abymzigua Profile Banner
abymzigua Profile
abymzigua

@Abyasmzigua

Followers
28,456
Following
522
Media
735
Statuses
3,506

A Prolific novelist || CEO– abymastory || Former-Author : CHAMPIONI & SPOTI XTRA newspapers || Former-Writer/Editor: Mikasa ya kweli (GLOBAL TV ONLINE)

Tanzania
Joined November 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Abyasmzigua
abymzigua
8 days
Ahsanteni sana kwa support yenu. Ahsante kwa mnaoendelea kunifollow. Kesho asubuhi tutaiendeleza story yetu...
13
6
101
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
— Huyu hapa, kijana ambaye aliitetemesha dunia kwa kuivua nguo mifumo ya CIA, akiwa na miaka 15 tu! — Nyaraka zote ambazo wao waliamini ni za siri na hakuna wa kuweza kuzifikia, kijana alizifunua na kuzigeuza atakavyo. — Jina lake ni KANE GAMBLE (Tamka: Ken Gembo)... Na huu ni
Tweet media one
40
1K
3K
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
— Anasadikika kuwa mtu mwenye akili sana duniani. Alifanya kazi Marekani katika idara nyeti za nchi hiyo, baadaye akatimkia Urusi. — Wakati jeshi la Marekani likimuweka kwenye orodha ya watu WANTED zaidi, Putin amempokea, akamtunuku URAIA na ameahidi kumlinda kwa GHARAMA yoyote
Tweet media one
51
323
3K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Kichwa hiki... — CIA, MOSSAD, na mashirika mengine ya kijasusi duniani, wote waliingia chimbo kumsaka, wakaambulia patupu kwa zaidi ya miaka 25!!! — FBI wao wakaweka kitita cha dola milioni tano, kwa yeyote wa kukileta kichwa chake. — Unasema OSAMA BIN LADEN ni hatari? Bado
Tweet media one
52
326
2K
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Mkasa wa mwanangu Dully na pisi ya kihindi... Tiririka nao...😁👇
Tweet media one
306
177
2K
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
Hii nchi!😂😂😂💔
Tweet media one
192
126
2K
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
"Mtoto wetu wa miaka miwili alichezea bunduki, akamfyatua kwa bahati mbaya baba'ake na kumuua!" Haya maelezo aliyatoa Sharon Kinne. Mrembo ambaye alitoroka gerezani, akatafutwa kwa zaidi ya miaka hamsini sasa bila ya kupatikana. Wamexico walimuita LA PASTOLERA. Wakimaanisha
Tweet media one
22
268
2K
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Mkasa wa mwanangu Dully na pisi ya kihindi... SEHEMU YA PILI! Tuendelee pamoja...😁👇
Tweet media one
274
189
2K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
MAPENZI NI UTAPELI? — Utanipa jibu ukimaliza kuisoma hii...
Tweet media one
262
134
2K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Ila WANAWAKE!!!🙌🏾
Tweet media one
149
106
2K
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Mkasa wa mwanangu Dully na pisi ya kihindi... SEHEMU YA TATU Tuendelee wazee...😁👇
Tweet media one
204
165
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
11 days
STORY TIME: Part 01 Mwenye nyumba Vs Eliza Mpangaji... Tuanze...😁👇🏽
Tweet media one
227
101
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
"Natafuta mtu wa kuanzia miaka 18 mpaka 30, nimchinje na nimtafune nyama yake!" Mwaka 2001, katika tovuti ya 'the cannibal cafe', mwanaume mmoja alichapisha maneno hayo. Wapo waliokemea, wengine wakafanyia mzaha kwa kudhani ni utani. Mwisho akapatikana aliyekubali. Nini
Tweet media one
16
129
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
20 days
STORY TIME: Baada ya binti kufanya manunuzi ya simu dukani, jioni anaamua kumcheck muuzaji ili waongee jambo... 😁😁😁👇🏽
Tweet media one
171
97
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Tunaiitaje hii? COMEBACK au?😁😁🙌🏾
Tweet media one
162
87
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
1 month
Mapenzi ni nini?😃
Tweet media one
93
57
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
Kumbe mwanetu Dully alilazwa ndani hii Sikukuu... Kisa PISI!😂😂😂😂 Tiririka nayo...😁👇🏽
Tweet media one
154
122
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Tuseme wewe nd'o ABYAS MZIGUA... — Ungemshauri nini mwanetu Dully?😃
Tweet media one
86
