@FKihamu
Inategemea,i kama ni kosa Moja na hauna deni lingine na deni halijavuka mda wa kulipa au halina riba ya kucheleweshwa kulipa basi unasepa kiroho saf
Ila kama deni limevuka mda, una makosa zaid yanatakiwa kulipwa au una kiburi hutoi ushirikiano basi paka ulipe au mtinge kituoni