Isack Mathew Ilamlila Profile Banner
Isack Mathew Ilamlila Profile
Isack Mathew Ilamlila

@IsackIlamlila

Followers
3,147
Following
1,284
Media
535
Statuses
43,902

Driver🚘 0679521888 WhatsApp/Bussiness @Chelseafc Smiles Car's Members/Rent Cars/Buy 🚘

NBAA House (Mhasibu House)
Joined November 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Mahali pekee ambapo Dar es salaam unaweza kukutana na shetani uso kwa uso ni pale. #KitambaaCheupe Sinza 🔥🔥😂😂💪💪
Tweet media one
115
90
1K
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Kampuni za mabus zimekuja na system kama ya Mabar sasa hv hawa wahudumu ni shida 🔥
Tweet media one
154
96
1K
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Vita ya Allys na Katarama haijawahi kuwa kawaida. Please kama una roho ndogo usitembee na bus za usku zinaitwa hakuna kulala 😂😂😂 Cheki kideo Allys alivyopigwa Na chuma kizito. Video Kwa Comment's.
Tweet media one
68
30
774
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Kumekucha kwenye 1&2 Mwane2 kayatimba Raia wenye hasira kali wanatoa hukumu zao.
Tweet media one
197
55
762
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Kwe2 TABORA tunaziita talali 😀😀😀 Mzgo flani hvi mchachu na ukakasi ila ndo utamu wake, kwa mkoa wako unaazitaji kama ziko?
Tweet media one
471
46
749
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Wanangu mnakakumbuka haka ka website 🤣🤣😂😂 Mazingira fulani hivi ki school
Tweet media one
189
85
731
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Wanangu si nikajichanganya bhana nikajua hutu labda laki2 hivi kudadek Kumbe bei ya kiwanja kivule zingine 🤣🤣🤣
Tweet media one
70
63
665
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Usiombe ukaingia kwenye mfumo wa Hawa jamaa. Utalia na kusaga meno hakika 🤣🤣🤣 Wana talent ya uongeaji kinyama ukifuatilia hyo connection dah ujanja ujanja 2.
Tweet media one
59
71
412
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
26 days
Watoto wa Sinza na Tabata hawawezi Elewa hizi Mambo 😄😄😄 Tena wanaweza wakauliza ndo nn hiki.
Tweet media one
52
43
345
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Vijana Wakiambiwa Tafuteni Pesa kwa Njia zozote, 😂😂😂 Sijasema Muwatag wa2 wa MBEYA hapa.
Tweet media one
37
47
321
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
KAHAMA ndo mahali pekee Tanzania nilipoona MACHOKO yakijiuza bila shaka yoyote na washua wanapaki ndinga ku point. Unaweza nambia wapi tena ulishajionea hili Tukio?
49
26
321
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Tayari Kumekucha huku MGANGA kaingia kwenye mfumo wa kijana wa TABATA. 🤣🤣🤣 kashatendwa. Shwaaaaaaaaa
Tweet media one
27
55
318
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Hivi kuna Tofauti gani kati ya :- Shuga Mammy Na Mshangazi Au ni mnyumbuliko tu wa maneno ? 🤣🤣😂😂 maana s wahenga tulitumia shuga mammy sahv imezuka mshangazi.
Tweet media one
54
31
295
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Kama mtazamaji wa series za korea za kitambo huyu mzee lazma unamjua hata kama isiwe kwa jina lakini sura utaikumbuka 2. Alikiwasha kwenye movie nyng za kikorea 🔥🔥💪
Tweet media one
67
44
264
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Jamani Tusikate Tamaa 😂😂 Usiseme maneno mengi hapa Wewe Rt 2 afu kaendelee kupambania life lako.
Tweet media one
21
39
240
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Kwenye Circle ya Washikaji Zako Una mtu wa kukuazima Mil. 1 chapu ukikwama? 😃😃😃
61
39
247
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Wanangu Familia nimechoka ku Pretend Aisee.. Hivi CHUDAI maana yake nini? Kwa mwenye uelewa, Kuna Mambo za Kufichana lakini si vi2 ndogondogo hizi washikaji zangu. 😀😃😀🙏
Tweet media one
64
21
230
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Mkeo na Wafanyakazi Wenzie Ofisini. Ni siku nyngine ya kuwakumbusha Fear Woman 😄😄😄
Tweet media one
40
49
229
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Toka umeanza kujitambua ushawahi sikia Biashara ya Ukahaba TARIME? Hehehe babeki kule amnaga mambo za ajabu ajabu TATA MULA wanakukata mchana kweupe peleka huku ujinga jinga wako.
