Bughaliza Profile Banner
Bughaliza Profile
Bughaliza

@bughalizah

Followers
3,280
Following
1,016
Media
384
Statuses
10,319

A simple man|proudly Tanzanian|BTX|Simba|Chelsea|Deepthinker|Father|Positive alwys

Tanzania
Joined January 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@TMnyama4_ niligombana na waifu kisa kimanz kingine aligundua sikijua kama kagundua basi siku ya kwanza hajaniambia halali ananiangalia tu, siku ya pili nikashitukia kagundua ila halali ananicheki tu ikabidi usiku nikajifanya naenda jikoni nikakusanya vitu vyot vyenye ncha Kali nikaficha😄
26
5
99
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@sajo_mwaihabi Hilo ziwa Nyasa Ukivuka Kuna sehemu machimboni huko upande wa msumbiji ukipeleka energy za mo au Azam Moja unauza 4000 Tzs ila Sasa kufika kwake ni noma Ziwa Kuna siku lilichafuka kiasi kwamba hadi nahodha wa boti akavaa boya akasema tuendelee kuomba mana chombo haitembei😃😃
11
1
78
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@Twaha_Mwaipaya @fatma_karume Lissu Bora wasiwe wanamjibu,maaana wakimjibu tu anatia kitu alafu hadi wapumbavu kama sisi tunaelewa😄😄
16
3
72
@bughalizah
Bughaliza
8 months
@FKihamu Swali ni kama unapata hasara kwa nini uendlee na hiko kitu?unafikiri Mo akiondoka Simba haitapata muwekezeji? anapata hasara yes so how anashindwa kutengeneza project yenye faida? Miaka zaidi ya 4 now unapata hasara alafu hakuna kitu unafanya kuondoa hasara? Mjinga nani hapo?
21
2
66
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@rajuQuire Unatakiwa kile kitu kinakupa strength ndio ukielezee kama uzaifu Mfano unaweza kusema "udhaifu wangu nikipewa kazi na boss huwa sipendi kisaudiwa napenda nifanye kazi yote Mimi na kumaliza kwa haraka na kwa wakati" Sasa hayo yaweke kwa kinge alafu ongezea minyama hapo😃😄
2
3
44
@bughalizah
Bughaliza
3 months
@FKihamu Huyo CEO wa kmc nadhani Hana akili au Hana weledi Kwa mujibu wa vyanzo ilinasemekana kwenye mkataba Kuna kipengele Cha "mchezaji mwenyewe" kuvumja mkataba kwa kuweka kiasi Cha pesa ambacho kinatakiwa na club yake yani KMC na mchezaji kafanya hivyo hapo Kuna shida Gani?
12
0
38
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@Chieflumanyika Milioni miatano si alikula na sepenga zilivoisha akaanza kuingiza tena
1
0
34
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@MiriamMkanaka Mim naona Ruto alijibu sahihi Sana na alikua na hoja ingawa maswali yalikua magumu ila mengi alijibu kwa usahihi na pia amewataka wananchi hasa gen ,Z aongee nao Kuna mda alimjibu yule mtangazaji kwamba " hapa tunaongoza nchi unataka nikae niwe nawasikiliza GE z?" Jamaa Yuko good
3
0
33
@bughalizah
Bughaliza
3 months
@Malengoo jipe mda hata week usipige nyeto alafu kula fresh kawaida tu ,ila maji yawe mengi Kula tizi la kawaida tu push na kukimbia usiache pia squats za kiaina kila siku Ukikojoa mkojo uwe unaukatakata kama unaubana vile Alafu siku ya game usiwe na papara tuliza akili Leta mrejesho😃
1
0
32
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@Chieflumanyika Ukimiliki k unakua juu Sisi tuendelee ku hustle
4
0
28
@bughalizah
Bughaliza
9 months
@mwaipungu24 Wabunge wanajadili vazi la taifa wanaaacha upuuzi unaofanyika nssf
1
0
28
@bughalizah
Bughaliza
3 months
@TMnyama4_ Hakuna kosa ila imeingia Hela nyingi bila maelezo kwaio account inafungwa isije ikawa umetakatisha pesa swala ni kwenda na kuwaeleza Hela imetoka wapi masaaa 3 tu wanaifungua ila maelezo yawe na uthibitisho
0
0
25