73
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Ila haya mambo haya!😅
Tweet media one
183
64
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Mkasa wa mwanangu Dully na pisi ya kihindi... SEHEMU YA NNE Haya, tutambae nayo...😁👇
Tweet media one
154
127
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Umekutana na WEHU wengi, lakini nina uhakika haujawahi kumsikia huyu jamaa... — Alipokuwa na umri wa miaka 9, aliichoma moto shule aliyokuwa akisoma. — Ukubwani alianzisha imani yake. Yeye akiwa ndiye MWOKOZI MKUU. Mafundisho yake yaliruhusu MADAWA na UASHERATI. — Hakukosa
Tweet media one
17
399
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
16 days
STORY TIME: Part 03 — Ni muuza simu Karimu na mteja wake Nasra. Tuliishia jamaa anadai anaomba dua, ili binti alikubali ombi la kufika geto... Tusonge sasa...👇🏽
Tweet media one
343
88
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
15 days
STORY TIME: Part 04 — Karim alishtuka baada ya Nasra kudai ana mtoto. Hakutegemea wakati tayari mpango ulikuwa ni kuonana. — Mwamba alinasuka vipi? Tusonge...😂👇🏽
Tweet media one
301
100
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
Maninja bado wapo duniani? Jamaa alikuwa dereva bodaboda tu, wahuni wakamfanyia ushenzi. Hawakujua wanayatimba kwa mtu mwenye maarifa makali zaidi ya mapigano, Ninja. Kwa namna alivyokuwa anacheka na kila mtu mtaani, utaratibu wake, wala hakuna aliyewahi kudhani kuwa jamaa
Tweet media one
16
120
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
9 days
STORT TIME: Part 02 — Baba mwenye nyumba Vs Eliza Mpangaji... Tuendele tulipoishia...😅👇🏽
Tweet media one
172
82
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Kisanga cha mwanangu Dully na demu wa kwenye kigodoro... Tuanze...😁👇
Tweet media one
135
103
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
7 days
STORY TIME : Part 03 Baba mwenye nyumba Vs Mpangaji wake Eliza... Tuendelee...😃👇🏽
Tweet media one
204
88
1K
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
— Alikuwa ni kijana ambaye hajafikisha hata miaka 30, lakini alizitikisa karibu nchi saba zilizokuwa zikimtafuta. Marekani ikiwemo. — Majasusi kutoka mashirika 11 duniani, waliliimba jina lake. —Ni THE KING OF DARK WEB! Mmiliki wa kwanza wa ALPHABAY. Muite ALPHA 02. Codename
Tweet media one
19
139
981
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
HII YA LEO KALI! Teremka nayo mwenyewe....😁👇🏽
Tweet media one
131
90
951
@Abyasmzigua
abymzigua
4 months
Alhamdulillah... Leo nimeongeza mwaka katika umri wangu... Pia, rasmi, nimeingia katika ukurasa mpya wa maisha ya ndoa. Mwenyezi Mungu atusimamie, Amiiin!
Tweet media one
90
62
937
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
Ni mwanetu Dully tena... Mzee wa visanga!😅
Tweet media one
57
61
928
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Dully karudi kwa namba nyingine bwana!😂 Katumalizia kile kisanga cha demu wa kigodoro, hapo hapo kaanzisha kipengele kingine... Unamjua Mwajuma Mtanga wewe?😅 Tiririka...😁👇🏽
Tweet media one
86
76
893
@Abyasmzigua
abymzigua
19 days
STORY TIME: Part 02 — Tuendeleze mazungumzo pale yalipokuwa yameishia jana. Kati ya Karim (Muuza simu) na mteja wake....😁👇🏽
Tweet media one
130
105
884
@Abyasmzigua
abymzigua
13 days
STORY TIME: Part O5 — Tuliishia Karim kaombwa namba ili atumiwe hela ya safari... Tusonge...😁👇🏽
Tweet media one
220
80
891
@Abyasmzigua
abymzigua
4 months
Huyu dada ni kweli au anataka tu kumsingizia mwanetu?😂😁 Tiririka...👇🏽👇🏽
Tweet media one
50
47
872
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
Ni kwamba Cathe bado anamuelewa Dully ama nini? Leo kanitafuta bwana!😅👇🏽
Tweet media one
64
48
878
@Abyasmzigua
abymzigua
6 months
Ni rasmi mtunzi wenu nitakuwa nikiandaa stories tamu za mapenzi zitakazokuwa zikiruka ile mida ya popo ile. Night kali. Msimuliaji si mwingine bali ni damu changa, yenye kipaji cha hali ya juu, Amirado. Kituo ni kimoja tu, dunia mpya ya vijana... BONGO FM!! Alhamdulillah...!
