AhmedBenBella🔟 Profile Banner
AhmedBenBella🔟 Profile
AhmedBenBella🔟

@AhmedBenBela_10

Followers
5,021
Following
818
Media
1,223
Statuses
32,693

Dieharderfans|Yanga African🔰|Chelsea|

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 days
Ukiona kijana mdogo kwenye harakati hajachagua kuwa mwizi bali kushika biashara na kutembeza ukishindwa kununua basi mpe salute zake. Ukiona kijana mdogo ofisini anapambana usiwe kikwazo kwake, hujui nyuma wapo wangapi wanamtazama, akikosea mshike mkono usimtazame kama mshindani
4
11
31
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
15 days
Tazama T Shirt ya Baba🥹 Binti amevaa joho…! Kwake Baba ndiye shujaa wake! Naweza nisijue sana kuhusu Mama yake lakini unahitaji dakika ngapi kujua moyo wa Binti!? Anatamani kulipa fadhila kwa baba❤️ Wadogo zangu mliopo vyuoni na mnaoenda vyuo… Wazazi wana matarajio makubwa👇
138
407
3K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
13 days
Kumbe wanawake wanapenda kuambiwa hivi 😀👇
Tweet media one
Tweet media two
283
275
2K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
21 days
Ila wanawake😭😭😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
219
132
2K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
18 days
Juma kaangamiza ndoa ya watu maskini wanawake watakuja kutuaa ivi ivi😏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
146
134
1K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
17 days
Kama una moyo mwepesi hii itakuliza😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
98
116
1K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
Jamaa kaenda mgodini kahaso karudi maskani asee alokutana nalo atari shuka nayo😢
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
135
78
1K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
20 days
Ila wanawake jau sana just imagine this
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
98
85
1K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
16 days
WAKATI WA MUNGU NDO WAKATI SAHIHI SOMA HII ITAKUFUNZA KITU😭😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
96
83
1K
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 days
Hivi ni mm tu simwelewagi uyu jamaa au!? 🤔
Tweet media one
160
21
880
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
19 days
Hii story mm mwenyewe imenihuzunisha sna asee shuka nayo🥶🥶👇👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
53
69
721
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
2 months
Crown apa walitapeliwa 😅😅 Ukitoa kufanana sauti na ambangile hapa Hakuna mchambuzi🤢
Tweet media one
53
16
556
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Kama ilivobuma Mofaya hata humu hamna kitu kitaenda shida ya kiba anakosa watu makini wakupush maono yake🤯 Sema mond kesho na kesho kutwa akihojiwa utasikia nimewa imspire wasanii wengine imekuwa rahisi na wao kuanzia media ona kama kina alkiba 😂😂
Tweet media one
116
29
496
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
Dada zetu wanapitia magumu sana maisha ya chuo ni mitihan san mwisho ni maumivu kwa familia iki kisa kinamuhusu msichana enjoy ndg walimlaumu sana bila kujua ni nn kilimpata huko chuo leo kaamua kufunguka ili na wengine wajifunze kupitia yeye shuka nayo 😭😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
31
24
350
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 days
Hii story itakusikitisha pombe sio chai daah kisa pombe jamaa kabadilisha maisha ya mtoto wa mtu it's so painful 😭😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
32
31
307
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
@cashmetanzania msimu huu wa sikukuu ya wapendanao niwatakie heri wale wote wemye wapenzi wazidi kudumisha upendo wao mana upendo ni zaidi ya zawadi yoyote ile unayoweza kumpa waubani wako pia msisahau kutumia huduma ya @cashmetanzania kwani ni wanahuduma bora sana. #investwithCASHMETANZANIA
16
164
164
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 days
Ubaya ubwela😀
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
14
145
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
13 days
😉
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
12
12
141
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Kiukwel mimi ni Simba ila kwa mpira huu wa yanga 🙌🙌 Hapana Kila ikicheza nataman mpira usiishe kwakweli😂
Tweet media one
7
13
130
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 months
oya bado kama 58 followers nifike 1k nafb watu wangu✋😌
16
24
123
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
21 days
🥴👇👇👇
Tweet media one
Tweet media two
4
3
125
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
21 days
Aisee🥶🥶
Tweet media one
Tweet media two
11
4
121
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
16 days
Mungu atujalie mwisho mwema😭🥶
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
5
122
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
13 days
😅
Tweet media one
Tweet media two
1
6
121
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
21 days
🥶🥶🥶
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
3
113
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
21 days
Duuh🥶
Tweet media one
Tweet media two
2
3
112
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Hii video ni Kali kuliko Carrier nzima ya mond😁😁
Tweet media one
11
18
104
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Malume n Roma asiyeimba siasa🔥🔥 Kabamiza sana umu
11
16
107
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Ww ni mbunge wa ccm kwann ndani ya nchi hiii HAKUNA SUKARI??
