cousin 420 Profile Banner
cousin 420 Profile
cousin 420

@420Cousin

Followers
18,364
Following
2,787
Media
3,689
Statuses
44,838

Tanzania ni njema atakaye na aje. |T2530SSH| There are many good stories to tell about what our Samia government does daily for the citizens of our country.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined July 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@420Cousin
cousin 420
1 month
Mama Samia is the definition of “keeping an ear to the ground.” Tangu aingie madarakani, amebaki kuwa mnyenyekevu na ameweka muda wake katika kushughulikia maendeleo kusikiliza na kutatua kero za Wananchi. Wengine wanapoteza muda katika siasa za chuki na ukabila. She is
Tweet media one
25
47
68
@420Cousin
cousin 420
1 year
Kuna siku niliwahi kusema kwenye hii media warfare atakayeshinda si yule atakayemwaga Pesa nyingi bali ni yule atakayetumia ubunifu zaidi. Majizo bring in @rollymsouth ni Sawa na kupiga hat-trick kwa kile ambacho anakihitaji. Amepata presenter, amepata mchumi amepata kiungo
Tweet media one
101
107
3K
@420Cousin
cousin 420
3 years
😍😍😍 🇹🇿
166
225
2K
@420Cousin
cousin 420
1 year
Huwezi ukaona thamani ya kitu ulichonacho hadi ukipoteza, sitasema kwa ubaya ila naimani Equity Hq Nairobi watakuwa wameomba barua ya maelezo kutoka kwa MD wa Tz kuhoji kwanini wameruhusu @rollymsouth aondoke.? Kenya wana embrace sana creativity ni eneo pekee kwao
Tweet media one
109
48
2K
@420Cousin
cousin 420
3 years
Tuwe makini kidogo kwenye buku tano wahuni wanakuchanganyia na mia ya kenya.
Tweet media one
98
145
1K
@420Cousin
cousin 420
1 year
SARAFU YENYE PICHA YA SAMIA NI MUHIMU. •Ikulu dodoma imekamilika. •Daraja la Tanzanite limekamilika. •Bwawa la Mwl. Nyerere limekamilika. •Daraja la Kigongo busisi linakwenda kukamilika. •Mradi wa Gesi asilia LNG mbioni kuanza. •Ujenzi wa SGR Dar hadi Mwanza
Tweet media one
425
78
1K
@420Cousin
cousin 420
4 years
Kwa heshima ya Legend mzee wetu Mkapa, Cousin 420 tutacheza all hits song kipindi Babu akiwa madarakani kuanzia 1995-2005 na Bia zitauzwa bei sawa na kipindi mzee wetu akiwa madarakani don’t miss kabisa... #Cousin420 .
70
88
1K
@420Cousin
cousin 420
3 years
Sijui ni mimi masikio ndiyo mabovu hapa. ?
366
140
1K
@420Cousin
cousin 420
1 year
Msigwa ongea na karia huyu Eng. Hersi na Arafat wapewe timu zote wazisimamie…!
Tweet media one
19
33
1K
@420Cousin
cousin 420
4 years
Kigogo kona .......!!! Watuuuuuu
Tweet media one
55
26
1K
@420Cousin
cousin 420
3 years
Balozi wa kodi anawasalimia
Tweet media one
95
36
1K
@420Cousin
cousin 420
1 year
Hallow Msigwa waambie wanangu wa @yangasc1935 tutawapokea kama mabingwa hatuna shuguli ndogo.
Tweet media one
12
42
1K
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hili ndilo gari la shule kwa enzi zetu, Ukiambiwa utapanda gari la shule ndiyo hili sasa.
Tweet media one
135
56
1K
@420Cousin
cousin 420
3 years
Sabaya Night.....!! Mama Asante kwa zawadi ya Eid
Tweet media one
94
97
995
@420Cousin
cousin 420
3 years
JBL simama ukatoonyeshe mnada ulipo....???
Tweet media one
81
49
956
@420Cousin
cousin 420
3 years
Tuacheni hata Masihara hivi ile Kilometer ya Burna Boy mnaijua.....?
Tweet media one
95
107
955
@420Cousin
cousin 420
3 years
Kule BET wanajua watanzania wote ndiyo hawa sasa.
Tweet media one
84
66
909
@420Cousin
cousin 420
1 year
Kuwa na sarafu yenye picha ya Rais Samia hatuhitaji mjadala kabisa. Mchakato uanze mara moja..!
Tweet media one
334
24
880
@420Cousin
cousin 420
3 years
Kumbe MO29 ni tarehe ya mudi kujiuzulu
57
41
860
@420Cousin
cousin 420
1 year
Shemeji yangu @IAMartin_ hili gari ulinunuliwa na kiongozi wa mwandamizi Serikalini wewe huwa unamlipa kitu gani kama malipo ya Asante ya hili gari? Vijana kama nyinyi wa upinzani mnaohongwa magari na wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma.