Tweet media one
71
94
858
@Abyasmzigua
abymzigua
6 months
Nd'o kusema mwanetu Dully AMEINGIA KWENYE KUMI NA NANE? Tushuke pamoja...👇🏽😅
Tweet media one
60
75
840
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
SIMU KWA VEE! Vijana wa Tabata mmemfanya nini huyu binti?😃 (Nilikuwa nakula. Ikabidi niweke kwanza sahani kando ili nimpandie hewani...👇🏽) Vee: Aby mambo? Sorry, wait kidogo usikate, nasogea kando ili tuongee vizuri... (Mimi: Sawa Vee, haina shida!) (Baada ya sekunde
Tweet media one
31
59
766
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
Yule jamaa wa kuitwa KIUMBE kanicheck. Katuendelezea mkasa wake... Jana tuliishia ametoka Magomeni anaenda Kinondoni, nyumbani kwa Maria. Tusonge nayo kwa pamoja....😃👇🏽
Tweet media one
110
86
746
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
— Ni mwaka wa 62 huu, jamaa hajui kabisa kitu kinachoitwa USINGIZI. Hajawahi kulala. — Hayupo mahututi hospitalini. Anachapa TUNGI kama kawaida, hizo FEGI nd'o usiseme! — Madaktari wanakuna vichwa tu. Hawana jibu wala maelezo. Anaitwa THAI NGOC, niko hapa kukupa habari kuhusu
Tweet media one
14
75
739
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Mapokezi yenu ya mkasa wa Dully yamekuwa makubwa sana. Ahsanteni mno! Mimi ni mwandishi wa fasihi ya Kiswahili. Usiku ni muda wangu mzuri sana wa kuandika. Msijali, jamaa akija tu online, nitabonga naye ili kesho tuendelee! Muwe na usiku mwema!😁😁
Tweet media one
24
31
710
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Mapokezi yenu ni ya kuimbwa kwa sauti kuu zenye unyenyekevu uliojaa shukrani aisee! Mmemuelewa sana Dully. Tena mmemuelewa kwa vitendo. Nipo hapa kusema kuwa SITAWAANGUSHA. Jamaa akitokea tu online, tunamdaka aendelee kutupa maelezo kamili...😂😂😂😁 Usiku mwema kwenu!
Tweet media one
39
38
654
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
Kabla ya kuendelea kuzungumza na Cathe, ilipaswa kwanza tutamfute bwana mkubwa naye aongee... Nilimpigia mwanetu, akaja twitter (X) kutazama, kisha akanirejea WhatsApp... Huyu hapa Dully anafunguka...!😅👇🏽
Tweet media one
57
45
667
@Abyasmzigua
abymzigua
1 month
Hizi texts nimetumiwa Jumatano. WhatsApp. —Watu tunapitia mengi sana. —Unaweza ukapishana na mtu kauli njiani ama mtandaoni, kumbe mwenzako kichwa kina mambo yameshamvuruga. — Kijana mwenzetu huyu kakumbana na jua la utosi.
Tweet media one
679
60
664
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Kesho tunasonga wanangu....
Tweet media one
60
32
656
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Hatimaye ZUWENA kanicheck tena...
Tweet media one
38
28
654
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
Dully yeye kashaufungua mwaka mapema sana! Mizinguo sana huyu jamaa!😅 Shuka nayo hii....😁👇🏽
Tweet media one
42
52
645
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Nimeamua kuwasogezea burudani tu wanangu. Hatutauziana/Hatuuziani wala kuchangishana mabunda. Mapokezi yenu ya mkasa huu yamekuwa malipo makubwa sana... Kanuni wazee!!!
