Benedict lukanyima Profile
Benedict lukanyima

@Benbellah89

Followers
2K
Following
31K
Media
220
Statuses
17K

Mwanza finest

Joined April 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Benbellah89
Benedict lukanyima
8 months
Unaweza kufurahia kile ulichonacho na hatua unazopiga bila kuwabeza waliokutangulia. Kesho ni fumbo. Usione watu wanaongea kwa tahadhari. Maisha yamewahekimisha. @cc @bwaya
13
43
44
@imdior01
169🍁
3 days
Mwanaume ni kiumbe pekee ambacho anaweza akatoka nyumbani alfajiri kwa ujasiri kwenda kuangaikia familia mkijua yuko sawa kumbe anaumwa sana na ameficha dawa ili familia isiwe na hofu. Wakuu tuwapende sana baba zetu.🙏🏾
22
93
256
@imdior01
169🍁
14 days
He needs some new eggs.🥚😂
11
35
85
@Buberwa_
Eng.Harrison HR
18 days
Siachani Nawe - Barakah The Prince🎶 Sawa janja ana kiburi ila hapa aliua sana 🙌
4
4
28
@MaevaSKH
Maëva Haguma
18 days
Got my selfie with Ganza ! #Kigali2025
10
44
762
@Ngabo_Karegeya
IBERE RYA BIGOGWE🇷🇼
18 days
Bashake indi ngangi bita Ngabo ndabona nsa nazo 😂😂😂
10
19
355
@KiandaWa14
Mthesalonike Wa KIANDA✍️
18 days
Dear Dadaz; Kimsingi wanaume wenye malengo na Uaminifu, wapo wengi sana tatizo hatuna Shekel mifukoni. Wanaume waoaji wapo tatizo nyie mnaingia kwenye mahusiano Kwa masrahi. Dear BOIZ wenye PESA endeleeni kuwatumia DADAZI wenye tamaa mpaka wakome.
7
23
78
@joselyinechap
Joselyine Chap❤️
18 days
Mwaramutse? Nubona iyi tweet wumve ko nkwifurije umunsi mwiza❤️
23
6
56
@joselyinechap
Joselyine Chap❤️
19 days
Ese koko nibyo abagabo nabasore bakunda Nyash cg nikigare?!!😩🥹😁
18
1
38
@imdior01
169🍁
18 days
Unapojisikia umechoka, kumbuka ni kwa sababu umebeba ndoto kubwa. Pumzika, lakini usiache kupambana..🫱🏾‍🫲🏿
3
25
69
@EngJubel
Eng Jubel
18 days
Jana tumeshuhudia kiumbe hatari zaidi kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa soka akicheza mechi yake ya mwisho akiwa uwanja wa nyumbani.
2
4
21
@were46261
vicky
18 days
Mnanisaidiaje jamani 🙆‍♀️watu wa mikopo wananitishia maisha.. wanataka waniue
53
21
155
@Sukayotz
EL SUKAYO🇹🇿
18 days
Najiombea na vilevile nakuombea kwa MUNGU siku moja umiliki mjengo kama huu
13
18
94
@LastbornFey22
Fey Lastborn🌹
18 days
Tuliko toka ni mbali maana tunajikubali, Mungu anatusimamia hatuchoki kujipambania.🌹
11
30
54
@KiandaWa14
Mthesalonike Wa KIANDA✍️
19 days
Dear Dadaz; Wanaume tutaendelea kukataa MIMBA ikiwa nyie wenyewe mna mahusiano na wanaume wengi🚮 Mtazitoa sana Mimba ikiwa hamtakuwa na msimamo/ chaguzi Bora za wanaume mnao date nao. Wanaosema WANAUME wote ni MBWA ni wale ambao walikurupuka kwenye chaguzi. Men Never Cheat🙏
8
34
65
@jayii22
Jane
19 days
Nyie Jezi ni expensive sana ...wangu nitamnunulia kitenge😭😭❤️😂😂
15
28
47
@jayii22
Jane
19 days
Usikate tamaa! Uko karibu kuliko unavyofikiria
26
53
87
@bwaya
Christian Bwaya
19 days
Ukipata mtu anayeweza kukufanya ujisikie kueleweka —mtu unayemwamini; msikivu, anayekufanya uamini unasikika, unaaminika, unathaminika; mtu asiyekulaumu, asiyetafsiri unachomwambia kukidhi matarajio yake, asiyekuhukumu kwa makosa uliyofanya— utajitengenezea kinga ya magonjwa
6
17
44
@shaks_prince
Shakur Faith
19 days
Albert Einstein alisema - "An empty stomach is not a good POLITICAL adviser" Yani "Tumbo tupu sio mshauri mzuri wa Kisiasa". Gm
16
23
104
@EngJubel
Eng Jubel
19 days
Mbeya kuna utajiri wa mahindi, yaani kuku akidonoa mahindi mawili unaishi miaka miwili ya utajiri wa kufa mtu. Aliye tayari 📥.
5
2
22
@LastbornFey22
Fey Lastborn🌹
19 days
Akili husahau haraka lakini moyo hukumbuka siku zote.🌹
16
49
87