Tweet media one
6
6
100
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Simba la masimba dangote🙌🔥
Tweet media one
4
9
95
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
18 days
🥶
Tweet media one
Tweet media two
16
8
98
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
OKRA MAGIC RASMIIIII NI MWANANCHIIIII
Tweet media one
2
9
91
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Zaburi 9:1 Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu; Zaburi 9:2 Nitafurahi na kukushangilia Wewe; Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu Zaburi 9:3 Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.🙏 #HappyNewYear2024 🌹
Tweet media one
3
13
85
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 months
leo wanangu na mm nifike 1k followers🙌😔
14
20
79
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 days
@ZPlanmaster Hii kilimanjaro wilaya ya mwanga kata ya lembeni apa
9
2
82
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
17 days
Daaah
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
3
81
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
16 days
Duuh
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
0
80
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
16 days
Noma🥶
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
1
80
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
SIMBA VS SINGIDA FULL TIME ( 1 - 2 ) 🏃‍♂️🏃‍♂️😎
Tweet media one
10
11
72
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Ninayaweza mambo yote katika yeyeanitiaye nguvu🙏 Good morning friends of Spurs🚦
Tweet media one
11
8
74
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
5 months
Chama na ubora wake tena simba ikiwa ya moto ila hajawahi kuwa top score na mvp. Appreciate this man✅🔥🔥🙌
Tweet media one
8
7
70
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
2 years
@Ashrafmbwana maana wanaweza kuyafanya anayoyafanya lkn anachokifanya messi hakuna binadamu anayeweza kufanya dat iz😎 ukimzungumzia messi unazungumza kipaji halisi cha mpira hawa wengine wanafosi tu 😂
6
3
68
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
17 days
Watu wako na hasira🥶
Tweet media one
Tweet media two
3
4
69
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
18 days
Wanawake daah
Tweet media one
Tweet media two
3
5
67
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
18 days
Shuka nayo 👇
Tweet media one
Tweet media two
3
5
65
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Aliyetoa Kibali Watalii wakawinde Mamba, ndiyo huyo huyo anayekwenda kuchunguza Watalii kumuuwa Mamba! tz ya maziwa na asali🤔🤔
Tweet media one
3
7
60
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
Huwa mnajisikiaje mkifanyiwa hivi wadada be honestly🥰
Tweet media one
3
3
63
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Hayo mamlaka alikupa nani😂😂
Tweet media one
8
10
61
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
The end mwanamke sas🥶
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
1
63
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Allah awape shifaa inshalaah ndugu zetu wapone haraka😥😥
Tweet media one
7
10
62
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
22 days
@ze_mandevu Haichukui nafasi ya daktari 😀
13
2
63
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 months
@trophacom mimi naomba nikampe mama jiko aache kutumia kuni😔🙌
0
33
58
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
Hii mechi ww ulikuwa wap!? Chama gani!? Nin hutosahau kwenye hii fainali!?? 🤔🤔