Tweet media one
75
22
620
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
😂😂😂😂 Hamna mtu humu!
Tweet media one
52
26
600
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Ila Dully!!😁😁😁 Haya, tukutane kesho kwenye muendelezo. Karudi jamaa!
Tweet media one
31
30
585
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Dully kanicheki bwana. Kamalizia ile ishu yake ya chaga. Nimecheka sana!😂😁 Sema kanichoropoka, kakimbilia pisi!!! Tiririka....😅👇🏽
Tweet media one
46
45
578
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
Kaka mkubwa @IdrisSultan , ahsante sana brother, mzigo wetu umenifikia na nimeupokea ALHAMDULILLAH. Ndugu zangu mlionipigia KURA, kwa wingi wenu, bado natafakari ni shukrani ya namna gani inaweza kulipiku neno AHSANTE kwenu. Mungu awabariki sana!
Tweet media one
37
54
584
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Kisanga cha mwanangu Dully na demu wa kwenye kigodoro.. SEHEMU YA PILI Tusogee nayo...😁👇
Tweet media one
60
76
560
@Abyasmzigua
abymzigua
8 days
Kuna huyu anaitwa JOSEPH MAGABE huko INSTAGRAM anafanya UPUMBAVU na USHAMBA wa kiwango cha LAMI! Halafu eti anajiita MWALIMU, wanampa TUZO na madai yake ni MWANASAIKOLOJIA. Mwanasaikolojia gani MWIZI? Juzi nilikuwa nasema watu wasiibe STORIES zangu, lakini baadaye nikaona
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
111
36
543
@Abyasmzigua
abymzigua
1 month
TONY MENDEZ... — Walimtunuku cheo cha THE MASTER OF DISGUISE. Mzee wa kuficha uhalisia wake na kujipoteza kwa wepesi. — Kama ambavyo MKATE si MGUMU ndani ya CHAI, basi kumtorosha mtu kwa CIA haikuwa kazi ngumu akikabidhiwa huyu mwamba... — Alichokifanya huko IRAN kitaishi
Tweet media one
4
84
518
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Ila Dully miyeyusho sana! Kaja na story ya manzi wa kilokole leo!!😂😂 Halafu nani kampelekea huyu mwehu habari za Vee?😅😅👇🏽
Tweet media one
71
65
431
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
Ahsanteni sana wakuu. Mmenionesha upendo na kuthamini kipawa nilichoamua kuja kukidhirisha kwenu. Ahsanteni sana! Instagram wamepiga kura watu 720+ pekee, hata tukisema tumwachie wote kijana wangu, bado tutakuwa mbali. Kimsingi, nimpongeze sana SHELUKINDO! Ni familia huyu!
Tweet media one
28
36
406
@Abyasmzigua
abymzigua
9 days
Baadaye nitaleta muendelezo, PART 02 ya story yetu kati ya Baba mwenye nyumba na mpangaji wake Eliza...😁
Tweet media one
23
17
393
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Japokuwa si kwa wingi ule, lakini hili limewezekana ndani ya muda mchache mno, sitakuwa mbora wa fadhila kama sitatoa shukrani kwenu. Ahsanteni sana!!
Tweet media one
22
21
379
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
@IdrisSultan Title: NANI? Juma na Mwajuma, wapenzi wa zamani chuoni wanakutana katika usiku wa Valentine baada ya kupotezana kwa karibu miaka minne. Katika kipindi hicho cha ukimya, hakuna ambaye alikuwa ana habari kuhusu mwenziye. Waliamua kufutana. Lakini...