Tweet media one
194
41
862
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hawa ni Vijana wa Tanzania au Burundi......?? 😳😳😳
71
32
835
@420Cousin
cousin 420
1 year
Chuma kimeamka Prof Musa Assad
Tweet media one
135
60
861
@420Cousin
cousin 420
3 years
Wanapiga ngumi kama nyuki.....!!
Tweet media one
40
39
815
@420Cousin
cousin 420
3 years
Unapata kagwajima utumbo kidogo unawekewa na kamukoko kipepsi (kidari) na kaCCM (mbogamboga)na roast la njegere only kwa 5K unaruhusiwa kuongeza....
Tweet media one
41
49
760
@420Cousin
cousin 420
3 years
SABAYA SEND OFF.....!!!!
Tweet media one
48
64
691
@420Cousin
cousin 420
1 year
KISINGIZIO CHA KIGOGO KUULIWA NI MTEGO KWA @ukhomeoffice Hakuna mtu anayetaka kumuua Didier Abdallah Mlawa alais @kigogo2014 ni janja ya nyani kutaka kuongezewa permit ya kuishi Uingereza. Baada ya kifo cha Magufuli, @kigogo2014 ameingia Tanzania zaidi ya mara tatu kupitia
Tweet media one
154
53
700
@420Cousin
cousin 420
3 years
Tukimalizia na chanjo saa hii
Tweet media one
20
38
657
@420Cousin
cousin 420
3 years
Kula ni lazima chanjo nihiari haya karibuni
Tweet media one
27
38
662
@420Cousin
cousin 420
3 years
Nchi nzima wote tunakatwa.....!!
Tweet media one
42
16
655
@420Cousin
cousin 420
1 year
🇹🇿 Natamani kuishika sarafu yenye picha yako.
Tweet media one
147
32
640
@420Cousin
cousin 420
3 years
JOBO BOY “THE ALBUM” Artist - Ayubu Jipatie nakala yako sasa...!
Tweet media one
57
50
620
@420Cousin
cousin 420
3 years
Konda anapigwa Cha Asubuhi safiiiii.....! 😂😂😂
Tweet media one
17
21
634
@420Cousin
cousin 420
3 years
Haya jaza majina yako hapa kamili tukusajili kwenye saccos ya madalali wa minada.
Tweet media one
24
32
614
@420Cousin
cousin 420
3 years
Tuleni kwanza Location Migombani street Mikocheni...!!!
Tweet media one
48
42
618
@420Cousin
cousin 420
3 years
Ile voice note ameanza chini alafu akapanda otea ulikuwa muda gani ule.....??? Tuleni
Tweet media one
30
51
595
@420Cousin
cousin 420
3 years
Kuna watoto wanaweza kujua hichi ni kiwanda cha Pombe haraam. Silva 2021.
Tweet media one
58
40
576
@420Cousin
cousin 420
3 years
Mgeni rasmi wa mechi ya leo ndugu @kigogo2014 ameshafika hapa Cousin ....!! Tukutane Cousin hapatoshi leo.
Tweet media one
45
40
588
@420Cousin
cousin 420
3 years
Nyieeeee mambo ya Bitcoin tutawezana....?? Embu tuleni kwanza
Tweet media one
46
69
583
@420Cousin
cousin 420
3 years
Goodbye 👋 👋 👋 ....!!!
Tweet media one
28
58
580
@420Cousin
cousin 420
3 years
Taste the rainbow' .....!!
Tweet media one
17
24
563
@420Cousin
cousin 420
3 years
Kwani Mko wapi saaa hii...!!!
Tweet media one
47
35
549
@420Cousin
cousin 420
2 years
Ni mapema kusema Haji Manara ana nguvu ya ushawishi kama Rev. kimaro.?
33
48
539
@420Cousin
cousin 420
3 years
Walipa Tozo hamjambo.....?
Tweet media one
26
47
519
@420Cousin
cousin 420
10 months
Kwa M/Kiti CDM. HQ-CDM
Tweet media one
Tweet media two
121
49
518
@420Cousin
cousin 420
3 years
Abiria hatutawashusha ubungo gari litaenda kuwashusha Cousin 420 @Cousin_420 Yes Day.............!!
Tweet media one
19
31
507
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hii Bombardier ndiyo itakuwa ya 13 au......?
Tweet media one
23
39
484
@420Cousin
cousin 420
3 years
Si ndio Mida yenyewe hii
Tweet media one
27
35
479
@420Cousin
cousin 420
7 months
Mama ameshafika Addis Ababa- Ethiopia, Mbowe yeye anakula nyama monduli.
Tweet media one
125
22
487
@420Cousin
cousin 420
3 years
Samia Land....!!!