49
52
223
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Throwback Thursday.. Internet haipotezi kumbukumbu wanasema Enzi hzo bbie anatumia IPhone Hahaha. Sema mjomba Yoooo nambie sana formula yake ni kimya kimya anaga mambo mengi kama qwevooo.
Tweet media one
21
48
200
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Hilo chuma ukija na mitungi yako dereva uiondoi kamwe 😂😂😂
Tweet media one
8
29
191
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Ulishawahi kuwaomba namba wale madem wanaokunywa Savanna 1 lisaa zima Bar? Utasikia ya nn? 😂😂😂🍻🍻🍻🚮🚮🚮
Tweet media one
18
18
179
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Happy birthday to Me..🔥🔥🔥
Tweet media one
90
72
183
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Tujipost jamani Hata tukipotea kutoweka watu watutafute sasa unajificha kama BANGE ukitoweka tutatafuta katuni 😂😂😂🤣🤣🤣
Tweet media one
27
35
180
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Kata tickets na Allys bus Shisha utaikuta ndani.
Tweet media one
26
50
173
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Utaratibu ni ule ule mtangulize mchumba ww njoo kwa nyuma taratibu ili ukiona mpumbavu anamnyemeleza umzabe mikofi. 😃😃😃. Kama auna hata D 3 uwezi nielewa hapa.
Tweet media one
26
50
168
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Kwanza kushabikia ma Mpira Kosa, Haramu Eeeh ndio
Tweet media one
16
44
169
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
18 days
Unaonana Kadada Kazuri Kanakuangalia Na Sex Eyes Kumbe Kanajamba Kipolepole. 😂😂😂
25
31
166
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Pisi kali siku hizi zimehamia kwenye Mabusi sio Bar Wala Super Market, Na hizi route za Usiku.. 😃😃😃
Tweet media one
15
21
161
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
9
15
157
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Inakulazimu uwe na D atleast 3 kuelewa hii PICHA... 😂😂😂😆😆😆🤣🤣🤣 Wahuni wote peponi....
Tweet media one
56
24
153
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Wazee wa njombe walikubalina akija kavaa zote ndo inakuje hivi 😂😂😂
Tweet media one
37
32
152
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Mle Jamani 😂😂😂 Sio una retweet tuh.
Tweet media one
27
28
152
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Kweli ARUSHA ni nchi nyingine wazeee... 🤣🤣🤣😂😂😂🚮🚮🚮🔥🔥🔥 Kubabeki aseeee.
Tweet media one
16
23
147
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
19 days
Mtoto wa Kike akiamua Kufanya Dhambi yake Shetani Mwenyewe Anakaha Mahali Asnashika Kichwa Anatetemeka Mwili Mzma. Vuta picha Maumivu yake Hapa Yanakuwaje?
Tweet media one
41
49
144
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Em tuweni seriously kidogo hivi unawezaje kuogopa kiumbe hakina mguu wala mikono? Mwenyezi Mungu ametupa mamlaka ya kutawala viumbe vyote vya kwenye uso wa Dunia vinavyoonekanika hata vile visivyoonekanika. 🔥 🔥 🔥 Huyu namchesha supu2 easy
Tweet media one
42
32
138
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Chuma itasukwa na itatembea 🔥 Wanaume tumeumbwa mateso
Tweet media one
24
39
136
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Huu Mradi uanze 2 kwakweli 😂😂😂
Tweet media one
24
32
127
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Kwahiyo Imepita kwamba Dunia kuna Aina simu 2 tu za simu ambazo ni ;- 1. IPhone 2. Samsung Hizi zingine ni vitunza laini tuh 🚮🚮🚮
32
45
125
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Mwezi wa 2 nilipotembelea CHINA 😃🤣😂 Huu mji ni mzuri washkaji mwezi wa 7 ntaludi tena kule, 🏃🏃🏃 wapuuzi watasema edit.
Tweet media one
38
53
126
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Hivi kuna Movie kali ya mtoto wa kike inayohusu kisasi (revenge) kushinda hii Colombian 2011 Hii kazi imesimama haswaaa 🔥
Tweet media one
24
42
121
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Kumsamehe Mwanamke Ambaye ka Cheat kipindi cha uchumba au mahusiano akajua atabadilika ukimuoa ni kutengeneza BOMU linalokwenda kukulipua Mwenyewe. Hiyo ni Red flag Piga Chini Umbwa huyo.. By the Way hii gari sio Yangu yangu ni hyo IST pembeni maana amkawiii
Tweet media one
29
59
123
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Bi Mkubwa aseee! I'm speechless kwakweli...