64
94
377
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
SIMU KWA VEE... (Iliita, ikakata. Baada ya muda mfupi akapiga yeye. Sikupokea. Nilikata nikamrukia mimi hewani. Akapokea... Baada ya salamu, mazungumzo yakawa hivi...👇🏽) Zamani nilikuwa naona kama ni maisha ya ujanja. Nilivyokuwa sekondari wenzangu walinichukia sana, lakini
Tweet media one
30
48
350
@Abyasmzigua
abymzigua
1 month
— Nikiwa naleta zile makala za kijasusi, kuna watu huwa wananishukuru sana nikizitaja MOVIES zinazogusa mikasa husika. — Sasa leo nimeona niwalete orodha ya movies kali 20 ambazo zinahusu CIA tu. Huwezi kujuta kuzitazama. — Nitataja jina la movie, na mwaka. — Utakachonisaidia
Tweet media one
16
207
348
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
02 —Kwa zaidi ya robo karne, tangu miaka ya 1980, jasusi yeyote angepishana na Imad Mughniyeh kisha asimjue. — Ukiacha tukio la 9.11 (Sept. Eleven), huyu ndiye mtu aliyewaua Wamerakani wengi zaidi kwa mashambulizi mbalimbali ya kigaidi. — Shambulio lake la kwanza alilifanya
Tweet media one
8
17
337
@Abyasmzigua
abymzigua
18 days
Huyu mzee hutakiwi kuyasikiliza maneno yake. Ni tapeli. Anaongea kama muoga ili ukithubutu tu KUUTAKA... 😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
13
17
335
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
Sasa huku kwa mwanetu Dully... Nd'o tunakuita KUYAKANYAGA...😂😂 Shuka nayo taratibu...😅👇🏽
Tweet media one
8
30
327
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Kuna watu wamevipenda vitabu vyangu. Sana. Ukiacha michapo ya Dully, wamependekeza pia tuwe na 'threads' za simulizi humu ndani. Msijali, ni mwaka wa kumi sasa naandika, hazina ya 'stories' ni kubwa mno. Natamani tuanze na hii... Mnasemaje? Kanuni?😃
Tweet media one
70
44
325
@Abyasmzigua
abymzigua
6 days
CHAT STORY: WRONG NUMBER (Part 01)... — Umepiga simu, umekosea namba, ila sauti ya kike iliyopokea inakushawishi uendeleze maongezi, unaamua kutuma ujumbe kujaribu kiwango cha bahati yako... — Tuone kama kama jamaa alitoboa!😂😁👇🏽
Tweet media one
130
77
593
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
Hii story inasisimua kidogo! Ni bonge la story! Bwana harusi, katika usiku wa kwanza wa fungate yao, analazimika kutoka chumbani kwenda kuagiza chakula. Kurudi, anakuta mkewe mpya amuawa... Kilikuwa ni chumba namba 29 cha hoteli. Siku ambayo tukio limetokea, ilikuwa ni
Tweet media one
20
50
319
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
—UZI huu unafanya iwe ni post yangu ya kwanza kuwafikia watu LAKI NNE. Tena ndani ya siku mbili pekee. —Hii ni REKODI kwa upande wangu. Na nasema kuwa, ahsanteni sana. —Ahsanteni kwa REPOSTS na LIKES. Mambo mazuri yapo mengi sana. Naahidi kuwaletea..🙏🏽🙏🏽
Tweet media one
12
29
315
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
Dully once agaaaaiiin!!!😁👇🏽
Tweet media one
43
35
313
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
Kaka @IdrisSultan Kufanya kazi na wewe ni ndoto niliyokuwa nikiishi nayo kwa miaka mingi sana. Unaweza kutazama COMMENTS hapo chini. Moja ni post ya 2017, nyingine ni ya mwaka 2021!
@IdrisSultan
Idris
7 months
Script writers challenge results ❗️ Kura zilizopigwa X - 5681 IG - 721 E.Shelukindo - 36% (X) & 72% (IG) Abymzigua - 64% (X) & 28% (IG) Total E.Shelukindo - 2564 Abymzigua - 3838 The winner of “Script writer’s challenge” is @Abyasmzigua 🏆 Nitawasiliana na mshindi ili
68
73
702
31
28
303
@Abyasmzigua
abymzigua
1 year
Vitabu hivi vinapatikana kwa njia ya softcopy. Kila nakala moja ni Tsh. 3000 pekee. WhatsApp: 0688589070
Tweet media one
17
89
301
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
07 — Kama unahitaji kukifahamu vizuri kisa cha huyu jamaa, ipo mini–series, ni nzuri, imetoka mwaka jana. — Inaitwa GHOSTS OF BEIRUT — Itafute, utaburudika na hutajutia. Wala sio ndefu sana. — Cha muhimu, hakikisha uwe ni mtu unayependa kutazama filamu za kutuliza ubongo, laa
Tweet media one
59
39
295
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
@IdrisSultan Ooowh... Alhamdulillah. Najiona mimi na mwanafunzi wangu ELIAS SHELUKINDO. Kwa hatua hii, niko radhi kuuona ushindi ukielekea kokote kule. It's amazing!!!