Tweet media one
23
28
465
@420Cousin
cousin 420
3 years
Oyaaaaaaaaa...!!!
Tweet media one
9
18
454
@420Cousin
cousin 420
3 years
Cousin 420 Cocktail Menu ....Wanangu mbege ipo
Tweet media one
12
34
447
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hata sijapenda... yaaani sijapost Menu hamjauliza mnataka kula nini... Cuzo naweza kupotea wala msijue..... haya tukutaneni kwenye kusanyiko la Bia ..... #KusanyikoTime
Tweet media one
25
9
439
@420Cousin
cousin 420
3 years
Tule Kwanzaa
Tweet media one
18
31
431
@420Cousin
cousin 420
3 years
Wajelajela Origanal now Playing - Fm Akademia @Cousin_420
Tweet media one
40
47
439
@420Cousin
cousin 420
3 years
Embu waambieni wachaga watulie krismasi bado kidogo....
Tweet media one
17
32
424
@420Cousin
cousin 420
3 years
One Night stand......!!!!
Tweet media one
21
33
430
@420Cousin
cousin 420
3 years
Goodbye Chief Chala Bado mapema sana......!!!!!
Tweet media one
35
41
427
@420Cousin
cousin 420
3 years
Watu wa Hovyo Night .....!!! @fazoboya
Tweet media one
14
35
405
@420Cousin
cousin 420
3 years
Mpo wapii kwaniii...!!
Tweet media one
15
25
403
@420Cousin
cousin 420
3 years
Nileteeeni Manara ....!
Tweet media one
23
35
412
@420Cousin
cousin 420
3 years
Kukatwa kunaumaa eeeeeh......!!!
Tweet media one
36
16
410
@420Cousin
cousin 420
3 years
Diamond Tusamehe Day
Tweet media one
18
33
407
@420Cousin
cousin 420
3 years
Siku yenyewe Jumanne hii sidhani kama mmekula lakini....???
Tweet media one
25
42
400
@420Cousin
cousin 420
3 years
Baby kwanini hujajiunga kifurushi cha asubuhi...? Nilikuwa nataka niongee na Mama mkwe leo.....!!!
Tweet media one
2
11
392
@420Cousin
cousin 420
3 years
Dogo janja anavyofaidi cha Asubuhi hutaamini kama alikuwa anashindia chai na karoti.....!!!
12
10
395
@420Cousin
cousin 420
3 years
YES DAY......
Tweet media one
24
33
401
@420Cousin
cousin 420
3 years
Jajiiiiiiiii ile wish ya I Love you Craziiii hukuionaaaa.? Mirathi Day
Tweet media one
Tweet media two
33
29
389
@420Cousin
cousin 420
3 years
Usiku wa Mkeka.....!!!
Tweet media one
27
42
384
@420Cousin
cousin 420
1 year
Maelezo yatakuwa mengi juu ya huu uzi ila angalizo hazifuliwi.
Tweet media one
63
25
393
@420Cousin
cousin 420
1 year
Eeeeh Eeeeeh Mwenyekiti wa Chadema anapokea hizi fedha kwa ajili ya kufanyia nini jamani mbona ni hatari hii?watu mishipa ya shingo inawatoka wengine wanakunja tu kwa kasi.
Tweet media one
659
39
386
@420Cousin
cousin 420
3 years
Mkesha wa kuhamia Burundi.....!!!
Tweet media one
13
17
382
@420Cousin
cousin 420
3 years
Kwani SUU yenyewe inasemaje.....!!!
Tweet media one
18
29
384
@420Cousin
cousin 420
3 years
Ukija @Cousin_420 uliza Sabaya Fish ndiyo huyu.....!!!!
Tweet media one
26
25
371
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hili zege linaitwa “Rahuum Raha jipe mwenyewe” unashushia na Safari vile ni Drinkcember
Tweet media one
16
16
371
@420Cousin
cousin 420
3 years
Nyieeeeeeeeeee......!!!!
Tweet media one
8
12
368
@420Cousin
cousin 420
2 years
Rafiki yangu Che Guevara aliwahi kusema unaweza kuizunguka Dunia kwa kusoma vitabu. Lema amefika hadi Canada amerudi Tanzania kuwatukana Bodaboda ni kazi ya laana. Najitolea kumpeleka Thailand akajifunze mapinduzi ya Biashara ya bodaboda. Ni exposure amekosa.