Tweet media one
15
38
122
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Vijana wanaondesha SUBARU Impreza watasema hapa jikoni. 😂😂🤣🤣
Tweet media one
21
25
116
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Ukweli ni kwamba sio kila mwanamke anapenda hela, wengine wanapenda hela kweli ila kuna wengine nao wanapenda hela na kuna baadhi yao pia wanapenda hela then waliobaki wote pia wanapenda hela. 😂😂😂 GM familia kubwa.
Tweet media one
28
36
118
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Sniper Mdunguaji, Em tafuta jina lengine kwa LEGEND WE2 WA BONGO MOVIE TZ. Ama tuseme hakikisha unakula ulichokilisha
Tweet media one
11
42
111
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Wanangu wa CHUGA kumbe mko na chuma kali hivi na amsemi hvi hzo side mirror zikiwa ndefu hvo ndo zinaonekana pouwa mazee? 😄😄😄😄😄😄 tilisho ntakuja nalo chuga
Tweet media one
16
45
117
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Hivi Ukitaka Kumuachia Love Bite Mwanamke Mweusi Unafanyaje? 😂😂😂🤣🤣🤣
32
31
115
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Usitoe ushauri kamwe hadi Uombwe.. Na msijifiche kama bange 😂😂😂🔥🔥🔥
Tweet media one
18
50
114
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Jobless nitoe ki2 cha mzuzu na nyama kidogo. Nipoze wadudu tumboni.. Ukipata chance ya kula usisite mazee. Kuna wa2 wako mahali wanakula kwa pipe sahii..
Tweet media one
Tweet media two
14
42
113
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Mtu na Shoga Ake 😂😂😂
Tweet media one
32
44
109
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
20 days
Nisaidieni Kumuwish Huyu Bibie Kheri Na Baraka Katika Siku Yake ya Kuzaliwa 🎂🙏🍻🍜 Happy Birthday @dahastlergirl Ishi Sana Long Live The Queen 🍻🍻🍻
Tweet media one
36
69
112
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Mwanadamu Aliyezaliwa na Mwanamke Siku zake za Kuishi Hapa Duniani ni Chache Sana. Hivo Tumkumbuke Mungu Wetu katika Siku Za Ujana Wetu.
Tweet media one
26
46
108
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Dereva wa Adventure katiwa Mboloni. Kawavagaa Wajomba 😂😂😂
Tweet media one
18
13
106
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
21 days
Sitawafundisha kila ki2 😂😂😂🍻🍻🍻 Hapa Town vingine jiongeze 2 hapo unapata Cocktails 1 ya Kibabe Sana usisahau 🍋 Na ❄
Tweet media one
14
24
105
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Madereva wenzangu X tusaidiane hiki kibao kinamanisha nn? Kwamba wazee wa kazi wanapaa hapa au? 🤣🤣🤣😂😂😂
Tweet media one
18
29
102
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Katarama Anakimbiza Mwizi kimya kimya kelele atapiga mwenyewe. Sijasema mu watag (Allys). Hapa ila amini kama zile g7 chache 2 zimechafua hewa Mwanza 2 Dsm zikishuka na hizi Irizar 🔥 🔥 🔥 litakufa ji2.
Tweet media one
7
17
101
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Nakanyaga kitoweo safiii Ila watoto wa kishua wanaweza kusema nakula NYOKA 😃🤣😂😃💪🔥 Hawa ni kambale jaman watoto wa DAR ES SALAAM...
Tweet media one
Tweet media two
12
46
103
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
5 months
Hizi Habari zinazoendelea kwamba mchizi ni Upinde ni kweli washkaji au ndo mana mshabiki wa Aseno 🤣🤣🤣. Maana aseno kwa hizi Mambo 🏃🏃
Tweet media one
20
15
100
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
29 days
Popote Palipo na Kitu kinaitwa Pesa na kinawahusisha watu wengi Mifarakano lazima iwepo, Kufa kufaana watu wanakula mpaka Pesa za Jeneza na Michango Misiba. Anyways Mungu akatutie Nguvu katika kipindi hiki mpango wetu ulikuwa mzuri lakini tushawekewa virus ndani yetu.
