Togolani Mavura Profile
Togolani Mavura

@tonytogolani

Followers
260K
Following
133K
Statuses
83K

Kila Mtu kwa KARAMA yake, KADRI yake na KUDRA yake! To Each, According to Own Gifts, Own Abilities and Own Destiny

Dar es Salaam
Joined January 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@tonytogolani
Togolani Mavura
3 years
Uhuru wa maoni ni pamoja na uhuru wa kuamua kutowajibu vibaya watu wenye maoni tofauti na wewe; kutowajibu wanaokukebehi, kukutukana na kukubeza. Ukimya nao ni matumizi ya uhuru!
101
473
2K
@tonytogolani
Togolani Mavura
23 hours
RT @SikilizaTogolan: "Si kila vita ni vya kupigana, vingine vinakupotezea muda, pigana vita vyenye manufaa nawe." ~Togolani Mavura. https:/…
0
93
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
2 days
RT @ECSA_HC: Official Announcement: Dr. Ntuli Angyelile Kapologwe Appointed as ECSA-HC Director General! 🌍👏 At the #74ECSAHMC, the HMC Cha…
0
125
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
2 days
RT @SikilizaTogolan: Nasaha zangu za siku ya leo.
Tweet media one
0
107
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
3 days
@HKigwangalla Maneno mazito na ushauri wa nadra sana kutolewa kwa vijana wa kiume.
1
0
25
@tonytogolani
Togolani Mavura
3 days
RT @HKigwangalla: Leo nataka kuzungumza na boys; wadogo zangu wapiganaji kabisa: 1.) Maisha siyo rahisi sana. Mafanikio siyo rahisi kabis…
0
463
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
3 days
RT @moddyyakubu: Despite the challenges of geography, Tanzania has made remarkable progress in healthcare by reducing under-five mortality…
0
18
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
3 days
RT @SikilizaTogolan: "Wakati wa Mungu hauwahi wala hauchelewi. Mwenyezi Mungu yuko na kila yule mwenye kusubiri." ~Togolani Mavura. https:/…
0
133
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
4 days
RT @SikilizaTogolan: "Ukichelewa kuamua, utaamuliwa maana maamuzi mengine ya wengine nayo hayawezi kusimama kusubiri maamuzi yako hadi hapo…
0
96
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
4 days
RT @UbaloziKorea: Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limekutana na ujumbe wa Shirika la Madini la Korea (KOMIR) jijini Dar es Salaam kuja…
0
6
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
5 days
RT @SuluhuSamia: I am deeply saddened to learn of the passing of the Founding President and Founding Father of the Nation of the Republic o…
0
496
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
5 days
RT @rutaraka: 📚‼️𝗙𝗨𝗥𝗦𝗔 ‼️ 𝗙𝗨𝗥𝗦𝗔‼️ 𝗙𝗨𝗥𝗦𝗔‼️📚 🇹🇿🇰🇷 Ubalozi wa Tanzania Korea Kusini, @UbaloziKorea unautangazia umma wa Watanzania hususani v…
0
4
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
5 days
RT @SikilizaTogolan: "Hata minong'ono huondoa utulivu penye ukimya." ~Togolani Mavura.
Tweet media one
0
95
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
5 days
RT @rutaraka: 📍Dar es Salaam 🇹🇿🇰🇷 Wataalam kutoka Chuo Kikuu cha Yonsei cha nchini Korea Kusini wametembelea Hospitali ya Taifa Muhimbili…
0
5
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
5 days
RT @Hakingowi: 📍IKULU,Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano wa p…
0
3
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
6 days
RT @UbaloziKorea: Ubalozi wa Tanzania Korea Kusini unawatangazia kuwa Serikali ya Korea Korea Kusini imetangaza nafasi za udhamini wa Masom…
0
16
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
6 days
RT @SikilizaTogolan: "Mara nyingi jambo lako linashindwa kutokea kutokana na kuanika wazi mipango yako kwa maadui zako." ~Togolani Mavura.…
0
140
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
7 days
RT @SikilizaTogolan: "Kuna watu ni daraja la kuivusha riziki kwa wengine na kuna watu ni tuta la kukinga riziki isiwafikie kirahisi wengine…
0
127
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
7 days
RT @HassaniMwamweta: Makampuni zaidi ya 20 kutoka Tanzania yameweza kushiriki kwa mafanikio kwenye maonyesho makubwa ya bidhaa za matunda n…
0
34
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
8 days
RT @SikilizaTogolan: "Usichanganye Uvumilivu na Subra. Tafakari!" ~Togolani Mavura
Tweet media one
0
120
0
@tonytogolani
Togolani Mavura
8 days
RT @ally_mkumba87: @SikilizaTogolan @tonytogolani Inamaanisha kuwa ikiwa una taarifa chache kuhusu jambo fulani, unapaswa kuepuka kutoa mao…
0
1
0