14
7
61
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Hakuna ngoma kali ya mwezi January kama i made it huyu jamaa ni jiniazi sna🔥🔥🔥
Tweet media one
7
6
57
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 days
Ila wanawake jau sna kagonganisha mabwana zake siku ya birthday haya sas kilichomkuta ni majuto. 😳🙌
Tweet media one
Tweet media two
12
14
60
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
Asee uko mgodini sio powa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
1
59
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
marioo karudia makosa yale yale itoshe kusema asirudie tena🤕🤕
Tweet media one
1
4
51
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Huu mchele upikwe wapelekewe wabunge bungeni wale ndio tuviamini hivyo virutubisho vyao. 🤒🤒
Tweet media one
Tweet media two
5
11
53
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Mashabiki wa Simba watakavokuwa wanafatilia Draw ya Caf 😃😃👇👇
Tweet media one
3
8
54
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Ayubuuu anamengi ya kujifunza kwa diara ballon dior for diara best goal keeper in the world 💚💚
Tweet media one
3
6
53
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 days
FAIDA CHACHE ZA LAND ROVER FESTIVO. 1.Fuel filling stations zimepiga sana hela. 2.Wamiliki wa kumbi za starehe. 3.wamiliki wa hotel & migahawa. 4.wakulima na wafugaji (watu watanunua sana misosi. 5.Hata madada poa nao wamefaidika (😂👐). 6.sekta ya utalii 🏹Olo in olo faida ni
Tweet media one
4
15
53
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Umesema mama anaupiga mwingi? Haya ngoja tuone na hapa 😁
Tweet media one
4
7
49
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Leo nimeamka mapema asubhi jogoo la kwanza nikawa nafanya jogging nikakumbuka Mathayo 2;4 inasema "na waovu watakimbia bila kukimbizwa" nikarudi kulala zangu😂😂
Tweet media one
6
9
49
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Brothez and sisters aliyemloga Onana ni huyo apo pichani😥
Tweet media one
1
6
50
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
Daah😭
Tweet media one
Tweet media two
2
1
51
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
17 days
Mjini ap
Tweet media one
Tweet media two
2
3
50
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Hivi chama anaweza kumfanyia hivi saidoo😂😂
Tweet media one
6
2
50
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
@iamcleopatricia Kuna hii😍
Tweet media one
4
1
47
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Kiukweli kutoka ndani ya uvungu wa moyo wangu niseme Asanteni sana 😭🤝🙏 familia inazidi kukua let walk together @George_Ambangil @Eddo142 @ze_mandevu @Big0047 shukrani once again🤝🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
10
47
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
12 days
Nimezama dm uko nimeitwa mbwa nifanyje😂 @MsomiKhan18
Tweet media one
5
4
47
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
20 days
Wanawake 😭🥶
Tweet media one
Tweet media two
1
2
47
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Sio Kwamba Hawezi Kuchukua hizo Buku buku Walizopewa Nyumbu Nyingine Kupush Maandamano Yamebuma Hapana ila Akili nyingi Nakuona hazina Faida Mwamba Kasimama From Morning still mpaka Now ni wachache Sna Big up Broo Umefanya kitu kikubwa sana @ze_mandevu ✌🔥🔥✊
Tweet media one
1
4
41
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Mwenyezi mungu abariki kila hatua na akasimamie duah zetu Good morning 🙏🚀.