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@FKihamu Inategemea,i kama ni kosa Moja na hauna deni lingine na deni halijavuka mda wa kulipa au halina riba ya kucheleweshwa kulipa basi unasepa kiroho saf Ila kama deni limevuka mda, una makosa zaid yanatakiwa kulipwa au una kiburi hutoi ushirikiano basi paka ulipe au mtinge kituoni
1
0
24
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@EsirEid Sema ni kuwaacha wanachotaka kufanya ingawa huyu mshikaji anajipa umuhimu Sana kwa mwana aliepatwa na majanga Sasa Kuna haja Gani ya kutupa vijembe? Alafu nna uhakika hata mwana hawezi kuja na vijembe vile sema ndio ivo bhana maisha Yao tuachane nayo
3
0
23
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@bajabiri Kodi - hutozwa kwenye kipato income tax Kodi ya ongezeko - VAT hii hutozwa kwenye bidhaa kutokana na ongezeko la thamani Ushuru - Kodi ila inatozwa na mamlaka flani mfano halimashauri na ushuru wa soko Tozo - Kodi pia ila inatozwa Ili kupata huduma flani kifupi zote ni Kodi😄
0
6
23
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@GilbertPaul95 Mzamiru ana Mungu wake ila pia nasikia jamaa ananidhamu Sana na anajituma Sana Ukicheki wamekuja viungo wengi Sana ila wameshindwa kumtoa pale kati Kuna mwana aliniambia ukiachana na maswala mengine jamaa anamiliki nidhamu ya Hali ya juu na anafata maelekezo
0
0
23
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@HusenMymor Uzuri Mimi mkewangu Hana huu ujanja kwanza hata watu nilio broke hajui pa kuangalia ila angejua ilikua kivumbi na jasho
4
0
23
@bughalizah
Bughaliza
12 days
@EduTalkTz Hata sisi tunajua Adolf Hitler alikua mtu wa mavurugu,tunajua Adolf Hitler alikua Hana akili darani pia tunajua Tanganyika ilitawaliwa na wajerumani na pia Mimi najua Babu yangu alitokea Zambia wakiwa wadigo na kahamia Mbeya Bible unaisoma ila inahitaji uelewa au ueleweshwe
9
1
23
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@Sisimizi3 Mtu wa maana kabisa anaitwa mkemia ,ukiwa nae kwenye mtoko usiache kinywajiwazi
6
1
21
@bughalizah
Bughaliza
21 days
@officielsalome Kuna manzi ilikua inanizungusha kweli kipindi Cha chuo siku ikaingia kingi alafu Sina Kitu Yani apeche alolo Mwanangu Godfrey sijui alipata wapi pesa akanunua mazaga yote na nyama manzi ikainuka ikaniona wa kishua kinoma mambo yanaenda fresh Ila baada ya tukio alinidai😃
1
1
22
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@ExMayorUbungo Nimeona yai nikaona nisome hadi mwisho kumbe sio lako bwana boni😄😄😄
1
0
21
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@bonifacejoseph_ Wewe nae unaendeleza matumizi mabaya Kwani ist huzioni? Wakuu wa wilaya wanapewa basi lao Wabunge wanapewa mwendokasi na wakurugemzi wanapewa boksa ikibidi napo kama wanaenda mbali
4
0
22
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@EsirEid nilikua Tabora pale Kuna Kijiji kinaitwa goweko Kule bwana kila manzi ana mafuta Na ukimuita anakuja nayo Niliogopa Sana Ila nilitulizwa nikambiwa haya ni kama grisi kwenye vyuma na ukitumia huchubuki ukiamka lazima umeze Azuma Kule Azuma hadi kwenye duka la vyakula unapata
6
1
21
@bughalizah
Bughaliza
9 months
@gabyconscious @MouSaliim Daah nakumbuka niliwahi kufika sumbawanga nikiwa na buku 8 na Sina ndugu Wala pa kulala daaah nililala nje miezi miwili ndio nikpata muelekeo Mwanaume Kuna maamuzi flani hadi wewe mwenyewe unakua hujielewi yani ila kikubwa kupambana
1
1
21
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@HildaNewton21 @TheRealJongwe Mi sijajua lengo la kuwasafirisha watu baada ya kuwakmata hasa viongozi huwa ni nini? Hii amewahi kusimulia @ExMayorUbungo alitolewa oystebay paka kibaha Huwa lengo linakua ni nini? Gharama za kusafirisha huwa wanatoa wapi? Haya sio matumizi mabaya na nchi inaendelea kukopa?