19
54
101
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba. God Over Everything.
19
47
99
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Hata Mki Kasirika Sawa Simu ni 3 Tuh. 1. Iphone 2. Samsung 3. Google Pixel Hizo zingine Vifaa vya Mawasiliano na Calculator.
22
23
103
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Taqabbalallahu minna wa Minkum wa Eidun mubaraq 🔥🔥🔥
Tweet media one
16
43
96
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
23 days
Alhamisi ya Leo ikawe ya Kheri Deals Zilizokufa Zikaamke Mambo Mazuri yakakuzunguke kuanzia kwenye Familia Yako ikiwezekana hata wadeni wako Wakawe Wapole Ili Uweze Kusonga na Ratiba Zingine, Simu yako Ikaite Habari njema na nzuri kwako. Eeh Mwenyezi Mungu kila Mwenye Imani 🙏
25
58
101
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Simu yako ya Mwisho ya BEI kumnunulia Mpenzi wako ilikuwa Tsh: ngapi na Aina gani? Me: Huawei Y5p 220k laki 2 na 20 na nahisi kabisa nilipulizwa na mizizi 😂😂😂 toka siku iyo mpk leo sijaludia huu upumbavu.
Tweet media one
22
20
98
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Mwenyezi Mungu akabariki ukawe na Siku Njema yenye kila Mafanikio simu yako ikapokee habari nzuri za kazi na Connection. Na kila Mwenye Imani yake Apokee Baraka. God Over Everything
28
61
98
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Wanyama Hatari zaidi Duniani wakiwa kwenye Picha ya Pozi1 #Kubabeki 😂😂😂 Mkija mje kwa kutulia sawa eeh.
Tweet media one
17
38
99
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Kuna uhusiano wowote kati ya Pesa na Madem weupe (Pic nyeupe) washikaji? Hawa wa2 kama wana undugu flani hivi...
11
42
101
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Nampenda Yesu ni Bwana wa Maisha Yangu Ukome.. taja mstari mwingine ambao huwa wanautoaga hawa ukiomba mzigo.😂🤣😃
Tweet media one
21
36
96
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
11 days
Goodmorning Wazee. Kama hauna 120k Geita usiguse Mlango utakuja Iba Simu za Wateja 😂😂😂 Siku nyingine ya kuendele kukumbusha Ulaya Ni hapahapa Tanzania Tutafute Pesa Tuh washikaji #malessa
Tweet media one
25
42
100
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
22 days
Toka Umeanza Kujitambua Ushawahi Kutazama Series Kali yenye Mambo ya Kishenzi kuzidi Hii #Spartacus 😄😄😄 Hii ilikuwa Zaidi ya #Porno akuna kijana wa Hivyo ajacheki huu Mzigo 😆😆😆
Tweet media one
24
25
98
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Madem Wote Waaminifu Isipokuwa Tuh pale unapoamua Kwenda Kushika Simu Zao. 😂😂😂🤣🤣🤣 Usishike Simu ya Demu wako. Aiseee Mkumbushe na Mshikaji wako pembeni HAPO.
22
29
97
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Machuguzi ni yako Mwenyewe Utafute mwanamke mwenye akiri zake timamu akusaidie kimawazo na maisha kwa ujumla mtoke stage moja kwenda nyingine. Au uchague MAKASAMENDE yakupoteze kwenye Dira kabisa amini nakwambia Waliofanikiwa wote walianza ku point wanawake wenye akiri timamu..
Tweet media one
22
55
97
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Kwetu Tabora kule Tunaita Kisusio Sijui Kwenu Mnaitaje Huu Mzgo. Ni Damu ya ngombe Aliechinjwa inapikwa inakuwa kama Maini hivi Oya sio Poa. Watoto Wa Dar es salaam Watahisi Nimeua Mtu Hapa. 😂😂😂😂 Mkataa kwao Mtumwa Jamani.
Tweet media one
28
51
93
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Niue nakwambia Niue s unataka ubaki na huyo malaya wako 😂😂😂.. Em leta mstari mwingine ambao mwajuma alikuwa anapayuka kwa muhuni hapa..
Tweet media one
24
37
97
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
22 days
Wazeee wa Matambala Wa Kishua Em mje. Ukiambiwa uludie utapita na Ipi? 1. Spartacus 🔞 2. Banshee 🔞 3. Viking 🔞 4. Got (Game of Thrones) 🔞 5. Strike Back 🔞 6. Breaking Bad 7. Prison Breaks 8. Lost 9. The 100 10. Into the Badlands Nisaidie kuongeza zingine kwenye List!
