Ayoub the Great 🧠 Profile Banner
Ayoub the Great 🧠 Profile
Ayoub the Great 🧠

@ayoubjohn987

Followers
3,740
Following
3,733
Media
1,981
Statuses
18,520

phone & computer 🖥️ technician 💪 🪛. man city na Barcelona forever.

The Great tech
Joined November 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
4 months
Wangapi tunaijua hii movie 😆
Tweet media one
25
12
146
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Ukiwa mwema kubali kusalitiwa.
Tweet media one
11
21
116
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Ukiwa mkataji tamaa kubari umaskini.✍️
Tweet media one
10
34
82
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Maisha yanahitaji pesa,moyo unahitaji amani. Bila pesa hakuna maisha, na bila amani hakuna maana ya kuwa na pesa✍️.
Tweet media one
18
27
78
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Dunia ya leo ni rahisi sana ndugu kugombania maiti ila sio mgonjwa 🙏.
Tweet media one
10
30
75
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
0
1
67
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
5 months
Nilipokua mdogo nilikua nalala katikati ya wazazi nikiamka najikuta nipo ukutani 😅😅 uchawi upo 😅😅🤣🫡
Tweet media one
14
11
71
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Hizi saloon sasa daaah Tutafte hela😂😂 Video kwenye comment 👇👇👇
Tweet media one
20
11
72
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
8 months
Video kwenye comment wakuu ushawahi Ona miuno😂
Tweet media one
10
10
64
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
0
0
57
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Ni ngumu ila kuna vitu tunapaswa kuviacha Haijalishi vina thamani kiasi gani au tumeishi navyo muda kiasi gani. Ila hii ni kwa usalama wa maisha yetu 🙏🫂.
Tweet media one
16
41
67
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
3 months
Kutaka kuwa bora Zaidi ya mtu mwingine Sio muhimu, muhimu ni sisi kuwa bora Zaidi ya jana 🙏
Tweet media one
11
27
64
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
0
0
57
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
8 months
Wakati mwingine tunaumizwa na watu tuliowahi kuwaelezea maumivu yetu. This called life 🙏
Tweet media one
8
23
65
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
0
0
54
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
8 months
Ulichokipoteza hakikustahiri kuwa chako , Kumbatia ulichonacho.
Tweet media one
12
22
51
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
6 months
*MOJA YA PICHA INAYOFICHWA SANA NA WAZUNGU BASI NI HII PICHA YA NDULI DADAA* ✍🏿Pichani Si Mwingine Bali ni mtukutu Al-hajj Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu akizungushwa katika mitaa mbalimbli ya Jiji la kampala nchini uganda. ✍🏿Hii picha inafichwa sana na wazungu 👇
Tweet media one
13
15
56
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
3 months
Ukianzisha fujo sisi tunakuja na vita hatunaga msamaha kazi ya MUNGU haifanywi na binadamu ☠️☠️☠️🫡🫡
Tweet media one
5
10
55
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
1
0
51
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
4 months
Akili haijawahi kuchoka kufikiri, Kuna muda tunahatarisha maisha kwa ajiri ya kuzipambania familia zetu. Mungu atusaidie.🙏
Tweet media one
16
36
53
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
3 months
Visit dodoma Saba saba market 😂🫡
Tweet media one
10
11
49
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Kheri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa kwangu 🙏 Happy birthday to me ayoub the great 🎂🎂 Mungu ni mwema nyakati zote 🙏🙏🙏
Tweet media one
22
24
45
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Haina kukata tamaa na haturudi kijijini mpaka kijijini kije mjini Usitukumbushe kusaka pesa, Sababu shida tulizonazo ni kumbukumbu tosha Morning family 🙏🙏🙏✍️
Tweet media one
12
26
46
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Ivi huyu malaika ndo yule msanii au😂 Video kwenye comments 👇👇🍑🍑🍑 Ni rojo rojo duuuh🍑🍑🍑
Tweet media one
10
11
45
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
8 months
Acha nipoe na hili zaga
Tweet media one
11
10
48
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
19 days
Thamani yetu haiwezi kupungua tukiamua kuishi na wale wanaotuthamini. Mungu ni mwema nyakati zote 🙏.
Tweet media one
16
39
50
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
9 months
hakuna akili kubwa iliyowahi kuwepo bila mguso wa huzuni Good morning Africa 🤝🤝
16
28
48
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
4 months
"JASON STATHAM" 🎬🔥🙌 Taja Movie Yake 1 Iliyokushawishi Mpaka Ukaamua Kumfatilia 🎬🍿🔥
Tweet media one
12
5
46