4
2
20
@bughalizah
Bughaliza
19 days
@fbuyobe Huyu dogo atakuja kuleta machafuko makubwa Sana East Africa kama asipodhibitiwa mapema Stay tune au tusogelee telegram
2
0
20
@bughalizah
Bughaliza
15 days
@NyandaAmosi Mkuu hii usiiache inamambi ya hatari San na akili nyingi Na kama hujui kingereza fresh naona Azam tv wataanza kuionyesha soon kwa kiswahili 😂😂😃
2
0
19
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@SportsarenatzTz Hawa ndio wanafanya tunadhaurika huko nie
1
0
19
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@_Maxmilianjohn Huyo demu mkuu kwani hakuna wanawake wamejenga misuli? Huyo demu na analiwa fresh tu
1
0
19
@bughalizah
Bughaliza
17 days
@MrDepalitto7 Mimi walipaga mafuta wakanipangia kimara Sasa huko ndio nilikua bakaa kwaio nilipitiliza nayo maskani
1
0
19
@bughalizah
Bughaliza
3 months
@CarolNdosi Lema Yuko sahihi kasema kama swala la kuiba wanaweza hata kumuiba mke wa nape kwaio nape asijione mkali Sana katika kuiba kula By the way dada ungeanza kukemea kwanza Ile ya nape then ndio tuje hapa mana hili limetokana na lile
4
0
19
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@TMnyama4_ Kuna mwana siku alitupia double kiki Moja mda wa presentation ulipofika ilikua noma yani😄😄
3
0
17
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@FKihamu Huyo Mwigane yeya alikua ticha anakipiga tu ndondo na wanafunzi ila alivopata fursa alikiwasha sio mchezo captain kabisa Baada ya kumaliza soka akarudi kufundishia iduda primary pale uyole Kati
4
0
19
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@fbuyobe 😂😂😂hili tusi halijasubiri kabisa kusoggelea telegram
2
0
18
@bughalizah
Bughaliza
26 days
@kapeto98 Kina Maza wanaamini kanisani ndio kila kitu
3
0
18
@bughalizah
Bughaliza
11 days
@NyamboTina Hawana shida huwa Wana sikukuu zao kwaio Kuna siku zao za kuchinja wanachinja mbuzi na ng'ombe Huwa wanachinja wengi na nyama wanaogawa bure kama sadaka tu Nimewahi kufanya nao kazi Tabora walichinja mbuzi 70 na ng'ombe 70 sehemu Moja inaitwa goweko wananchi walikula paka basi
3
1
20
@bughalizah
Bughaliza
1 month
@MfalmewaX Hizo takwimu sio kweli Wanaume ndio tunaongoza kwa wingi duniani
7
1
17
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@PMadeleka Shahidi hana akili hajui dada poa wanauza nini?