18
16
289
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
Wanawake wamejaa sana katika mikusanyiko ya UMMA. Masokoni, kwenye masherehe..! Wako wapi wanaume? GEREZANI na MAKABURINI. Sad truth niggas!👊🏽
10
33
283
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Simuoni WhatsApp siku hizi jamaa yetu, mtaani pia kawa adimu sana. Kumbe yupo kwenye wiki za mitihani. Jana nimempigia ananiambia kakamatika sana. Ila Ijumaa ya leo anakwenda kuhitimisha. Nimemueleza namna mnamuulizia. Ana-appreciate sana upendo wenu. Hebu leo kwa pamoja,
Tweet media one
34
11
273
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
09 — Mwaka 2016 ilitolewa filamu yenye kuigusa habari hii ya kweli na nyeti. — Inaitwa SNOWDEN. — Mkipata muda na nafasi, itafuteni...
Tweet media one
16
32
267
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
Inatamkwa kama operation ya uokozi yenye mbinu kali kuwahi kufanyika katika historia ya CIA. — Awali wengi waliuona kama mpango wa kijinga tu. — Walitakiwa kutoroshwa Wamarekani sita bila risasi hata moja kusikika. Wapitishwe katikati ya raia wa Iran wasiopungua elfu kumi bila
Tweet media one
9
123
273
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
08 — Serikali ya Marekani bado inamhesabu Snowden kama raia wao. Bado wanamtaka leo kesho ili wamuadabishe kama MHAINI. — Jamaa bado yupo. Ubongo wake wanautumia Warusi. Na kwa sasa amejaaliwa watoto wawili. — Mdahalo kuhusu SNOWDEN nchini Marekani na duniani unaendelea mpaka
Tweet media one
69
16
271
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Baada ya ukimya wa muda, leo nilimpigia mwanangu Abdul. Ama Dully kama washkaji mlivyomzoea. Sikuwahi kumueleza kuhusu hili la watu wa twitter (X) kukubali namna anavyosimulia visanga vyake. Jamaa kashangaa sana. Hajaamini.😁 Akauliza ikiwa nawauzia. Nikamjibu nafanya kama
Tweet media one
48
18
269
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
03 —Wanasema heri adui unayemfahamu, kuliko yule usiyemjua hata kwa kumuona, pengine ndiye unayelala naye kitanda kimoja. —Hiyo ilikuwa ni nukta mojawapo iliyosababisha Mughniyeh awe hatari kuliko Bin Laden. Osama yeye alifahamika. —Kingine, huyu bwana alikuwa ni kiongozi
Tweet media one
6
8
260
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Dully jana kasepa mapema sana. Japo alikuja mapema pia. Story ikawa ndefu kidogo. Hajamaliza, akayeyuka... Wacha tumngoje...😂😂😂
34
5
259
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Naitwa Abyas Mzigua. Ama Abymzigua. Rafiki yake Dully hapa. 😃 Mimi ni mwandishi wa riwaya kwa miaka mingi sasa. Nimeshafanya kazi katika magazeti kadhaa nchini na kuandika sana katika platforms nyinginezo kabla ya kuingia humu X. Kipekee kabisa, nimshukuru kaka yangu
Tweet media one
37
27
253
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
TBT: Ofisi yangu ya zamani. Ilikuwa geto hii. Ni tabu sana kufanya kazi chumbani. Kitanda kipo pembeni kinakutazama.
