga nchi.
#NiMama
,
#NiYeye2025
Kuzunguka na Chopa na kuandamana sio agenda ya Watanzania. Huu ni mwonekano wa Msalato Airport ukikamilika, kwa Sasa Ujenzi uko 64%. Mwaka 2025 uwanja huu ndege zitatua kutoka Dubai, New York, Amsterdam na kwingine. Rais Dkt Samia amefocus kujenga Taifa imara kiuchumi.
#SSH2025
SGR , Dar Moro ni saa moja TU, Hii Reli ni kama New York City Manhattan.
Rais Dkt Samia ni mkombozi 🔥🔥
Sisi Wasukuma tunapagawa hili li Treni linavyokwenda Kasi.
Ogopaaa!!!!
#NiYeye2025
#NiMama25
Kazi ya Uongozi wa nchi ni kutatua matatizo ya Watu sio majungu mtandaoni. Rais Dkt Samia yuko bize kutatua shida zetu. Kumtua ndoo Mwanamke kichwani, Kuwezesha nishati safi kwa Kasi , kujenga Barabara na kujenga madarasa takribani 23,000 kwa Miaka mitatu.
#NaniKamaMama2025
?
Usalama wa Taifa letu ni jukumu la kila raia.
Usiache kutoa ripoti kwa mamlaka husika
@tanpol
unapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa Amani.
Vijana ni nguvu ya Taifa.
Je, umewahi kuona mtu akiandamana huku Akichekelea? Hawa wako serious kweli?
Tukisema huyu binti wa Chairman ni mnufaika wa Maokoto Chama tunakosea?
Vijana msiburuzwe kama Manyumbu.
Ujenzi wa SGR unaendelea.
Kilometers moja ya Reli ya SGR ni Tsh 11 billion. Tafakari kwa Kilometers 2000 ni pesa kiasi Gani?
Rais Dkt Samia ni mkombozi wa Taifa letu.
#MguuKwaMguu2025
Uzalendo ni kujenga Nyumba ya Kifahari au kusaidia wasionacho?? Hawa watu wakiingia Ikulu itakuaje?? Si watauza hadi Fanicha za Ikulu? Hiki kikundi ni cha kipigaji, Hi nyumba ni mavuno ya 20yrs ya Uenyekiti?? Kwa Nini msijenge visima, Dispensary au hata madarasa?
@ChademaTz
@420Cousin
Huyu ni Nabii aliekuja kuwakomboa Watanzania, uchumi una paa, barabara na Madaraja yanajengwa, wanahabari wako huru, Chadema mikutano Hadi kwenye vilabu vya pombe.
SGR hakuna kulala.
Leo asubuhi Live from the Site, Makutupora Tabora.
Rais Dkt Samia Suluhu yuko serious na miundombinu ya Tanzania.
#Tunaendeleanae2025
Mtu akikuita Chawa, tambua kuwa yeye ni mvivu wa kufikiri. Kazi ya Serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa wananchi, Umeme upo, Barabara zinajengwa, Chakula kipo, vyombo vya habari viko huru, mikutano ya Siasa huru, wanafunzi wanappata mikopo. Je , Rais Samia atupikie ugali?
Chadema kuhamasisha vijana waige maandamano ya Kenya ni kuushiwa sera. Unawezaje kuwaambia vijana makini wa Tanzania waige bila sababu?
Chadema msipokua makini vijana wote watawakimbia.
@ChademaTz
@freemanmbowetz
@TunduALissu
Rais Dkt Samia kawawekea mkeka mpya huo hapo Karagwe Ngara, Kazi ni kwenu kununua Range Rover, Mercedes, Ferrari au Rolls Royce. Tushindwe wenyewe.
#NaniKamaMama2025
?
Kwa Miaka 60 ya Taifa la Tanzania, hakuna Nyakati nzuri kwa Wakandarasi kama awamu hii ya Sita chini ya Uongozi makini wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mama yuko very Serious na a Ujenzi wa miundombinu ya Tanzania.
#NiMama2025
#MguuKwaMguu2025
Waziri Jumaa Aweso akitatua Kero za Maji eneo la Goba Ubungo leo.
Anatekeleza maelekezo ya Mhe Rais Dkt Samia ya kumtua ndoo Mama Kichwani,
#MguuKwaMguu2025
#NiMama2025
Engineers wote wamenituma nifikishe ujumbe kwa
@SuluhuSamia
,
@ikulumawasliano
,
@TZMsemajiMkuu
Miradi ya Reli, Madaraja, Barabars, Upanuzi wa Bandari, Viwanja vya ndege, , Ujenzi wa Vituo vya Afya, Shule, hizo zote ni kazi za Kihandisi. Kasi anayoitekeleza, ni kama Muujiza.
Maajabu na mapinduzi ya kiuchumi, Kisiasa na uhuru wa habari aliyoyatenda Mhe Rais Dkt Samia Suluhu, tumepata Imani kubwa sana kwa Wanawake kwenye uongozi wa juu wa Kitaifa.
Napendekeza Rais
@SuluhuSamia
akimaliza muda wake, Rais atakaefuata awe Mwanamke pia.
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anamtua Mama ndoo kichwani kwa Vitendo, Mradi wa maji kutoka Mugango-Kiabakari-Butiama umekamilika kwa asilimia 99% , umetumia Tsh70.5Billion, utawahudumia watu zaidi ya laki mbili.
#NaniKamaMama2025
??
Hii ni bahati kubwa!
VICHWA NGUMU HAWAELEWI, kuongozwa na MwanaMama sio jambo la mchezo hasa Africa.
Rais Dkt Samia ni mkombozi kwa Watanzania, Watafiti wanasema 2025 ushindi wake ni Kimbunga Sunami. Wapinzani wasipoteze muda kuweka mgombea kwenye nafasi ya Urais.
#NiYeye2025