— Huyu hapa, kijana ambaye aliitetemesha dunia kwa kuivua nguo mifumo ya CIA, akiwa na miaka 15 tu!
— Nyaraka zote ambazo wao waliamini ni za siri na hakuna wa kuweza kuzifikia, kijana alizifunua na kuzigeuza atakavyo.
— Jina lake ni KANE GAMBLE (Tamka: Ken Gembo)...
Na huu ni
— Anasadikika kuwa mtu mwenye akili sana duniani. Alifanya kazi Marekani katika idara nyeti za nchi hiyo, baadaye akatimkia Urusi.
— Wakati jeshi la Marekani likimuweka kwenye orodha ya watu WANTED zaidi, Putin amempokea, akamtunuku URAIA na ameahidi kumlinda kwa GHARAMA yoyote
Kichwa hiki...
— CIA, MOSSAD, na mashirika mengine ya kijasusi duniani, wote waliingia chimbo kumsaka, wakaambulia patupu kwa zaidi ya miaka 25!!!
— FBI wao wakaweka kitita cha dola milioni tano, kwa yeyote wa kukileta kichwa chake.
— Unasema OSAMA BIN LADEN ni hatari?
Bado
"Mtoto wetu wa miaka miwili alichezea bunduki, akamfyatua kwa bahati mbaya baba'ake na kumuua!"
Haya maelezo aliyatoa Sharon Kinne.
Mrembo ambaye alitoroka gerezani, akatafutwa kwa zaidi ya miaka hamsini sasa bila ya kupatikana.
Wamexico walimuita LA PASTOLERA. Wakimaanisha
"Natafuta mtu wa kuanzia miaka 18 mpaka 30, nimchinje na nimtafune nyama yake!"
Mwaka 2001, katika tovuti ya 'the cannibal cafe', mwanaume mmoja alichapisha maneno hayo.
Wapo waliokemea, wengine wakafanyia mzaha kwa kudhani ni utani.
Mwisho akapatikana aliyekubali.
Nini
Umekutana na WEHU wengi, lakini nina uhakika haujawahi kumsikia huyu jamaa...
— Alipokuwa na umri wa miaka 9, aliichoma moto shule aliyokuwa akisoma.
— Ukubwani alianzisha imani yake. Yeye akiwa ndiye MWOKOZI MKUU. Mafundisho yake yaliruhusu MADAWA na UASHERATI.
— Hakukosa
STORY TIME: Part 03
— Ni muuza simu Karimu na mteja wake Nasra. Tuliishia jamaa anadai anaomba dua, ili binti alikubali ombi la kufika geto...
Tusonge sasa...👇🏽
STORY TIME: Part 04
— Karim alishtuka baada ya Nasra kudai ana mtoto. Hakutegemea wakati tayari mpango ulikuwa ni kuonana.
— Mwamba alinasuka vipi?
Tusonge...😂👇🏽
Maninja bado wapo duniani?
Jamaa alikuwa dereva bodaboda tu, wahuni wakamfanyia ushenzi.
Hawakujua wanayatimba kwa mtu mwenye maarifa makali zaidi ya mapigano, Ninja.
Kwa namna alivyokuwa anacheka na kila mtu mtaani, utaratibu wake, wala hakuna aliyewahi kudhani kuwa jamaa
— Alikuwa ni kijana ambaye hajafikisha hata miaka 30, lakini alizitikisa karibu nchi saba zilizokuwa zikimtafuta. Marekani ikiwemo.
— Majasusi kutoka mashirika 11 duniani, waliliimba jina lake.
—Ni THE KING OF DARK WEB! Mmiliki wa kwanza wa ALPHABAY.
Muite ALPHA 02. Codename
Alhamdulillah...
Leo nimeongeza mwaka katika umri wangu...
Pia, rasmi, nimeingia katika ukurasa mpya wa maisha ya ndoa.
Mwenyezi Mungu atusimamie, Amiiin!
Dully karudi kwa namba nyingine bwana!😂
Katumalizia kile kisanga cha demu wa kigodoro, hapo hapo kaanzisha kipengele kingine...
Unamjua Mwajuma Mtanga wewe?😅
Tiririka...😁👇🏽
Ni rasmi mtunzi wenu nitakuwa nikiandaa stories tamu za mapenzi zitakazokuwa zikiruka ile mida ya popo ile. Night kali.
Msimuliaji si mwingine bali ni damu changa, yenye kipaji cha hali ya juu, Amirado.
Kituo ni kimoja tu, dunia mpya ya vijana...
BONGO FM!!
Alhamdulillah...!