2
0
15
@bughalizah
Bughaliza
18 days
@AhmedBenBela_10 @EsirEid @Neypaul01 @DullahTheking2 @dictatorbin @MissChelsea1221 @SincerelyRahma_ @goligani Sis wababa tunawapenda Sana mabinti zetu na watoto wetu kwa ujumla ila kinamana wanawajaza maneno sana
1
0
17
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@TMnyama4_ Aaah unanikumbusha mpanda kwa mama eliah daah sio poa yani wahuni huwezi kuwaonyesha lakini pia huwezi kuiacha kizembe yani sio poa😂😂😂
1
0
17
@bughalizah
Bughaliza
22 days
@dogo_wa_kitaa Huui Uzi umenimalizia popcorn za laki 2
1
0
17
@bughalizah
Bughaliza
10 days
@Nindi_Jr 3 idiots hii paka kesho huwa namuangalia Rastogi
8
0
32
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@Aruatani We umejuaje kama kanywa pombe hapo
2
0
16
@bughalizah
Bughaliza
5 months
@EsirEid Tajiri Taitaaa Sonkoo Gwiji Tycoon Bepari la kihaya Boss mkurugenzi Papaa muhaya Pesa ya mbongooo Hauna baya tajiri Wewe ni mnoma tajiri Allah akutunze tajiri Hauna baya tajiri😃😃 #Tajirilakihaya
2
2
16
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@TanzaniaOneJezi Mwamba aliendekeza mapenzi kashaharibu maisha sasa
4
0
16
@bughalizah
Bughaliza
26 days
@EsirEid @julip202 Sema ni kweli ila ajitahidi Sana Tena San kama mchovu apige night ila asubuhi kile Cha asubuhi ajitahidi Sana apige bila hivo atagongewa tu kwaio Cha asubuhi wakati anatoka ahakikishe anapiga hata kama haijasimama fresh alazimishe apige yani apige ivo ivo ilimradi apige 😃😃
4
0
16
@bughalizah
Bughaliza
3 months
@iamsoudy_1 Unanikumbusha mbali hawa mabinti wana utu na unyenyekevu Sana wengi wamepitia changamoto nyingi hasa umasikini kwaio wanakua rahisi kuwapata na pesa wanajali Ila niwazuri wa moyo na sura Wana upendo Sana hawana wivu kivile na mambo wanayajua wako poa ingawa sio wachoyo pia😂😂
1
0
15
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@Sirjeff_D Kambale umkute yule wa pale mto kilombero maeneo ya mbingu pale Kuna mtu akishatengenezwa anakua mkubwa kwanza alafu unampika supu akiwa mbichi Yani hapo ni maji ,chumbi na pilipili kichaa zile na kiugali kidogo Sana Nadisitiza ugali uwe mdogo sana
2
0
15
@bughalizah
Bughaliza
5 months
@Sirjeff_D Hii dhahabu humu mwilini naitoaje?
0
0
15
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@MiriamMkanaka Ni kweli mana kila mtu ana Mungu wake mfano Kuna Mungu wa israeli ambaye ndio tumeamishwa Mungu wa wote😄😄
5
0
15
@bughalizah
Bughaliza
5 months
@TMnyama4_ Yani unagombaniwa na wanajeshi ujue umeisha
0
0
15
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@julip202 Huyu maana yake amekula nyeto kwa miaka 13 mfululizo ambayo ni sawa na siku 4732 Ambazo kama alikua anapiga bao Moja maana yake kapiga mabao 4732 Nnavowajua vijana huwa wanajiovadozi yani kutwa mara 3 Kwaio kapiga mabao 14,196 katika miaka 13 Huyu aendelee tu na my wake nyeto
3
0
14
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@Omwami1672 @bughalizah here we go just put your nlhandle and we will folllo
1
0
14
@bughalizah
Bughaliza
4 months
@EsirEid hapa tukiongelea kuchukulia jambo kisiasa watu wanawaza ccm tu kwani wale jamaa MMM na boni hawajalichukulia kisiasa? Au wenyewe wako sahihi zaidi kuliko mbogamboga? Swala lilikua kumtibu kama familia ya X na sio maswala mengine ila Sasa Kuna watu wameonekana wako sahihi zaidi