Tweet media one
1
11
46
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Huyu jamaa bna😀😀😀😂
Tweet media one
12
8
45
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
19 days
Tujifunze apo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
0
47
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
AIRTEL WIFI POCKET🔥 AIRTEL WAMEAMUA🙌 Bei:50000/= SIFA ZA AIRTEL POCKET: ❇️OFA YA GB 20 PAPO HAPO UNAPOSAJILIWA ❇️INAKUJA NA LAIN YAKE SPECIAL ❇️SPEED KUBWA MPAKA 150MBPS ❇️INAUWEZO WA KUUNGANISHA MPKA VIFAA 8(nane) ❇️INAUWEZO WA KU CONNECT MPKA UMBAL WA 100M 0689527503
Tweet media one
6
34
45
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
🎙️Jose Mourinho🇵🇹: "The winner celebrates and the loser explains. Leo Messi is a winner. You can imagine the pressure of losing a World Cup final, two Copa America finals and coming back stronger to win three trophies for your country in a year and half.👇👇
Tweet media one
2
5
45
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
3 months
Nielekeee zangu kwenye TAMASHA KUBWA achana na bonanza lao Jana lililododa🤪🤪🤪
Tweet media one
5
4
46
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Mo tunamtaka pacome simba kwa gharama yoyote huyu jamaa sisi simba anavocheza sis tunafurahi uza chama leta huyu zidane😭
Tweet media one
2
8
44
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
20 days
Et unaomba msamaha🤔
Tweet media one
Tweet media two
4
1
45
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Kila Nikikumbuka Walisema Azizi Ki...Kuna Wachambuzi Walisema Tumepigwa Napoteza Fahamu...😂😂😂
Tweet media one
5
2
43
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 months
Thiago silva ana goli nyingi kuliko Hojlund,Martial na Mount wote kwa pamoja msimu huu 🗣️ @Neypaul01 @Jeba_OG @DullahTheking2 @PresenterNoah
Tweet media one
2
4
43
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Hapa sasa vipigo Bas🔥🔥😁
Tweet media one
1
4
42
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Hili bango limemaliza kila kitu kama ww halijakugusa bas kuna namna kichwani hazimo✊
Tweet media one
2
13
39
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
20 days
Duuuh
Tweet media one
Tweet media two
3
1
44
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Sema ikifikia hatua mwanao yupo umu ww kama mzazi inakuumiza kiasi gan😖😖
Tweet media one
8
5
41
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Mheshimiwa spika anayebisha ngoma ya Harmonize mbaya aje alipe hii😂😂😂
Tweet media one
5
7
44
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Mungu wetu ni Mungu mwenye rehema kwa watu wake wakati wote, Lakini kuna wakati mazingira yanayotuzunguka na hali tunazopitia zinatusahaulisha wema wake. Kuna wakati unaweza kuwa unapitia jambo gumu kiasi kwamba zile fadhili za Mungu kwako hauzioni. 👇👇
Tweet media one
1
6
13
1
1
43
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Oyaa nataka nile Dakuu mida hii nitatoboa wakuu 🤔
Tweet media one
12
8
42
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
7 months
Picha za kesho muda na wakati kma huu 🤣🤣🤣 Zishaanza kuvuja 🙆‍♂️😁
Tweet media one
3
7
40
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Kapiga kama JD wao😀 Goli la msimu📌
Tweet media one
1
1
41
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
8 months
Sema muuni anayepiga apa anakula sehemu safi asee mtoto dogodogo uzuri wake si kidogo mtoto laini maini kimini ww tuu 😋😍
Tweet media one
8
7
41
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
9 months
Hili chimbo liko buza kwa lulenge ni la 🔥🔥
Tweet media one
5
5
38
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 days
Prime james or roben 👇
Tweet media one
2
6
41
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
Sema uyuu mwamba ameupiga sana vitoto vya 2k si vikaleta shobo kumbe mwamba ndiga sio yake akaamua awafanyie unyamaa vilipata aibu kinyama 😃😃😃 video ipo down👇👇👇😃😃
Tweet media one
5
5
40
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
11 months
Tunaishi kwenye Nyakati ambao Shetani anajionesha waziwazi lakini watu bado hawamuoni.😕
Tweet media one
4
2
37
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
10 months
🚦Leo yanga akishinda chini ya goli 3 mniite tatu utamu mtibwa leo anakufa goli 4😌
Tweet media one
11
3
38
@AhmedBenBela_10
AhmedBenBella🔟
6 days
Ila waandishi bana eti una vigezo apendavo harmo 😀 Check video nisikumalizie uhondo👇👇
Tweet media one
3
7
40