Fikiria; unafungwa gerezani, ndugu wanakutenga, majirani wanakutenga. Unakaa mwaka mzima, wanatokea watu wanakujadili mtandaoni, wanagundua haupo mtaani, wanahangaika huku na kule kukutafuta, wanagundua upo gerezani, wanaamua kuanza mchakato wa kukutoa. Aisee kweli Mungu yupo. 😭