Tanzania ni njema atakaye na aje. |T2530SSH| There are many good stories to tell about what our Samia government does daily for the citizens of our country.
Mama Samia is the definition of “keeping an ear to the ground.”
Tangu aingie madarakani, amebaki kuwa mnyenyekevu na ameweka muda wake katika kushughulikia maendeleo kusikiliza na kutatua kero za Wananchi.
Wengine wanapoteza muda katika siasa za chuki na ukabila.
She is
Kuna siku niliwahi kusema kwenye hii media warfare atakayeshinda si yule atakayemwaga Pesa nyingi bali ni yule atakayetumia ubunifu zaidi.
Majizo bring in
@rollymsouth
ni Sawa na kupiga hat-trick kwa kile ambacho anakihitaji.
Amepata presenter, amepata mchumi amepata kiungo
Huwezi ukaona thamani ya kitu ulichonacho hadi ukipoteza, sitasema kwa ubaya ila naimani Equity Hq Nairobi watakuwa wameomba barua ya maelezo kutoka kwa MD wa Tz kuhoji kwanini wameruhusu
@rollymsouth
aondoke.?
Kenya wana embrace sana creativity ni eneo pekee kwao
SARAFU YENYE PICHA YA SAMIA NI MUHIMU.
•Ikulu dodoma imekamilika.
•Daraja la Tanzanite limekamilika.
•Bwawa la Mwl. Nyerere limekamilika.
•Daraja la Kigongo busisi linakwenda kukamilika.
•Mradi wa Gesi asilia LNG mbioni kuanza.
•Ujenzi wa SGR Dar hadi Mwanza
Kwa heshima ya Legend mzee wetu Mkapa, Cousin 420 tutacheza all hits song kipindi Babu akiwa madarakani kuanzia 1995-2005 na Bia zitauzwa bei sawa na kipindi mzee wetu akiwa madarakani don’t miss kabisa...
#Cousin420
.
Shemeji yangu
@IAMartin_
hili gari ulinunuliwa na kiongozi wa mwandamizi Serikalini wewe huwa unamlipa kitu gani kama malipo ya Asante ya hili gari? Vijana kama nyinyi wa upinzani mnaohongwa magari na wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma.
KISINGIZIO CHA KIGOGO KUULIWA NI MTEGO KWA
@ukhomeoffice
Hakuna mtu anayetaka kumuua Didier Abdallah Mlawa alais
@kigogo2014
ni janja ya nyani kutaka kuongezewa permit ya kuishi Uingereza.
Baada ya kifo cha Magufuli,
@kigogo2014
ameingia Tanzania zaidi ya mara tatu kupitia
Hata sijapenda... yaaani sijapost Menu hamjauliza mnataka kula nini... Cuzo naweza kupotea wala msijue..... haya tukutaneni kwenye kusanyiko la Bia .....
#KusanyikoTime
Eeeeh Eeeeeh Mwenyekiti wa Chadema anapokea hizi fedha kwa ajili ya kufanyia nini jamani mbona ni hatari hii?watu mishipa ya shingo inawatoka wengine wanakunja tu kwa kasi.
Rafiki yangu Che Guevara aliwahi kusema unaweza kuizunguka Dunia kwa kusoma vitabu. Lema amefika hadi Canada amerudi Tanzania kuwatukana Bodaboda ni kazi ya laana. Najitolea kumpeleka Thailand akajifunze mapinduzi ya Biashara ya bodaboda. Ni exposure amekosa.
MWIGULU UNAONA TRA WAKICHEZA NA UCHUMI WETU..?
Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda.
Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda, waliaanza NEMC na sasa ni zamu ya
TBT Audio Tape Leak.
“Hellow Wema can you fly to KIA 📞 😋”
Hizi enzi wengi hawakuwa na simu..! Supreme Leader Chadema alipokuwa akichombeza chimama aende kula ruzuku kidogo…!!!
Sikiliza hadi mwisho.
FOR FUTURE KILA KIJANA ASIYEKUWA NA AJIRA ANAWEZA KULIPWA MSHAHARA.
kufikia mwaka 2028 uchumi wa Tanzania utazidi kukua na utafikia dola $136 billioni (Shilingi 318.8 trilioni za Tanzania) na pato la mtu mmoja mmoja litakua hadi kufikia dola 1,860 (Shilingi 4.3milioni) kutoka
HOTUBA YA RAIS SAMIA IMETOA MWANGA WA USALITI.
Leo, tarehe 26 Julai, Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wapya aliowateua Jumatatu hii. Miongoni mwa walioapishwa ni Jerry Silaa, ambaye anachukua nafasi ya Maradona katika Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya
Hongera kwa maharusi....
@GillsaInt
kutukutanisha wengi kwa pamoja tukashiba na kulewa si jambo dogo hakika mbarikiwe kwenye kila hatua Katika maisha mapya...!!!