Tweet media one
2
5
250
@Abyasmzigua
abymzigua
2 months
02 — Kuchezea mifumo ya kiteknolojia ni kipaji chake cha asili. Akiwa na miaka kumi, alinunuliwa kompyuta yake ya kwanza. — Alipofikisha miaka 13, akaweza kudukua mifumo ya games mbalimbali kwenye kompyuta hiyo. — Huo nd'o ukawa mwanzo wa kunogewa na tabia hiyo ambayo kijana
Tweet media one
4
35
242
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
03 — Mwaka 2009 aliacha kazi CIA. Akaajiriwa katika kampuni ya DELL. Ambapo hakudumu sana na kurejea tena kwenye idara ya kiusalama. — NSA walimchukua. National Security Agency. Kazi ikiwa ni ile ile. — kote huko, alionekana kuwa mtendaji mzuri wa majukumu yake, lakini
Tweet media one
5
14
240
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
07 — Ilichukua mwezi mzima serikali ya Urusi kumuamini huyu jamaa. Waliogopa na kuhisi pengine ni mpango tu. — Akapewa viza ya mwaka mmoja huku wakiendelea kumfuatilia kwa ukaribu. — Serikali ya Marekani kadiri ilivyoendelea kutoa milio, ndivyo Urusi walivyoendelea kumshikilia
Tweet media one
6
7
236
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
AHSANTENI SANA! Akaunti yangu niliiunda mwaka 2021. Sikuwaza kuitumia tangu hivyo. Rasmi, mwaka jana, 2023, Mwezi wa kumi, nikaamua kuweka nguvu katika mtandao huu baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu magazetini na kwenye platforms nyingine. Haijawa safari nyepesi... Lakini
Tweet media one
12
17
232
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
02 — Mwaka 2006 alijiriwa na CIA kama mtaalamu wao wa Kompyuta. Na hii ni kutokana na uwezo wake mkubwa wa kifaa hicho. — Kazi ya kufanywa kwa nusu saa na mtu mwenye ufahamu, yeye angeifanya kwa dakika tatu pekee. — Serikali ya Marekani ikaona hazina si' nd'o hii? Wakamzamisha
Tweet media one
7
16
232
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
06 — Baada ya upelelezi wa kina, hatimaye ikajulikana ni mfanyakazi wao wa zamani, Snowden, ndiye mwenye kufanya hivyo. Wakafahamu mpaka alipo. — Mkakati wa kumziba mdomo ukatengenezwa. Timu maalumu ikatumwa ikakamilishe kazi. — Lakini walikawia. Snowden alikuwa safarini
Tweet media one
12
9
224
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
Jamaa kanigusia kisanga cha beach... Anadai ni kikali kuliko hiki... Mkiniagiza nitawaletea... Ila tuombe Mungu hili la sasa pia liishe kwa amani...😅
11
3
219
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
😂😂😂😂 Dully akirudi online tutasonga wanangu...
35
7
221
@Abyasmzigua
abymzigua
7 months
@IdrisSultan Alhamdulillah! Alhamdulillah! Alhamdulillah!!!
26
12
220
@Abyasmzigua
abymzigua
9 months
ALIYENIPIGIA SIMJUI... "Kipi sijasikia kaka? Jioni tuliyotoka kumzika binamu yangu, usiku wake mkewe anakutwa katika chumba cha rafiki wa marehemu mumewe. Na kanga moja tu kifuani... Kanga moja tu..." Simu yangu iliita kwa namba ngeni, baada ya kupokea, mtu hanisalimii wala
Tweet media one
6
20
214
@Abyasmzigua
abymzigua
3 months
04 — Akiwa NSA, alianza kuona madudu mengi. Akatamani dunia ifahamu. Lakini kwa namna gani? Sio rahisi kuvujisha siri za taasisi nyeti kama hiyo! — May 2013, akaomba ruhusa ya ugonjwa. Na hiyo ndiyo ilikuwa ni 'bai bai baba Jeni'. — Alielekea Hong-Kong, akaachia mafaili
Tweet media one
6
6
211
@Abyasmzigua
abymzigua
8 months
Hii ni kubwa sana aisee!!
@rollymsouth
Madenge
8 months
Huyu kijana ni mwandishi mzuri. Ni miongoni mwa talents za utunzi ambazo tuko nazo hapa nchini. Hongera sana @abyasmzigua Nimemaliza kukisoma kitabu chako cha MAYA WA ULAYA. Ni kizuri sana. Nimevutiwa kutafuta vitabu vingine. Natamani kukuona siku moja ukiandaa filamu. Uko
Tweet media one
24
58
476
4
13
212
@Abyasmzigua
abymzigua
16 days
06
Tweet media one
43
7
203
@Abyasmzigua
abymzigua
19 days
Ukweli ni kwamba, watu wanafurahi zaidi wakipokea taarifa zako za kukwama kuliko kusonga. Wakati mwingine, pika taarifa za uongo zikionesha una shida, walishe. Utakuwa salama. Nukta hii ibebe kama ilivyo.
5
33
203