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
25 days
Kufia vitani ni ushujaa na uhodari kwa jeshi,ila ni ni majonzi na simanzi kwa familia 🫡 Good morning family 🌅.
Tweet media one
19
32
47
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
10 months
Vijana tunaojitafta hatupaswi kuwa na chuki,wivu na ujuaji mwingi hivyo vyote vinatabia ya kuuvuta umaskini 🙏 Kausha tuishi 🎤
Tweet media one
5
18
46
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
0
0
44
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Moja ya hadithi za kusikitisha zaidi katika soka: Katika mechi kati ya Marekani na Colombia katika michuano ya Kombe la Dunia 1994, beki wa ColombiaAndrés Escobar alijifunga bao ambalo liliiondoa timu yake ya taifa kwenye Kombe la Dunia la 1994 na alihukumiwa kifo kwa...👇👇
Tweet media one
4
12
47
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
1
0
45
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
26 days
Utukufu mkuu katika kuishi haupo katika kuanguaka kamwe,bali katika kuinuka kila tunapoanguka 🥊. Mungu ni mwema nyakati zote 🙏.
Tweet media one
14
37
46
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
8 months
Wakimbilie waliokukimbilia wakati unakimbiwa 🙏
Tweet media one
8
25
44
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
9 months
Maisha na wakati ni walimu wazuri sana Maisha yanatufundisha matumizi ya wakati, Na wakati unatufundisha thamani ya maisha.🤝
4
38
44
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Drop your handles let's connect 🔥
43
45
43
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
10 months
Changamoto kwetu ibada Ndo maana kutatua matatizo yetu hatuhitaji msaada. Jah bless 🙏
Tweet media one
1
26
43
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Hivi viatu vipo katika jumba la makumbusho la Northeastern Nevada, vilitengenezwa na kutumiwa na mwizi wa Mifugo Aliyeitwa “crazy tex hazel” miaka ya 1920, mwamba alikua noma 😂😂
Tweet media one
12
20
43
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
8 months
Sura ngozi tu.🧠 Uhuni roho.🦂 Eeh Mungu baba 🙏nikijisahau nikumbushe kuwa mimi sio wa kishua 🙏🙏.
Tweet media one
7
28
37
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Kama kila mtu angeamua kusimulia maisha yake niamini tungeulizana ni jinsi gani tumeweza kuhifadhi tabasamu usoni mwetu 🙏🙏 Morning familia 🤲
Tweet media one
9
25
42
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 month
Siri ya kupata tunavyo vitafta ni kuvumilia tunayopitia , Imani haifanyi mambo kuwa rahisi bali kuwezekana. Imani iwe nasi 🙏.
Tweet media one
14
26
41
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 month
Unashindwa nn kupiga picha kama hii na mpenzi wako 😂
Tweet media one
9
8
40
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
0
1
23
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
10 months
Good morning family Amani na upendo viwe nasi
Tweet media one
3
25
36
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
27 days
Kingereza wanachoongea kituo cha polisi huwa tunanyamaza sababu wanabunduki 😂 Mfano "I'm not your friend my friend 😂😂😂.
Tweet media one
9
34
40
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
1 year
1
1
39
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Duuuh Angekua ahera madukani saiv asingegeuza shingo.
Tweet media one
5
7
40
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
2 months
Mungu ni mwema nyakati zote 🙏 Morning family
Tweet media one
12
21
38
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
4 months
MICHAEL JAI WHITE. Taja Movie Yake 1 Iliyokushawishi Mpaka Ukaamua Kumfatilia 🎬🍿🔥
Tweet media one
13
23
38
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
3 months
If truth shall kill them,let them die. Good morning family
Tweet media one
8
18
37
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
5 months
Usipotambua umuhimu wa kulidhika, Huwezi jua madhara ya tamaa.🙏🙏
Tweet media one
9
17
35
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
6 months
Dodoma
Tweet media one
8
3
35
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
11 months
0
0
32
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
9 months
Subiri kwanza yesu alizaliwa mji gani?😹
Tweet media one
16
15
36
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
6 months
@oxDessyxo Beautiful ❤️
0
0
14
@ayoubjohn987
Ayoub the Great 🧠
7 months
Na akawaambia..."huyo Romario De Souza wenu mtamchezesha kwenye timu yenu, kwangu hana nafasi hata ya kukaa benchi." "Nina nafasi ya kumuanzisha dogo Ronaldinho Gaucho, na benchi ninaye fundi wa vyenga vya kutengua nyonga Denilson de Oliveira Araujo....nisiporudi na kombe👇👇👇
Tweet media one
5
12
35