SIMU KWA VEE!
Vijana wa Tabata mmemfanya nini huyu binti?😃
(Nilikuwa nakula. Ikabidi niweke kwanza sahani kando ili nimpandie hewani...👇🏽)
Vee: Aby mambo? Sorry, wait kidogo usikate, nasogea kando ili tuongee vizuri...
(Mimi: Sawa Vee, haina shida!)
(Baada ya sekunde
— Ni mwaka wa 62 huu, jamaa hajui kabisa kitu kinachoitwa USINGIZI. Hajawahi kulala.
— Hayupo mahututi hospitalini. Anachapa TUNGI kama kawaida, hizo FEGI nd'o usiseme!
— Madaktari wanakuna vichwa tu. Hawana jibu wala maelezo.
Anaitwa THAI NGOC, niko hapa kukupa habari kuhusu
Mapokezi yenu ya mkasa wa Dully yamekuwa makubwa sana. Ahsanteni mno!
Mimi ni mwandishi wa fasihi ya Kiswahili. Usiku ni muda wangu mzuri sana wa kuandika. Msijali, jamaa akija tu online, nitabonga naye ili kesho tuendelee!
Muwe na usiku mwema!😁😁
Mapokezi yenu ni ya kuimbwa kwa sauti kuu zenye unyenyekevu uliojaa shukrani aisee!
Mmemuelewa sana Dully. Tena mmemuelewa kwa vitendo. Nipo hapa kusema kuwa SITAWAANGUSHA.
Jamaa akitokea tu online, tunamdaka aendelee kutupa maelezo kamili...😂😂😂😁
Usiku mwema kwenu!
Hizi texts nimetumiwa Jumatano. WhatsApp.
—Watu tunapitia mengi sana.
—Unaweza ukapishana na mtu kauli njiani ama mtandaoni, kumbe mwenzako kichwa kina mambo yameshamvuruga.
— Kijana mwenzetu huyu kakumbana na jua la utosi.
Nimeamua kuwasogezea burudani tu wanangu. Hatutauziana/Hatuuziani wala kuchangishana mabunda.
Mapokezi yenu ya mkasa huu yamekuwa malipo makubwa sana...
Kanuni wazee!!!
Kaka mkubwa
@IdrisSultan
, ahsante sana brother, mzigo wetu umenifikia na nimeupokea ALHAMDULILLAH.
Ndugu zangu mlionipigia KURA, kwa wingi wenu, bado natafakari ni shukrani ya namna gani inaweza kulipiku neno AHSANTE kwenu.
Mungu awabariki sana!
Kuna huyu anaitwa JOSEPH MAGABE huko INSTAGRAM anafanya UPUMBAVU na USHAMBA wa kiwango cha LAMI!
Halafu eti anajiita MWALIMU, wanampa TUZO na madai yake ni MWANASAIKOLOJIA.
Mwanasaikolojia gani MWIZI?
Juzi nilikuwa nasema watu wasiibe STORIES zangu, lakini baadaye nikaona
TONY MENDEZ...
— Walimtunuku cheo cha THE MASTER OF DISGUISE. Mzee wa kuficha uhalisia wake na kujipoteza kwa wepesi.
— Kama ambavyo MKATE si MGUMU ndani ya CHAI, basi kumtorosha mtu kwa CIA haikuwa kazi ngumu akikabidhiwa huyu mwamba...
— Alichokifanya huko IRAN kitaishi
Ahsanteni sana wakuu. Mmenionesha upendo na kuthamini kipawa nilichoamua kuja kukidhirisha kwenu. Ahsanteni sana!
Instagram wamepiga kura watu 720+ pekee, hata tukisema tumwachie wote kijana wangu, bado tutakuwa mbali.
Kimsingi, nimpongeze sana SHELUKINDO! Ni familia huyu!
@IdrisSultan
Title: NANI?
Juma na Mwajuma, wapenzi wa zamani chuoni wanakutana katika usiku wa Valentine baada ya kupotezana kwa karibu miaka minne.
Katika kipindi hicho cha ukimya, hakuna ambaye alikuwa ana habari kuhusu mwenziye.
Waliamua kufutana.
Lakini...
SIMU KWA VEE...
(Iliita, ikakata. Baada ya muda mfupi akapiga yeye. Sikupokea. Nilikata nikamrukia mimi hewani. Akapokea... Baada ya salamu, mazungumzo yakawa hivi...👇🏽)
Zamani nilikuwa naona kama ni maisha ya ujanja. Nilivyokuwa sekondari wenzangu walinichukia sana, lakini
— Nikiwa naleta zile makala za kijasusi, kuna watu huwa wananishukuru sana nikizitaja MOVIES zinazogusa mikasa husika.