Tweet media one
89
23
372
@420Cousin
cousin 420
3 years
Team Yangaaaa itaongozwa na binti mtamuuuu @MissRashfordy Tukutane Cousin 420
Tweet media one
17
13
365
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hongera sana @Cousin_420 Kwa hatua hii muhimu tunakutakia kila lenye heri. ✨✨
73
29
367
@420Cousin
cousin 420
3 months
Binadamu watatu wema hapa Duniani, Zawadi kutoka kwa Mungu. 1. Yesu Kristo 2. Mtume Muhammad 3. Samia Suluhu Hassan
Tweet media one
633
34
369
@420Cousin
cousin 420
1 year
MWIGULU UNAONA TRA WAKICHEZA NA UCHUMI WETU..? Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda. Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda, waliaanza NEMC na sasa ni zamu ya
Tweet media one
73
34
369
@420Cousin
cousin 420
3 years
Ukiachana na kiingereza ni kitu gani kingine Wakenya hujiona wanajua sana...? #Ushalipiwa
Tweet media one
71
15
350
@420Cousin
cousin 420
3 years
“Haki ya Faragha Vuruga” @fatma_karume
Tweet media one
8
22
349
@420Cousin
cousin 420
3 years
Mtapenda kula nini Wanangu.....!!
Tweet media one
61
21
354
@420Cousin
cousin 420
3 years
Simba wamepoteza saa leo .... Haya nasikia Mzee Mpili kaomba mechi irudiwe Muda ni uleule....!!
Tweet media one
20
26
354
@420Cousin
cousin 420
3 years
Happy December... Beer after Beeer.....:!!!!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
47
353
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hili Jicho linaitwaje..... ndiyo mwanaukome au ....?Anko D cha Asubuhi Dengecoco
Tweet media one
11
11
355
@420Cousin
cousin 420
3 years
The Return of Konde....!! Starring: Harmo Chitoholi Kubwa laMaadui; Evara Baba Tii.
Tweet media one
29
38
333
@420Cousin
cousin 420
3 years
VITASA VYA MAMA....!!
Tweet media one
15
32
333
@420Cousin
cousin 420
3 years
Mawazo na Mahaba Nazi ...!!
Tweet media one
21
25
330
@420Cousin
cousin 420
2 months
Tanzania tulishasahau kama haya magari yapo.
Tweet media one
46
17
342
@420Cousin
cousin 420
10 months
TBT Audio Tape Leak. “Hellow Wema can you fly to KIA 📞 😋” Hizi enzi wengi hawakuwa na simu..! Supreme Leader Chadema alipokuwa akichombeza chimama aende kula ruzuku kidogo…!!! Sikiliza hadi mwisho.
85
87
334
@420Cousin
cousin 420
1 year
Hatuna la kusema kama Mke aliyemtunza na kumvumilia alipokuwa kwenye tabu kitandani hajitambui amemtupa kesho mkimuachia chama na nchi…?
Tweet media one
Tweet media two
108
25
336
@420Cousin
cousin 420
1 year
FOR FUTURE KILA KIJANA ASIYEKUWA NA AJIRA ANAWEZA KULIPWA MSHAHARA. kufikia mwaka 2028 uchumi wa Tanzania utazidi kukua na utafikia dola $136 billioni (Shilingi 318.8 trilioni za Tanzania) na pato la mtu mmoja mmoja litakua hadi kufikia dola 1,860 (Shilingi 4.3milioni) kutoka
Tweet media one
176
24
332
@420Cousin
cousin 420
3 years
WATU WA HOVYO FRIDAY.....!!! Nyama choma na Energy nyingiiiiiiii.....!!!
Tweet media one
22
37
324
@420Cousin
cousin 420
1 month
HOTUBA YA RAIS SAMIA IMETOA MWANGA WA USALITI. Leo, tarehe 26 Julai, Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wapya aliowateua Jumatatu hii. Miongoni mwa walioapishwa ni Jerry Silaa, ambaye anachukua nafasi ya Maradona katika Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya
Tweet media one
55
48
341
@420Cousin
cousin 420
3 years
Chibu anajua tuna kumbukumbu fupi kama maisha ya funza ameamua zake kusample pwaaah...!
49
44
325
@420Cousin
cousin 420
3 years
Hongera kwa maharusi.... @GillsaInt kutukutanisha wengi kwa pamoja tukashiba na kulewa si jambo dogo hakika mbarikiwe kwenye kila hatua Katika maisha mapya...!!!
Tweet media one
6
12
331
@420Cousin
cousin 420
3 years
Oya oyaa!!
Tweet media one
10
15
324
@420Cousin
cousin 420
3 years
Mama Samia Suluhu anawatakia Watanzania wote usiku mwema.....!!
Tweet media one
10
24
324
@420Cousin
cousin 420
3 years
Yaaani muda umetembea na hii hali ya hewa cha Asubuhi unaweza kukipata hata muda huu.....!!
Tweet media one
16
17
323
@420Cousin
cousin 420
3 years
Unatoka kila weekend kaa unywee nyumbani.... sasa hapo Jemiii inashukaje si mateso haya....?
Tweet media one
25
14
319