5
0
14
@bughalizah
Bughaliza
1 month
@Ujuguhapa Acha uoga kenge wewe Andika free boniyai
2
0
14
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@ayubu_madenge Sema rais Ruto nilichomkubali ni msikivu yani baada ya kuona Hali ni mbaya kaamua kuungana na wananchi kapunguza kiburi na hata zile safari za majuu hakuna siku hizi Kongeza ukaribu na wananchi,midahalo ya kujenga nchi imekua mingi na ubabe umepungua Njoo Sasa kwetu huku😃
3
0
14
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@spana_Konki Huyu mwamba sababu yalikua majanga tu ndo mana watu wakasimama ila ana dharau za kisenge Sana Bora hata sema basi tu
2
0
14
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@Sativa255 @tanpol We unatakiwa kufunguka yote na kwa haraka pale pale ambapo sakata lilikua halijapoa Sasa saizi unalalamika Sana na unaleta habari nusunusu Walipue wote kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wajue na hizi mambo ziishe Sasa mara Leo unasema hili mara umekausha niaje man
3
0
14
@bughalizah
Bughaliza
2 months
0
0
14
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@prossoff Hapo hakuna mwenye kosa dada anataka pesa kwa namba yoyote na kaka anataka utelezi hata kwa kununua kibaya ni kwamba hawakujua kama wako kundi Moja ila kikubwa wafanye kama hawajakutana maisha yaendlee au wababuane tu hakuna noma dhami si Ile Ile hakuna kubwa wala ndogo
0
0
14
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@FKihamu Mimi mwanamke hata awe mbaya kiasi Gani Akinitongoza lazima nikubali kwanza alafu badae ndio tutajua Cha kufanya
3
0
13
@bughalizah
Bughaliza
8 months
@daktarimtalii 😂😂😂kama nchi tunapitia mengi Jamaa amalizie story ilikuaje
2
1
12
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@bonifacejoseph_ @ExMayorUbungo @PMadeleka Vizuri Sana sema Sasa ongeza protein kidogo achana na mihogo
1
0
13
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@djnsajigwa Daah chuma za tabora hizi RIP Boss
0
0
13
@bughalizah
Bughaliza
5 months
@CloudsMediaLive Mwamba mkemia kalamba shavu
0
0
13
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@BarakaMaviatu Atakua alipiga hapa
1
0
12
@bughalizah
Bughaliza
2 months
Uzuri wa kuwa jobless, Unaamka kitandani saa kumi na Moja alafu usingizi unaumalizia kwenye kochi paka saa tatu asubuhi
2
6
13
@bughalizah
Bughaliza
5 months
@IsackIlamlila Pale noma aisee kwa sisi wa mkoani unaweza kuanza kumdharau wife bure
1
0
13
@bughalizah
Bughaliza
2 months
@shaffihdauda1 Clarence seedof ni sababu alikua mweusi tu ndo mana hatajwi Sana paka Leo ila alikua mwamba Sana na alikua anajiamini Dimbala kati lilikua linamtii Kuna kipindi alikua akisumam yeye na KAKA Alafu nyuma Yao gatuso daah ilikua noma sana
0
0
13
@bughalizah
Bughaliza
15 days
@boris_the_name nilienda interview idara ya Maji igunga tulikua 10 kwanza tukapelekwa hoteli kupumzika watu 9 tukala supu na maji makubwa hadi saa 6 tunarudi pale tunamkuta mwamba mmoja anapiga oral interview na wasimamizi 4 Wakati tunsubiri tukaja kuambiwa jamaa ametosha nyie nendeni tu
4
1
13
@bughalizah
Bughaliza
6 months
@athanas_pius Oya usiiache iyo ongeza na Yemen,Somali ay Afghanistan alafu linapoanza Kuna warakbaru kidogo alafu wanapita wale wazee Wana kanzu wanavaa suruali hazifiki chini ni noma
5
1
13