— Sasa leo nimeona niwalete orodha ya movies kali 20 ambazo zinahusu CIA tu. Huwezi kujuta kuzitazama.
— Nitataja jina la movie, na mwaka.
— Utakachonisaidia
02
—Kwa zaidi ya robo karne, tangu miaka ya 1980, jasusi yeyote angepishana na Imad Mughniyeh kisha asimjue.
— Ukiacha tukio la 9.11 (Sept. Eleven), huyu ndiye mtu aliyewaua Wamerakani wengi zaidi kwa mashambulizi mbalimbali ya kigaidi.
— Shambulio lake la kwanza alilifanya
Kuna watu wamevipenda vitabu vyangu. Sana. Ukiacha michapo ya Dully, wamependekeza pia tuwe na 'threads' za simulizi humu ndani.
Msijali, ni mwaka wa kumi sasa naandika, hazina ya 'stories' ni kubwa mno.
Natamani tuanze na hii...
Mnasemaje? Kanuni?😃
CHAT STORY: WRONG NUMBER (Part 01)...
— Umepiga simu, umekosea namba, ila sauti ya kike iliyopokea inakushawishi uendeleze maongezi, unaamua kutuma ujumbe kujaribu kiwango cha bahati yako...
— Tuone kama kama jamaa alitoboa!😂😁👇🏽
Hii story inasisimua kidogo!
Ni bonge la story!
Bwana harusi, katika usiku wa kwanza wa fungate yao, analazimika kutoka chumbani kwenda kuagiza chakula.
Kurudi, anakuta mkewe mpya amuawa...
Kilikuwa ni chumba namba 29 cha hoteli.
Siku ambayo tukio limetokea, ilikuwa ni
—UZI huu unafanya iwe ni post yangu ya kwanza kuwafikia watu LAKI NNE. Tena ndani ya siku mbili pekee.
—Hii ni REKODI kwa upande wangu. Na nasema kuwa, ahsanteni sana.
—Ahsanteni kwa REPOSTS na LIKES.
Mambo mazuri yapo mengi sana. Naahidi kuwaletea..🙏🏽🙏🏽
Kaka
@IdrisSultan
Kufanya kazi na wewe ni ndoto niliyokuwa nikiishi nayo kwa miaka mingi sana. Unaweza kutazama COMMENTS hapo chini.
Moja ni post ya 2017, nyingine ni ya mwaka 2021!
07
— Kama unahitaji kukifahamu vizuri kisa cha huyu jamaa, ipo mini–series, ni nzuri, imetoka mwaka jana.
— Inaitwa GHOSTS OF BEIRUT
— Itafute, utaburudika na hutajutia. Wala sio ndefu sana.
— Cha muhimu, hakikisha uwe ni mtu unayependa kutazama filamu za kutuliza ubongo, laa
Simuoni WhatsApp siku hizi jamaa yetu, mtaani pia kawa adimu sana.
Kumbe yupo kwenye wiki za mitihani.
Jana nimempigia ananiambia kakamatika sana. Ila Ijumaa ya leo anakwenda kuhitimisha.
Nimemueleza namna mnamuulizia. Ana-appreciate sana upendo wenu.
Hebu leo kwa pamoja,
Inatamkwa kama operation ya uokozi yenye mbinu kali kuwahi kufanyika katika historia ya CIA.
— Awali wengi waliuona kama mpango wa kijinga tu.
— Walitakiwa kutoroshwa Wamarekani sita bila risasi hata moja kusikika. Wapitishwe katikati ya raia wa Iran wasiopungua elfu kumi bila
08
— Serikali ya Marekani bado inamhesabu Snowden kama raia wao. Bado wanamtaka leo kesho ili wamuadabishe kama MHAINI.
— Jamaa bado yupo. Ubongo wake wanautumia Warusi. Na kwa sasa amejaaliwa watoto wawili.
— Mdahalo kuhusu SNOWDEN nchini Marekani na duniani unaendelea mpaka
Baada ya ukimya wa muda, leo nilimpigia mwanangu Abdul. Ama Dully kama washkaji mlivyomzoea.
Sikuwahi kumueleza kuhusu hili la watu wa twitter (X) kukubali namna anavyosimulia visanga vyake.
Jamaa kashangaa sana. Hajaamini.😁
Akauliza ikiwa nawauzia. Nikamjibu nafanya kama
03
—Wanasema heri adui unayemfahamu, kuliko yule usiyemjua hata kwa kumuona, pengine ndiye unayelala naye kitanda kimoja.