32
30
93
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
29 days
Yeyote anayekunganisha kwenye Deals za Kuingiza Pesa Automatically anakuwa Familia. Kama uko na Mwana kama Huyu Mshike Sana. Mtu wa Maana Kabisa Huyu, Mbinguni yuko na nafasi yake.
16
53
95
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Wanazi Mtuambie Shabiby la GEITA jana alifanikiwa kujaza au ndo alitembea Mswaki mbele ya Mallesa 💪🔥, na hapo Magufuli mkeka umekaaje? Tupeni report..
Tweet media one
10
41
93
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
17 days
Tengeneza Muda wa kufurahi Maana Muda wa kuteseka Hujitengeneza Wenyewe📌📌📌 Siku Yako ikawe Na utofauti Kafanikishe Kile Nafsi yako inatamani na Mungu wa Mbinguni Akakupiganie Dhidi ya Maadui Zako. Amen 🙏🙏🙏
26
59
94
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba. 🔥🔥🔥
20
51
90
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Hakuna Falme Ambayo haipewi changamoto na mpinzani, Allys Rock City ana Falme yake lakini huyu Katarama kaja na really taste ya Challenge. Anapeleka pumzi ya moto. Kama kule Tunduma ABC na zile EFS series zake litakufa ji2 very soon. 🤣🤣😂😂
Tweet media one
11
27
89
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Na si ulisema pia Kodi imekwisha Sio? 😂😂😂
Tweet media one
21
27
89
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
2 months
Mpenzi wako yuko na Mpenzi wake sahivi, Na anamwambia mpenzi wake mpya kwamba wewe NG'OMBE ulikuwa Umfikishi..
10
27
90
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Mwezi Wa 7 ukawe Wa Baraka Nyingi katika Maisha yako usiwe na Hekaheka ukakupa Depression usifikie Malengo yako. Katika Maombi yako Muombe Mungu akupe Mahusiano ya Amani pia Ayo yatakuongoza kwenda NCHI ya Ahadi Pia.
22
51
88
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Inasemakana mwanamke akiamua kufanya Dhambi zake Shetani mwenyewe anakaha pembeni anasikitika 🤣🤣😂😂 Hawa viumbe ni hatari OGOPA.
Tweet media one
15
23
85
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Oyaa Mazeee... Jamaa ze2 wa ... SINZA KINONDONI TABATA GOBA Watakuwa wanafaham kweli hili ZAGA 😃😃
Tweet media one
25
41
87
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Tuacheni masikhara bhana mkojo wa asubh mtamu mazee.😂😂😂
20
33
85
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
1 month
Kama Ulimuomba Mungu kwa Usiku Mwema Basi hata kwa Asubuhi Njema Pia yakupasa Fanya Hivoo. God Over Everything
29
46
88
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Hapa ndio KIGOMA MWISHO WA RELI. kama ushawahi sikia mwisho wa reli ndo mahali penyewe hapa ngombe wewe upo Tanzania na uijui Tanzania 😂😂😂
Tweet media one
20
41
82
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
15 days
Sisi Ambao Kwetu Hatuna Vya Kurithi 🙏🙏🙏 Mwenyezi Mungu akatufanyie Wepesi Katika Pilika Zetu, Kusudi Kesho ya Watoto Wetu isiwe Kama Leo Yetu.. Na Ikawe 🙏🙏🙏
22
42
84
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Wakazi wa Mpigi Majoe na Mvua hizi .. 😄😄😄 usicheke
Tweet media one
13
17
84
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
3 months
Mnao Mfananisha Young lunya na Young killer Aiseeee sijui bange mnayovutaga ni ya WAPI? Unamfananisha vipi killer Mwanza Mwanza na mtoto sukari huyu, Lunya ni swaggz 2 hip hop amna mle anapiga kelele kama generator 2...
25
22
85
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Chuma imewasili magufuli terminal saa 6:06am Ukali utafikili limepaa hapa katikati kumbe linagusa ardhi mamae. #BADO UJASEMA, NA MPKA USEME.
Tweet media one
12
38
81
@IsackIlamlila
Isack Mathew Ilamlila
4 months
Ushawahi Enda gym ukakuta mkeo, mpnz wako anachofanyiwa na gym trainer aseee it's shame
Tweet media one
20
28
83