Mdada akishakuwa na mabwana zake 2-3 anawachuna anaona raha kweli ila sasa wanaume wakishajua huwa wanavunga tu wanasubiri muda apate mimba alafu ndio wakatae iyo mimba sasa
Alafu mdada unakuja kusema all men are dogs wakati we mwenyewe ni kenge maji...😁😁
Kuna baadhi ya wanawake Watakupotezea muda wako Tu
wapo kwaajili ya kukupa presha..
Focus kwenye maisha yako na mikakati yako utapata kitu flani hivi Bora kuliko huyo mwanamke..
@ddaught3r
1. wamesafiri mara nyingi sana
2. mara zote kampeleka yeye
3. amelia sana maana sponsor atakua busy na wife
Mke awe makini shamba lake la miwa lipo karibu na shule ya msingi
Kama unapitia magumu katika maisha we pambana tu kuhakikisha unayavuka, maana unaweza kudhani mungu anakuandaa kwaajili ya baadae yako kumbe anakuadhibu kwa mabaya yako ya nyuma,
Good morning 🌞
@kalage_jr
Hili duka ni letu kabisa kaka, focus sasa ihamie kwenye hatua kubwa zaidi ya hii wanachuo wakimaliza wasiuze simu tu wawe wanakuja kuchukua kwa Jumla kwa
@kalage_jr
@Mzee_NYOKO
Slide ya mwisho kakuuliza swali la msingi Sana na umekosa majibu kiufupi wewe ndo umezingua 😂 au ulikua nania yakumuoa na kakwambia ana mtu??
"Kula nyama nyamaza" Mengine mwachie Mwenyewe
"Let kids be kids"
Watu wa haki za watoto hawawezi kuona ujinga wanafanya Wazazi lakini watakanda mtu kwa ubakaji
Sihalalishi kitu but let's be honest Globalization and Westernisation is Failing our society big time,
Mtoto anavalishwa uchi unamsexisha na kumuuza mtandaoni...🤔