—Hiyo ilikuwa ni nukta mojawapo iliyosababisha Mughniyeh awe hatari kuliko Bin Laden. Osama yeye alifahamika.
—Kingine, huyu bwana alikuwa ni kiongozi
Naitwa Abyas Mzigua. Ama Abymzigua. Rafiki yake Dully hapa. 😃
Mimi ni mwandishi wa riwaya kwa miaka mingi sasa.
Nimeshafanya kazi katika magazeti kadhaa nchini na kuandika sana katika platforms nyinginezo kabla ya kuingia humu X.
Kipekee kabisa, nimshukuru kaka yangu
02
— Kuchezea mifumo ya kiteknolojia ni kipaji chake cha asili. Akiwa na miaka kumi, alinunuliwa kompyuta yake ya kwanza.
— Alipofikisha miaka 13, akaweza kudukua mifumo ya games mbalimbali kwenye kompyuta hiyo.
— Huo nd'o ukawa mwanzo wa kunogewa na tabia hiyo ambayo kijana
03
— Mwaka 2009 aliacha kazi CIA. Akaajiriwa katika kampuni ya DELL. Ambapo hakudumu sana na kurejea tena kwenye idara ya kiusalama.
— NSA walimchukua. National Security Agency. Kazi ikiwa ni ile ile.
— kote huko, alionekana kuwa mtendaji mzuri wa majukumu yake, lakini
07
— Ilichukua mwezi mzima serikali ya Urusi kumuamini huyu jamaa. Waliogopa na kuhisi pengine ni mpango tu.
— Akapewa viza ya mwaka mmoja huku wakiendelea kumfuatilia kwa ukaribu.
— Serikali ya Marekani kadiri ilivyoendelea kutoa milio, ndivyo Urusi walivyoendelea kumshikilia
AHSANTENI SANA!
Akaunti yangu niliiunda mwaka 2021. Sikuwaza kuitumia tangu hivyo.
Rasmi, mwaka jana, 2023, Mwezi wa kumi, nikaamua kuweka nguvu katika mtandao huu baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu magazetini na kwenye platforms nyingine.
Haijawa safari nyepesi...
Lakini
02
— Mwaka 2006 alijiriwa na CIA kama mtaalamu wao wa Kompyuta. Na hii ni kutokana na uwezo wake mkubwa wa kifaa hicho.
— Kazi ya kufanywa kwa nusu saa na mtu mwenye ufahamu, yeye angeifanya kwa dakika tatu pekee.
— Serikali ya Marekani ikaona hazina si' nd'o hii?
Wakamzamisha
06
— Baada ya upelelezi wa kina, hatimaye ikajulikana ni mfanyakazi wao wa zamani, Snowden, ndiye mwenye kufanya hivyo. Wakafahamu mpaka alipo.
— Mkakati wa kumziba mdomo ukatengenezwa. Timu maalumu ikatumwa ikakamilishe kazi.
— Lakini walikawia. Snowden alikuwa safarini
ALIYENIPIGIA SIMJUI...
"Kipi sijasikia kaka? Jioni tuliyotoka kumzika binamu yangu, usiku wake mkewe anakutwa katika chumba cha rafiki wa marehemu mumewe. Na kanga moja tu kifuani... Kanga moja tu..."
Simu yangu iliita kwa namba ngeni, baada ya kupokea, mtu hanisalimii wala
04
— Akiwa NSA, alianza kuona madudu mengi. Akatamani dunia ifahamu. Lakini kwa namna gani? Sio rahisi kuvujisha siri za taasisi nyeti kama hiyo!
— May 2013, akaomba ruhusa ya ugonjwa. Na hiyo ndiyo ilikuwa ni 'bai bai baba Jeni'.
— Alielekea Hong-Kong, akaachia mafaili
Huyu kijana ni mwandishi mzuri. Ni miongoni mwa talents za utunzi ambazo tuko nazo hapa nchini.
Hongera sana
@abyasmzigua
Nimemaliza kukisoma kitabu chako cha MAYA WA ULAYA. Ni kizuri sana.
Nimevutiwa kutafuta vitabu vingine.
Natamani kukuona siku moja ukiandaa filamu. Uko
Ukweli ni kwamba, watu wanafurahi zaidi wakipokea taarifa zako za kukwama kuliko kusonga.
Wakati mwingine, pika taarifa za uongo zikionesha una shida, walishe.
Utakuwa salama.
Nukta hii ibebe kama ilivyo.